Mradi wa Bandari Bagamoyo bila uwazi wa ubovu wa mkataba, ni usaliti wa Bandari zilizopo

Mradi wa Bandari Bagamoyo bila uwazi wa ubovu wa mkataba, ni usaliti wa Bandari zilizopo

Uongo wa Mwendazake ulikuingia vizuri unajua mradi wa Bwawa la Mwalimu ni mkopo toka benki za Egypt na mkandarasi ni Arab Contractor, nani anajua kwenye huomradi tutalipa bei gani?
Umeelewa lakini point yangu?
 
Ni sawa na mtu aje kwako ajenge duka liuzee weee bila wewe kufaidika na kitu
 
Nimejipanga kuwa mpiga kampeni wa Upinzani, na hili ni halali yangu kwa sababu katiba hainizuii kuhama Chama!!

Kwa tunakokwenda, ni Dhahili sasa CCM wamepigwa upofu ili tupate ukombozi mwingine

Kuendelea kupuuza misingi bora ya aliyotuonyesha kidogo JPM hayati kwa kujali na kutetea maslahi ya nchi yetu pia kulinda kwa gharama zote rasilimali zetu, huu ni upofu kwa CCM ya sasa
Peleka upumbavu wako huko,kama unampenda sana jpm mfuate chato hapa mahali pake kwa ss
 

Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo
Leo hii ukimuuliza lowasa juu ya ujenzi wa bandari hii atakujibu vitu tofauti kabisa mpk utazimia....ni wanasiasa tu na maneno yao sio watu wa kuwaamini,wacha maisha yaende kama tulivyozoea..CAN YOU IMAGINE MTU ALIJENGA UWANJA WA NDEGE CHATO??[emoji3525][emoji3525][emoji3525],just imagine airport in CHATO..!!
 
Hii Bandari ina maana Hayati alitudanganya?.

kwa maslahi mapana ya Taifa mikataba iwekwe wazi
Kwa nchi nzima itakua haina maana.,

Labda Kwa Wizara,Wakuu wa Taasisi za Uwajibikaji nchini na Wadau wa muhimu
Tuingie kwenye majadiliano na wawekezaji kwa kina km tulivyofanya kwenye madini. Timu ile bado ipo ipewe tu hadidu za rejea za mradi wa Bagamoyo kukwepa upigaji
 
Peleka upumbavu wako huko,kama unampenda sana jpm mfuate chato hapa mahali pake kwa ss
Kwa haya matusi kuna faida umevuna??

kwa unavyodhani wale unaowatukana hawawezi kukutukana?

Acha mbwembwe, wewe sio mlinzi wa mwingine kumfunguia CCM ili astoke, koma wewe
 
Peleka upumbavu wako huko,kama unampenda sana jpm mfuate chato hapa mahali pake kwa ss
Kuna watu nchi hii shida sana wanadhani tuanishi karne ya 18 huko kutwa na nyimbo zao tunalinda rasilimali zetu hizo rasilimali hujui hata kuzalisha unadhani miaka yote watu watabaki kusubiri rasilimali zako maana dunia hii ni Tanzania tu. Tunalia wawekezaji waje wakija hawa wezi hata hujui nini tunataka, mwekezaji akija ni kazi ya wawakilishi wa Tanzania kupigania maslahi katika mikataba sio vingenevyo. Mama Samia wala JK hawakuwa wajinga na kila siku watu wanaambiwa bandari ya Dar haina uwezo tena kupokea meli kubwa za kisasa na ndio future ya baadae usipojipanga sasa itakuja siku tuaenda Zanzibar kuchukulia mizigo na bandari yetu itakuwa kama kituo cha daladala. Bandari ya Bagamoyo italeta fursa nyingi sana na kuchochea maendeleo nje ya Dar kama Bagamoyo na utaona Bagamoyo ya leo sio ya kesho mradi ukianza muanze kuwahi fursa Bagamoyo.
 
Unavosema yamekataliwa na taifa una maanisha Mwendazake ndio Taifa au? Tuache siasa za chekechea haujaona iyo mikataba unashabikia, mama atafanya kilichp bora kwa Taifa watu hawawezi kulala njaa na kuna hela uko.
Mmmh! Unavyoandika tu inaonesha uko chini ya kiwango. Watu kulala njaa tena! Hiyo bandari ndo mkombozi? Foolish!
 
Uongo wa Mwendazake ulikuingia vizuri unajua mradi wa Bwawa la Mwalimu ni mkopo toka benki za Egypt na mkandarasi ni Arab Contractor, nani anajua kwenye huomradi tutalipa bei gani?
Ila nawe ni kama bwege. Kwa hiyo ukikopa mradi siyo wako? Au unataka kueleza lolote unalolijua bila hata sababu.
 
