Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

ni tue makini tu na mikataba kwa kweli: hatukujua mengi kipindi cha kikwete mpaka magu amekuja ndo tunaelewa kumbe madini yalikua yanaenda hivi na hivi:
Rais Magufuli sio tatizo (ukiacha issue za demokrasia anavyozinyamazia) otherwise his intentions are good kwenye kuisogeza Tanzania tatizo ni watalamu wake na mbinu zao ndio zinamkwamisha kwenye agenda zake za kiuchumi na kurekebisha mambo.
 
its not easy as just talking that way: having that price tag inamaanisha kwamba its reasonable to run that port: This one is impossible: mfano, price tag yao ni $80 sisi ni $60: kwa kua price tag ndo factor washushe iwe $55, na sisi tujibu kwakua price tag ndo tatizo tushushe $40 na wao wajibu, mwishowe akuna bussiness meaniful unafanya, you can still maintain that high tag, as i said kuna factors tu chache za kukamilisha lakini we are still good: iphone inauzwa $1000 android znauzwa mpaka $150, does it mean iphone washushe bei?
Hapo nimezungumzia mambo mawili... kushusha bei na kuboresha huduma!!

Aidha, nimesema response to price change, ni jambo la kawaida lakini kitakacho-retain wateja is more than price! Na ndio maana nikakuambia katika ku-respond to price change, mlaji anaweza kwenda kule anakoona in terms of price tag, kuna bei nafuu zaidi kabla baada hajagundua kwamba ameruka majivu na kukanyaga moto!

Hata pale Bandari ya Dar es salaam baada ya ku-impose VAT kwenye goods in transit, Importers walikimbia na kwenda bandari zingine hususani Beira! Hata hivyo baadae wakaanza kurudi mmoja baada ya mwingine kwa sababu kwa mfanya biashara kuna mambo mengi zaidi ya kuangalia kuliko hiyo bei!

Na hili la bei, Tanzania Invest wanasema:-
It was announced through the 2015 East Africa Logistics Performance Survey, which indicates that charges for handling a 40-foot container either for import or export purposes at Dar port remain as the lowest ones compared with the port of Mombasa in Kenya. Charges for handling a 40-foot import container at Dar es Salaam port rose from USD 90 in 2014 to USD 135 in 2015 while at Mombasa port they rose from USD 105 to USD 160 in the same period.
Kuna difference ya USD 25 hapo, je Watumiaji wangapi Mombasa walihamia Dar es salaam permanently au angalau regularly?

Isitoshe, kila mmoja anafahamu kwamba always additional cost burden inaenda kwa mtumiaji wa mwisho!! Wafanyabiashara katika kuitikisa serikali, unaweza kukuta kweli wanaanza kwenda Dar kwa matarajio kwamba serikali itashusha gharama!

Wakiona serikali imekaza, watakachofanya ni kumbebesha mlaji hiyo $15, na kuendelea kama ilivyokuwa zamani unless factors za msingi kabisa zinazowafanya importers/exporters watumie Mombasa, zinakuwa attained na Bandari ya Dar es salaam na hiyo factor haiwezi kuwa $15 difference!

Lakini hata tukija kwenye suala la kushusha bei, nalo sio jambo la ajabu kwenye biashara na ndio maana hata kwenye hiyo habari imesema mamlaka husika zinafanya review! Na kama watashusha, halafu Dar nao wakashusha, na mchezo ukaendelea hivyo, bado sio jambo la ajabu na ndio maana kuna kitu kinaitwa price war!
 
Ndicho wanachotaka raia waamini au wanataka waamini kwamba Serikali ya Magufuli inapiga kazi kweli kweli kiasi kwamba miradi mikubwa inatumia pesa za ndani!

Sijawahi kumsikia Magufuli akiwa majukwaani kuzungumzia kukua kwa deni la taifa lakini ni kawaida sana kumuona akitamba kama sio yeye, hiki na kile kisingekuwepo na vyote hivyo anavifanya kwa pesa za ndani!!!!!

Mr Chige, wewe ungependa nani awe Rais, ambaye angeweza kuisaidia Tanzania, Watanzania chap chap?
 
Kalamu1,
Mkubwa maono yako ni sahihi, lakini msingi wake ni kuwa tukiendelea kulala tutapigwa bao. Lakini tukiamka na kuchangamka tunaweza kushindana na tukawa na nguvu kubwa ya ushindani. Kimahesabau bado tuko kwenye biashara ya ushindani, kwa hiyo ni kama ulivyosema atakayeweza kutoa huduma bora na bei nafuu na za haraka ndiye atakayenufaika, tutake tusitake ni lazima tubadilike.

Hata hivyo hii haina maana tukurupuke na kuingia kwenye mikataba ya kihuni kama walivyofanya Kenya. Inawezekana uchumi wao unaweza kuafford kulipa 40% extra, lakini kwa sisi hatuna pesa ya namna hiyo, na juu yake kuna mashari ya ajabu ambayo ni sawa na ukoloni. Ukiangalia hoja ya Zitto kimsingi inaonekana kama hayuko informed. Hajui hata masharti ya bandari ya Bangamoyo yalikuwaje. Wachina wenyewe walikiri kuwa ni ya kijinga, ilikuwa ni kama kutest zari kuona kama watanzania tutakuwa wajinga, tuingie mkenge tukubali halafu wachekelee. Sawa na Wakenya walivyoingia mkenge kwenye reli yao ya SGR.

Ni kweli bandari ya Mombasa ni changamoto kwa Tanzania, na mazingira ya soko huria yanatakiwa kuheshimiwa, lakini hii haina maana kuwa tuendeshe mambo kiholela. Ni lazima serikali yetu ifurukute na kuwe na urahisi na gharama nafuu kwa watu kutumia bandari ya Tanga ili kuvutia wateja.

Kwa hiyo tunatakiwa kuwa na bandari kavu karibu na Rwanda m Burindi, Uganda na DRC, na tuhakikishe uendeshaji wa reli tunazojenga sasa uwe wa kisasa. Tukibadilika kidogo tu, bado kijiografia tunawaacha wakenya, hata wakiwa na bandari ya Lamu na Mombasa. Zitto is a little bit myopic in this.
 
