FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Utakuwa umekasirika.Kwenda zako kule !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa umekasirika.Kwenda zako kule !
Kashika namba moja Afrika...Kumbe na wewe bibi huwa unapata nyepesi na kutamani mwanaume? Sorry kwa lugha kali bibi yangu! Uhandsome wake haujaongezeka kwa sababu ya dini kweli?
Cheza na handsome Kikwete!
Huo mradi ni "legacy" yake. Hakuna anaeweza kuuzuia huo.
Hawa wapuuzi nikuwapuuza wapo kutafuta sifa tu humuRais alisema wakikubaliana masharti wataruhusiwa, sasa umejuaje kama serikali haijakubaliana nao Kwa sasa?
Kama ilivyo daraja la Kigamboni,terminal 3,mwendokasi na reli ya SGR ( JK alisema anampongeza Magufuli kwa kuongeza kipengele Cha kuwa na umeme)Cheza na handsome Kikwete!
Huo mradi ni "legacy" yake. Hakuna anaeweza kuuzuia huo.
Rais alisema wakikubaliana masharti wataruhusiwa, sasa umejuaje kama serikali haijakubaliana nao Kwa sasa?
Hata matatizo ya umeme utatuzi wake ulianzia kwa Kikwete.Ks
Kama ilivyo daraja la Kigamboni,terminal 3,mwendokasi na reli ya SGR ( JK alisema anampongeza Magufuli kwa kuongeza kipengele Cha kuwa na umeme)
Tangu hiyo "win-win situation" ilipopata umaarufu kipindi cha makinikia mnataka kuaminisha watu kuna hali kama hiyo kwenye hiyo project ya ujenzi wa bandari ya Bagamoyo. Kwenye makinikia matokeo yalikuja kuwa "win-win situation" au "Winnie-Winnie" situation?Bandari ya Bagamoyo haitakuwa ya wachina. Itakuwa ya watanzania. Waendeshaji wa hiyo bandari wengi wao watakuwa ni watanzania wakishirikiana na wachina wachache on a win-win 50/50 situation. Mamlaka ya juu ya maamuzi yatakuwa ni ya watanzania.
Kikwete mwizi tu kauza gesi yetu.Angeongezewa miaka mitano tu angetuuza Na sieCheza na handsome Kikwete!
Huo mradi ni "legacy" yake. Hakuna anaeweza kuuzuia huo.
Mradi wa Gesi ni wa kifaraKwani kuna mtu muongo na asiyeaminika kama Rais Magufuli! Lengo lake ni kuipaka matope na kusitisha "mega projects" zilizoanzishwa na JK kwasababu yeye "halambi unga" kupitia miradi hiyo.
We naglia tu anavyoponda miradi ya gesi ya Mtwara na Kilwa na Umeme wa Kinyerezi.
Kama kweli mradi unaendelea basi uje na yeye "anatandaza ulimi" hapo.
Ni ndoto kuvunja huu mkataba rais wa China alikuja kwa mbwembwe sana katika kipindi ambacho serikali ya Kikwete ilikuwa inakopa pesa ili ilipe mishahara ya watumishi wa umma. Ndo wakati huo tukawa tunasikia bank ya Exim(China) yaipa Tanzania mkopo nafuu,nakumbuka mikataba 19 ilisainiwa kwa mbwembwe nyingi huku viongozi wa wakuu wa chama Cha mapinduzi kwa nyakati tofauti( Kinana na mwigulu) wakizulu China kwa mwaliko wa chama Cha kikomunisti Cha China. Hii nchi nizaidi ya muijuavyo......! Meli ya kivita ya China inakuja Tanzania kutoa msaada na kubadilishana uzoefu na wenzao wa Tz lakini in exchange gari za serikali zinatumika kusombelea meno ya tembo kupeleka KWENYE hizo meli.Nimeangalia kipindi Azam Tv wanaonyesha namna ya huu mradi utakavyo kuwa, yaani Tanzania haitatumia hata sent tano...
Lakini Magufuli alisema huu mradi ni wakinyonyaji na haufai kutekelezwa lakini leo nimeona kwenye kipindi Azam Tv wakisema mradi utaanza kutekelezwa..
Ni kweli huu mradi wa kinyonyaji utatekelezwa?
Kikwete mwizi tu kauza gesi yetu.Angeongezewa miaka mitano tu angetuuza Na sie
Ni ndoto kuvunja huu mkataba rais wa China alikuja kwa mbwembwe sana katika kipindi ambacho serikali ya Kikwete ilikuwa inakopa pesa ili ilipe mishahara ya watumishi wa umma. Ndo wakati huo tukawa tunasikia bank ya Exim(China) yaipa Tanzania mkopo nafuu,nakumbuka mikataba 19 ilisainiwa kwa mbwembwe nyingi huku viongozi wa wakuu wa chama Cha mapinduzi kwa nyakati tofauti( Kinana na mwigulu) wakizulu China kwa mwaliko wa chama Cha kikomunisti Cha China. Hii nchi nizaidi ya muijuavyo......! Meli ya kivita ya China inakuja Tanzania kutoa msaada na kubadilishana uzoefu na wenzao wa Tz lakini in exchange gari za serikali zinatumika kusombelea meno ya tembo kupeleka KWENYE hizo meli.
Ulimsikiliza rais vizuri lakini au unaleta siasa? Alisema masharti ya sasa hayakubaliki lakini wakija na terms nzuri zinazokubalika tutakaa tuongee naoRais alishakataa huu mradi na kuwananga wachina kama wanyinyaji. Ilisemekana kuwa hakuna chochote ambacho serikali itapata. Watanzania wote tuliamini kuwa ulikuwa ni mradi wa kinyonyaji. Mimi nafikiri, hatimaye mheshimiwa kapata alichohitaji kwenye mradi sasa mradi unaweza kuendelea!
😂😂😂😂 raha iliyoje being in JFLabda hawanyonyi chuchu wameamua kunyonya kitu kingine, au wamepitia upya mikataba
Lakini kumbuka huruhusiwi kumtamani mme wa mtuKashika namba moja Afrika...
![]()
Top 10 Most Handsome And Cheerful Presidents In Africa – [Past And Present]
Some of these men are still in power, some have retired, some have passed on. But we thought what other better way of learning about African presidents and remembering them other than by their looks?howafrica.com
Hayo sasa yako.Lakini kumbuka huruhusiwi kumtamani mme wa mtu