Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Sawa mkuu nimekuelewa. Nadhani uzi huu uendelee na nondo nyingine zaidi kama; Expected return from Investment ya Bagamoyo port ili tujue tungeanza kuneemeka baada ya miaka mingapi ya uwekezaji.

Pia Sikubaliani sana na wewe kwenye suala zima la kuamini kuwa uamuzi wa kusitisha Bagamoyo Economic zone ni uamuzi wa Rais peke yake. Bila shaka majasusi wa kiuchumi waliokuwa kazini kabla ya kusaini mkataba huu ndio chanzo cha kuukataa.

China ni rafiki yetu hilo sikatai, lakini China wa enzi za baba wa taifa (Socialist China) sio huyu China wa sasa (capitalist China).
But we are also capitalist Tanzania we must realise that there a wind of change blowing across the global economic platform
 
Asante Mkuu wa kulisema hili.

Na hili ndo tatizo kubwa linalotukumba kama nchi. Tumekosa watu wenye exposure ya mambo makubwa kama biashara na uwekezaji ili ndo wewe watunga sera wakuu na washauri wa viongozi wakuu juu ya mambo ya uwekezaji na maendeleo.

Kiukweli naamini Mh Raisi amepotoshwa sana kwenye hili na sio jambo jema hata kidogo.

Ukienda kenya kama unatoka Tanzania lazima utashangaa sana. Wanapiga hatua kubwa sana kwenye masuala ya uwekezaji uwe mdogo au hata mkubwa na inawaletea maendeleo sana.


Nashauri kuwe na Think Tank wa kumshauri Mh Raisi kwenye masuala ya kiuwekezaji na biashara na hili liwekwe kisheria kabisa. Tumechelewa sana Tanzania na tunatakiwa tukimbie sana. Dunia ya sasa sio ya kuacha fursa

Asante

Hili la wakenya kukimbia watu wengi ukiwaambia humu watakubishia kwasababu akili ziko kisiasa, Wale jamaa hata IQ ziko sawa kwa watu au mtu mmoja mmoja hili nafikiri hata kwenye basics kwa maana ya msingi mzuri wa elimu kwao uko sawa..

Uwekezaji mkubwa kwa maendeleo ya jumla kama Taifa na uwekezaji mdogomdogo kwa watu wakawaida jamaa wako vizuri ndio maana hata ni rahisi sana kupata matajiri weusi wengi Kenya ambao biashara zao zipo kisasa kuliko huku kwetu ambapo utajiri unaambatana na uchawi na too much robbing..

Ukweli ni kwamba tuna matatizo mengi ambayo ni ya msingi kabisa Tanzania nayanahitaji suluhu za uhakika kabla ya kuendea mambo mengine makubwa....
 
Hivi kwani mradi wa Bagamoyo serikali yetu haiwezi kuikamilisha kwa nguvu zetu wenyewe?
Inaweza. Kwa nini isiweze? Suala ni - KUPANGA NI KUCHAGUA. Tunatekeleza hapa bandarini DAR mradi mkubwa, ikibidi na Bagamoyo, basi serikali itafanya ILA FIRST THINGS FIRST!
 
Zitto Hujawahi kuipenda Tanzania kwa tuliojaribu kuchungulia mkataba hata chizi Hawezi saiini

