Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania haijawahi kusafirisha gas nje sasa hiyo gas alikuuzia wewe?
Hamna bana sister ! Niko poa tuu ! Sinaga mahasira mie !Utakuwa umekasirika.
Ukishaweka maamuz hadharani........ni vyema ukiamua vinginevyo urud tena hadharani kuongea na hadhara kuwapa feed back
“Eti unaweza kukuta”, Kwahiyo unataka tujadili hisia zako! Umaandazi huu sasa.Unaweza kukuta alipiga mkwara maana JK na genge lake ndio walipata 10% yao, ila kwa sasa na yeye si ajabu kapatiwa 10% yake hivyo anapitisha kimya kimya. Uzalendo hauna ubavu mbele ya 10%.
“Eti unaweza kukuta”, Kwahiyo unataka tujadili hisia zako! Umaandazi huu sasa.
Ukishaweka maamuz hadharani........ni vyema ukiamua vinginevyo urud tena hadharani kuongea na hadhara kuwapa feed back
Unatekelezwa kwa masharti yapi ndio unaweza kusema ni wa a kinyonyaji au sio wa kinyonyaji .Nimeangalia kipindi Azam Tv wanaonyesha namna ya huu mradi utakavyo kuwa, yaani Tanzania haitatumia hata sent tano...
Lakini Magufuli alisema huu mradi ni wakinyonyaji na haufai kutekelezwa lakini leo nimeona kwenye kipindi Azam Tv wakisema mradi utaanza kutekelezwa..
Ni kweli huu mradi wa kinyonyaji utatekelezwa?
Kwenda zako kule !
Itawasaidia kuleta ushindani ushindani uchochea maendeleo na ufanisiHuu mradi utakuwa mkubwa sana, ninacho hofia ushindani wa bandari ya bagamoyo kama wao watakuwa ndiyo wanao kuja kuiendesha wachina wanapiga kazi kweli kweli halafu ni wajanja wajanja sana, tutaweza kuja kushindana nao na bandari yetu ya Dar?
Hii serikali inaweza ushindani kweli kama tumeuwa shirika la Fastjet ili tubaki sokoni na shirika moja tutaweza kuja kukimbizana na hawa wachina?Itawasaidia kuleta ushindani ushindani uchochea maendeleo na ufanisi
Hii serikali inaweza ushindani kweli kama tumeuwa shirika la Fastjet ili tubaki sokoni na shirika moja tutaweza kuja kukimbizana na hawa wachina?
Bandari nyingi husaidia uchumi kukua mfano South Africa wana Bandari kubwa Nne Capetown, East London, port Elazabeth na Darban kila Bandari ina majukumu yake, Mfano Bandari ya Darban ni kuhudumia Nchi jirani ni Bandari ya kimataifa na Capetown ni watalii na mizigo ya ndani zaidi sanjari na Bandari zingine zao, Hata Tanzania tunaweza kuiteua Bandari ya Dsm ikatumika kwa mizigo ya nyumbani pekee na kupokea meli za mafuta na pia kusafirisha mizigo ya nyumbani sanjari na Bandari ya Tanga na Mtwara pia ijengwe Bandari ingine Lindi Taifa liwe na Bandari nyingi kubwa meli zimiminike Nchini, Hiyo Bandari ya Bagamoyo ndiyo iwe ya kimataifa ihudumie Rwanda, Burundi, Malawi, Zambia, Congo, Uganda na hata msumbiji na hata kenya kwani Mbona watanzania hutumia Bandari ya kenya kusafirisha mizigo yao.Itawasaidia kuleta ushindani ushindani uchochea maendeleo na ufanisi
Bandari ya Dsm itabakia kuwa Bandari ya meli za mafuta na mzigo ya ndani ya Nchi hizo Bandari zingine zitakuwa za kimataifa Nchi jiraniItawasaidia kuleta ushindani ushindani uchochea maendeleo na ufanisi
Bandari ya Dar bado ni ndogo kuhudumia meli nyingi hadi zinapaki bahari mda mwingi hali zatakiwa zifike na kupakua ziondoke.Tukiwa na bandari ya bagamoyo itapunguza haya