Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mkuu 'Prem 96', ni nani anayejenga hiyo bandari, serikali au watu binafsi?
Kama lengo lao ni kusambaza mizigo toka hapo kwenda DRC, na hakuna Bandari ziwani, hiyo mizigo wataipitishia Burundi?
Sijajua Kama ni privet sector ndio wanajenga au ni serikali

Bandari ipo lkn uwezo wake ni mdogo saana pia hakuna meli ya kueleweka

Kukupitishia mizigo Burundi na location ua bandari hilipo ni gharama
 
Bongolander:Jibu sahihi ni hilo hapo ulilotoa.
Nadhani hili ndilo linaloweza kuisaidia Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ushindani wa hakika. Wanachotakiwa ni kuhakikisha hawafanyi mizengwe tena kama walivyokuwa wakifanya huko nyuma.

Hili la kuwa na Bandari kavu ya hali ya juu karibu na nchi hizo, itaiondoa Mombasa kwenye reli.
Bila ya hivyo, kwa maandalizi wanayofanya sasa, soko lote la kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani wataliteka lote.

Sasa swali ni hili: Mombasa na wao wataitumia bandari hiyo kavu, kwa kigezo cha 'soko' huria na matakwa ya ushirikiano wetu wa Africa Mashariki?

Wakiamua kutumia hiyo bandari kwa kigezo ya ushirikiano wetu wa EAC bado tutakuwa on top of the game, ni kama bandari ya Mombasa itakuwa yetu. As long as tukiendelea kuwa na umakini kwenye kuwekeza kwenye miradi ya kimkakati, hata Lamu iwe na ukubwa gani, bado tutakuwa na advantage. Na sisi tutanatakiwa kuacha uswahili bandari. Ila naona Zitto Kabwe ni new project mania, haangalii kwanza uozo uliojaa kwenye projects zilizopo sasa, anaangalia vitu ambavyo havipo na kuikosoa serikali.
 
Nimejiuliza sana naanza kujibu vipi post ndefu kama yako na kuna mambo mengi ya kufafanua kwa kina nitajibu nitakavyoweza kwa kifupi.

Umeanza kwa kuniambia nimechanganya mambo I would like to think ukunielewa tu.
Nimekuelewa vizuri sana, moja ya sentensi yako ni hii hapa:-
Sasa uwezi kuweka stagnant income projections kwenye bandari tu lazima tujue limitations zao kama tunawapa bandari kwa miaka 99 muhimu pia kuwa na viwango vya wao kukusanya as return and profit in the same accounting year na ikizidi ni hela ya serikari; similar wasipofikia icho kiwango how they will be compensated in the future. Hakuna mahala niliposema miaka uliyoweka inaenda na ROI period exactly, nilichouliza tena in general if the amount of years sought have any relations to the repayment calculation au kuna lingine?
Hata kama unakataa, inaonesha wazi kwamba umechanganya suala la miaka 99 ya land lease na project transfer period!! Ni kutokan na ukweli huo, ndio maana hata mwanzoni tu mwa post yakom ulisema kitu sawa na hicho kwamba,:-
Bila ya kujua nitty gritty elements especially in relation to the commercial aspects its hard to say how many years are fair, depending on income generated that said 15 years could be fair or 99 years but it all depends on the revenue generated.
Nikaendelea kwa kusema kama kuna lingine other than their investment return why should other investors be treated any differently with land lease kwa sababu kama ni wao ku-recoup investment it his highly unlikely to take that long (99 years).
Kwanza ulitolea mfano wa Dangote na nikakuambia kwanini ulinganishe mradi wa Dangote na wa bandari ambayo ni completely tofauti!

Pili, nimekuambia sheria za Tanzania zinatoa land lease kwa miaka 33, 66 au 99 kwa miongo na miongo! Utakuwa unajidanganya sana kama unadhani hiyo sheria ya lease ya miaka 99 haijawahi kutumika!!! FYI, kuna makumi kwa makumi ya land leases zilizotolewa kwa miaka 99!

That's one but two, kama sheria imeweka land lease ya miaka 33 (renewable), 66 (renewable) na 99, unadhani ni miradi ya aina gani inaweza kuwa na land lease ya miaka 99?!
Kuhusu muda wa investment hakuna canon law inayosema ni miaka fulani;
World Bank wanatuambia:-
A concession is typically for a period of 25 to 30 years (i.e., long enough at least to fully amortize major initial investments).
Investopedia nao wanaeleza:-
Under a build-operate-transfer (BOT) contract, an entity—usually a government—grants a concession to a private company to finance, build and operate a project for a period of 20-30 years, hoping to earn a profit.
Hayo ni maelezo ya theory, sasa tuangalie watu walioingia field.

Tafuta mwenyewe paper(Case Study) ya Prof. Spiro N. Pollalis na Prof. Drs. Ir. Sebastiaan C.M. Menheere ambayo sehemu ya paper hiyo inasema
Build Operate Transfer is a major startup business venture where private organizations undertake development and operation of a facility normally done by the government. The termination of the private sector involvement occurs at the return of the ownership of the facility to the government after a fixed concession period, usually 25 to 40 years
Another practical example, fanya assignment mwenyewe kufahamu Mradi wa Daraja la Worli-Haji Ali ambayo moja ya maelezo yake yanasema:-
The consortium will run both sea links for a period of 40 years, including collecting toll, which will increase every three years as per government specifications.
Chige nae, kwenye moja ya post akaongea:-
All in all, kwa kawaida kama itatumika BOT, more often than not, Investor huwa anakaa na mradi kwa muda usiopungua miaka 30.
Sasa ukiangalai maelezo yangu kuhusu transfer period yanaakisi kile kile kichosemwa na hizo sources zingine!!

