Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Mradi wa Bagamoyo: Hujuma Tanzania na ushindi kwa Kenya na Rwanda

Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Ati fedha ni za wachina na wa omani sisi tusiogepe? Are you serious pal? Something very wrong is happening in your brain!
Uogope nini wakati wewe ndiyo mwenye ardhi ??? Bahati nzuri sana nchini Tanzania ardhi mgeni hauziwi na hata kwenye uwekezaji kupitia Joint-Venture ya kawaida au Special Purpose Vehicle anayemiliki hati ya hiyo ardhi ni Export Processing Zones Authority (EPZA) na siyo Uchina wala Oman.

Wajinga tu ndiyo mliodanganywa na kuamini kwamba ardhi ya Tanzania aliuziwa mchina kwa miaka 99. Kumbe alipewa Derivative Right kama sheria ya ardhi inavyosema kuhusu uwekezaji.

Ningekuona una akili ambazo unajisifia hapa, kama ungesema kwamba baadhi ya vifungu vya mkataba virekebishwe ( ambavyo nina uhakika hujawahi hata kuvisoma wala kuviona) na siyo kuniletea porojo za kijinga kwamba watanzania tunaogopa mradi wa Bagamoyo kwasababu tu pesa ni za wachina. Miradi mingapi hapa nchini imefanywa kwa fedha za wageni ???


Halafu mbona hamuogopi kwamba Barrick anamiliki hisa asilimia 80% na sisi 16% wakati madini ni yetu na ardhi ni yetu ??? Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
 
HON ZITTO, ile kitu itasaidia tujue ukweli ya hii jambo au hii swala la bagamoyo bandari ni moja tu, plsweka conditions zile wachina walitaka sisi watz tutimize ndio waendelee na hii mrandi, na pili weka ile condations hao wachina walisema mpaka sisi watz tuzikubali ndio tufanye hii mrandi, kwa maoni yangu hii mrandi wa bagamoyo ni kuweka taifa letu kweye matatizo makubwa, sitaki kuyataja, lakini ningemushauri mtu yeyote ambaye anaweza kugoogle aangalie hii mrandi na conditions zake, na bila shaka utakuja kuona ya kuwa hapa taifa letu lilikuwa linauzwa, wewe jisomee katika google na uwe hakimu wewe mweyewe, asante sana
 
Una chuki na magufuri. Fuatilia harakati za mkinga na ufafanuzi wa mkurugenzi TPA, kisha njoo
Eti fuatlia ufafanuzi wa Mkinga!!! IKiwa Magufuli mwenyewe ni muongo itakuja kuwa huyo Mkinga?! Si ni huyo huyo Magufuli aliwahi kusema kwamba zile kontena za makinikia pale bandarini zina dhahabu inayoweza kujazwa kwenye malori saba?!

Akawatuma akina Profesa Mruma kufanya uchunguzi wa kuthibitisha madai yake na wenyewe wakatuambia dhahabu iliyopo pale ni ya matrilioni ya pesa?! What happened next?! Hizo lori saba zilizojaza dhahabu zipo wapi?! Na hao akina Mruma waliosema dhahabu waliyotubia ina thamani za matrilioni; hayo matrilioni yako wapi??!!!!

Sasa huyo Mkinga ana tofauti gani na akina Mruma?! Kusoma hujui, hata picha ukutani huoni?! Umeona ufafanuzi waliotoa majuzi kuhusu mambo gani yafanyike ili Mchina apewe ujenzi?! Mbona hawakutaja suala la kodi ambalo mnadanganywa kwamba Mchina amesema kodi yote atachukua yeye wakati kila mwenye akili timamu anafahamu wherever you, kodi ni mali ya serikali!!!

Btw, si ni huyo huyo Magufuli ambae aliwahi kuwadanganya mazwazwa kwamba wale askari waliokuwa wamekamatwa wakisindikiza dhahabu ya wizi walikuwa rushwa ya mamilioni ya fedha na kwamba Magu alikuwa na ushahidi?! Halafu tena si Magufuli huyo huyo akatangaza wale askari waachiwe mara moja na kurudishwa kazini??

