Kwani kuna mtu muongo na asiyeaminika kama Rais Magufuli! Lengo lake ni kuipaka matope na kusitisha "mega projects" zilizoanzishwa na JK kwasababu yeye "halambi unga" kupitia miradi hiyo.
We naglia tu anavyoponda miradi ya gesi ya Mtwara na Kilwa na Umeme wa Kinyerezi.
Kama kweli mradi unaendelea basi uje na yeye "anatandaza ulimi" hapo.