Mradi wa barabara ya mwendokasi Kilwa Road

Mradi wa barabara ya mwendokasi Kilwa Road

Phase one kaka ile ilikuwa ni sponsored by WB kama sikosei ..ndio maana standard ilikuwa ya hali ya juu sanaa, na ndio maana kipindi kile nchi nyingi za Africa zilikuwa zina letwa kuja kuutazama mradi wa mfano wa kwanza wa BRT in SSC, hata wakat wapo ktk interim yaan kulikuwa na standard sanaa, dereva alikuwa ana tangaza jina lake, ana karibisha abiria ..yaan ilikuwa classic sanaa lkn kinachoendelea sasa ni MAKIMBA matupuuuuu in term.of service

Sasa in term of miundombinu aisee Wajerumani wale walifanya kazi bana, na hapa ndio tunaona tofauti sasa ...pale Ubungo terminal jamaa walichimbaaa pale,

Mfano ktk ivi vituo vya BRT vya zaman vile vituo ni zege tupu, lkn hii ya mbagala naona jamaa wame panga tofali kama za fundi michael sasa pale ..mlori ukigonga si kituo chote kushnei....
 
Phase one kaka ile ilikuwa ni sponsored by WB kama sikosei ..ndio maana standard ilikuwa ya hali ya juu sanaa, na ndio maana kipindi kile nchi nyingi za Africa zilikuwa zina letwa kuja kuutazama mradi wa mfano wa kwanza wa BRT in SSC, hata wakat wapo ktk interim yaan kulikuwa na standard sanaa, dereva alikuwa ana tangaza jina lake, ana karibisha abiria ..yaan ilikuwa classic sanaa lkn kinachoendelea sasa ni MAKIMBA matupuuuuu in term.of service

Sasa in term of miundombinu aisee Wajerumani wale walifanya kazi bana, na hapa ndio tunaona tofauti sasa ...pale Ubungo terminal jamaa walichimbaaa pale,

Mfano ktk ivi vituo vya BRT vya zaman vile vituo ni zege tupu, lkn hii ya mbagala naona jamaa wame panga tofali kama za fundi michael sasa pale ..mlori ukigonga si kituo chote kushnei....

Sasa naelewa aiseee
 
Huu mradi ni wakipumbavu sana. Mimi ni mmoja naye sema huko chini ya kiwango. Kipindi kile unajengwa huu wa kwanza ulikua unaona nondo na zege za kutosha. Mfano vituo na zile gema za kutenganisha barabara za mwendokasi. Ukipita ile njia unaona kabisa hapa tunaunganisha barabara na Zege pasipo ubora.

Kuna makosa yanafanyika na kama yaliyofanyika hapo mwanzo. Mfano pale mto msimbazi na kigogo chini kuja magomeni bado barabara wanaijenga chini vile vile. Ile barabara kipindi cha mvua ni maji huwa yanapita juu. Yanakua yale yale ya mkwajuni au jangwani.

Nahisi huyu mkandarasi ni wa bei ndogo na anatujengea kulingana na bajeti au utoaji pesa wetu. Kikubwa mradi ukamilike zipigwe shangilio

Doh!!! [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
Mtoa mada inaelekea sio mkazi au mpitaji wa maeneo hayo mara mara ila kwangu mimi naona mkandarasi wa kipande cha Mbangala ni puwa zaidi kuliko wa sehemu zote makosa mengi , mradi spindi ya kobe nk

Yes! Leo nilipita siishi huko Mkuu!! [emoji30][emoji30]
 
Sasa naelewa aiseee
Point of correction :
Mradi ni funded na WB kumbe, ila hawa wachina sijui wametokea wapi ....phase two funded na AFDB

Tanzania - Dar es Salaam Bus Rapid Transit System Project – Phase 2




 
Phase one kaka ile ilikuwa ni sponsored by WB kama sikosei ..ndio maana standard ilikuwa ya hali ya juu sanaa, na ndio maana kipindi kile nchi nyingi za Africa zilikuwa zina letwa kuja kuutazama mradi wa mfano wa kwanza wa BRT in SSC, hata wakat wapo ktk interim yaan kulikuwa na standard sanaa, dereva alikuwa ana tangaza jina lake, ana karibisha abiria ..yaan ilikuwa classic sanaa lkn kinachoendelea sasa ni MAKIMBA matupuuuuu in term.of service

Sasa in term of miundombinu aisee Wajerumani wale walifanya kazi bana, na hapa ndio tunaona tofauti sasa ...pale Ubungo terminal jamaa walichimbaaa pale,

Mfano ktk ivi vituo vya BRT vya zaman vile vituo ni zege tupu, lkn hii ya mbagala naona jamaa wame panga tofali kama za fundi michael sasa pale ..mlori ukigonga si kituo chote kushnei....
Ht phase 3 ni WB bt kapewe mchina..kuna shida mahala aisee.
Wajerumani walijenga kwa viwango ila waliminya upana wa barabara.
Nahisi phase 2 wameminya ubora ili waweze ku accomodate hizo flyover mbili.
 
