Mradi wa Bandari Bagamoyo bila uwazi wa ubovu wa mkataba, ni usaliti wa Bandari zilizopo

Tuanzie hapa kwanza ni mkataba upi ambao umeshawekwa hadharani kwa nchi hii?ndio maana tunasikia mengi na tumuamini nani?watu wanapopigania uwazi kwenye serikali mnawaita wanatumwa na mabeberu, leo yakiwakuta ndio tena mnawaona wa maana!!wewe hata mbunge wako hajui mkataba unasemaje, na yeye anasikia kama mkulima wa kijijini tu
 
Mkuu watanzania baadhi ni mazwazwa kujifanya kuhoji baadhi ya vitu wakati huo huo Kuna vitu Kama hivyo vimefanywa walikuwa kimya
 
Tanzania hakuna bandari kuna vichochoro, ili bandari ya Dar iwe bandari itakubidi uihamishe kigamboni yote na uichimbe iwe bahari... na ile kurasini yote ndio iwe container terminal...
 
Najiuliza kwanini Magufuli pamoja na kuwapenda kwake wachina na kuwaita marafiki wa kweli lakini bado aliukataa huu mradi wao, nadhani hapa lipo la kutafakari, tusiende kishabiki tu.
Nyie makamanda mnaoimba pambio na kupiga makofi kila siku kwa lengo kumkomoa Hayati JPM ndio mtabeba lawama zote endapo mama ataingizwa chaka.
 
Mmmh! Unavyoandika tu inaonesha uko chini ya kiwango. Watu kulala njaa tena! Hiyo bandari ndo mkombozi? Foolish!
Haujui kama itatoa ajira? Nyie ndio sample ya watu waKenya wanachukua kutujudge kutokana na ujinga wenu
 
Kukataa mradi wa bagamoyo ilikua na lengo baya kwa mtangulizi wa jpm pia kwanini hilo hulioni unaona tu la mama kutaka majadiliano ili hali mwendazake aliukataa.
Mshale kwa nguruwe..........
Alianza kuukata lowasa na chadema ya Zaman kwenye kampen
 
Yaani ni swala na maslahi binafsi. Ndo maana watu wengi wanakimbilia kwenye siasa kwa sababu kuna maslahi bnafsi. Mwisho wa siku siasa inaonekana ya watu wajanja wajanja na maslahi binafsi.
 

Usalama wa Nchi unakuwa hatarini kiuchumi au kiulinzi? Maana kama Ni kiuchumi bado kuna makampuni kibao ya kichina yako hapo nchini Kama ni kiulinzi miundombinu mingi ya jeshi imejengwa na wachina, achia mbali mafunzo mbalimbali yanayotolewa na wachina kwa jeshi letu.
 

JPM hakuwa na misingi yoyote, bali alikuwa kiongozi muongo, muovu na dhalimu. Na kwa taarifa yako kwenye upinzani hakuna mtu anataka wanafiki wa aina yako. Na Mkitaka kujua hakuna mtu ana muda na nyie wazalendo uchwara, anzisheni chama chenu muone kama mtapata uungwaji wowote mkono.
 
Katika mikataba ya uwekezaji au biashara kati ya mataifa masikini na mataifa yaliyoendelea au baina ya makampuni ya kimataifa na mataifa masikini ni muhimu sana kuwa makini na rasimu ya kwanza ya mikataba, ukichemka hapo umekwisha uko mbeleni hakuna tena linaloweza kubadilishwa. Hata ukitafuta mbia mwingine atakuja na rasimu hiyo hiyo ya mwanzo, maana imekwisha kuwa ndiyo Blue Print ya mradi huo. Na wenye masiko wasikie 📻
 
Taifa halijakataa mradi sema mwendazake
 

Lowassa na JPM walikuwa ni matapeli wa kisiasa. Mnamtaja Lowassa mkitegemea kwakuwa alipokelewa na Mbowe, basi mtapata uungwaji mkono na wapinzani. Mkitutajia hayo matapeli ya kisiasa ndio mnatuchafua kinoma.
 
Tuingie kwenye majadiliano na wawekezaji kwa kina km tulivyofanya kwenye madini. Timu ile bado ipo ipewe tu hadidu za rejea za mradi wa Bagamoyo kukwepa upigaji

Ndo inavyotakiwa iwe, kuwe na team ya kupitia mkataba na uwekwe wazi kwa wananchi kwa sababu nchi hii si viongozi pekee.
 
Hapo alikuwa chadema,! Wakati huo wewe ulikuwa bado unanyonya

Lowassa hakuwa cdm na wala hatakaa awe cdm, yeye alimuhonga Mbowe na genge lake ili agombee urais. Lile zee lilikuwa tapeli tu la kisiasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…