Endeleeni na uzwazwa wenu...
 
HON ZITTO, ile kitu itasaidia tujue ukweli ya hii jambo au hii swala la bagamoyo bandari ni moja tu, plsweka conditions zile wachina walitaka sisi watz tutimize ndio waendelee na hii mrandi, na pili weka ile condations hao wachina walisema mpaka sisi watz tuzikubali ndio tufanye hii mrandi, kwa maoni yangu hii mrandi wa bagamoyo ni kuweka taifa letu kweye matatizo makubwa, sitaki kuyataja, lakini ningemushauri mtu yeyote ambaye anaweza kugoogle aangalie hii mrandi na conditions zake, na bila shaka utakuja kuona ya kuwa hapa taifa letu lilikuwa linauzwa, wewe jisomee katika google na uwe hakimu wewe mweyewe, asante sana
Leta link
 
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Ati fedha ni za wachina na wa omani sisi tusiogepe? Are you serious pal? Something very wrong is happening in your brain!
Umeielewa lakini hoja ya Malcom Lumumba ?! Watu wanapotosha kwamba Mchina akijenga ile bandari, kitakachofuata ni kama ambacho kimetokea kwenye Bandari ya Hambantota nchini Sri lanka katika kile kinahovumishwa sana kama China's Debt Trap!!

Huo ni uongo usio na maana yoyote unaonezwa na Mashabiki wa Magufuli... ni uongo kwa sababu financing ya Hambantota International Port na financing ya Bagamoyo Port ni tofauti!

Hambantota International Port ni mkopo... na mkopo popote pale duniani ni LAZIMA ulipwe!! Hata Tanzania tunaona taasisi za fedha zikiuza mali za wakopaji ili kufidia mikopo waliyochukua... sasa cha ajabu ni kipi kwa Mchina kuchukua mali za wakopaji wake?!

Na watu hapa wanachanganya... kwa sababu hawajawahi kuona mambo kama yakifanywa na akina IMF... mikopo ya IMF na ile inayotoka China ni tofauti! Mikopo inayotoka Uchina inatoka kwenye mabenki ya kibiashara na kwahiyo lazima ilipwe!!

Uswisi imeanza kufuata ukopeshaji huu Uchina! Tumesikia hapa mwaka jana Benki ya Uswis... Credit Suisse imeikopesha serikali ya Magufuli! Serikali isilipe hiyo pesa halafu uone!!!

Kinyume na mikopo ya aina hiyo, Bandari ya Bagamoyo sio Mkopo bali ni walikubaliana itumike BOP Scheme!!! BOP Scheme sio mkopo... it's only another way of financing na inatumika duniani kote kwa miradi inayotumia pesa nyingi!! Kwahiyo kwamba eti Mchina atakuja kuuza mali zetu ni UONGO usio na maana yoyote labda hilo litokee kwa serikali yoyote kuja kuvunja mkataba!
 
Uogope nini wakati wewe ndiyo mwenye ardhi ??? Bahati nzuri sana nchini Tanzania ardhi mgeni hauziwi na hata kwenye uwekezaji kupitia Joint-Venture ya kawaida au Special Purpose Vehicle anayemiliki hati ya hiyo ardhi ni Export Processing Zones Authority (EPZA) na siyo Uchina wala Oman.

Wajinga tu ndiyo mliodanganywa na kuamini kwamba ardhi ya Tanzania aliuziwa mchina kwa miaka 99. Kumbe alipewa Derivative Right kama sheria ya ardhi inavyosema kuhusu uwekezaji.

Ningekuona una akili ambazo unajisifia hapa, kama ungesema kwamba baadhi ya vifungu vya mkataba virekebishwe ( ambavyo nina uhakika hujawahi hata kuvisoma wala kuviona) na siyo kuniletea porojo za kijinga kwamba watanzania tunaogopa mradi wa Bagamoyo kwasababu tu pesa ni za wachina. Miradi mingapi hapa nchini imefanywa kwa fedha za wageni ???