Saa kadhaa tu zilizopita nilipokuambia wakiona kikwazo ni bei, Wakenya hawaoni taabu kushusha bei ili ku-retain wateja, na ukaniambia IMPOSSIBLE!!
its not easy as just talking that way: having that price tag inamaanisha kwamba its reasonable to run that port: This one is impossible: mfano, price tag yao ni $80 sisi ni $60: kwa kua price tag ndo factor washushe iwe $55, na sisi tujibu kwakua price tag ndo tatizo tushushe $40 na wao wajibu, mwishowe akuna bussiness meaniful unafanya, you can still maintain that high tag, as i said kuna factors tu chache za kukamilisha lakini we are still good: iphone inauzwa $1000 android znauzwa mpaka $150, does it mean iphone washushe bei?
Na taarifa ya sasa ni hii hapa chini-
Mafuta.png
 
Well it looks all rosy in theory but in practice kwenye mkataba wowote the devil is in the details.

Bila ya kujua nitty gritty elements especially in relation to the commercial aspects its hard to say how many years are fair, depending on income generated that said 15 years could be fair or 99 years but it all depends on the revenue generated.
Man, unachanganya mambo!

Hakuna popote niliposema kwamba kiasi so and so ndo reasonable, nilichosema ni kwamba, muda unaowekwa ni kwa ajili ya ku-recover investment + operational cost, plus PROFIT! Aidha, nikasema mara nyingi BOT Schemes, mara nyingi project transfer hufanyika kuanzia miaka 30 na kuendelea!!!

Hii miaka sio kwamba watu huwa wanakurupuka tu na kusema "...tupeni miaka 30!!

That's one, two... 99 Years sio Project Transfer Time bali Land Lease Period! Kwamba, Mwekezaji alitaka land lease ya miaka 99!!

Tatu, kwamba eti nchi yetu na majirani zetu

Uhalisia ni kwamba nchi yetu na majirani wote ambao targets wa kutumia bandari ni maskini kwa sasa and are likely to grow over the years at what pace no ones knows?
Jana nilitaka kuandika THREAD kuwaelimisha wale wanaosema kwanini hiyo bandari tusijenge wenyewe kwa pesa zetu!!

The problem watu hawajaelimika vizuri what's behind Bagamoyo Port Project!! Target ya Mchina sio kwamba anajenga bandari kwa matumizi ya nchi za ukanda huu... la hasha!!

Hapa JF nimesema mara nyingi sana kwamba Xi Jinping alipoingia madarakani, alianzisha the so called Belt & Road Initiatives.

Mtandao wa China Power unailezea BRI kwamba:-
Announced in 2013, the Belt and Road Initiative (BRI, also known as One Belt, One Road) aims to strengthen China’s connectivity with the world. It combines new and old projects, covers an expansive geographic scope, and includes efforts to strengthen hard infrastructure, soft infrastructure, and cultural ties. As of October 2019, the plan touches 138 countries with a combined Gross Domestic Product of $29 trillion and some 4.6 billion people.
Kwahiyo ukisoma hapo utaona kabisa kwamba ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ni tofauti na ujenzi wa TAZARA ambayo baada ya Mchina kuijenga, akasepa zake!!

Bandari ya Bagamoyo alilenga kuitumia yeye (ingawaje wengine pia ni rukhsa kuitumi) kama kituo kikuu cha usafirishaji wa bidhaa zake kwenye Ukanda huu wa Afrika!

Unlike projects zingine za BRI in Africa, ndoto ilikuwa kuifanya Bagamoyo kuwa Transshipement Port. Transshipment Port ni bandari inayopokea meli kubwa zenye mzigo, na meli zingine zinaenda kuchukua mzigo hapo!! Yaani, meli kubwa inajaza mzigo kutoka Uchina and bandari zingine za mashariki ya mbali, na kwenda kufunga gati Bagamoyo!!

Sasa mizigo yote inayoenda (say) Mombasa Port, Beira, Maputo and the like, inakuja kufuatwa hapo Bagamoyo kwa kutumia meli za kawaida. Kama ingefanikiwa, huenda ingekuwa to Singapore Port ya Ukanda wa Bahari ya Hindi kama sio Afrika kwa ujumla!

Kwa landlocked zingetumia reli, na ndio maana kwenye ile masterplan, ujenzi wa bandari unaenda sambamba na ujenzi wa reli!
Sasa uwezi kuweka stagnant income projections kwenye bandari tu lazima tujue limitations zao kama tunawapa bandari kwa miaka 99
Hapa ndo umechanganya madesa moja kwa moja!! Miaka 99 sio ya kuwapa ku-operate bandari bali umiliki wa ardhi! Na ikumbukwe kwamba, wakati MoU inafikiwa, sheria ilikuwa inaruhusu hatimiliki ya miaka 99.

Na hata baada ya marekebisho ya sheria ya ardhi ya mwaka 2017, umiliki upo wa miaka 33 renewable, 66 renewable and 99 years!
muhimu pia kuwa na viwango vya wao kukusanya as return and profit in the same accounting year na ikizidi ni hela ya serikari; similar wasipofikia icho kiwango how they will be compensated in the future.
Hiyo itakuwa a new form of BOT Scheme! But that's not an issue... kama wanaweza kukuibia kwa kuwapa hiyo miaka 40, vile vile wanaweza kukuibia kwa hiyo yearly total cost recovery scheme!
Hayo maswala ni muhimu maana huko mbele hizi nchi zinavyokuwa we expect imports and exports also to increase, na isitoshe serikari itakuwa inawekeza kwenye miundombinu ambayo kwa sasa pia wanafanya na wao watavuna wateja kupitia hiyo miradi how are they going to contribute in the future na faida yao not their return of investment money.
Hakuna anayesema serikali ya Magu iibebe MoU ya JK kama ilivyo! No one contract is perfect! Magu anaweza kuita wanasheria nguri wote duniani wanaozingatia maslahi ya Tanzania na kupendekeza kile chenye manufaa kwetu na Wachina wakapokea bila kufanya editing!!!!

