Mradi wa bandari Bagamoyo pamoja na Magufuli kusema ni wakinyonyaji lakini unatekelezwa!!!

Tanzania ingekuwa hub ya imports kuliko exports kupitia bandari hiyo kama ingekuwa hai leo.

Sir Lanka aliumwa na Nyoka. NGOSHA katumia tahadhari kuliko kuingia kichwa-kichwa

Jihabarishe wengine walivyolizwa
Unatuwekea haya yatatusaidia nini.
Weka habari za uhakika kuhusu mkataba wenyewe wa Bagamoyo tuyasome wenyewe kuliko kubabaishwa na hizo ngonjera ulizoziweka hapo. Kwanza hukusema umezitoa wapi hizo habari!

Tuwekee hapa tuzisome wenyewe, na sio kuja kutuwekea habari zisizokuwa na kichwa wala miguu.
 
Ukishaweka maamuz hadharani........ni vyema ukiamua vinginevyo urud tena hadharani kuongea na hadhara kuwapa feed back
Huyu ngosha wakati mwingine harudi hadharani. Alizuia hadharani makinikia yasisafirishwe lakini kayaruhusu kimyakimya!
 

Hivi unajua, Mradi hasa wa bomba la mafuta una magumashi sana na unajua gharama iliyotumika sio halisia?
 
Bandari ya Dsm itabakia kuwa Bandari ya meli za mafuta na mzigo ya ndani ya Nchi hizo Bandari zingine zitakuwa za kimataifa Nchi jirani
True bandari ya dar ingebakia kupakua mafuta tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…