And FYI, nimefanya "personal" surveys nyingi sana kuhusu BOT pamoja na kuwa Mbeba Mikoba wa Beberu aliyekuwa anafanya research kuhusu BRI huku one of the case study ikiwa Bagamoyo Port Project!

Nimepitia miradi mingi sana ya BOT iliyofanyika The Philippines, Canada na Australia. Huko kote sijakutana na mradi mkubwa kama wa Bandari ya Bagamoyo huku ukizingatia kwamba, hizi theory kwamba transfer inachukua miaka X to Y, reference kubwa ni kupitia miradi ambayo haifiki hata USD 5 Billion!

Lakini hata ukitumia common sense tu, USD 10 Billion ni zaidi ya Sh 20 Trillion! Ukisema kwa mwaka mradi unaingiza faida ya wastani wa Sh. 500 Billion, hiyo Trillion 20 inarudi baada ya miaka 40!!
Control ya mradi inahusisha muda wa umiliki, land rights, taxes, royalties, uendeshaji wa biashara na usimamazi; hapo ndio misingi za negotiations ilipo.
Hili la kodi nimelisema mara nyingi sana kwamba wherever you go, TAX ni mali ya serikali. Tofauti inayoweza kuwepo kwenye suala la kodi ni tofauti ile ile iliyoeleka! Kwa mfano, investor kuomba tax holiday, kuomba waiver kwenye import tax especially ya construction materials n,k but generally, kodi haitaenda kwa mwekezaji bali kwa serikali!

Kwangu mimi haya mambo ya kodi na mapato mengine ndiyo ya msingi zaidi kujadili kuliko suala la ardhi! Na lingine muhimu zaidi ni namna gani Investor atahahakisha ana-maintain ubora wa bandari to the point of transfer.
Kwa hivyo wakati mimi na wewe tunaweza ona serikari inakataa mradi kutokana na masharti yake kumbe ni negotiation tactic ya kupeleka pressure kwa mwekezaji kubadili mambo fulani. Haya mambo yanataka give and take as the process evolves ndio maana hakuna mahala serikali imesema imefuta huo mradi bali bado wanajadili.
No Hurry in Africa sio?! Mwaka wa 4 huu unaishia halafu unaamini "negotiation tactic" huku Mkurugenzi wa TPA ameshasema "...tunataka xyz, wakitaka waje, na wasipotaka wasepe!" Yaani anaongea as if Africa mzima wenye bahari ni Tanzania peke yake!!

Btw, hizo tactics ni kama zile dhidi ya Acacia, au?! Pale tumeona hiyo "negotiation tactic" ambayo hapo kabla tuliambiwa tunadai matrilion kwa matrilion, lakini tunaishia kuahidiwa 700 Billion tena itakayolipwa kwa mafungu na masharti kibao... kama vile LAZIMA turuhusu makinikia isafirishwe ndipo walipe!!!
Sasa kuja hapa na kushutumu serikari inachofanya inakosea to me ni kuonyesha uelewa mdogo wa mambo ya mikataba ya kimataifa.
Sio suala la negotiation tactics tena bali ni suala la mikataba ya kimataifa sio?!
Turudi kwenye kina kuhusu maswala ya investement return na nini kinaweza kuwa ndani ya mkataba. Ni hivi humo ndani most likely utakuta mwekezaji kaweka kiwango fulani cha mapato tena fixed ni sehemu ya hela atakayochukua kila mwaka kama sehemu ya kulipia investment whereas in practice gross income is variable depending on the business volumes.
Sasa ni suala la kumlaumu mwekezaji hilo?! Na nyie sina wasomi wenu?! Waambieni tu na wao waende na hesabu (projections) zao mezani ili mradi tu wasitutie ile aibu ya kwamba kwa mwaka watakuwa wanaingia Trilioni 500!!!
Iwapo kipato cha gross kikiwa sio kizuri anaweza sema sikulipi kodi au umpe tax incentives nyingine kwakuwa atujui nini hasa kipo ndani ya hiyo MoU; ndio maana unaweza sikia serikari ipo concerned na muda wa hao watu kulipa kodi na mambo mengine ya kikodi hadi kutaka waanze kulipa immediately.
Kwani kuna fixed tax ambayo kampuni inatakiwa kulipa au analipa kutokana na mwenendo wa biashara?! Kwani hata akiingiza sh. 1000, hujui kwamba hata Sh 1000 inaweza kukatwa kodi?!
Na hawa watu sio wapuuzi maana huko ndani kwenye mkataba unaweza kuta kwenye aspect za stabilazation kuna ‘freezing clauses’ inayolinda hayo mambo wanayoyataka ndani ya muda wote wa mkataba, kuna ‘balancing clauses’ ambayo inalinda future value of money (ie fixed return inaweza panda kutokana na depreciation of currencies) na other economic equilibrium kama vile kuzuia kuendeleza bandari zingine zitakazowaletea ushidani, etc na clauses zingine zenye minajili ya unanyojaji ndani ya miaka 99.
Umerudia tena suala la miaka 99! Hivi kuna mkataba ambao hauzingatii mambo kama hayo?! Au ndo yale yale kwamba Wachina wanataka special treatment linapokuja suala 99 years land lease wakati ni jambo la kawaida sana hilo, tena kwa miradi isiyo na kichwa wala miguu!!

Hilo la kuzuia kuendeleza bandari zingine, nimewauliza hapa hizo bandari ni zipi, hakuna hata mmoja anayetaja... kuonesha mnafanya assumption!!!
Halafu wanakuja watu kama Zitto na wewe kuiponda serikari pale inapojaribu kurekebisha mambo fulani na hoja zenu za kitoto kama wanafunzi wa mwaka kwanza studying economics.
Tunaenda mwaka wa 5 sasa, sema wewe ni mambo yapi ya msingi ambayo serikali imefanya?!