Ndio maana JK na udhaifu wake kwa hili alikataa

Crédibilité yako kila siku inashuka, Watanzania wanaelewa sana siku hizi

Endelea kutumika
 
Ndiyo taabu ya wengi. Kila anayeunga mkono pale rais anapofanya mazuri basi ametoka Chato au anatoka CCM. Ndugu yangu wee. Magufuli wala sijawahi kumwona live macho kwa macho. Ni kwenye TV tu. Ila anaponya jambo zuri huwa sisiti kumpa credit. Tafuta michango yangu ya kabla Magufuli hajawa rais uone msimamo wangu ulivyokuwa.
Unaona sasa!!! Nimekuambia wewe ni mtu wa Chato au nimekuambia kajengeni basi hiyo bandari Chato?! Na nilikuambia hivyo kwa sababu, katika hali ya ajabu kabisa ukaanza kuleta ukanda kwamba:-
Hiyo ni conclusion yako na siwezi kukufanya uamini kivingine. Ila ujinga wa kusema ''tukubali tu wanajenga kwa fedha zao'' ubaki nao huko huko kwenu. Hata barmaid huwa wana akili nzuri zaidi na wanajua mteja akiwanunulia pombe siyo bure per se..
Unyonyaji wa watu wanaotaka vya bure kama wewe. Watu wavivu wanaofikiri kukodisha kila raslimali waliyo nayo kwa watu ili wafaidike. Kwao kufanya kazi wanaona ni adhabu na kuhalalisha hilo wanakuambia tunahitaji wawekezaji. Tulifukuza wakoloni wa nini basi kama hatuwezi kuijenga nchi yetu wenyewe. Anyways najua wengi mnaotetea huu uchafu mna kaliba za Kikwete, za kipwani pwani za kutaka mtelemko tu. Ndiyo maana hata Dar mmeuza ardhi mliyomiliki na kuhamia kwenye vibanda nje ya jiji huku wageni wakiwatawala jiji la asili yenu.
Na kuna post nyingine ukatumia neno "...mnakaa vibarazani"! Kila mmoja anafahamu watu aina yenu mnamaanisha nini mnaposema "...wakaa vibarazani!!!

Sasa nini maana ya hizo kauli kama sio unajadili mambo kwa kuangalia asili yako na yule alie madarakani?! Nini maana ya kauli yako kama sio ina elements za ukanda na ukabila wa kuona jamii fulani ni watu wa hovyo na nyie ndio bora zaidi wakati huo ubora wenyewe wala hatuuoni!!??
 
Kumbe umedandia gari kwa mbele? Ukaja kwa kasi na kusema ''tukubali tu kwani wanajenga kwa fedha zao'' huku umeacha kazi za maana. Haya kwa heri kafanya hizo kazi za maana.
Man, usitumie misemo ya Kiswahili usiyofahamu maana au matumizi yake!! Mtu anayerukia treni kwa mbele ni yule anayedandia mada asiyoifahamu hata ilikoanzia, na matokeo ataishia kuongea vitu irrelevant!!

Sie Wakwezi wastaafu, zamani tulikuwa tunatumia msemo "...wenzako wanahesabu nazi, wewe unahesabu koroma!"

There's no way unaweza kusema suala la Bandari ya Bagamoyo, or big projects in general kwangu ni sawa na kudandia treni kwa mbele kwa sababu nimekuwa nikijadili haya mambo for years now... bila kujali if am right or wrong!!
 
Mkuu Kichuguu !!

Kusema eti points nilizoleta zote ni speculations zangu itakuwa ni kunionea mzee!!! Hizo unazodai ni speculations zangu ni points zinatolewa na serikali na mawakala wao!!Waliosema kwamba Mchina ametaka land lease ya miaka 99 (speculations?), ni watu wa serikali na mawakala wao na sio mimi!! Binafsi nimehoji tu kwamba what's new hapo ikiwa sheria zenyewe ndivyo zinavyosema kwaamba kuna lease ya miaka 33, 66 au 99!

Waliosema Mchina anataka tusiendeleze bandari zetu ni watu wa serikali na mawakala wao! Hapo nami nikahoiji tu bandari zipi ambazo tumeambiwa tusiendeleze?!

Waliosema kwamba Mchina anataka serikali isikusanye kodi ni watu wa serikali na mawaka wao!!! Hapa nami nikahoji tangu lini kodi imekuwa sio mali ya serikali!!?

To make a long story short, kila nilichoandika nimehoji kile kinachosemwa na watu wa serikali na mawakala wao!!! Kwa maana nyingine, kama ni speculations, basi wanaoleta speculations ni wao, inclduing the Big Man Himself... Mr. President!!

Kwamba "Dola $10bn kutoka Oman na China haziji bure. No free lunch! ", I agree with you... na hakuna popote niliposema kwamba hao jamaa wanatoa bure hayo mapesa!!

