Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,479
- 2,877
Wadau
China anakuja kujenga kwa mkopo toka Oman.
Repayment period mpaka tupewe sisi miaka 99. Muda huu ni mrefu kuliko umri wa uhuru wetu.
Marufuku kuendesha bandari zote Tanga, Dar, Mtwara isipokuwa ni wao tu.
Kwenye industrial parks karibu na bandaro China anakuwa na mandate kumkodishia atakae na haingiliwi kujua bei gani kapata.
Tanzania ingekuwa hub ya imports kuliko exports kupitia bandari hiyo kama ingekuwa hai leo.
Sir Lanka aliumwa na Nyoka. NGOSHA katumia tahadhari kuliko kuingia kichwa-kichwa
Jihabarishe wengine walivyolizwa
www.africanliberty.org
www.google.com
China anakuja kujenga kwa mkopo toka Oman.
Repayment period mpaka tupewe sisi miaka 99. Muda huu ni mrefu kuliko umri wa uhuru wetu.
Marufuku kuendesha bandari zote Tanga, Dar, Mtwara isipokuwa ni wao tu.
Kwenye industrial parks karibu na bandaro China anakuwa na mandate kumkodishia atakae na haingiliwi kujua bei gani kapata.
Tanzania ingekuwa hub ya imports kuliko exports kupitia bandari hiyo kama ingekuwa hai leo.
Sir Lanka aliumwa na Nyoka. NGOSHA katumia tahadhari kuliko kuingia kichwa-kichwa
Jihabarishe wengine walivyolizwa
Like Zambia, Sri Lanka also handed over port to China to pay off debt - African Liberty
Sri Lanka’s Hambantota Port was signed over to China on a 99-year lease because Sri Lanka could not repay Chinese loans it took out to build the port Palpable fears heightened across Africa, last week, following a report of impending takeover of Zambia’s national power company by China after the...
Sri Lanka hands over major port to Chinese company
Sri Lanka hands over running of Hambantota port to Chinese company