Btw, hivi kati yangu na wewe ni nani mwenye hoja za kitoto?! Wakati mimi nakuwekea facts, wewe maelezo yako A to Z yamejaa dhahania ikionesha wazi kwamba wala huna uelewa wowote wa mradi wenyewe!!!

All in all, siwezi kukushangaa! post yangu ya awali ina maneno yasiyofika hata 1000 lakini umelalamika kwamba eti ni ndefu... hivi unaweza kukaa na kusoma studies mbalimbali wewe ambazo nyingi zinaenda 100+ pages?!!
 
Excellent point bro, of course private sector is crucial, ndio wanaotoa ajira kubwa sana, wenye uwezo wa kuwaajiri vijana wengi, tuiwezeshe private sector.

Kuivuruga private sector? usimlaumu sana, inaonekana alikuta madudu mengi sana alipoingia ikulu.

Sioni sababu ya kuwakaba wapinzani, ikiwa wanafauta sheria. Uchaguzi ni muhimu uwe huru.

Maoni yangu:- Rais Magufuli piga kazi avoid distraction, focus on vitu vitavyowasaidia Watanzania wengi.

Waache wahuni wapige kelele, ruka mtego wa kuwekewa vikwazo, waache wapinzani huru. Usiwape sababu Amnesty HRW.

Piga, chapa kazi. Kazi yako itaonekana wazi. Watanzania wana akili.
Kuhusu kwamba inaonekana alikuta madudu mengi... hilo sipingi na ndio maana kwenye hoja yangu nikazungumzia JPM alitakiwa kujikita kwenye zile critical issues ambazo JK kutokana na kariba yake, zilimshinda! Na kwa bahati mbaya sana, JK akamteua PM (Mzee Pinda) anayefanana mno na yeye... hakuwa mkali!

Enzi zile lau kama JK angemteua JPM kuwa ndie Waziri Mkuu, tungepiga hatua kubwa sana kwa sababu top of the leadership, yaani Rais, ni Meneja Mzuri na anayemfuata, yaani Waziri Mkuu, ni Administrator mzuri!

Hoja yangu kuhusu kuivuruga private sector... man, asikuambie mtu, tight macroeconomic policies hazijawahi kufanya kazi vizuri! Utakusanya sana kodi na kuchochea macroeconomic sectors lakini zitadumaza ukuaji wa microeconomics sectors. Hii microeconomic sector ndiyo inayomfanya Mama Lishe aweze kumlipia mwanae ada kwenye shule ambayo karo yake ni sh. 500K... si kwamba atakuwa anaiba huyu, la hasha! isipokuwa ukuaji wa microeconomic sector kule juu unachochea mzunguko wa pesa huku chini na hatimae hata shughuli ndogo ndogo za kiuchumi kuwa na tija!!!

Kwenye uchumi hutakiwi kubana fursa... ingawaje wengine ukiwaambia dhana ya kutobana fursa wanadhani kuachia wizi. Wizi haujawahi na wala hautakuja kuwa fursa!

Kwa mfano, JPM alitangaza baadhi ya miradi ya ujenzi iwe inafanywa Wakala wa Ujenzi... fine, una-save pesa ya serikali! Lakini katika ku-save unadumaza ukuaji wa sekta ya ujenzi sekta binafsi!

Na tunaposema kutominya fursa, tuchukulie enzi za JK kwa mfano! Mtu ambae alikuwa na Certificate ya kitu chochote na yupo serikalini, kama alikuwa aggressive kujiendeleza, basi hadi JK anaondoka alimwacha akiwa na angalau shahada... kwa sababu, hata fursa za kujiendeleza kwa watumishi, aliziacha open, na wengi sana, hususani walimu, wale ambao walikuwa na certificate walijiendeleza na kupata hadi shahada, na wengine hadi master!

Sidhani kama siku hizi watumishi wana hiyo fursa, sana sana, hata wale ambao walikuwa wanachukua Special Diploma pale UDOM akawaona vilaza na kufutilia ile program na matokeo yake, hadi sasa hakuna mpango wowote unaoeleweka kwa ajili ya kutatua walimu wa sayansi kwa shule zetu!!

Na hapa nishawahi kusema mara nyingi... nchi za Scandinavia wana maisha mazuri kuliko Marekani lakini pamoja na yote hayo, watu kutoka sehemu mbalimbali wana-stuggle kuingia Marekani kuliko Scandinavia kuliko na maisha mazuri... WHY? Ni kwa sababu Marekani fursa zimeachwa zitamalaki, lakini sio kwamba watu wanafuata wizi Marekani!!!

Kuna watu wengi sana, na wengine tumesoma nao sisi wenyewe ambao unakuta Form VI walifanya vibaya na kuonekana "Vilaza" lakini walipofika US, wakasoma na kurudi Bongo wakaheshimika zaidi kwavile wamesoma Marekani na kuwaacha wale waliopata Div I Bongo na kusoma vyuo vya Bongo!

Hiyo yote ni matunda ya kuacha fursa zichukue mkondo badala ya kuziminya!!!
 
kenya haioni shida kuendesh mashirika yao kwa hasara: on the likes of kenya airways and mombasa port, hazina msaada sana kwa nchi yao labda wanasiasa wao: i dont want to believe Tz watashusha bei pia: and i hope they wont, we can still catch up with even with the same price we have, price can be one of the factors but we can still make it with the current price:

there is no need for tz kushusha bei kwamba we ship for $25 just because wengine wameshusha? kuna costs to pay, salaries, loans to return: we can still look for a small killer factor and tuwapige bao pia, though price issue ina nguvu sana
WHAAAAAT?! Acha masihara mzee! Yaani Bandari ya Mombasa haina msaada sana kwa Kenya?! Au unaamini kabisa kwamba Kenya kushusha bei ndo watakuwa wanaendesha biashara kwa loss?!