In a year or two, mkataba ule ule ambao ulionekana 100% PERFECT, utaonekana kiondolewe hiki na kiongezwe kile! Na ndio maana mwaka 2010, Sheria ya Mpya ya Madini ikalitaka Bunge liwe linafanya review kila baada ya miaka 5, na faida yake tukaiona mwaka 2017!

Na kwa upande wangu, nimeshasema mara kadhaa ni mambo gani tunatakiwa kuyazingatia na kuhakikisha yanakuwepo kwenye hiyo project!
Bado ujaongelea biashara za ardhini zitajikita na nini, why should they be treated differently to someone say like Dangote who has invested heavily somewhere else?
Kawa treated differently kivipi?! Hata kama hukuwa sahihi, umesema Mchina ange-operate bandari kwa miaka 99 kabla ya kuirudisha serikalini!!

Kwa uelewa wako, Dangote atarudisha Kiwanda cha Sementi cha Mtwara baada ya miaka mingapi?!
Ni hivi hili swala ni complicated na lina hitaji kuliangalia kwa nadharia za kiuchumi na biashara, finance, siasa, marketing and contract law.
Kumbe unadhani sie wengine tunaliangalia kwa kutumia nadharia zipi?!

Tatizo la nchi hii ni pale wengine wanapotumia nadharia za kisiasa na zingine za kipumbavu hata kuzipa jina inatia kinyaa!! Ni kawaida sana kusikia watu wakisema ule mradi haufai, JK kaupeleka kule ili kupendelea nyumbani kwao!!
Kusema tu sijui miaka 33 or 99 ni fair ivyo serikari inakosea kwa kusuasua in my opinion it’s just childish bila ya kuelewa elements zilizopo kwenye huo mkataba especially income projections zao walizotumia na economic model.
Narudia, 33 or 99 ni masuala ya umiliki wa ardhi!! Hayo mengine tushajadili sana, na inatia uvivu kuyarudia rudia!!
Ndio maana naona busara kwanza ni kulazimisha serikari iweke wazi aspects za hiyo mikataba na viongozi wana kila sababu ya kuona hilo linafanyika kwanza.
Na hilo ndo watu tunapigia kelele kila wakati! Nilishawahi kusema hapa kwamba back in 2016 nilikuwa mbeba mikoba wa beberu mmoja wa Kimarekani anayefanya utafiti kuhusu Belt & Road Initiative ya China, na moja ya Case Studies ikiwa ni Bandari ya Bagamoyo!!

In short, Mabeberu wa Marekani na EU wanaipinga sana hii initiative! Pale Ulaya, Mchina aliingia kwenye Bandari Piraeus Port in Greece! Fitina na propaganda zilizokuwa zinafanywa na EU pale Piraeus, Mungu mwenyewe anajua! Watu wakachochea hadi migomo ya wafanyakazi!

Leo hii tunapoongea, mafanikio ya Bandari ya Piraeus yanawaumbua!

If anything the ACCACIA saga should be a public lesson kwamba serikarini tumejaza vimeo which handled the whole thing badly from the beginning and it ended with unfair contact terms; mtu awezi chimba for more than 25 years mpaka leo tuwe tunagawana nae 50/50 na bado asset alizoleta sio mali ya serikari wakati amekuwa akitukata hizo hela na gharama za finance cost anatupa sisi juu.

Hizo ndio akili gani si tungekopa tukachimba wenyewe hizo dhahabu sasa yeye alikuwa na shughuli gani kama mtaji wenyewe kumbe kakopa bank na interest tunakwata sisi, asset alizoleta pia amekuwa anatukata halafu bado mali yake.
Hili la madini bhana, wacha kwa sasa nilipe kisogo! I

Ndio kama huu mkataba ni mzuri kwenye picha hila terms zenyewe zikoje? Bila ya kujua hilo it doesn’t make sense to firmly be an advocate for or against; for the most part the argument won’t be justifiable inakuwa ni kujisemea tu kama post ya Zitto there is no meaningful logic behind.
Unajua mnachoshindwa kumwelewa Zitto na watetezi wa mradi mnadhani watu wanataka serikali ikubali kila kitu kinachosemwa na mwekezaji!

Hoja hapa ni kwamba, huu mradi ni muhimu mara elfu moja ya uwekezaji kwenye ndege, na kwahiyo serikali haitakiwi kufanya masihara kwenye issue muhimu kama hizi!!

Ukweli ni kwamba, na hili ndilo ambalo huwa natofautiana na Magu, huwa anaweka nguvu kubwa mno... tena kubwa mno maradufu kwa vitu ambavyo ni average na kuacha vitu ambavyo ndo kweli vingeibadilisha uchumi wa Tanzania!!!

Angalia nguvu kubwa anayotumia kwenye madini!! Kaamuru hadi ujenzi wa ukuta Mererani! But look, Capital Market Share ya Acacia haifiki hata USD 5 Billion!!

Barrick Gold na yenyewe, ambayo ndani yake ina kampuni dada takribani saba, huku zikichimba kwenye migodi mikubwa kabisa ya dhahabu kuliko hii ya Tanzania kama vile Cortez Gold Mine na Goldstrike iliyopo Nevada, USA, Market Cap yao ipo around USD 40B, huku mwaka jana wakiwa wame-record Revenue USD 7.2Billion!

Lakini huko Magu anatamani atumie hadi vifaru, lakini kwenye gas ambako uwekezaji wa processing plant tu ni USD 30 Billion... huko wala haonekani kushituka zaidi ya kutoa majibu mepesi kwamba "gas yote imeibiwa!"

Sasa ikiwa wanaoiba dhahabu isiyofika hata Sh 5 Trillion, unaunda tume za kuchunguza, na wengine kuwafukuza kazi, mbona hatuoni akifanya hivyo kwa hao walioiba au kufisadi gesi yenye thamani ya matrilioni ya pesa?!
 
