Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Ajiulize baada ya Uganda kuanza ku-refine mafuta yake bomba lao la Mombasa-Nairobi-Kisumu litahudumia nani hapa EA? Hili bomba la gesi litalipa uhai bomba lao la mafuta!Ten years from now, Kenya itakua katika hali mbaya sana bila hii gesi au kuungwa na umeme wa Julius Nyerere hydroelectricity dam.