Anyway, kwenye Uchumi kuna kitu kinaitwa Multplier Effect! Wakati mwingine investment inaweza isitoe DIRECT Benefit lakini multiplication effect yake ikawa kubwa kweli kweli kuliko project inayotoa direct benefit.

Kwa mfano, tuchukulie hili hili suala la Bandari ya Bagamoyo!!

Bandari ile kama ingewezekana na ndoto zake zingekuwa, basi ingekuwa na ukubwa wa angalau mara 4 ya bandari ya Dar es salaam!

Sasa umeshawahi kujiuliza Watanzania wangapi hao wangepata direct employment? Hawa wote wangekuwa wanalipwa mshahara! Mshahara huu angeenda Kariakoo kununua nyanya... hapa angemwezesha mjuuza nyanya! Pesa aliyoipata muuza nyanya, anaipeleka kwa muuza nyanya kwa jumla! Muuza nyanya jumla anaipeleka pesa ile ile kutoka kwa mfanyakazi wa bandari kwa mkulima. Mkulima na yeye anaitumia pesa ile ile ya mfanyakazi wa Bandari "isiyo na faida" kwa muuza mbolea! Muuza mbolea nae anatumia pesa ile ile ambayo origin yake ni Morogoro kwa mwenye nyumba aliyempangisha duka... the multiplication effect goes on!

Na ingekuwa hivyo kwa kila senti ya mfanyakazi wa Bandari "isiyo na faida" kwa mujibu wenu! Sasa assume kuna wafanyakazi wa kudumu 1000 TU! Hiyo ndiyo multiplier effect, na hapo bado sijazungumzia Industrial Complex ambayo ingejengwa!

So, usiwaone wakenya ni stupid! Umeshawahi kujiuliza endapo hao Importers wangehamia Tanzania kenya ingepoteza shilingi ngapi za mafuta tu?! Za mafuta tu kwa sababu hayo malori ili yatembee yanahitaji kujazwa mafuta! Kujaza mafuta kwenye vituo ambavyo vina wafanyakazi! Wafanyakazi ambao pesa ya malori ya mafuta wanai-circulate kwenye sekta zingine za kiuchumi!!!

hiyo ndiyo sababu ya kwanza ya kwanini napinga ndege za Magufuli!!! Kwamba, multiplier effect yake ni ndogo mno kulinganisha na thamani ya uwekezaji mwenyewe!!!
 
Ukitaka kuona mambo ya ajabu, kule Indonesia kuna jamaa mmoja alikuwa ni mpinzani mkubwa sana wa Belt-Road Initiative juzi kauwawa vibaya kweli. Sasa mabeberu wamesema kifo chake kifanyiwe uchunguzi wa kutosha. Hii ni vita ambayo hata hao wanaopambana hawafahamu kwanini wanapambana lakini kuna siku akili zitakapowarudia watafahamu kwamba walikosea sana....
Umeongea jambo la msingi sana... nami niliwahi kuhoji hapa JF kwamba, hivi mnafahamu mnampigania nani?!
 
Nimekuelewa vizuri sana, moja ya sentensi yako ni hii hapa:-
Hata kama unakataa, inaonesha wazi kwamba umechanganya suala la miaka 99 ya land lease na project transfer period!! Ni kutokan na ukweli huo, ndio maana hata mwanzoni tu mwa post yakom ulisema kitu sawa na hicho kwamba,:-

Kwanza ulitolea mfano wa Dangote na nikakuambia kwanini ulinganishe mradi wa Dangote na wa bandari ambayo ni completely tofauti!

Pili, nimekuambia sheria za Tanzania zinatoa land lease kwa miaka 33, 66 au 99 kwa miongo na miongo! Utakuwa unajidanganya sana kama unadhani hiyo sheria ya lease ya miaka 99 haijawahi kutumika!!! FYI, kuna makumi kwa makumi ya land leases zilizotolewa kwa miaka 99!

That's one but two, kama sheria imeweka land lease ya miaka 33 (renewable), 66 (renewable) na 99, unadhani ni miradi ya aina gani inaweza kuwa na land lease ya miaka 99?! World Bank wanatuambia:-Investopedia nao wanaeleza:-Hayo ni maelezo ya theory, sasa tuangalie watu walioingia field.

Tafuta mwenyewe paper(Case Study) ya Prof. Spiro N. Pollalis na Prof. Drs. Ir. Sebastiaan C.M. Menheere ambayo sehemu ya paper hiyo inasemaAnother practical example, fanya assignment mwenyewe kufahamu Mradi wa Daraja la Worli-Haji Ali ambayo moja ya maelezo yake yanasema:-Chige nae, kwenye moja ya post akaongea:-Sasa ukiangalai maelezo yangu kuhusu transfer period yanaakisi kile kile kichosemwa na hizo sources zingine!!

And FYI, nimefanya "personal" surveys nyingi sana kuhusu BOT pamoja na kuwa Mbeba Mikoba wa Beberu aliyekuwa anafanya research kuhusu BRI huku one of the case study ikiwa Bagamoyo Port Project!

Nimepitia miradi mingi sana ya BOT iliyofanyika The Philippines, Canada na Australia. Huko kote sijakutana na mradi mkubwa kama wa Bandari ya Bagamoyo huku ukizingatia kwamba, hizi theory kwamba transfer inachukua miaka X to Y, reference kubwa ni kupitia miradi ambayo haifiki hata USD 5 Billion!

