Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Ukifikiri kwa undani kuhusu andiko lako lote utagundua kwamba unaliua kwa mistari hii miwili uliyoweka hapa.
"...mkataba wa ovyo..." hili hatulijui.
Kabisa with that in mind ndio maana kwenye hitimisho nikauliza mkataba wa ovyo ndio upi na kwa definition zipi maana watu walioona hiyo MoU ni handful huko serikarini.

Kama umesoma pia hiyo article niliyo quote utaona mwandishi kaweka gharama kubwa zinazowakimbiza wabeba mafuta Kenya na kuja Dar.

The missing information je Kenya hilo bomba wameli-finance vipi kuna mkopo ambao kulipia matokeo yake hizo tozo ni minimum charge hili wamudu majukumu yake au kuna nini nyuma ya hiyo bei kinachowachelewesha kushusha mpaka wanapoteza wateja.

Similarly maswali ya kujiuliza mchina anataka port kwa miaka kadhaa for what reasons huo ndio muda kwa estimatation za economic/ finance model yao hela yao itarudi na faida watakuwa wamepata au kuna sababu zingine za kutaka long term lease ya ardhi?

Na ndio sababu kwenye kumaliza nikapendekeza busara ni Zitto kutaka kuona some aspects za huo mkataba. Kwa sasa wanaojua ni wachache ivyo vyema hayo mambo yakajadiliwa na wengi kwa maslahi mapana ya taifa kuliko watu wachache kujifungia na huo mkataba na kuamua kwa niaba ya watanzania.

Ukizingatia ni watu hawa hawa ndio waliofanya Volkswagen wapeleke assembly plant Rwanda waliyopanga waijenge Tanzania; I would not trust those people with any important business decisions.
 
Kwa bahati mbaya sana na wewe umetekwa akili na propaganda za waKenya kuhusu JKIA kuwa gateway. Kwa nini sifa hiyo isiiendee Bole Airport ya Ethiopia?
Hilo ni swali.
Lakini epuka kulishwa na kumeza kila kitu unachosikia kutoka kwa hao jamaa. Sifa yao kubwa ni majigambo na kujipa sifa wasizostahili kuwa nazo.
Man, kuna mambo mengine wala hayahitaji kutumia nguvu... mosi, traditionally Ethiopia haipo Afrika Mashariki hata kama hivi sasa tuna-force kuiita ipo Afrika Mashariki kama zilivyo South Sudan na Somalia!!

Pili, yaani unaamini kabisa kwamba wageni wengi wanaoingia Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi wanapitia Bole na sio Jomo Kenyatta?!
 
Inaonekana kama ni taarifa nzuri sana kwetu, kumbe ni kipozeo tu!

Haya malori tunayotumia yatashindana na bomba la mafuta walilojenga Kenya? Watakaposawazisha tu matatizo ya hilo bomba, biashara ya mafuta itahamia huko.

There alot of factors for people to choose a destination: unaweza kua na kila kitu bado watu wasikuchague, mfano: unaweza kua heavily invested lakini kukawa na corruption inasumbua apo kati, ama vita hio itself tayar ushaharibu bussiness:

alafu, since Magufuli aingie madarakan, people prefer dar over mombasa: though Mombasa ni port kubwa, so inakuja kwenye point yangu ya kwanza unawezakua na heavy investment na bado ukaloose(though inasaidia), its the same as facebook vs instagram: facebook is heavily developed it has everything but people just prefer instagram:


same as to human, unaweza ukainvest heavily kwa dem na bado akatoka na mtu hana kazi:
 
Ukifikiri kwa undani kuhusu andiko lako lote utagundua kwamba unaliua kwa mistari hii miwili uliyoweka hapa.
"...mkataba wa ovyo..." hili hatulijui.