Kilatha,
adding on top of that: sidhan kama China wana nia nzuri ya kusaidia Afrika: its just some months back wamechukua kituo cha TV (National TV) cha Malawi kama sio Zambia kwa kushindwa kurudisha mkopo: sidhan kama its appropriate kuanza huu ujenzi kabla hatujajua in and out zote

China at the moment wanataka kuwa a dominant super power: Kwahiyo lazma waanze kutawala ardhi yenye resources na chocho zote.
Hahaha, nyie jamaa mnachekesha sana!!! Nani kasema Mchina anataka kuwasaidia Afrika?! Labda mdanganyike na mpinzani mwingine wa Belt and Road Initiative ya Uchina ambayo initiative yake ni pamoja na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo!!

Soma hapa:-
A better alternative
The United States offers development aid that doesn’t leave countries saddled with unsustainable debt, erode national sovereignty or ruin the environment.

“We hope to extend our economic partnerships with countries who are committed to self-reliance and to fostering opportunities for job creation in both Africa and the United States,” President Trump said when he introduced his Africa Strategy last year.
Mdogo wangu Malcom Lumumba anafahamu kwamba mimi ni Kibaraka wa Mabeberu, na nina mawazo ya Kibeberu!

Lakini ninachopendea kwenye Mradi wa Bandari ya Bagamoyo; wale wale wanaojiona wao ndio Wazalendo, ndiyo hao hao wanaoongea lugha moja na Mabeberu!!!

So, it's true... Mchina wala hana lengo la kuisaidia Afrika! Msaidiwe kwa sababu gani?! Ina maana hiyo Afrika imejaa walemavu watupu, au?! Sio issue lakini, Uncle Sam hapo juu keshasema kwamba yeye ndie mwenye alternative to BRI kwa sababu yeye ndie hutoa misaada ya maendeleo bila masharti ya hovyo!!
 
Mr Chige, wewe ungependa nani awe Rais, ambaye angeweza kuisaidia Tanzania, Watanzania chap chap?
Issue sio rais bali mifumo itakayofanya nchi isonge mbele bila kujali nani anaingia madarakani!!

Mwaka 2015 nilimuunga mkono JPM kwa sababu there's no way ningemuunga mkono E.L!! JPM wala hakuwa na kazi kubwa kurekebisha mapungufu ya JK na hatimae kufuata the same route!

Kwa mfano, moja ya pungufu kubwa kabisa la JK ilikuwa kuamini kwamba our community is a perfect community... mtu ukiajiriwa na kuwekwa mahali, basi anafahamu wajibu wake ni upi na kwahiyo haina haja ya kumsukuma!

Ni kutokana na hilo, ndio maana JK ndie rais aliyefukuza au kubadilisha kazi mawaziri wengi zaidi lakini more often, alifanya hivyo hadi Bunge linaposema "hawa hawafai!" Bunge likiacha, na yeye anaacha 🤣🤣😂!!!

Kwa bahati mbaya, Mwafrika ni kiumbe mmoja wa ajabu sana... yaani usipomsimamia, anaharibu; kwa bahati mbaya na kwa makusudi vile vile!!

Pungufu lingine kubwa zaidi ambalo na lenyewe linatokana na sababu hiyo hapo juu, ni rushwa! Sisi Mitanzania ni mijizi sana!! Ukimwacha Mtanzania bila kum-monitor closely, ataiibia serikali, mkewe na hadi mama yake mzazi!!!

Hapo ndipo Magu alitakiwa kujikita, lakini kinyume chake, akaenda kuivuruga hadi private sector kwa kuamini wote hao ni wezi!! Akaanza kuwakaba wanasiasa na wananchi kwa kuamini kwamba hao nao ndio wachawi wa maendeleo kwa sababu wanatumika na mabeberu... hapo ndipo nilipoanza kutofautiana na Magu!!!

So, Rais Bora kwangu ni any Classical Liberal lakini pia anayezingatia suala la mila na tamaduni zetu!!
 
Saa kadhaa tu zilizopita nilipokuambia wakiona kikwazo ni bei, Wakenya hawaoni taabu kushusha bei ili ku-retain wateja, na ukaniambia IMPOSSIBLE!!Na taarifa ya sasa ni hii hapa chini-

kenya haioni shida kuendesh mashirika yao kwa hasara: on the likes of kenya airways and mombasa port, hazina msaada sana kwa nchi yao labda wanasiasa wao: i dont want to believe Tz watashusha bei pia: and i hope they wont, we can still catch up with even with the same price we have, price can be one of the factors but we can still make it with the current price:

there is no need for tz kushusha bei kwamba we ship for $25 just because wengine wameshusha? kuna costs to pay, salaries, loans to return: we can still look for a small killer factor and tuwapige bao pia, though price issue ina nguvu sana
 
Issue sio rais bali mifumo itakayofanya nchi isonge mbele bila kujali nani anaingia madarakani!!

Mwaka 2015 nilimuunga mkono JPM kwa sababu there's no way ningemuunga mkono E.L!! JPM wala hakuwa na kazi kubwa kurekebisha mapungufu ya JK na hatimae kufuata the same route!

Kwa mfano, moja ya pungufu kubwa kabisa la JK ilikuwa kuamini kwamba our community is a perfect community... mtu ukiajiriwa na kuwekwa mahali, basi anafahamu wajibu wake ni upi na kwahiyo haina haja ya kumsukuma!

Ni kutokana na hilo, ndio maana JK ndie rais aliyefukuza au kubadilisha kazi mawaziri wengi zaidi lakini more often, alifanya hivyo hadi Bunge linaposema "hawa hawafai!" Bunge likiacha, na yeye anaacha 🤣🤣😂!!!

Kwa bahati mbaya, Mwafrika ni kiumbe mmoja wa ajabu sana... yaani usipomsimamia, anaharibu; kwa bahati mbaya na kwa makusudi vile vile!!