Lakini hata ukitumia common sense tu, USD 10 Billion ni zaidi ya Sh 20 Trillion! Ukisema kwa mwaka mradi unaingiza faida ya wastani wa Sh. 500 Billion, hiyo Trillion 20 inarudi baada ya miaka 40!! Hili la kodi nimelisema mara nyingi sana kwamba wherever you go, TAX ni mali ya serikali. Tofauti inayoweza kuwepo kwenye suala la kodi ni tofauti ile ile iliyoeleka! Kwa mfano, investor kuomba tax holiday, kuomba waiver kwenye import tax especially ya construction materials n,k but generally, kodi haitaenda kwa mwekezaji bali kwa serikali!

Kwangu mimi haya mambo ya kodi na mapato mengine ndiyo ya msingi zaidi kujadili kuliko suala la ardhi! Na lingine muhimu zaidi ni namna gani Investor atahahakisha ana-maintain ubora wa bandari to the point of transfer.
No Hurry in Africa sio?! Mwaka wa 4 huu unaishia halafu unaamini "negotiation tactic" huku Mkurugenzi wa TPA ameshasema "...tunataka xyz, wakitaka waje, na wasipotaka wasepe!" Yaani anaongea as if Africa mzima wenye bahari ni Tanzania peke yake!!

Btw, hizo tactics ni kama zile dhidi ya Acacia, au?! Pale tumeona hiyo "negotiation tactic" ambayo hapo kabla tuliambiwa tunadai matrilion kwa matrilion, lakini tunaishia kuahidiwa 700 Billion tena itakayolipwa kwa mafungu na masharti kibao... kama vile LAZIMA turuhusu makinikia isafirishwe ndipo walipe!!!
Sio suala la negotiation tactics tena bali ni suala la mikataba ya kimataifa sio?!
Sasa ni suala la kumlaumu mwekezaji hilo?! Na nyie sina wasomi wenu?! Waambieni tu na wao waende na hesabu (projections) zao mezani ili mradi tu wasitutie ile aibu ya kwamba kwa mwaka watakuwa wanaingia Trilioni 500!!!
Kwani kuna fixed tax ambayo kampuni inatakiwa kulipa au analipa kutokana na mwenendo wa biashara?! Kwani hata akiingiza sh. 1000, hujui kwamba hata Sh 1000 inaweza kukatwa kodi?!
Umerudia tena suala la miaka 99! Hivi kuna mkataba ambao hauzingatii mambo kama hayo?! Au ndo yale yale kwamba Wachina wanataka special treatment linapokuja suala 99 years land lease wakati ni jambo la kawaida sana hilo, tena kwa miradi isiyo na kichwa wala miguu!!

Hilo la kuzuia kuendeleza bandari zingine, nimewauliza hapa hizo bandari ni zipi, hakuna hata mmoja anayetaja... kuonesha mnafanya assumption!!!
Tunaenda mwaka wa 5 sasa, sema wewe ni mambo yapi ya msingi ambayo serikali imefanya?!

Btw, hivi kati yangu na wewe ni nani mwenye hoja za kitoto?! Wakati mimi nakuwekea facts, wewe maelezo yako A to Z yamejaa dhahania ikionesha wazi kwamba wala huna uelewa wowote wa mradi wenyewe!!!

All in all, siwezi kukushangaa! post yangu ya awali ina maneno yasiyofika hata 1000 lakini umelalamika kwamba eti ni ndefu... hivi unaweza kukaa na kusoma studies mbalimbali wewe ambazo nyingi zinaenda 100+ pages?!!

Again narudia tena ukunielewa kama utasoma vizuri key word kwenye paragraph unayoileta kuna neno hapo ‘kama (if) tunawapa’ that is a conditional clause and not conclusive na ndio maana nikaendelea kwa kuelezea what ought to be done in such a scenario.

Similarly niliposema muhimu kuelewa nitty gritty elements za finance zilizo ndani ya mkataba ni kutaka kujua ni miaka mingapi sahihi based on income projection for them to recoup their investment and make enough profit.

Mfano wa Dangote was not tied to the port alone but rather the overall land tenure sought after to place the ‘Special Economic Zone’ hawa watu wanahitaji hector 800 or so a majority of that ni kwa shughuli zingine and let’s not get confused that the entire $10 billion dollars will be invested on the port alone a majority of that will be on other land projects rather than the port.

8A6E5BA2-6BC3-4B72-BB5E-B9F588A376A9.jpeg


Each of those individual projects will generate income commercial zone watapangisha offices watu watalipa kodi, viwanda vitategeneza bidhaa kuuza na kupata faida, residential area nyumba zitauzwa au watakusanya kodi etc with each planned project; kwa ivyo hiyo ten billion might result to millions here and a billion there of investment with each constituent having its own income stream therefore their total returns in investment might not take that long after all.

Ndio maana watu wenye uelewa wanataka kuona finance details zao kwenye huo mkataba na kutaka kuona kama muda wanaoomba ni sahihi; uitaji investopedia kukwambia hilo wala WB on what is customary, we need facts and with knowledge you just assess yourself given the figures provided you know matters pertaining finance and decisions making.

Again kuhusu mikataba kama nilivyokueleza unajua what they are called lakini frameworks zake sidhani. Vinginevyo usingeuliza mambo ya fixed and variable payments kweye nature ya hii mikataba na uhusiano wake kwenye malipo, nini kinatokea usipofikia kiwango, heasabu za adjustment zinapigwaje, wametumia accounting standard zipi, how do you compensate fixed payment isipofikia unaongeza muda au serikari inafidia ndani ya huo mwaka etc.