Halafu mbona hamuogopi kwamba Barrick anamiliki hisa asilimia 80% na sisi 16% wakati madini ni yetu na ardhi ni yetu ??? Kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Akili zako ni kama wale ma-chief waliokuwa wanasaini mikataba na wakoloni kwa kuweka madole gumba. Ardhi ibaki kuwa yako wakati umeshaweka dole gumba kuwa umemkabidhi mchina kwa miaka mia moja? Uhuru tulipiganiua wa nini sasa kama una-suggest tuwakadhi wageni nchi yetu waenedeshe? Si bora tungebaki na wajerumani tu?
 
Mkuu point ya jamaa ni hii, Mchina na Muoman wanajenga everything kwa gharama zao.. Operation na usimamizi wa kila kitu ni wao ili warejeshe gharama zao kwa hiyo 90yrs baada ya hapo wanasurrender kwetu tunaendelea wenyewe... Zambia na Sri-lanka walikopa wajenge kwa maana ya kulipa, SGR ya Kenya anaiendesha Mchina kurudisha gharama zake nafikiri pia Kenya hawakukopa..
Hawezi kuelewa maana akili yake ndiyo imefikia ukomo na kugotea hapo. Angekuwa ni mtu wa angalau kupenda kujifunza basi angefahamu kwamba huo mradi uko chini ya Financing ya Build-Operate/Occupy-Transfer (B.O.T).

Halafu alivyo wa ajabu anasahua kwamba sehemu kubwa ya uwekezaji wa Tanzania ni kupitia Foreign Direct Investment (FDI) ambapo mitaji walikuja nao hao mabepari kutoka nje. Unajua wanasayansi wanasema woga unaozidi (Schizophrenia) ni ugonjwa wa akili.
 
Umeielewa lakini hoja ya Malcom Lumumba ?! Watu wanapotosha kwamba Mchina akijenga ile bandari, kitakachofuata ni kama ambacho kimetokea kwenye Bandari ya Hambantota nchini Sri lanka katika kile kinahovumishwa sana kama China's Debt Trap!!

Huo ni uongo usio na maana yoyote unaonezwa na Mashabiki wa Magufuli... ni uongo kwa sababu financing ya Hambantota International Port na financing ya Bagamoyo Port ni tofauti!

Hambantota International Port ni mkopo... na mkopo popote pale duniani ni LAZIMA ulipwe!! Hata Tanzania tunaona taasisi za fedha zikiuza mali za wakopaji ili kufidia mikopo waliyochukua... sasa cha ajabu ni kipi kwa Mchina kuchukua mali za wakopaji wake?!

Na watu hapa wanachanganya... kwa sababu hawajawahi kuona mambo kama yakifanywa na akina IMF... mikopo ya IMF na ile inayotoka China ni tofauti! Mikopo inayotoka Uchina inatoka kwenye mabenki ya kibiashara na kwahiyo lazima ilipwe!!

Uswisi imeanza kufuata ukopeshaji huu Uchina! Tumesikia hapa mwaka jana Benki ya Uswis... Credit Suisse imeikopesha serikali ya Magufuli! Serikali isilipe hiyo pesa halafu uone!!!

Kinyume na mikopo ya aina hiyo, Bandari ya Bagamoyo sio Mkopo bali ni walikubaliana itumike BOP Scheme!!! BOP Scheme sio mkopo... it's only another way of financing na inatumika duniani kote kwa miradi inayotumia pesa nyingi!! Kwahiyo kwamba eti Mchina atakuja kuuza mali zetu ni UONGO usio na maana yoyote labda hilo litokee kwa serikali yoyote kuja kuvunja mkataba!
Hakuna mtu aliyesema mchina atakuja kuuza mali zetu. Auze za nini wakati tayari tutakuwa tumeshaweka dole gumba kumkadhi? Atachuma na kufanya apendavyo na atakayehoji ataonyweshwa lile dola gumba mnalotaka tuweke! Huu mradi haufai kabisa ni wa kinyonyaji na Zitto anapiga filimbi kwa sababu zake binafsi.
 