Waliporudishiwa hela akina Mbowe something fishy was coming! Duh hii nchi kuna watu ni professional! Kuna mtu ana swali?
Kuna mtu hapa alitwambia kuachiwa kwa Masheikh wa uamsho kuliendana na kuachiwa kwa papaa msofe?
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Uongo wa Mwendazake ulikuingia vizuri unajua mradi wa Bwawa la Mwalimu ni mkopo toka benki za Egypt na mkandarasi ni Arab Contractor, nani anajua kwenye huomradi tutalipa bei gani?
Hata hivyo ktk bajeti ya 21/22 wameomba mkopo WB kumaliza ujenzi wake
 
Mkuu, nakuunga mkono, lakini kwa nini tunataka kukata tamaa kiasi hiki, unadhani ni sahihi tuendelee kukomoana kwamba mbona huyu alifanya ujinga huu, acha na mwingine afanye ujinga huu!!
Hatukomoani, ndo Mambo yalivyo, ndo maana nimesema akijiridhisha, maana rais kwa katiba yetu Ni mfalme
Nimejipanga kuwa mpiga kampeni wa Upinzani, na hili ni halali yangu kwa sababu katiba hainizuii kuhama Chama!!

Kwa tunakokwenda, ni Dhahili sasa CCM wamepigwa upofu ili tupate ukombozi mwingine

Kuendelea kupuuza misingi bora ya aliyotuonyesha kidogo JPM hayati kwa kujali na kutetea maslahi ya nchi yetu pia kulinda kwa gharama zote rasilimali zetu, huu ni upofu kwa CCM ya sasa
Hyo Ni haki yako, Mimi nitakuwa upande wa mama kwa nafasi ya urais nitamtafutia kura zisizopungua 5000, tukutane kwa debe, uchaguzi uwe huru na haki, Samia anazoa asubuhi tu
 
Tuleteeni mkatabwa wa SGR na Mwalimu Nerere Hydro Power ndiyo mhoji wa Bandari ya Bagamoyo,Mwendazake aliukataa wa Bagamoyo akaanzisha yake apige hela
SGR ni international competitive tender sasa unafikiri ni mkataba tu ndugu Kama wa mwekezaji
 
Unachoshindwa kuelewa ni kwamba Sgr na bwawa la umeme ni miradi ya Tanzania inamilikiwa na Tanzania asilimia 100 wale wamepewa tenda ya kujenga tu. Lakini bandari ya bagamoyo watajenga wao na kundesha wao ndo hapo wadau wanaomba mikataba.
Kinginec ni Kuwa ile ni international competitive tenda ,sijui kwa nini watu hujitoa muhanga
 
Kuna watu nchi hii shida sana wanadhani tuanishi karne ya 18 huko kutwa na nyimbo zao tunalinda rasilimali zetu hizo rasilimali hujui hata kuzalisha unadhani miaka yote watu watabaki kusubiri rasilimali zako maana dunia hii ni Tanzania tu. Tunalia wawekezaji waje wakija hawa wezi hata hujui nini tunataka, mwekezaji akija ni kazi ya wawakilishi wa Tanzania kupigania maslahi katika mikataba sio vingenevyo. Mama Samia wala JK hawakuwa wajinga na kila siku watu wanaambiwa bandari ya Dar haina uwezo tena kupokea meli kubwa za kisasa na ndio future ya baadae usipojipanga sasa itakuja siku tuaenda Zanzibar kuchukulia mizigo na bandari yetu itakuwa kama kituo cha daladala. Bandari ya Bagamoyo italeta fursa nyingi sana na kuchochea maendeleo nje ya Dar kama Bagamoyo na utaona Bagamoyo ya leo sio ya kesho mradi ukianza muanze kuwahi fursa Bagamoyo.
10% wanajulikana tu! unadhani ukilipwa hiyo ndiyo itakufanya uishi duniani siku zote, tunalinda rasilimali kwa ajili ya vizazi vijavyo
 
Kuna mtu hapa alitwambia kuachiwa kwa Masheikh wa uamsho kuliendana na kuachiwa kwa papaa msofe?
Inaweza kuwa kabisa, wanaachia then nao wanapitia humohumo
 
Tunataka Miradi mingi katika taifa letu, Lakini tunataka miradi ambayo kiukweli italeta ukombozi wa maisha ya wananchi

Mradi wa Bandari ya Bagamoyo, ni mradi mkubwa na unaumhimu wake, Lakini kwa nini usiwe wazi?

kwa nini tunadhani JPM pamoja na aliyekuwa mgombea Uraisi kupitia Chadema 2015 mh EL wamekuwa waongo kuukataa huu mradi kwamba hauna manufaa yoyote kwa nchi yetu?

Kuanzisha mradi wa Bandari Bagamoyo bila kuwepo uwazi wa mkataba uliotiliwa mashaka na viongozi mbalimbali wa nchi hii, ni uhujumu uchumi mkubwa na kuziua bandari zetu ambazo ni tegemeo kubwa la uchumi wetu

Hivi, Tanzania ni lini tutafahamu kwamba, uwingi wa miradi na sifa ya kuwepo wawekezaji wengi wasio na faida haituongezei chochote zaidi ya kutufanya tuwe taifa tegemezi na lisiloweza kujikomboa na umasikini..!

Kuwa na uwingi wa miradi haina maana kwamba umasikini ndiyo basi tena, Isipokuwa ni kuwa miradi yenye tija

Mungu ibariki Tanzania na Mungu bariki viongozi wetu
Kwa kuna mkataba ulisha wahi kuwekwa wazi hapa Tz?

Mbona ndege zilinunuliwa kimya na hukusema?
 

Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo
Nyie si ndo mlikua mnamtukana Lowassa vipi tena?
 
Back
Top Bottom