Baada ya hapo sasa watu waamia kwenye control aspect za mradi kwa kutumia stabilization clauses ambazo zinakuja kukufunga na mkataba, ukikosea gharama zake sio ndogo jamaa watavuna mpaka utie akili na ukivunja mkataba wanakushitaki mahakama za kimataifa mlipokubaliana kushitakiana.

Halafu unakuta watu kama nyie ambao unaona serikari inavyofanya review wakati huna details zozote za mkataba na kulaumu hatua zao.
 
WHAAAAAT?! Acha masihara mzee! Yaani Bandari ya Mombasa haina msaada sana kwa Kenya?! Au unaamini kabisa kwamba Kenya kushusha bei ndo watakuwa wanaendesha biashara kwa loss?!

Anyway, kwenye Uchumi kuna kitu kinaitwa Multplier Effect! Wakati mwingine investment inaweza isitoe DIRECT Benefit lakini multiplication effect yake ikawa kubwa kweli kweli kuliko project inayotoa direct benefit.

Kwa mfano, tuchukulie hili hili suala la Bandari ya Bagamoyo!!

Bandari ile kama ingewezekana na ndoto zake zingekuwa, basi ingekuwa na ukubwa wa angalau mara 4 ya bandari ya Dar es salaam!

Sasa umeshawahi kujiuliza Watanzania wangapi hao wangepata direct employment? Hawa wote wangekuwa wanalipwa mshahara! Mshahara huu angeenda Kariakoo kununua nyanya... hapa angemwezesha mjuuza nyanya! Pesa aliyoipata muuza nyanya, anaipeleka kwa muuza nyanya kwa jumla! Muuza nyanya jumla anaipeleka pesa ile ile kutoka kwa mfanyakazi wa bandari kwa mkulima. Mkulima na yeye anaitumia pesa ile ile ya mfanyakazi wa Bandari "isiyo na faida" kwa muuza mbolea! Muuza mbolea nae anatumia pesa ile ile ambayo origin yake ni Morogoro kwa mwenye nyumba aliyempangisha duka... the multiplication effect goes on!

Na ingekuwa hivyo kwa kila senti ya mfanyakazi wa Bandari "isiyo na faida" kwa mujibu wenu! Sasa assume kuna wafanyakazi wa kudumu 1000 TU! Hiyo ndiyo multiplier effect, na hapo bado sijazungumzia Industrial Complex ambayo ingejengwa!

So, usiwaone wakenya ni stupid! Umeshawahi kujiuliza endapo hao Importers wangehamia Tanzania kenya ingepoteza shilingi ngapi za mafuta tu?! Za mafuta tu kwa sababu hayo malori ili yatembee yanahitaji kujazwa mafuta! Kujaza mafuta kwenye vituo ambavyo vina wafanyakazi! Wafanyakazi ambao pesa ya malori ya mafuta wanai-circulate kwenye sekta zingine za kiuchumi!!!

hiyo ndiyo sababu ya kwanza ya kwanini napinga ndege za Magufuli!!! Kwamba, multiplier effect yake ni ndogo mno kulinganisha na thamani ya uwekezaji mwenyewe!!!


Hakuna mtu ambae hataki hio banadari ijengwe, shida ni mkataba uliokuwepo: hio multiplication effect its every where ata ukilipwa mshahara the route goes the same: shida ni huo mkataba, na ukizingatia china ndo wanataka kufanikisha huo mradi, mpaka apo tayar tushakosa iman na huo mkataba: wanasifika sana kwa kutoa mikopo ambayo lazma ikuingiza matatizoni:

nmetoa mfano wa bandari ya mombasa na kenya airways kwa sababu hazina msaada wowote kenya: afterall kenya airways ilishanunuliwa na investors wa nje mda mrefu sana, hio bandari ishakua defaulted mda sasa, KAA wanamiliki i think 3% of the port, a stupid person atasema kodi, ukiangalia kodi na profit utapata majaibu nan anakula parefu:
 
Wakiamua kutumia hiyo bandari kwa kigezo ya ushirikiano wetu wa EAC bado tutakuwa on top of the game, ni kama bandari ya Mombasa itakuwa yetu.
Mimi nadhani karata yetu mhimu ni kwenye "Bandari Kavu". Tutapata tozo kwenye malori toka Mombasa, na kwenye "Bandari Kavu". Kwa hiyo hata wasipotumia Dar es Salaam tutakuwa tunaingiza pesa ya kutosha.

Hata hivyo,kwa wafanya biashara walioko kwenye mikoa ya Tanzania itakuwa rahisi kwao kupitishia mizigo yao Mombasa kuliko Dar es Salaam, na sidhani kwamba kunaweza kutungwa sheria ya kuwazuia wasifanye hivyo.

Kuhusu Bandari ya Lamu kuwa kituo cha meli kubwa, hili usilidharau. Hii ni fursa mpya iliyowadondokea Kenya ghafla bila ya kuitegemea. Hawakuwa na mpango huo toka zamani walipoanza mipango ya mradi huo. Hii ni fursa mpya kwao wakijua kuitumia vyema.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
Majasusi gani? Ndiyo hao walio mshauri kwamba Serikali ikanunue korosho kwa kutumia Jeshi? Kama ndiyo hao basi tuna shida kubwa na majasusi wetu.
 
Hao wanaoshangaa land lease ya miaka 99, wameshau ni Magufuli wakati anautangaza Dodoma kuwa jiji na kuivunja CDA aliagiza mamlaka mpya ya mji wa Dodoma ianze kutoa land lease ya miaka 99 badala ya 33 akasema kwa kufanya hivyo itavutia investors?.
Sasa kama kwa Dodoma inawezekana kutoa lease ya 99 years ni kipi cha ajabu kwa Bagamoyo?
 