Ninachokumbuka kusema kwamba, urejeshaji wao wa gharama utatokana na tozo mbalimbali... nikatoa mfano wa TPA!!

Hivi kuna anayetia shaka kwamba TPA wana pesa za kutosha?! Je, hizo pesa wanazipata kwa kusanya kodi?! The answer is NO... mapato yao ni non-tax revenues but still they're making a lot of money!!
 
Unaona sasa!!! Nimekuambia wewe ni mtu wa Chato au nimekuambia kajengeni basi hiyo bandari Chato?! Na nilikuambia hivyo kwa sababu, katika hali ya ajabu kabisa ukaanza kuleta ukanda kwamba:-
Na kuna post nyingine ukatumia neno "...mnakaa vibarazani"! Kila mmoja anafahamu watu aina yenu mnamaanisha nini mnaposema "...wakaa vibarazani!!!

Sasa nini maana ya hizo kauli kama sio unajadili mambo kwa kuangalia asili yako na yule alie madarakani?! Nini maana ya kauli yako kama sio ina elements za ukanda na ukabila wa kuona jamii fulani ni watu wa hovyo na nyie ndio bora zaidi wakati huo ubora wenyewe wala hatuuoni!!??
Umerudi tena? Si ulinikadhi kwa ndugu yako na ukasema una mambo ya maana? Cha kushangaza naona bado unakesha hapa. Kuna nini? Uzalendo? Mh... kuna jambo. Hata Zitto hili suala anapigia kelele kwa sababu maalum. Siyo tena ana uchungu sana na watanzania.
 
usiMan, usitumie misemo ya Kiswahili usiyofahamu maana au matumizi yake!! Mtu anayerukia treni kwa mbele ni yule anayedandia mada asiyoifahamu hata ilikoanzia, na matokeo ataishia kuongea vitu irrelevant!!

Sie Wakwezi wastaafu, zamani tulikuwa tunatumia msemo "...wenzako wanahesabu nazi, wewe unahesabu koroma!"

There's no way unaweza kusema suala la Bandari ya Bagamoyo, or big projects in general kwangu ni sawa na kudandia treni kwa mbele kwa sababu nimekuwa nikijadili haya mambo for years now... bila kujali if am right or wrong!!
Sasa kama unajadili lakini hujali kama uko right au wrong huoni wewe ni nanga?
 
Mkuu TUJITEGEMEE

Kwa bandiko hilo la The Citizen uliloweka mwenyewe sitakuwa nakuonea bali inaonesha ndo nimepatia hasa!!! Kwa sababu kama utakumbuka, nilihoji kwanini tuamini anachosema Kakoko wakati ushahidi unaonesha kwamba hawa watu hawaoni taabu kuuambia umma uongo na nikatoa mfano wa akina Profesa Mruma, na Mr. President mwenyewe!

Mchina katumia maneno "“The Investor is very disappointed to see fake information spread around..." maelezo hayo ni a gentleman version of saying "Kakoko is a liar!" Mchina tried to be nice pale alipotakiwa kusema "Kakoko ni mzushi..."

Kwamba Investor mwenyewe hataki kusema ukweli ni upi, naona tayari ameshasema kwamba ni Wizara husika ndiyo yenye mamlaka ya kutolea ufafanuzi, ingawaje anafahamu kinachozungumzwa sio sahihi!!
 
Bado una tatizo kwenye matumizi ya phrases mbalimbali!!!
Unaona huyu unayempigia debe ni jeuri kisasi cha kutumia maneno makali kumkaripia mtanzania mwenzetu tena mteuliwa wa rais? ( rejea kutoka citizen paper: The investor— China Merchants Port holdings Company Limited, also asked Tanzania Ports Authority (TPA) director general Deusdedit Kakoko to keep off the plan).
Anaanza kuonyesha jeuri namna hii wakati watu bado wako kwenye majadiliano. Je hawa wakipewa huo mradi si watatuparua kwa makucha? Kwa nini asitumie njia nzuri ku-address concern zake badala ya kutumia maneno makali hivyo kwa mteuliwa wa rais?
 