Pungufu lingine kubwa zaidi ambalo na lenyewe linatokana na sababu hiyo hapo juu, ni rushwa! Sisi Mitanzania ni mijizi sana!! Ukimwacha Mtanzania bila kum-monitor closely, ataiibia serikali, mkewe na hadi mama yake mzazi!!!

Hapo ndipo Magu alitakiwa kujikita, lakini kinyume chake, akaenda kuivuruga hadi private sector kwa kuamini wote hao ni wezi!! Akaanza kuwakaba wanasiasa na wananchi kwa kuamini kwamba hao nao ndio wachawi wa maendeleo kwa sababu wanatumika na mabeberu... hapo ndipo nilipoanza kutofautiana na Magu!!!

So, Rais Bora kwangu ni any Classical Liberal lakini pia anayezingatia suala la mila na tamaduni zetu!!

Maendeleo yanaanza na wananchi wenyewe: kama hakuna opportunity wataona kwenye miradi mbalimbali ni kazi bure: unaweza toa huduma zote bure lakini kama wananchi wako hawajiongezi hakuna faida itatokea, serikali inaplay part flan tu kwenye kusaidia lakini part kubwa lazma mwananchi uzitafute
 
Hahaha, nyie jamaa mnachekesha sana!!! Nani kasema Mchina anataka kuwasaidia Afrika?! Labda mdanganyike na mpinzani mwingine wa Belt and Road Initiative ya Uchina ambayo initiative yake ni pamoja na ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo!!

Soma hapa:-
Mdogo wangu Malcom Lumumba anafahamu kwamba mimi ni Kibaraka wa Mabeberu, na nina mawazo ya Kibeberu!

Lakini ninachopendea kwenye Mradi wa Bandari ya Bagamoyo; wale wale wanaojiona wao ndio Wazalendo, ndiyo hao hao wanaoongea lugha moja na Mabeberu!!!

So, it's true... Mchina wala hana lengo la kuisaidia Afrika! Msaidiwe kwa sababu gani?! Ina maana hiyo Afrika imejaa walemavu watupu, au?! Sio issue lakini, Uncle Sam hapo juu keshasema kwamba yeye ndie mwenye alternative to BRI kwa sababu yeye ndie hutoa misaada ya maendeleo bila masharti ya hovyo!!
Ukitaka kuona mambo ya ajabu, kule Indonesia kuna jamaa mmoja alikuwa ni mpinzani mkubwa sana wa Belt-Road Initiative juzi kauwawa vibaya kweli. Sasa mabeberu wamesema kifo chake kifanyiwe uchunguzi wa kutosha. Hii ni vita ambayo hata hao wanaopambana hawafahamu kwanini wanapambana lakini kuna siku akili zitakapowarudia watafahamu kwamba walikosea sana....
 
Soma vizuri mkuu, kuna maeneo nimekutajia amabayo kenya ipo mbele ya nchi zote za EA.
labda kwa faida yako Kenya ipo mbele katika maeneo yafuatayo:-

kwanza, Mentally,(ina watu ambao ni very smart upstairs),

Pili, Politically( Kenya inathamini sana democrasia kuliko nchi yoyote EA mfano kumbuka kipindi cha uchaguzi wa kenya),

Tatu, economically( uchumi wa kenya ni mkubwa sana kuliko nchi zingine za EA).

Nne, Socially( Kuna huduma nzuri hospitalini na kuna experts wa kutosha mfano ishu na tatizo la ommy dimpoz hospitali iliyogundua tatizo lake ipo nchini Kenya wakati nchini kwake alisema ana cancer wakati siyo kweli, TL alitibiwa nchini kenya kabla ya kwenda Beligium, n. k.)
Hiyo ya pili imenichosha kweli kweli. Hivi nani hajui kuwa vyama vingi vya kenya vina mtizamo wa kikabila na wanachofanya ni alliance tu. Hata kugombea uongozi haiwezekani hata siku moja mkikuyu akachaguliwa kuwa mbunge kisumu.
 
Kuna mambo ambayo yapo bayana zaidi, ambayo sio kweli katika mada ya Mh Zitto.
Moja wapo ni hili la Bandari ya Lamu "Hapo kabla ilikuwa iwe Lamu Port Pekee." Hili sio kweli.

Zaidi ya hivyo, inafaa pia ikumbukwe kwamba Bandari ya Lamu haijampata mwekezaji hata mmoja, mbali ya serikali yenyewe kuamua kuanza na ujenzi wa ghati tatu, moja ya hizo tatu ndiyo imekamilika na itazinduliwa Nov. 7, mwaka huu. Ghati ya pili hata ujenzi haujaanza; ya tatu imetengwa kwa maksudi kuhudumia bomba la mafuta toka Turkana, na pengine ya Sudan Kusini (siamini), na tusisahau, uwezekano wa Uganda kupitisha mafuta yao huko, wazo hilo hawajaliondoa akilini mwao jamaa zetu hao. Bado wanajipa matumaini ya hilo kutokea. Kama Odinga anaweza kufanya vile...itakuwa M7?

Pili, hii habari ya Odinga na rafiki yake inapasua kichwa. Ni ngumu sana kuiamini.
Lakini ikitokea iwe kweli, yeye mwenyewe Odinga ashukuru kuipata hiyo tuzo ya "Maritime Champion of the Indian Ocean."
Nasema ashukuru kuipata hiyo tuzo, kwa sababu kama alikuwa bado anayo matumaini ya ahadi nyingine, kama ile ya URais, ..., hapo hatakuwa tofauti na rafiki yake. Wote watakuwa wameingizwa chakani. Mwenye kutaka kujua, asome alama za nyakati kuanzia sasa, baada ya ile Tume ya BBI kumaliza kazi yao. Odinga kwisha kazi.

Tatu. Rwanda kuwa na Kigali Logistics Platform na Bandari Huru ya Masaka itakayoendeshwa na Dubai World isitutishe kitu.
Mizigo yao watapitishia wapi? Wakongo watakubali kulipia gharama za Bandari mbili tofauti? Mbona gharama zitakuwa kubwa sana?

