Ni trillion ngapi kwa pesa ya Tanzania?Siyo swala la kuwa Mwafrika au la, ni swala la kiuchumi, haya mambo ndiyo yaliyotufikisha hapa, kuwekeza 1 bilion USD kwa nchi kama Tanzania ni pesa nyingi sana, na Kenya hakuna uchumi wa kuhalisha huo uwekezaji.
MkuuBinafsi siamini kama Kenya kuna Uchumi wa kuhalalisha uwekezaji wa 1 bilion USD, hiyo ni pesa nyingi sana, na hakuna Viwanda wala households za kurudisha hiyo gharama, Uchumi wao hautoshi, kwa maoni yangu ni bora Gesi yetu tungejikita kwenye kuexport kwenye Industrialized countries, huko ndiko kutakapo lipa, kama tukijaza Meli na Gesi na kuiuza Ulaya, Asia au hata USA ingawaje wana yao pia, lkn hasa Ulaya na Asia italipa, lkn kwa Kenya Uchumi wao ni mdogo mno kuhalalisha 1 billion Dollar USD investment hasa kama italipwa na walipa kodi wa uchumi mdogo kama wetu au Kenya.
Hivi hizi gas mihan, taifa, manjis ziko kwenye form ipi? Zinatokea mtwara? Naogopa kusema kuwa tuna gas lkn hatuiztumii kumbe tunazo za orexy, mihan, lake gas, manjis, taifa gas etcKaka tofautisha mamba mawili katika biashara ya gesi
1)Compressed gas = Hii ni lazima ujenge kiwanda kwa ajili ya kuigeuza iwe kwenye 'liquid form" iweze kuingia katika meli na mitungi midogo kwa kusafirishwa.
Hiki kiwanda pekee kinagharimu $30B, ndio mazungumzo yapo katika hatua za mwisho ili wawekezaji waanze kujenga hicho kiwanda huko Mtwara ili gesi yetu iweze kupelekwa nchi mbali mbali duniani.
Kutokana na uwekezaji wa pesa nyingi katika kujenga kiwanda, matokeo yake gharama ya gesi inakua juu sana kwa wananchi masikini kuweza kupikia majumbani
2)Non compressed= Hii gharama yake ni Kihinga bomba toka kwenye visima hadi majumbani, unatumia kama maji, bei yake ipo chini sana, wananchi wengi wanaweza kulipia.
Kiwanda cha kugeuza gesi kuwa maji ni biashara kubwa kwa hiyo ni private sector, lakini bomba la gesi zaidi ni serikali kwasababu ni sehemu ya huduma kama umeme na reli.
Mkuu
Unangaalia horizon ya muda gani?
Lakini sio pesa nyingi Kama unavyofikiria it's just 2.3trillion sh.
Hivi we mkikuyu ni mtz au nyang'au? Ha ha haAisee Hivi si juzi tu Kenyatta alifunga safari kwenda msubiji na tukaaminishwa kwamba ameteka madili manono manono ya gesi ya msubiji? Nyuzi Mia Moja zikafunguliwa humu eti Yule Mlevi ni "Akili Kubwa"
Kumbe ubabaishaji tu! Mishowe lazima wapige magoti kwa Baba Lao
Kama tunajenga miradi ya trillion 6 na 7 SGR na Umeme, 2.3 ni hela ya mboga tuNi nyingi sana kwa ukubwa wa Uchumi wa Tanzania, ukitaka kujua 1 bilion USD ni kiasi fikiria hili, Mgodi mzima wa Buzwagi thamani yake ilikuwa ni Milioni 300 USD, lkn Serikali ilitafuta muwekezaji kwa kuwa pamoja na mambo mengine haikuwa na hizo fedha, hivyo ina maana kwa 1 bilioni USD tuna uwezo wa kuwa na Migodi 2 kama Buzwagi na kubakia chenji, Migodi ambayo tungeimiliki kwa 100% na siyo kupata 3%, sasa kwa nini tutumiie 1 billion USD kujenga Bomba la mafuta kwenda Kenya ambapo hata haitolipa?
Kama tunajenga miradi ya trillion 6 na 7 SGR na Umeme, 2.3 ni hela ya mboga tu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nafurahi kuona kwamba uko objective. Yaani kama kitu kina manufaa naona huogopi kusema. Hio ni poa. Ndio Sgr ina mapungufu mengi ila pia ina manufaa yake. Endelea kusimama na ukweli.Soma vizuri nimesema haina faida beyond Nairobi, lakini Mombasa to Nairobi inasaidia ndio sababu nikasema umuhimu wa Mombasa to Nairobi super high way haupo tena kutokana na kuwepo hiyo reli
Twende kwa mfanoNafikiri labda hatuko page moja na tunaongelea vitu 2 tofauti, sisemi kwmba hatuna uwezo wa kupata 1 billion USD bali huo mradi kwa maoni yangu haulipi kwa fedha zote hizo, nina uhakika 1 bilion USD kama tunazo hapa Tanzania tunaweza kufanyia mambo mengi na yenye kuleta faida kubwa kuliko hilo bomba, ...
Twende kwa mfano
Matumizi ya mwezi gasi ya kupikia ni mtungi wa kg 15, sawa na 53,000/-.