Kuhusu kwamba inaonekana alikuta madudu mengi... hilo sipingi na ndio maana kwenye hoja yangu nikazungumzia JPM alitakiwa kujikita kwenye zile critical issues ambazo JK kutokana na kariba yake, zilimshinda! Na kwa bahati mbaya sana, JK akamteua PM (Mzee Pinda) anayefanana mno na yeye... hakuwa mkali!

Enzi zile lau kama JK angemteua JPM kuwa ndie Waziri Mkuu, tungepiga hatua kubwa sana kwa sababu top of the leadership, yaani Rais, ni Meneja Mzuri na anayemfuata, yaani Waziri Mkuu, ni Administrator mzuri!

Hoja yangu kuhusu kuivuruga private sector... man, asikuambie mtu, tight macroeconomic policies hazijawahi kufanya kazi vizuri! Utakusanya sana kodi na kuchochea macroeconomic sectors lakini zitadumaza ukuaji wa microeconomics sectors. Hii microeconomic sector ndiyo inayomfanya Mama Lishe aweze kumlipia mwanae ada kwenye shule ambayo karo yake ni sh. 500K... si kwamba atakuwa anaiba huyu, la hasha! isipokuwa ukuaji wa microeconomic sector kule juu unachochea mzunguko wa pesa huku chini na hatimae hata shughuli ndogo ndogo za kiuchumi kuwa na tija!!!

Kwenye uchumi hutakiwi kubana fursa... ingawaje wengine ukiwaambia dhana ya kutobana fursa wanadhani kuachia wizi. Wizi haujawahi na wala hautakuja kuwa fursa!

Kwa mfano, JPM alitangaza baadhi ya miradi ya ujenzi iwe inafanywa Wakala wa Ujenzi... fine, una-save pesa ya serikali! Lakini katika ku-save unadumaza ukuaji wa sekta ya ujenzi sekta binafsi!

Na tunaposema kutominya fursa, tuchukulie enzi za JK kwa mfano! Mtu ambae alikuwa na Certificate ya kitu chochote na yupo serikalini, kama alikuwa aggressive kujiendeleza, basi hadi JK anaondoka alimwacha akiwa na angalau shahada... kwa sababu, hata fursa za kujiendeleza kwa watumishi, aliziacha open, na wengi sana, hususani walimu, wale ambao walikuwa na certificate walijiendeleza na kupata hadi shahada, na wengine hadi master!

Sidhani kama siku hizi watumishi wana hiyo fursa, sana sana, hata wale ambao walikuwa wanachukua Special Diploma pale UDOM akawaona vilaza na kufutilia ile program na matokeo yake, hadi sasa hakuna mpango wowote unaoeleweka kwa ajili ya kutatua walimu wa sayansi kwa shule zetu!!

Na hapa nishawahi kusema mara nyingi... nchi za Scandinavia wana maisha mazuri kuliko Marekani lakini pamoja na yote hayo, watu kutoka sehemu mbalimbali wana-stuggle kuingia Marekani kuliko Scandinavia kuliko na maisha mazuri... WHY? Ni kwa sababu Marekani fursa zimeachwa zitamalaki, lakini sio kwamba watu wanafuata wizi Marekani!!!

Kuna watu wengi sana, na wengine tumesoma nao sisi wenyewe ambao unakuta Form VI walifanya vibaya na kuonekana "Vilaza" lakini walipofika US, wakasoma na kurudi Bongo wakaheshimika zaidi kwavile wamesoma Marekani na kuwaacha wale waliopata Div I Bongo na kusoma vyuo vya Bongo!

Hiyo yote ni matunda ya kuacha fursa zichukue mkondo badala ya kuziminya!!!
[/QUOTE]

Kuna vitu vya maana sana umesema. Microecononics policies, mana ntilie anaweza kuuza chakula, mmachinga kuuza nguo, viatu ni muhimu sana.

Wanamuuzia nani
Kuhusu kwamba inaonekana alikuta madudu mengi... hilo sipingi na ndio maana kwenye hoja yangu nikazungumzia JPM alitakiwa kujikita kwenye zile critical issues ambazo JK kutokana na kariba yake, zilimshinda! Na kwa bahati mbaya sana, JK akamteua PM (Mzee Pinda) anayefanana mno na yeye... hakuwa mkali!

Enzi zile lau kama JK angemteua JPM kuwa ndie Waziri Mkuu, tungepiga hatua kubwa sana kwa sababu top of the leadership, yaani Rais, ni Meneja Mzuri na anayemfuata, yaani Waziri Mkuu, ni Administrator mzuri!

Hoja yangu kuhusu kuivuruga private sector... man, asikuambie mtu, tight macroeconomic policies hazijawahi kufanya kazi vizuri! Utakusanya sana kodi na kuchochea macroeconomic sectors lakini zitadumaza ukuaji wa microeconomics sectors. Hii microeconomic sector ndiyo inayomfanya Mama Lishe aweze kumlipia mwanae ada kwenye shule ambayo karo yake ni sh. 500K... si kwamba atakuwa anaiba huyu, la hasha! isipokuwa ukuaji wa microeconomic sector kule juu unachochea mzunguko wa pesa huku chini na hatimae hata shughuli ndogo ndogo za kiuchumi kuwa na tija!!!

Kwenye uchumi hutakiwi kubana fursa... ingawaje wengine ukiwaambia dhana ya kutobana fursa wanadhani kuachia wizi. Wizi haujawahi na wala hautakuja kuwa fursa!