Hata hivyo Tanzania inafaa iwe na mwingiliano wa moja kwa moja na DRC, bila ya kutegemea kupitia nchi jirani, Burundi/Rwanda?Zambia/Uganda.
Pakiwepo Bandari Ziwa Tanganyika, itatusaidia sana kulishika soko kubwa la Congo.
Kigoma tayari kuna ujenzi wa bandari kavu unaendelea na ipo karibu na reli japo sioni dalili za kujengwa bandari ziwani
 
Mkuu TUJITEGEMEE

Kwa bandiko hilo la The Citizen uliloweka mwenyewe sitakuwa nakuonea bali inaonesha ndo nimepatia hasa!!! Kwa sababu kama utakumbuka, nilihoji kwanini tuamini anachosema Kakoko wakati ushahidi unaonesha kwamba hawa watu hawaoni taabu kuuambia umma uongo na nikatoa mfano wa akina Profesa Mruma, na Mr. President mwenyewe!

Mchina katumia maneno "“The Investor is very disappointed to see fake information spread around..." maelezo hayo ni a gentleman version of saying "Kakoko is a liar!" Mchina tried to be nice pale alipotakiwa kusema "Kakoko ni mzushi..."

Kwamba Investor mwenyewe hataki kusema ukweli ni upi, naona tayari ameshasema kwamba ni Wizara husika ndiyo yenye mamlaka ya kutolea ufafanuzi, ingawaje anafahamu kinachozungumzwa sio sahihi!!
Heshima kwako mkuu...
 
Ulichokifanya ni kutoa maoni yako unavyojisikia kuhusu zitto,inaonekana kuna mahali anakuminya balaa hadi umeamua kumuona mzee na kumtaka aachane na siasa,let say kaamua kuachana na siasa,halafu hili bandiko unaloliita karopoka kaliweka kama mwana uchumi tu,vipi unalijibu vipi,au hana haki hata ya kuropoka kama mchumi?
Zitto achana na siasa kabla hujaendelea kuaibika

hujui unachokipigania ktk siasa zako,yani upo kama pikipiki unaweza ipanda kwa upande wowote

achana na siasa ndugu yangu uzeeke na heshima kidogo uliyobaki nayo maana tyr heshima yako

ishaanza kuondoka na itapotea yote kama utaendelea kuongea/kuandika mashudu ya namna hiii

Nisikilize mzeeee ifike wakati mambo mengine unyamaze "pia ni jawabu la mtu genius" kukaa kimya

ila kuendelea kuropoka ropoka kwako kutaishia kukufanya uonekane takataka hata usiwekwe ktk historia

ya wana siasa waliojaribu kuwa na u "uthubutu" ktk hii nchi
 
Kwa hiyo tunatakiwa kuwa na bandari kavu karibu na Rwanda m Burindi, Uganda na DRC, na tuhakikishe uendeshaji wa reli tunazojenga sasa uwe wa kisasa. Tukibadilika kidogo tu, bado kijiografia tunawaacha wakenya, hata wakiwa na bandari ya Lamu na Mombasa. Zitto is a little bit myopic in this.
Bongolander:Jibu sahihi ni hilo hapo ulilotoa.
Nadhani hili ndilo linaloweza kuisaidia Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ushindani wa hakika. Wanachotakiwa ni kuhakikisha hawafanyi mizengwe tena kama walivyokuwa wakifanya huko nyuma.

Hili la kuwa na Bandari kavu ya hali ya juu karibu na nchi hizo, itaiondoa Mombasa kwenye reli.
Bila ya hivyo, kwa maandalizi wanayofanya sasa, soko lote la kaskazini mwa Tanzania na nchi jirani wataliteka lote.

Sasa swali ni hili: Mombasa na wao wataitumia bandari hiyo kavu, kwa kigezo cha 'soko' huria na matakwa ya ushirikiano wetu wa Africa Mashariki?
 
Man, unachanganya mambo!

Hakuna popote niliposema kwamba kiasi so and so ndo reasonable, nilichosema ni kwamba, muda unaowekwa ni kwa ajili ya ku-recover investment + operational cost, plus PROFIT! Aidha, nikasema mara nyingi BOT Schemes, mara nyingi project transfer hufanyika kuanzia miaka 30 na kuendelea!!!

Hii miaka sio kwamba watu huwa wanakurupuka tu na kusema "...tupeni miaka 30!!

That's one, two... 99 Years sio Project Transfer Time bali Land Lease Period! Kwamba, Mwekezaji alitaka land lease ya miaka 99!!

Tatu, kwamba eti nchi yetu na majirani zetu

Jana nilitaka kuandika THREAD kuwaelimisha wale wanaosema kwanini hiyo bandari tusijenge wenyewe kwa pesa zetu!!

The problem watu hawajaelimika vizuri what's behind Bagamoyo Port Project!! Target ya Mchina sio kwamba anajenga bandari kwa matumizi ya nchi za ukanda huu... la hasha!!

Hapa JF nimesema mara nyingi sana kwamba Xi Jinping alipoingia madarakani, alianzisha the so called Belt & Road Initiatives.

Mtandao wa China Power unailezea BRI kwamba:-Kwahiyo ukisoma hapo utaona kabisa kwamba ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ni tofauti na ujenzi wa TAZARA ambayo baada ya Mchina kuijenga, akasepa zake!!

Bandari ya Bagamoyo alilenga kuitumia yeye (ingawaje wengine pia ni rukhsa kuitumi) kama kituo kikuu cha usafirishaji wa bidhaa zake kwenye Ukanda huu wa Afrika!

Unlike projects zingine za BRI in Africa, ndoto ilikuwa kuifanya Bagamoyo kuwa Transshipement Port. Transshipment Port ni bandari inayopokea meli kubwa zenye mzigo, na meli zingine zinaenda kuchukua mzigo hapo!! Yaani, meli kubwa inajaza mzigo kutoka Uchina and bandari zingine za mashariki ya mbali, na kwenda kufunga gati Bagamoyo!!