soma article yake yote ameelezea vizuri as an educated man: tatizo sio kua na port kubwa east afrika nzima, tatizo ni watu wapate mizigo yao as their wish: instead of hio port kubwa bagamoyo, alternative unaweza panua tanga port na lindi port, apo unakua umeua ndege wote kwa jiwe moja:


ina maana yule mtu anatokea malawi / Zambia: si ataenda kupanga folen on the nearest port, ukijulimsha na watu wanaokaa north Tanzania: as long the service ni nzuri , distance will be much little & cost effective(ina maana mtu amesave pesa anaweza kutumia kwenye huduma ingine) than wote kupanga foleni bagamoyo just for the name biggest port in east and central Afrika:

unajua tatizo linalosumbua pia izi nchi zetu ni yale maswali ya, how is the country growing and mifuko yangu bado empty: critical thinking kama hizi zitasaidia huo uchumi wa mifuko unaotakiwa than propaganda kwamba nchi inakua at 7.2% while at the same time people are still poor, whats the advantage of that 7.2% while u dont have money served for yourself:

Hio kenya yenyewe usiombe ufike uko: i have been there multiple times and nashukuru Mungu nakaa Tz: Kwa kua kote na huo uchumi mkubwa lakini maisha ya wakenya ni magumu sana kiasi kwamba mwanzoni wa mwaka huu turkana watu walikua wanakufa kwa njaa, leave alone that: everything there is expensive from transport mpaka food: inafika time inabidi wanunue tu chakula kutoka tz maana hakuna namna: and its the same nation ambayo uchumi wao unaitwa the Biggest economy in east afrika:

so who is winning and who is loosing apa? mwenye uchumi mkubwa na watu wanakufa njaa ama wenye uchumi wa kawaida na wananchi hawafi njaa:THINK
 
Zitto mtakwaamini siku nchi ikishitakiwa maaana wewe na Lisu mlisemaga tutashitakiwa na akina Bariki Leo hii Magufuli na Prof. Kabudi wametuvusha kibabe

Hilo tango pori la bandari hatutalila maana tushaa kujua
 
Similarly maswali ya kujiuliza mchina anataka port kwa miaka kadhaa for what reasons huo ndio muda kwa estimatation za economic/ finance model yao hela yao itarudi na faida watakuwa wamepata au kuna sababu zingine za kutaka long term lease ya ardhi?
Sababu ya msingi ndo hiyo hiyo uliyoitaja mwanzo!

Na hapa tukumbushane jambo... ile USD 10 Billion ni gharama za mradi, lakini a moment mradi ukishaanza kufanya kazi, pia kutakuwa na operation costs, ambazo na zenyewe zimekuwa considered!

So, hiyo miaka 40 (according to original claim), ya ku-recover gharama za mradi na kupata faida! Na kwavile kutakuwa na suala la faida, ina maana operational costs kwa kipindi cha mradi na zenyewe zipo accounted!

All in all, kwa kawaida kama itatumika BOT, more often than not, Investor huwa anakaa na mradi kwa muda usiopungua miaka 30. Sasa hapa pa "why 40 na isiwe 20 au 30" ndio sehemu hasa ambayo watu walitakiwa kukaa chini na kukuna kichwa kuliko suala la ardhi ambalo hata tukiwapa miaka 33, baadae tutawaongezea tu kwa sababu sheria inaruhusu kufanya hivyo!!

Kinyume chake, hapa kwenye Transfer Period, hata kama una-save Miaka 5... huo ni mshindi mkubwa sana!
 
Hayo yako baki nayo wewe mwenyewe endelea kukariri huko kwako, lakini wengine sie tunaangalia Bagamoyo hatutaki kufanya kazi kwa hizo history zako, umekula pesa za kenya umeshiba mpaka huna hata Aibu

Tunazidi kuwaonya WATANZANIA kuwa sasa tuna MAKUWADI WA MABEBERU ambao hapo mwanzo tuliwaona kama wakombozi wetu na wa rasilimali zetu,

Naipongeza serikali kwa kuzuia mkataba huo wa kinyonyaji na kuweka mbele maslahi ya taifa na vizazi vijavyo.

Na ninatumaini bado mradi upo pale pale na milango ipo wazi kwa wawekezaji watakaokuja na vigezo vyenye maslahi ya taifa na kuongeza pato na sio MASHARTI YA KIBWANYENYE ....ETI KUSIFANYIKE UKARABATI AMA MWENDELEZO WA BANDARI YEYOTE KWA ZAIDI YA MIAKA 15 .....