Kwa mfano, JPM alitangaza baadhi ya miradi ya ujenzi iwe inafanywa Wakala wa Ujenzi... fine, una-save pesa ya serikali! Lakini katika ku-save unadumaza ukuaji wa sekta ya ujenzi sekta binafsi!

Na tunaposema kutominya fursa, tuchukulie enzi za JK kwa mfano! Mtu ambae alikuwa na Certificate ya kitu chochote na yupo serikalini, kama alikuwa aggressive kujiendeleza, basi hadi JK anaondoka alimwacha akiwa na angalau shahada... kwa sababu, hata fursa za kujiendeleza kwa watumishi, aliziacha open, na wengi sana, hususani walimu, wale ambao walikuwa na certificate walijiendeleza na kupata hadi shahada, na wengine hadi master!

Sidhani kama siku hizi watumishi wana hiyo fursa, sana sana, hata wale ambao walikuwa wanachukua Special Diploma pale UDOM akawaona vilaza na kufutilia ile program na matokeo yake, hadi sasa hakuna mpango wowote unaoeleweka kwa ajili ya kutatua walimu wa sayansi kwa shule zetu!!

Na hapa nishawahi kusema mara nyingi... nchi za Scandinavia wana maisha mazuri kuliko Marekani lakini pamoja na yote hayo, watu kutoka sehemu mbalimbali wana-stuggle kuingia Marekani kuliko Scandinavia kuliko na maisha mazuri... WHY? Ni kwa sababu Marekani fursa zimeachwa zitamalaki, lakini sio kwamba watu wanafuata wizi Marekani!!!

Kuna watu wengi sana, na wengine tumesoma nao sisi wenyewe ambao unakuta Form VI walifanya vibaya na kuonekana "Vilaza" lakini walipofika US, wakasoma na kurudi Bongo wakaheshimika zaidi kwavile wamesoma Marekani na kuwaacha wale waliopata Div I Bongo na kusoma vyuo vya Bongo!

Hiyo yote ni matunda ya kuacha fursa zichukue mkondo badala ya kuziminya!!!

Macro na Micro economics policies are twins.

Inflation if not controlled can have tremendous impact on ordinary people income.

Fiscal policies, (taxes and spending are crucial), where and how you spend it is very important.

Unatumiaje tax laws, regime kuchochea biashara, uwekezaji, kuwasaidia wafanyabiashara wadogo wadogo, kuwasaidia vijana kuanzisha biashara.

Economics principles la⁶zima zingatiwe. Uchumi wa JK ulijengwa on shakey foundation.

We need solid foundation, misingi imara, Wafanyabiashara wadogo wasikatwe kodi kubwa, infact wasitozwe kodi yoyote.

Wafanyabiashara wa kati na wakubwa wasitozwe kodi kubwa sana. TRA ijipange, kupunguza ushuru kwa vitu vinavyotoka nje, tusiweke kodi za ajabu ajabu. Biashara zitashamiri ukijenga mazingira sahihi, serikali itapata kodi kubwa zaidi.

Tanzania bado inahitaji magari mengi kukuba uchumi, kusaidia familia. Sasa gari unanunua £ 2000 kulisafirisha na kulitoa ni £4000/5000. Usafiri sio anasa, it is necessity, ni kama simu.

Hizi kodi tuziangalie upya.

Kuhusu Walimu, Elimu, nina mengi sana ya kusema, niishie hapa kwa sasa.
 
Mkuu wa nchi hapendi kushinda, anapenda atangazwe ameshinda pasipo kushindana.
Siasa zake hazijakomaa kabisa, ni mtu hatari kwa wanaishindana naye. Tumeona juhudi zake kubwa kujaribu chaguzi kila mahali.....tunamwachia Mungu pale atakapotuna na kutuhurumia sisi tusiopendezwa na ubabe na utesaji huu. Tunangoja Ni lini atatuondolea ADHA hii tuliopata 2015
 
Moja ya mambo ambayo nimeandika hadi vidole vimegoma kuandika ni suala la bandari!!! Na eneo ambalo Magufuli nimeamini ni muongo wa kupindukia ni suala la Bandari ya Bagamoyo!!

Eti serikali haitapata chochote na mazuzu wanamshangilia!!!

Eti hata kodi hatutakusanya wakati duniani kote inafahamika kodi ni mali ya serikali!!!

Na kama alivyosema Zitto, hoja ya ardhi ni hoja ya kijinga!! Sheria ya ardhi inatamka wazi kwamba hati miliki inaweza kutolewa kwa miaka 33, au miaka 66 au 99!!!

Sasa mradi mkubwa kama wa bandari na economic zone hau-qualify hatimiliki ya miaka 99, ni mradi gani tena unaoweza ku-qualify?! Kama mradi mkubwa kama Bandari ya Bagamoyo stahili yake ni miaka 33, ni miradi ya aina gani tena itakayokuwa na sifa ya kuwa na hati miliki ya angalau miaka 66?!!

Ukweli ni kwamba, Magufuli anapenda sifa... angependa sana aonekane yeye ndie mwanzilishi wa ule mradi! Na hicho ndicho kinachomfanya akimbilie miradi mingi mikubwa ili apate hiyo status kwamba kama isingekuwa Magu, basi xyz usingekuwepo kama ambavyo amekuwa akitamba kwamba kama sisi yeye, ATCL isingekuwa na ndege!!!
Vema Sana, ndio maana kila kukicha anajidai yeye ndio muwezeshaji mkubwa. Anajiona bila yeye tusingekuwa na hili na lile. Kwangu Mimi hata akitoka leo sina la kujivunia na uongozi wake.
 
Back
Top Bottom