Sasa mizigo yote inayoenda (say) Mombasa Port, Beira, Maputo and the like, inakuja kufuatwa hapo Bagamoyo kwa kutumia meli za kawaida. Kama ingefanikiwa, huenda ingekuwa to Singapore Port ya Ukanda wa Bahari ya Hindi kama sio Afrika kwa ujumla!

Kwa landlocked zingetumia reli, na ndio maana kwenye ile masterplan, ujenzi wa bandari unaenda sambamba na ujenzi wa reli!Hapa ndo umechanganya madesa moja kwa moja!! Miaka 99 sio ya kuwapa ku-operate bandari bali umiliki wa ardhi! Na ikumbukwe kwamba, wakati MoU inafikiwa, sheria ilikuwa inaruhusu hatimiliki ya miaka 99.

Na hata baada ya marekebisho ya sheria ya ardhi ya mwaka 2017, umiliki upo wa miaka 33 renewable, 66 renewable and 99 years! Hiyo itakuwa a new form of BOT Scheme! But that's not an issue... kama wanaweza kukuibia kwa kuwapa hiyo miaka 40, vile vile wanaweza kukuibia kwa hiyo yearly total cost recovery scheme!
Hakuna anayesema serikali ya Magu iibebe MoU ya JK kama ilivyo! No one contract is perfect! Magu anaweza kuita wanasheria nguri wote duniani wanaozingatia maslahi ya Tanzania na kupendekeza kile chenye manufaa kwetu na Wachina wakapokea bila kufanya editing!!!!

In a year or two, mkataba ule ule ambao ulionekana 100% PERFECT, utaonekana kiondolewe hiki na kiongezwe kile! Na ndio maana mwaka 2010, Sheria ya Mpya ya Madini ikalitaka Bunge liwe linafanya review kila baada ya miaka 5, na faida yake tukaiona mwaka 2017!

Na kwa upande wangu, nimeshasema mara kadhaa ni mambo gani tunatakiwa kuyazingatia na kuhakikisha yanakuwepo kwenye hiyo project! Kawa treated differently kivipi?! Hata kama hukuwa sahihi, umesema Mchina ange-operate bandari kwa miaka 99 kabla ya kuirudisha serikalini!!

Kwa uelewa wako, Dangote atarudisha Kiwanda cha Sementi cha Mtwara baada ya miaka mingapi?!
Kumbe unadhani sie wengine tunaliangalia kwa kutumia nadharia zipi?!

Tatizo la nchi hii ni pale wengine wanapotumia nadharia za kisiasa na zingine za kipumbavu hata kuzipa jina inatia kinyaa!! Ni kawaida sana kusikia watu wakisema ule mradi haufai, JK kaupeleka kule ili kupendelea nyumbani kwao!! Narudia, 33 or 99 ni masuala ya umiliki wa ardhi!! Hayo mengine tushajadili sana, na inatia uvivu kuyarudia rudia!! Na hilo ndo watu tunapigia kelele kila wakati! Nilishawahi kusema hapa kwamba back in 2016 nilikuwa mbeba mikoba wa beberu mmoja wa Kimarekani anayefanya utafiti kuhusu Belt & Road Initiative ya China, na moja ya Case Studies ikiwa ni Bandari ya Bagamoyo!!

In short, Mabeberu wa Marekani na EU wanaipinga sana hii initiative! Pale Ulaya, Mchina aliingia kwenye Bandari Piraeus Port in Greece! Fitina na propaganda zilizokuwa zinafanywa na EU pale Piraeus, Mungu mwenyewe anajua! Watu wakachochea hadi migomo ya wafanyakazi!

Leo hii tunapoongea, mafanikio ya Bandari ya Piraeus yanawaumbua!

Hili la madini bhana, wacha kwa sasa nilipe kisogo! I

Unajua mnachoshindwa kumwelewa Zitto na watetezi wa mradi mnadhani watu wanataka serikali ikubali kila kitu kinachosemwa na mwekezaji!

Hoja hapa ni kwamba, huu mradi ni muhimu mara elfu moja ya uwekezaji kwenye ndege, na kwahiyo serikali haitakiwi kufanya masihara kwenye issue muhimu kama hizi!!

Ukweli ni kwamba, na hili ndilo ambalo huwa natofautiana na Magu, huwa anaweka nguvu kubwa mno... tena kubwa mno maradufu kwa vitu ambavyo ni average na kuacha vitu ambavyo ndo kweli vingeibadilisha uchumi wa Tanzania!!!

Angalia nguvu kubwa anayotumia kwenye madini!! Kaamuru hadi ujenzi wa ukuta Mererani! But look, Capital Market Share ya Acacia haifiki hata USD 5 Billion!!

Barrick Gold na yenyewe, ambayo ndani yake ina kampuni dada takribani saba, huku zikichimba kwenye migodi mikubwa kabisa ya dhahabu kuliko hii ya Tanzania kama vile Cortez Gold Mine na Goldstrike iliyopo Nevada, USA, Market Cap yao ipo around USD 40B, huku mwaka jana wakiwa wame-record Revenue USD 7.2Billion!

Lakini huko Magu anatamani atumie hadi vifaru, lakini kwenye gas ambako uwekezaji wa processing plant tu ni USD 30 Billion... huko wala haonekani kushituka zaidi ya kutoa majibu mepesi kwamba "gas yote imeibiwa!"

Sasa ikiwa wanaoiba dhahabu isiyofika hata Sh 5 Trillion, unaunda tume za kuchunguza, na wengine kuwafukuza kazi, mbona hatuoni akifanya hivyo kwa hao walioiba au kufisadi gesi yenye thamani ya matrilioni ya pesa?!
Nimejiuliza sana naanza kujibu vipi post ndefu kama yako na kuna mambo mengi ya kufafanua kwa kina nitajibu nitakavyoweza kwa kifupi.

Umeanza kwa kuniambia nimechanganya mambo I would like to think ukunielewa tu.

