Mradi wa bandari Bagamoyo pamoja na Magufuli kusema ni wakinyonyaji lakini unatekelezwa!!!

Mradi wa bandari Bagamoyo pamoja na Magufuli kusema ni wakinyonyaji lakini unatekelezwa!!!

Tanzania ingekuwa hub ya imports kuliko exports kupitia bandari hiyo kama ingekuwa hai leo.

Sir Lanka aliumwa na Nyoka. NGOSHA katumia tahadhari kuliko kuingia kichwa-kichwa

Jihabarishe wengine walivyolizwa
Unatuwekea haya yatatusaidia nini.
Weka habari za uhakika kuhusu mkataba wenyewe wa Bagamoyo tuyasome wenyewe kuliko kubabaishwa na hizo ngonjera ulizoziweka hapo. Kwanza hukusema umezitoa wapi hizo habari!

Tuwekee hapa tuzisome wenyewe, na sio kuja kutuwekea habari zisizokuwa na kichwa wala miguu.
 
Ukishaweka maamuz hadharani........ni vyema ukiamua vinginevyo urud tena hadharani kuongea na hadhara kuwapa feed back
Huyu ngosha wakati mwingine harudi hadharani. Alizuia hadharani makinikia yasisafirishwe lakini kayaruhusu kimyakimya!
 
Kwani kuna mtu muongo na asiyeaminika kama Rais Magufuli! Lengo lake ni kuipaka matope na kusitisha "mega projects" zilizoanzishwa na JK kwasababu yeye "halambi unga" kupitia miradi hiyo.

We naglia tu anavyoponda miradi ya gesi ya Mtwara na Kilwa na Umeme wa Kinyerezi.
Kama kweli mradi unaendelea basi uje na yeye "anatandaza ulimi" hapo.

Hivi unajua, Mradi hasa wa bomba la mafuta una magumashi sana na unajua gharama iliyotumika sio halisia?
 
Bandari ya Dsm itabakia kuwa Bandari ya meli za mafuta na mzigo ya ndani ya Nchi hizo Bandari zingine zitakuwa za kimataifa Nchi jirani
True bandari ya dar ingebakia kupakua mafuta tu
 
Back
Top Bottom