Check hii na hii
IMG_20191029_151623.jpeg
 
We jamaa una matatizo si kidogo! Unajua nilipoiona hii post yako hapa chini:-
Kumbe umedandia gari kwa mbele? Ukaja kwa kasi na kusema ''tukubali tu kwani wanajenga kwa fedha zao'' huku umeacha kazi za maana. Haya kwa heri kafanya hizo kazi za maana.
Sio siri, niliposoma hapo kwenye RED, nikabaki kujiuliza haya madai kwamba "...naenda kufanya kazi zangu maana" umeyatoa wapi!! Ki ukweli nikapuuza, kwa kuamini kwamba ulikuwa umepitiwa tu!!!

Leo tena--
Umerudi tena? Si ulinikadhi kwa ndugu yako na ukasema una mambo ya maana? Cha kushangaza naona bado unakesha hapa. Kuna nini? Uzalendo? Mh... kuna jambo. Hata Zitto hili suala anapigia kelele kwa sababu maalum. Siyo tena ana uchungu sana na watanzania.
Kurudia jambo lile lile, hatimae nimefahamu kwamba sio ulipitiwa bali ulimaanisha!! Ajabu ni kwamba, ambacho niliandika ni hiki hapa:-
We jamaa unatia aibu... mjadala wa kitaifa umeugeuza kuwa wa kikanda... pathetic!! Narudia, endelea kutetea hata upumbavu kwa sababu tu unafanywa na mtu wa kwenu!!!

Ndo maana mkiambiwa makontena yaliyopo bandarini yana dhahabu inayoweza kujaa lori la tani 7, mnapiga makofi na kushangilia lakini mwisho wa siku mnakubali 700Billion tena ya mafungu halafu tena mnashangili! Yaani upande mmoja mnashangilia kuwa na dhahabu inayoweza kujaa kwenye lori la tani 7 halafu baadae mnakuja kushangilia 700B kwa dhahabu ile ile mliyoambiwa inajaa lori kwa sababu tu anayesema ni "poti!"

Aibu sana hii!!

Anyway, Mkuu Malcom Lumumba, endelea na hawa mazuzu wako manake nilikukuta mkipeana vitofa; wacha nifanye kazi za watu manake dah, yaani nimeshangaa sana leo!!!
Sasa wewe hilo suala la "kazi zangu za maana" ambalo unaonesha limekuumiza kweli kweli umelitoa wapi?!!

And look at you... post ambayo nilimwambia Malcom Lumumba nasepa zangu, ni ya jana... saa kibao zilizopita! Kwahiyo mtu ambae alikuwa JF jana, halafu akaja kutokea leo kwako wewe huyo ndo amekesha??!!!

Unanitia huruma sana!!
 
We jamaa una matatizo si kidogo! Unajua nilipoiona hii post yako hapa chini:-Sio siri, niliposoma hapo kwenye RED, nikabaki kujiuliza haya madai kwamba "...naenda kufanya kazi zangu maana" umeyatoa wapi!! Ki ukweli nikapuuza, kwa kuamini kwamba ulikuwa umepitiwa tu!!!

Leo tena--Kurudia jambo lile lile, hatimae nimefahamu kwamba sio ulipitiwa bali ulimaanisha!! Ajabu ni kwamba, ambacho niliandika ni hiki hapa:-Sasa wewe hilo suala la "kazi zangu za maana" ambalo unaonesha limekuumiza kweli kweli umelitoa wapi?!!

And look at you... post ambayo nilimwambia Malcom Lumumba nasepa zangu, ni ya jana... saa kibao zilizopita! Kwahiyo mtu ambae alikuwa JF jana, halafu akaja kutokea leo kwako wewe huyo ndo amekesha??!!!

Unanitia huruma sana!!
Hivi unanukuu na kujibu nini? Mbona unaleta mahoka yasiyoeleweka? You are not sober sir!
 
Back
Top Bottom