menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 670
Wakuu!
Jana nimetembelea kujionea maendeleo ya ujenzi wa kipande hiki cha barabara kutokea mbagala hadi kariakoo! Hakika inapendeza sana. Asilimia kubwa imekamilika hivyo soon mradi huu utakuwa unaanza kazi!
Lakini tofauti niliyoiona ni kuwa ile awamu ya kwanza ambayo ilijengwa Na strabag kwakweli ilikuwa Na viwango vya juu sana, Strabag walifanya kazi ya kibabe sana, Kuanzia barabara yenyewe mpaka vituo vya abiria ni vyote ni vya hali ya juu sana.
Tukirudi Kwenye huu mradi ukiangalia hata vituo vya abiria japo bado havija kamilika utagundua ni vidogo sana alafu ni vyembamba sio makubwa kama yale ya phase one, Zege iliyowekwa ni ile nyembamba pia! Japo sijajua ni kampuni gani inajenga huu mradi ila kiuhalisia haujakutia phase one Kwa ubora wa hali ya juu japo pia kwakweli wamejitahidi na soon watu wa mbagala watapunguziwa tabu ya usafiri.
Jana nimetembelea kujionea maendeleo ya ujenzi wa kipande hiki cha barabara kutokea mbagala hadi kariakoo! Hakika inapendeza sana. Asilimia kubwa imekamilika hivyo soon mradi huu utakuwa unaanza kazi!
Lakini tofauti niliyoiona ni kuwa ile awamu ya kwanza ambayo ilijengwa Na strabag kwakweli ilikuwa Na viwango vya juu sana, Strabag walifanya kazi ya kibabe sana, Kuanzia barabara yenyewe mpaka vituo vya abiria ni vyote ni vya hali ya juu sana.
Tukirudi Kwenye huu mradi ukiangalia hata vituo vya abiria japo bado havija kamilika utagundua ni vidogo sana alafu ni vyembamba sio makubwa kama yale ya phase one, Zege iliyowekwa ni ile nyembamba pia! Japo sijajua ni kampuni gani inajenga huu mradi ila kiuhalisia haujakutia phase one Kwa ubora wa hali ya juu japo pia kwakweli wamejitahidi na soon watu wa mbagala watapunguziwa tabu ya usafiri.