Hakuna mahala niliposema miaka uliyoweka inaenda na ROI period exactly, nilichouliza tena in general if the amount of years sought have any relations to the repayment calculation au kuna lingine?

Nikaendelea kwa kusema kama kuna lingine other than their investment return why should other investors be treated any differently with land lease kwa sababu kama ni wao ku-recoup investment it his highly unlikely to take that long (99 years).

Kuhusu muda wa investment hakuna canon law inayosema ni miaka fulani; kabla sijajibu hilo naelewa ya kuwa ni mwenye ufahamu wa arrangement kama BOT which is just a form a concession agreement in practice. Hila sielewi ni kwa kiasi gani unafahamu kuhusu frameworks tofauti za mikataba kama hiyo ambayo hipo entirely financed by an external investors. Na migogoro inayotokeaga kwenye total control ya mradi katika kipindi chake; baina ya serikari husika na mwekezaji.

Control ya mradi inahusisha muda wa umiliki, land rights, taxes, royalties, uendeshaji wa biashara na usimamazi; hapo ndio misingi za negotiations ilipo.

Kwa hivyo wakati mimi na wewe tunaweza ona serikari inakataa mradi kutokana na masharti yake kumbe ni negotiation tactic ya kupeleka pressure kwa mwekezaji kubadili mambo fulani. Haya mambo yanataka give and take as the process evolves ndio maana hakuna mahala serikali imesema imefuta huo mradi bali bado wanajadili.

Sasa kuja hapa na kushutumu serikari inachofanya inakosea to me ni kuonyesha uelewa mdogo wa mambo ya mikataba ya kimataifa.

Turudi kwenye kina kuhusu maswala ya investement return na nini kinaweza kuwa ndani ya mkataba. Ni hivi humo ndani most likely utakuta mwekezaji kaweka kiwango fulani cha mapato tena fixed ni sehemu ya hela atakayochukua kila mwaka kama sehemu ya kulipia investment whereas in practice gross income is variable depending on the business volumes.

Iwapo kipato cha gross kikiwa sio kizuri anaweza sema sikulipi kodi au umpe tax incentives nyingine kwakuwa atujui nini hasa kipo ndani ya hiyo MoU; ndio maana unaweza sikia serikari ipo concerned na muda wa hao watu kulipa kodi na mambo mengine ya kikodi hadi kutaka waanze kulipa immediately.

Na hawa watu sio wapuuzi maana huko ndani kwenye mkataba unaweza kuta kwenye aspect za stabilazation kuna ‘freezing clauses’ inayolinda hayo mambo wanayoyataka ndani ya muda wote wa mkataba, kuna ‘balancing clauses’ ambayo inalinda future value of money (ie fixed return inaweza panda kutokana na depreciation of currencies) na other economic equilibrium kama vile kuzuia kuendeleza bandari zingine zitakazowaletea ushidani, etc na clauses zingine zenye minajili ya unanyojaji ndani ya miaka 99.

Halafu wanakuja watu kama Zitto na wewe kuiponda serikari pale inapojaribu kurekebisha mambo fulani na hoja zenu za kitoto kama wanafunzi wa mwaka kwanza studying economics.
 
Issue sio rais bali mifumo itakayofanya nchi isonge mbele bila kujali nani anaingia madarakani!!

Mwaka 2015 nilimuunga mkono JPM kwa sababu there's no way ningemuunga mkono E.L!! JPM wala hakuwa na kazi kubwa kurekebisha mapungufu ya JK na hatimae kufuata the same route!

Kwa mfano, moja ya pungufu kubwa kabisa la JK ilikuwa kuamini kwamba our community is a perfect community... mtu ukiajiriwa na kuwekwa mahali, basi anafahamu wajibu wake ni upi na kwahiyo haina haja ya kumsukuma!

Ni kutokana na hilo, ndio maana JK ndie rais aliyefukuza au kubadilisha kazi mawaziri wengi zaidi lakini more often, alifanya hivyo hadi Bunge linaposema "hawa hawafai!" Bunge likiacha, na yeye anaacha 🤣🤣😂!!!

Kwa bahati mbaya, Mwafrika ni kiumbe mmoja wa ajabu sana... yaani usipomsimamia, anaharibu; kwa bahati mbaya na kwa makusudi vile vile!!

Pungufu lingine kubwa zaidi ambalo na lenyewe linatokana na sababu hiyo hapo juu, ni rushwa! Sisi Mitanzania ni mijizi sana!! Ukimwacha Mtanzania bila kum-monitor closely, ataiibia serikali, mkewe na hadi mama yake mzazi!!!

Hapo ndipo Magu alitakiwa kujikita, lakini kinyume chake, akaenda kuivuruga hadi private sector kwa kuamini wote hao ni wezi!! Akaanza kuwakaba wanasiasa na wananchi kwa kuamini kwamba hao nao ndio wachawi wa maendeleo kwa sababu wanatumika na mabeberu... hapo ndipo nilipoanza kutofautiana na Magu!!!

So, Rais Bora kwangu ni any Classical Liberal lakini pia anayezingatia suala la mila na tamaduni zetu!!

Excellent point bro, of course private sector is crucial, ndio wanaotoa ajira kubwa sana, wenye uwezo wa kuwaajiri vijana wengi, tuiwezeshe private sector.

Kuivuruga private sector? usimlaumu sana, inaonekana alikuta madudu mengi sana alipoingia ikulu.

Sioni sababu ya kuwakaba wapinzani, ikiwa wanafuata sheria. Uchaguzi muhimu uwe huru.

Maoni yangu:- Rais Magufuli piga kazi avoid distractions, focus on vitu vitavyowasaidia Watanzania wengi.

Waache wahuni wapige kelele, ruka mtego wa kuwekewa vikwazo, waache wapinzani huru. Usiwape sababu Amnesty, HRW.

Piga, chapa kazi. Kazi yako itaonekana wazi. Watanzania wana akili.
 
Ukisikia madini adimu kabisa ya JF ndio haya.
Asante mleta mada kwa andiko lako murua kabisa.
 
Back
Top Bottom