Mkuu point ya jamaa ni hii, Mchina na Muoman wanajenga everything kwa gharama zao.. Operation na usimamizi wa kila kitu ni wao ili warejeshe gharama zao kwa hiyo 90yrs baada ya hapo wanasurrender kwetu tunaendelea wenyewe... Zambia na Sri-lanka walikopa wajenge kwa maana ya kulipa, SGR ya Kenya anaiendesha Mchina kurudisha gharama zake nafikiri pia Kenya hawakukopa..
Mkuu Samurai... point of correction! Suala la kurejesha gharama halikuwa 90 years... makubaliano ya awali ilikuwa miaka 40. Hiyo miaka 90 something ni hati miliki ya ardhi... kwamba walikuwa wanataka wapewe hatimiliki ya miaka 99.

Na maana yake ni kwamba, pale Bagamoyo pangejengwa viwanda! Ingawaje bandari baada ya hiyo miaka 40 ingerudi serikalini, viwanda vitaendelea kuwa vya wenye viwanda vyao!!

Generally speaking, kwa nchi kama za Afrika ambazo policies zetu zinaweza kubadilishwa overnight, ni risk sana kwa mwekezaji kuwekeza billions of money kwenye ardhi ambayo haimiliki! Na isitoshe, kwenye sheria zetu, umiliki wa ardhi upo wa miaka 33, 66, na 99!!!

Sasa hata kwa akili ya kawaida tu mtu anaweza kujiuliza!!! Ikiwa mradi mkubwa kama wa bandari na industrial complex haustahili hiyo hati miliki ya miaka 99 bali ya miaka 33... ni mradi gani basi utakaokuwa na hiyo thamani?!
 
Hakuna mtu aliyesema mchina atakuja kuuza mali zetu. Auze za nini wakati tayari tutakuwa tumeshaweka dole gumba kumkadhi? Atachuma na kufanya apendavyo na atakayehoji ataonyweshwa lile dola gumba mnalotaka tuweke! Huu mradi haufai kabisa ni wa kinyonyaji na Zitto anapiga filimbi kwa sababu zake binafsi.
Unyonyaji wake ni upi?! Hivi suala la tax holiday kwako ni jipya?! Hivi suala la hatimiliki ya miaka 99 kwako ni jipya?! Unaweza kutaja aina ya huo unyonyaji ambao kwako wewe ni unyonyaji mpya ambao haupo kwenye ulimwengu wa unyonyaji?!
 
Bandari ya Bagamoyo haijengwi kwa mkopo kama Sri-Lanka na Zambia. Hela zote za mradi wanatoa Uchina na Oman: hapa mnaogopa nini ???

😁😂🤣
So do you think Tanzania is going to get a free Arabian or Chinese cuisine?
 
Akili zako ni kama wale ma-chief waliokuwa wanasaini mikataba na wakoloni kwa kuweka madole gumba. Ardhi ibaki kuwa yako wakati umeshaweka dole gumba kuwa umemkabidhi mchina kwa miaka mia moja? Uhuru tulipiganiua wa nini sasa kama una-suggest tuwakadhi wageni nchi yetu waenedeshe? Si bora tungebaki na wajerumani tu?
Jinsi ulivyo mwenye akili finyu kutofahamu kwamba sheria ya nchi ndiyo inaruhusu mtu kutumia ardhi hadi miaka 99 kwa malengo ya uwekezaji.

You are Schizophrenic get some help....
 
Philip Mango hakuwa na guts kumshauri Mkwere asisaini ule mkataba; mkwere ule mradi ndio ilikuwa lala salama yake ya kuendeleza kwao hivyo asingekubali kuacha kusaini!! Hii ndio ilikuwa kati ya ile mikataba alipokuwa anasaini MOUs hata bila kusoma hivyo bila shaka ulipofika wakati wa implementation machale yalimcheza.
Angalia akili za Kilumumba hizi! Eti kuendeleza kwao! Hivi ile bandari ya Dar es salaam unataka kusema wanaonufaika nayo ni Wazaramo?! Ulitarajia bandari kama hiyo ikajengwe Chato wakati Chato hakuna bahari?! Au ulitarajia bandari kama hiyo ikajengwe Mbamba Bay?! Hivi nyie watu huwa mnawaza kwa kutumia nini?!
 