HALAFU WATU WACHEKELEE TU

VIVA MAGUFULI
VIVA WANASHERIA WETU
VIVA IDARA ZA SERIKALI ZILIZOONA HILI
 
There alot of factors for people to choose a destination: unaweza kua na kila kitu bado watu wasikuchague, mfano: unaweza kua heavily invested lakini kukawa na corruption inasumbua apo kati, ama vita hio itself tayar ushaharibu bussiness:

alafu, since Magufuli aingie madarakan, people prefer dar over mombasa: though Mombasa ni port kubwa, so inakuja kwenye point yangu ya kwanza unawezakua na heavy investment na bado ukaloose(though inasaidia), its the same as facebook vs instagram: facebook is heavily developed it has everything but people just prefer instagram:


same as to human, unaweza ukainvest heavily kwa dem na bado akatoka na mtu hana kazi:
Man, kwamba tangia Magu aingie madarakani, importers/exporters prefer Dar es salaam Port over Mombasa takwimu zake umezitoa wapi?!

Kwa mfano, current marine traffic kama zinavyotolewa na marinetraffic.com, Dar es salaam na Mombasa, traffic zao ni hizi hapa chini:-
Ports.png


Sasa kwa gap kubwa namna hiyo, unaamini kabisa kwamba at one point in time, Dar es salaam inakuwa inatumiwa zaidi kuliko Mombasa?!
 
Na ninatumaini bado mradi upo pale pale na milango ipo wazi kwa wawekezaji watakaokuja na vigezo vyenye maslahi ya taifa na kuongeza pato na sio MASHARTI YA KIBWANYENYE ....ETI KUSIFANYIKE UKARABATI AMA MWENDELEZO WA BANDARI YEYOTE KWA ZAIDI YA MIAKA 15 .....
Unaweza kuzitaja hizo bandari ambazo Mchina amesema zisikaranatiwe kwa zaidi ya miaka 15?!
 
There alot of factors for people to choose a destination: unaweza kua na kila kitu bado watu wasikuchague, mfano: unaweza kua heavily invested lakini kukawa na corruption inasumbua apo kati, ama vita hio itself tayar ushaharibu bussiness:

alafu, since Magufuli aingie madarakan, people prefer dar over mombasa: though Mombasa ni port kubwa, so inakuja kwenye point yangu ya kwanza unawezakua na heavy investment na bado ukaloose(though inasaidia), its the same as facebook vs instagram: facebook is heavily developed it has everything but people just prefer instagram:


same as to human, unaweza ukainvest heavily kwa dem na bado akatoka na mtu hana kazi:
Hili mbona rahisi tu. Mfanya biashara yeyote anatafuta palipo na nafuu ili biashara yake inoge..
Kama bandari yako kuna wezi wa mizigo, ucheleweshaji usiokuwa na maana, yote haya yanatia hasara kwa nini uhangaike nayo. Utatafuta penye nafu baada ya kupiga hesabu ndefu. Rwanda wapo karibu na Dar, lakini walipoona mizengwe mingi biashara yao wakahamishia Mombasa pamoja na kwamba ni mbali na kuna kupitia nchi nyingine ya katikati. Hivyo hivyo na Burundi.
Baada ya Bandari ya Dar kunyooshwa vya kutosha, wengi wao wamerudi Dar.
Mombasa watakapoweza kutumia barabara ya Voi-Taveta kupitia Holili mpakani na kuingia Tanzania, na kama watakuwa wamepunguza mizengwe yao sawa na Dar, hutamwona mfanya biashara wa Burundi au Rwanda akipeleka mizigo yake Dar, kwa sababu patakuwa ni mbali.

Huo mfano wa ku'invest heavily kwa demu, hauna maana kabisa kwa mfanya biashara ambaye kwake demu na moja ni faida ya biashara yake.
 
Sababu ya msingi ndo hiyo hiyo uliyoitaja mwanzo!

Na hapa tukumbushane jambo... ile USD 10 Billion ni gharama za mradi, lakini a moment mradi ukishaanza kufanya kazi, pia kutakuwa na operation costs, ambazo na zenyewe zimekuwa considered!

So, hiyo miaka 40 (according to original claim), ya ku-recover gharama za mradi na kupata faida! Na kwavile kutakuwa na suala la faida, ina maana operational costs kwa kipindi cha mradi na zenyewe zipo accounted!