Ht phase 3 ni WB bt kapewe mchina..kuna shida mahala aisee.
Wajerumani walijenga kwa viwango ila waliminya upana wa barabara.
Nahisi phase 2 wameminya ubora ili waweze ku accomodate hizo flyover mbili.
Ninkweli phase 3 ni WB ila phase 2 ni AFDB wa swahili wenzetu hawa 😆😆 zile tofali sijui itakuwaje ...
 
Mchina na itazinduliwa mwisho wa mwezi.
Kinachozinduliwa mwisho wa mwezi huu WA tano ni flyover upande mmoja wa kutoka mbagala kuelekea city center pamoja na mradi wa daraja la mto wami

Barabara Kama barabara mradi utakamilika mwakani mwezi wa tatu au wa tano ( sina kumbukumbu sahihi kuhusu mwezi) .Hii ni kwa mujibu wa mkandarasi,ilikuwa mwezi April ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla alipotembelea huo mradi wa mwendokasi
 
Kwanini.wasinge wapa wachina walio.jenga flyover ya ubungo?
Tabutupu Mradi huu wa BRT Phase 2 alipewa huyo huyo Mchina aliyejenga KIJAZI INTERCHANGE UBUNGO. Kampuni ya CCECC ila wakati wameingia mkataba tu... Wakapata Tender ya Daraja la Magufuli (Kigongo/Busisi) hivyo kugawana na hao Synohydro kuwa wao CCECC Wajenge vituo Synohydro wajenga Miundo mbinu mingine ikiwemo Barabara,Mitaro,Mifereji,Madaraja,Walkover na Flyovers,

Siwalaumu CCECC wakulaumiwa ni Kampuni ya Consultation ya kizalendo INTER-CONSULT LIMITED.
 
Tabutupu Mradi huu wa BRT Phase 2 alipewa huyo huyo Mchina aliyejenga KIJAZI INTERCHANGE UBUNGO. Kampuni ya CCECC ila wakati wameingia mkataba tu... Wakapata Tender ya Daraja la Magufuli (Kigongo/Busisi) hivyo kugawana na hao Synohydro kuwa wao CCECC Wajenge vituo Synohydro wajenga Miundo mbinu mingine ikiwemo Barabara,Mitaro,Mifereji,Madaraja,Walkover na Flyovers,

Siwalaumu CCECC wakulaumiwa ni Kampuni ya Consultation ya kizalendo INTER-CONSULT LIMITED.
Walifanya nn hao wazalendo
 
Kinachozinduliwa mwisho wa mwezi huu WA tano ni flyover upande mmoja wa kutoka mbagala kuelekea city center pamoja na mradi wa daraja la mto wami

Barabara Kama barabara mradi utakamilika mwakani mwezi wa tatu au wa tano ( sina kumbukumbu sahihi kuhusu mwezi) .Hii ni kwa mujibu wa mkandarasi,ilikuwa mwezi April ambapo mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla alipotembelea huo mradi wa mwendokasi

Aiseee
 
Phase one kaka ile ilikuwa ni sponsored by WB kama sikosei ..ndio maana standard ilikuwa ya hali ya juu sanaa, na ndio maana kipindi kile nchi nyingi za Africa zilikuwa zina letwa kuja kuutazama mradi wa mfano wa kwanza wa BRT in SSC, hata wakat wapo ktk interim yaan kulikuwa na standard sanaa, dereva alikuwa ana tangaza jina lake, ana karibisha abiria ..yaan ilikuwa classic sanaa lkn kinachoendelea sasa ni MAKIMBA matupuuuuu in term.of service

Sasa in term of miundombinu aisee Wajerumani wale walifanya kazi bana, na hapa ndio tunaona tofauti sasa ...pale Ubungo terminal jamaa walichimbaaa pale,

Mfano ktk ivi vituo vya BRT vya zaman vile vituo ni zege tupu, lkn hii ya mbagala naona jamaa wame panga tofali kama za fundi michael sasa pale ..mlori ukigonga si kituo chote kushnei....
Hyo SSC sio Simba sports club kweli!?
 
Tabutupu Mradi huu wa BRT Phase 2 alipewa huyo huyo Mchina aliyejenga KIJAZI INTERCHANGE UBUNGO. Kampuni ya CCECC ila wakati wameingia mkataba tu... Wakapata Tender ya Daraja la Magufuli (Kigongo/Busisi) hivyo kugawana na hao Synohydro kuwa wao CCECC Wajenge vituo Synohydro wajenga Miundo mbinu mingine ikiwemo Barabara,Mitaro,Mifereji,Madaraja,Walkover na Flyovers,

Siwalaumu CCECC wakulaumiwa ni Kampuni ya Consultation ya kizalendo INTER-CONSULT LIMITED.
Baada ya daraja CCECC wakapewa na kipande cha reli cha Mwanza Isaka...now wana lobby wapewe kipande cha tabora kigoma while wana pending kibao.
 
Baada ya daraja CCECC wakapewa na kipande cha reli cha Mwanza Isaka...now wana lobby wapewe kipande cha tabora kigoma while wana pending kibao.
Na bomba la mafuta la tanga wamepewa waoo hao jamaa sio poa
 
Back
Top Bottom