Mkuu Samurai... point of correction! Suala la kurejesha gharama halikuwa 90 years... makubaliano ya awali ilikuwa miaka 40. Hiyo miaka 90 something ni hati miliki ya ardhi... kwamba walikuwa wanataka wapewe hatimiliki ya miaka 99.

Na maana yake ni kwamba, pale Bagamoyo pangejengwa viwanda! Ingawaje bandari baada ya hiyo miaka 40 ingerudi serikalini, viwanda vitaendelea kuwa vya wenye viwanda vyao!!

Generally speaking, kwa nchi kama za Afrika ambazo policies zetu zinaweza kubadilishwa overnight, ni risk sana kwa mwekezaji kuwekeza billions of money kwenye ardhi ambayo haimiliki! Na isitoshe, kwenye sheria zetu, umiliki wa ardhi upo wa miaka 33, 66, na 99!!!

Sasa hata kwa akili ya kawaida tu mtu anaweza kujiuliza!!! Ikiwa mradi mkubwa kama wa bandari na industrial complex haustahili hiyo hati miliki ya miaka 99 bali ya miaka 33... ni mradi gani basi utakaokuwa na hiyo thamani?!
Mkuu Chige mwekezaji huwa hapewi hati ya umilikiwa ardhi ila anapewa kitu kinachoitwa The Derivative Right for Investment Purposes. Kinachofanyika hapa ni kwamba kama ni uwekezaji wa kawaida basi Tanzania Investment Centre (TIC) ndiyo watapewa hiyo hati kwa jina lao halafu wao watamdhamini mwekezaji awekeze kwa jina lao.

Kama ni uwekezaji wa viwanda basi Export Processing Zones Authority (EPZA) ndiyo watapewa hati kwa jina lao na wao ndiyo watamdhamini mwekezaji. Hilo la Uchina na Oman kupewa hati ya umiliki wa ardhi kwa miaka 99 Is simply a figment of their own imagination. Mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi isipokuwa kwa dhumini la uwekezaji.

Halafu sasa siku hizi ukipewa ardhi ni lazima usaini Commitment Bond ambayo unaimbia serikali kwamba hii ardhi ntaiendeleza na kuitumia kwa kufuata masharti husika ambayo nimewekewa ndani ya muda uliopangiwa na usipofuata lazima inakula kwako. Sasa sijui haya ya kuuziwa ardhi yametokea wapi jamani!

Mwisho kabisa, mimi nilikuwa nafahamu kwamba mradi wa Bagamoyo utakuwa chini ya Uchina kwa miaka 30-40 lakini siku ile Mzee anasema eti miaka 99 niliishiwa na nguvu kabisa.
 
[emoji16][emoji23][emoji1787]
So do you think Tanzania is going to get a free Arabian or Chinese cuisine?
Do you think Tanzania is going to get a free Arabian Cuisine when Barrick owns almost 80% of Twiga Minerals Corporation ???
 
Ukisoma ramani ya kwanza ya Belt-Road Initiative utaona kwamba njia ni Pakistani hadi Lamu na siyo Bagamoyo. Hivyo ina maana Uchina alikuwa na mpango wa kujenga Mega-Port Lamu na siyo Bagamoyo, lakini Jakaya Kikwete akafanya yake.

Wanasemaga hivi, One man's poison is another man's meat: Sisi tumegoma, Wakenya washachangamkia dili mapema. Sasa sijui tumlaumu nani ???
Yah...you'fre right! Ule mchongo ulikuwa unaenda moja kwa moja Lamu lakini JK akapindua meza! Na nadhani moja ya mambo ambayo Kenyatta alim-mind sana JK ni ule mradi, na inaelekea alikuwa anaomba sana amalize muda wake!!

Kwa bahati mzuri kwake, Tanzania tukaja kupata wazalendo fake... na kila ninapoangalia possible presidents kwa Kenya; jamaa watatupiga gap sana awamu hii, gap ambalo kiukweli lilikuwa linapungua kwa kasi!
 