All in all, kwa kawaida kama itatumika BOT, more often than not, Investor huwa anakaa na mradi kwa muda usiopungua miaka 30. Sasa hapa pa "why 40 na isiwe 20 au 30" ndio sehemu hasa ambayo watu walitakiwa kukaa chini na kukuna kichwa kuliko suala la ardhi ambalo hata tukiwapa miaka 33, baadae tutawaongezea tu kwa sababu sheria inaruhusu kufanya hivyo!!

Kinyume chake, hapa kwenye Transfer Period, hata kama una-save Miaka 5... huo ni mshindi mkubwa sana!
Well it looks all rosy in theory but in practice kwenye mkataba wowote the devil is in the details.

Bila ya kujua nitty gritty elements especially in relation to the commercial aspects its hard to say how many years are fair, depending on income generated that said 15 years could be fair or 99 years but it all depends on the revenue generated.

Uhalisia ni kwamba nchi yetu na majirani wote ambao targets wa kutumia bandari ni maskini kwa sasa and are likely to grow over the years at what pace no ones knows?

Sasa uwezi kuweka stagnant income projections kwenye bandari tu lazima tujue limitations zao kama tunawapa bandari kwa miaka 99 muhimu pia kuwa na viwango vya wao kukusanya as return and profit in the same accounting year na ikizidi ni hela ya serikari; similar wasipofikia icho kiwango how they will be compensated in the future.

Hayo maswala ni muhimu maana huko mbele hizi nchi zinavyokuwa we expect imports and exports also to increase, na isitoshe serikari itakuwa inawekeza kwenye miundombinu ambayo kwa sasa pia wanafanya na wao watavuna wateja kupitia hiyo miradi how are they going to contribute in the future na faida yao not their return of investment money.

Bado ujaongelea biashara za ardhini zitajikita na nini, why should they be treated differently to someone say like Dangote who has invested heavily somewhere else?

Ni hivi hili swala ni complicated na lina hitaji kuliangalia kwa nadharia za kiuchumi na biashara, finance, siasa, marketing and contract law.

Kusema tu sijui miaka 33 or 99 ni fair ivyo serikari inakosea kwa kusuasua in my opinion it’s just childish bila ya kuelewa elements zilizopo kwenye huo mkataba especially income projections zao walizotumia na economic model.

Ndio maana naona busara kwanza ni kulazimisha serikari iweke wazi aspects za hiyo mikataba na viongozi wana kila sababu ya kuona hilo linafanyika kwanza.

If anything the ACCACIA saga should be a public lesson kwamba serikarini tumejaza vimeo which handled the whole thing badly from the beginning and it ended with unfair contact terms; mtu awezi chimba for more than 25 years mpaka leo tuwe tunagawana nae 50/50 na bado asset alizoleta sio mali ya serikari wakati amekuwa akitukata hizo hela na gharama za finance cost anatupa sisi juu.

Hizo ndio akili gani si tungekopa tukachimba wenyewe hizo dhahabu sasa yeye alikuwa na shughuli gani kama mtaji wenyewe kumbe kakopa bank na interest tunakwata sisi, asset alizoleta pia amekuwa anatukata halafu bado mali yake.

Ndio kama huu mkataba ni mzuri kwenye picha hila terms zenyewe zikoje? Bila ya kujua hilo it doesn’t make sense to firmly be an advocate for or against; for the most part the argument won’t be justifiable inakuwa ni kujisemea tu kama post ya Zitto there is no meaningful logic behind.
 
Sasa uwezi kuweka stagnant income projections kwenye bandari tu lazima tujue limitations zao kama tunawapa bandari kwa miaka 99 muhimu pia kuwa na viwango vya wao kukusanya as return and profit in the same accounting year na ikizidi ni hela ya serikari; similar wasipofikia icho kiwango how they will be compensated in the future.
Hii ni nzuri, na sidhani kuna mwekezaji au serikali inayokataa 'arrangement' kama hiyo. Bila shaka kuna mambo mengi mengine mazito zaidi ya hili moja.

Djibouti wao kwa mfano hawana tatizo lolote la kuwakaribisha Marekani kuweka jeshi lao pale, na wakati huo huo kwa upande wa pili Mchina naye anachukua sehemu yake. Yeye Djibouti kwake biashara ni kila kitu; kwetu kitu kama hicho hakiwezekani.
 