Tuchukue 1/4 ya watu milion 50 wa kemya wanatumia au watatumia gas kwa matumizi ya nyumbani. Ni sawa na kaya 12,500,000 zitumie gas kupikia.
12,500,000*53,000=662,500,000,000/-
Zidisha kwa mwaka yaani 12 month's
=7,950,000,000,000/-
Sijasoma hesabu. Lkn iko hivyo iwapo nishati nyingine zitapigwa marufuku
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nimeuliza hili swali kuwa hizi mihan, manjis, lake gas, orexy zinatokana na gas yetu? Sijapata jibuHayo yangefanyika hapa nyumbani kwanza na kuwa success story ndiyo tungeanzia hapo na hayo Mahesabu yako, kumbuka Gesi kuifikisha Majumbani ni lazima Miundo mbinu iwepo pia, sasa ni nani ataijenga hiyo Miundo mbinu huko Kenya? Ni Kaya kwanza ngapi hapa nyumbani zinatumia Gesi ya Tanzania kwa matumizi ya kila siku? Kaya nyingi zilizonizunguka zinatumia gesi ya Mitungi ambayo inaagizwa kutoka nje, kwanza sijawahi kukutana Mtanzania ambaye anatumia Gesi ya Tanzania nyumbani kwake, ...
Nimeuliza hili swali kuwa hizi mihan, manjis, lake gas, orexy zinatokana na gas yetu? Sijapata jibu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kaka gesi yoyote iliyopo ndani ya mtungi ni "Liquid form", yaani imekuwa "Compressed tayari. Hapa Africa hakuna kiwanda hata kimoja kinachofanya hivyo, hizo gesi zote zinatoka Uarabuni na mashariki ya kati.Hivi hizi gas mihan, taifa, manjis ziko kwenye form ipi? Zinatokea mtwara? Naogopa kusema kuwa tuna gas lkn hatuiztumii kumbe tunazo za orexy, mihan, lake gas, manjis, taifa gas etc
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Du bro kuwa serious,Ni nyingi sana kwa ukubwa wa Uchumi wa Tanzania, ukitaka kujua 1 bilion USD ni kiasi fikiria hili, Mgodi mzima wa Buzwagi thamani yake ilikuwa ni Milioni 300 USD, lkn Serikali ilitafuta muwekezaji kwa kuwa pamoja na mambo mengine haikuwa na hizo fedha, hivyo ina maana kwa 1 bilioni USD tuna uwezo wa kuwa na Migodi 2 kama Buzwagi na kubakia chenji, Migodi ambayo tungeimiliki kwa 100% na siyo kupata 3%, sasa kwa nini tutumiie 1 billion USD kujenga Bomba la mafuta kwenda Kenya ambapo hata haitolipa?
Basi sawa, inaweza isisaidie kama bado gas yetu wenyewe haitusaidii.Siyo, zinaagizwa kutoka nje,hao ni wasambazaji tu, ni kama tu waagizaji wa Windhoek au budweiser bia, ingekuwa ni ya kwetu tungekuwa mbali sana, ...
Du bro kuwa serious,
Bomba la gas kutoka Mtwara Hadi Dar ni Dola 600 million, na tunatumia only 11%.
SGR Dar Moro ni zaidi ya hiyo hela usiwaze kimasikini hivyo
Ngumu kumesa mzee. Sasa hii gas ya hawa makonde waliokataa haitoki Mtwara, imesaidia nini hadi sasa?Kaka gesi yoyote iliyopo ndani ya mtungi ni "Liquid form", yaani imekuwa "Compressed tayari. Hapa Africa hakuna kiwanda hata kimoja kinachofanya hivyo, hizo gesi zote zinatoka Uarabuni na mashariki ya kati.
Kama kiwanda kitajengwa mtwara kama tunavyotegemea huenda kikawa ndio cha kwanza Africa, hiyo haina maana kwamba gasi za kwenye mitungi zitapungua bei kwasababu kiwanda kipo Tanzania.
Chukulia mfano wa maji ya kunywa, chupa moja ya maji ya Lita moja ni Tsh 500, Lakini ndoo moja ya maji ya Lita 20 kwenye kiosk cha serikali ni Tsh 50. Kwahiyo mkombozi wa wananchi ni pipe za Vodacom gesi majumbani sio gesi za kwenye mitungi, hicho kiwanda ni kwa ajili ya biashara.
Kaka gesi yoyote iliyopo ndani ya mtungi ni "Liquid form", yaani imekuwa "Compressed tayari. Hapa Africa hakuna kiwanda hata kimoja kinachofanya hivyo, hizo gesi zote zinatoka Uarabuni na mashariki ya kati.
Kama kiwanda kitajengwa mtwara kama tunavyotegemea huenda kikawa ndio cha kwanza Africa, hiyo haina maana kwamba gasi za kwenye mitungi zitapungua bei kwasababu kiwanda kipo Tanzania.
Chukulia mfano wa maji ya kunywa, chupa moja ya maji ya Lita moja ni Tsh 500, Lakini ndoo moja ya maji ya Lita 20 kwenye kiosk cha serikali ni Tsh 50. Kwahiyo mkombozi wa wananchi ni pipe za Vodacom gesi majumbani sio gesi za kwenye mitungi, hicho kiwanda ni kwa ajili ya biashara.