Mkuu Chige mwekezaji huwa hapewi hati ya umilikiwa ardhi ila anapewa kitu kinachoitwa The Derivative Right for Investment Purposes. Kinachofanyika hapa ni kwamba kama ni uwekezaji wa kawaida basi Tanzania Investment Centre (TIC) ndiyo watapewa hiyo hati kwa jina lao halafu wao watamdhamini mwekezaji awekeze kwa jina lao.

Kama ni uwekezaji wa viwanda basi Export Processing Zones Authority (EPZA) ndiyo watapewa hati kwa jina lao na wao ndiyo watamdhamini mwekezaji. Hilo la Uchina na Oman kupewa hati ya umiliki wa ardhi kwa miaka 99 Is simply a figment of their own imagination. Mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi isipokuwa kwa dhumini la uwekezaji.

Halafu sasa siku hizi ukipewa ardhi ni lazima usaini Commitment Bond ambayo unaimbia serikali kwamba hii ardhi ntaiendeleza na kuitumia kwa kufuata masharti husika ambayo nimewekewa ndani ya muda uliopangiwa na usipofuata lazima inakula kwako. Sasa sijui haya ya kuuziwa ardhi yametokea wapi jamani!

Mwisho kabisa, mimi nilikuwa nafahamu kwamba mradi wa Bagamoyo utakuwa chini ya Uchina kwa miaka 30-40 lakini siku ile Mzee anasema eti miaka 99 niliishiwa na nguvu kabisa.
Ndo hapo sasa... yaani jamaa wanapindisha kila kitu hadi tunalazimika kuongea lugha yao! Kwa mfano hilo la ardhi ulilofafanua, wenyewe wanasema Mchina anataka amilikishwe ardhi kwa miaka 99!! Na suala la umilikishwaji wa bandari, kwamba eti Mchina anataka kuendesha bandari kwa miaka 90 something huu ni uongo nitakaondelea kuubisha hadi waoneshe mkataba!!!

Serikali ya Magu imeshagundua Tanzania mazwazwa tupo wengi na kwahiyo wanaweza kuongea chochote na tukakiamini, kisha tukaanza kukisambaza wasemacho! Mbaya zaidi, hata wale the so called watalaamu, hivi sasa wanatumika kuhalalisha uongo unaotakiwa kusemwa na serikali!!!
 
ZZK anatueleza mkakati wa Bandari ya Bagamoyo kuwa ni gateway ya imports.

Kwa mchumi yeyote ningetegemea angekuwa na in-depth analysis ya how do we strengthen production ya mazao ghafi na processing ili kuwa na certain ya exports.

JK toka 2013 mpaka 2015 anatoka madarakani alisita kusaini a go ahead. Unadhani kwanini year 1 imepita hakusaini,
Year 2 imepita hakusaini.

Year 3 anatoka madarakani early November bila kusaini. Nini alikiona kama sio favourable clauses ya mkataba mpaka 3 years zikakatika hakutia mkono.

Dr. Mpango waziri wa Fedha alikuwa mkuu wa Tume ya Mipango wakati wa JK; bila shaka alikuwa sehemu ya walimshauro JK asiwe "fasta" kusaini.

ZZK uliponda sana initiative za JPM na Prof. Kabudi kukaa na Barick na kushikilia makanikia in the name of tutashitakiwa. Leo hii uongo wako umeonekana wazi mchana peupe.

By the way, show by numerical projections namna gani Bagamoyo port could make a difference kwenye kuongeza revenues ambapo Mtwara, Tanga na Dar zime-fail ili ku-justify hoja yako.
......on the same note, na wewe anza kwanza na protected benefits (in numbers) za makubaliano ya sasa na Barrick.

FYI, tangu ban ya makinikia ilipoanza tumepoteza significant income kama nchi and there's absolutely no guarantee makubaliano ya sasa yanaweza kufidia hata nusu ya upotevu katika lifetime iliyobaki ya migodi ya Barrick.

tuache mihemuko ya ki MATAGA!
 
Back
Top Bottom