At the moment we havent taken that crown from maombasa yet: Mombasa is still a big port, but slowly people are prefering Dar over kenya , you can check this news from kenya themselves:
Man, kama ulivyosema hapo juu kwamba kuna factors nyingi zinazofanya watu wachague destination... lakini tukiamua kuzi-group hizo factors, tunaweza kusema kuna Temporary na Permanent Factors!!

Hizo factors zilizotajwa na The Citizen ni temporary... ni jambo la kawaida kwenye issues za Consumers Behavior... yaani ku-respond to price change! Hii factor kwenye bandari wala sio jambo la kutegemea unless Bandari ya Dar ina-maintain efficiency factor!

Na kwavile efficiency kwenye utendaji wa bandari unasaidia sana kupunguza muda unaotumika kupakia na kupakua, suala la muda ni muhimu kweli kweli kwa mfanyabiashara mkubwa!!

Ukisoma hiyo habari, unakuta gharama za kutumia Bandari ya Mombasa ni $( 60+35), wakati Dar es salaam ni $80, kwahiyo difference $15!

Dar es salaam pamoja na kuonekana ni cheap, usipokuwa na efficiency, utakuta cost inapanda kutoka $80 + gharama za kusubiria, kiasi kwamba ukakuta inazidi ile 60+35 ya Mombasa, na hivyo Importers kugundua wameruka jivu na kukanyaga moto!!

Lakini sio hivyo tu, Wakenya wakiona kwamba kumbe tatizo ndo linaanzia hapo kwenye $15, kwao wala haiwezi kuwa taabu kufanya adjustment popote pale ili kuwa-retain wateja wake!!!
 
Hili mbona rahisi tu. Mfanya biashara yeyote anatafuta palipo na nafuu ili biashara yake inoge..
Kama bandari yako kuna wezi wa mizigo, ucheleweshaji usiokuwa na maana, yote haya yanatia hasara kwa nini uhangaike nayo. Utatafuta penye nafu baada ya kupiga hesabu ndefu. Rwanda wapo karibu na Dar, lakini walipoona mizengwe mingi biashara yao wakahamishia Mombasa pamoja na kwamba ni mbali na kuna kupitia nchi nyingine ya katikati. Hivyo hivyo na Burundi.
Baada ya Bandari ya Dar kunyooshwa vya kutosha, wengi wao wamerudi Dar.
Mombasa watakapoweza kutumia barabara ya Voi-Taveta kupitia Holili mpakani na kuingia Tanzania, na kama watakuwa wamepunguza mizengwe yao sawa na Dar, hutamwona mfanya biashara wa Burundi au Rwanda akipeleka mizigo yake Dar, kwa sababu patakuwa ni mbali.

Huo mfano wa ku'invest heavily kwa demu, hauna maana kabisa kwa mfanya biashara ambaye kwake demu na moja ni faida ya biashara yake.

Yote uliosema ni kweli, na yanawezekana: mm nimeongelea upande wa wafanya biashara kuchagua location, na nmetoa factors zingine chache: lakini we kama mtu educated unatakiwa uchambue zote, mfano, $10B unairudishaje? lazma kuna kulipa watu mishahara, kuna operation cost: kuna vitu kuharibika: kabla hujachukua go ahead lazma ufikirie kwanza vizuri both sides: sisi apa tuna advantage ya distance, kinachoturudisha nyuma ni izi shida za apa na pale bandarini lakini we are still good:

mombasa port ilishakua defaulted kitambo, it doesnt belong to kenyans anymore: likewise KQ ndo kabisa serikali haina maamuzi nayo: sasa kabla hatujafika uku kisa propaganda za biggest port in east and central Afrika lazima uangalie sehem nyingi zaidi:

China wanayo slogan flan ivi ya depts: ambayo baadhi ya nchi tayar zimeshaangukia kwao: moja wapo ni kenya: kenya is just there but kiukweli akuna nchi tena pale, madhara ya kutoangalia pande mbili kabla ya uwekezaji: angalia SGR yao ilivokua na matatizo, slogan ni hii hii, connecting the ocean to countries ambazo haziface bahari: yaliowakuta ndo haya matatizo yote, leo hii SGR inasafiri kutoka mombasa kwenda inside cities ikawa haina abiria ata mmoja: uchumi umecollapse kila sku mada zao wanalia deni la taifa tayar limefika 80% of the GDP: sasa tusifike uku kisa propaganda za kua na bandari kubwa, we can still fix issues za apa na pale na kazi zikaendelea kama kawaida:


at the same time we can still fix other ports zikaongeza ufanisi: ata jakaya mwenyewe alisita kuweka saini kwenye huu mkataba
 
Man, kama ulivyosema hapo juu kwamba kuna factors nyingi zinazofanya watu wachague destination... lakini tukiamua kuzi-group hizo factors, tunaweza kusema kuna Temporary na Permanent Factors!!

Hizo factors zilizotajwa na The Citizen ni temporary... ni jambo la kawaida kwenye issues za Consumers Behavior... yaani ku-respond to price change! Hii factor kwenye bandari wala sio jambo la kutegemea unless Bandari ya Dar ina-maintain efficiency factor!

Na kwavile efficiency kwenye utendaji wa bandari unasaidia sana kupunguza muda unaotumika kupakia na kupakua, suala la muda ni muhimu kweli kweli kwa mfanyabiashara mkubwa!!

Ukisoma hiyo habari, unakuta gharama za kutumia Bandari ya Mombasa ni $( 60+35), wakati Dar es salaam ni $80, kwahiyo difference $15!

Dar es salaam pamoja na kuonekana ni cheap, usipokuwa na efficiency, utakuta cost inapanda kutoka $80 + gharama za kusubiria, kiasi kwamba ukakuta inazidi ile 60+35 ya Mombasa, na hivyo Importers kugundua wameruka jivu na kukanyaga moto!!

Lakini sio hivyo tu, Wakenya wakiona kwamba kumbe tatizo ndo linaanzia hapo kwenye $15, kwao wala haiwezi kuwa taabu kufanya adjustment popote pale ili kuwa-retain wateja wake!!!

its not easy as just talking that way: having that price tag inamaanisha kwamba its reasonable to run that port: This one is impossible: mfano, price tag yao ni $80 sisi ni $60: kwa kua price tag ndo factor washushe iwe $55, na sisi tujibu kwakua price tag ndo tatizo tushushe $40 na wao wajibu, mwishowe akuna bussiness meaniful unafanya, you can still maintain that high tag, as i said kuna factors tu chache za kukamilisha lakini we are still good: iphone inauzwa $1000 android znauzwa mpaka $150, does it mean iphone washushe bei?
 
Kilatha,
adding on top of that: sidhan kama China wana nia nzuri ya kusaidia Afrika: its just some months back wamechukua kituo cha TV (National TV) cha Malawi kama sio Zambia kwa kushindwa kurudisha mkopo: sidhan kama its appropriate kuanza huu ujenzi kabla hatujajua in and out zote

China at the moment wanataka kuwa a dominant super power: Kwahiyo lazma waanze kutawala ardhi yenye resources na chocho zote.
 
adding on top of that: sidhan kama china wana nia nzuri ya kusaidia Afrika: its just some months back wamechukua kituo cha tv(National TV) cha malawi kama sio zambia kwa kushindwa kurudisha mkopo: sidhan kama its appropriate kuanza huu ujenzi kbla hatujajua in and out zote

china at the moment wanataka kua a dominant super power: so lazma waanze kutawala ardhi yenye resources na chocho zote
Hilo ndio la msingi at least watanzania wapewe uelewa kwanza it’s good kwa mwekezaji pia in terms public relation kuonekana ni mtu mwenye faida kwenye jamii kila kitu kinapokuwa wazi. Sijui kwanini hawa watu wa Serikari kila kitu kwao ni siri tu.
 
Hilo ndio la msingi at least watanzania wapewe uelewa sijui kwanini hawa watu wa serikari kila kwao ni siri tu.

ni tuwe makini tu na mikataba kwa kweli: hatukujua mengi kipindi cha Kikwete mpaka Rais Magufuli amekuja ndiyo tunaelewa kumbe madini yalikua yanaenda hivi na hivi.
 
Back
Top Bottom