Nimefanya research kwa undani kuihusu na nimezungumza na Wahabeshi wengi sana kuihusu. Mimi mwenyewe nimetembea Ethiopia na kuongea na Wahabeshi kwa undani kuhusu mambo mengi including Gerd. Sawa wacha tungoje.Tujipe muda kama tulivyojipa katika uzi wa Amina vs Ngozi, nadhani sasa unajua nani aliyekua sahihi kati yetu [emoji23][emoji23][emoji23], hata katika hili ninauhakika utainamisha kichwa chini kama unavyoinamisha katika la WTO, maana sijakusikia ukisema chochote. [emoji56][emoji56][emoji56]
Sawa, tutaona kati ya wewe uliyezungumza na wahabeshi, na mimi ambaye nipo nipo tu, nani atainamisha kichwa kwa mara ya pili?,. Kwenye "issue" ya Amina ulikua na maneno mazuri sana, lakini sasa hivi hitaki kabisa kulizingumzia baada ya "terrible humiliation"[emoji23][emoji23][emoji23], katika hili ninakuhakikishia by 98% unapoteza tena.Nimefanya research kwa undani kuihusu na nimezungumza na Wahabeshi wengi sana kuihusu. Mimi mwenyewe nimetembea Ethiopia na kuongea na Wahabeshi kwa undani kuhusu mambo mengi including Gerd. Sawa wacha tungoje.
Ethiopia imeinvest $4.6 billion kwa hii dam. Halafu hio pesa ni michango ya Wahabeshi wa kawaida. Sasa sijui ni nini inakufanya useme eti Ethiopia hatazalisha umeme. Halafu hii dam iko 80% complete sasa sijui ni jambo gani inakufanya useme eti dam halitakamilika
Tazama picha mzee na ukubali kuwa hii dam imeshakamilika isipokuwa final touches tu. Halafu uhusiano kati ya Kenya na Ethiopia sio mbaya kama uhusiano kati ya Kenya na TZ.
View attachment 1592839View attachment 1592840View attachment 1592841View attachment 1592842View attachment 1592843View attachment 1592844
Wacha kucheka cheka. Hatujui nani atachaguliwa kati ya huyo Mnigeria au yule mama kutoka South Korea. Wazungu na Asians ni racists sana. Usishangae wakiamua kumchagua mama kutoka S. Korea na kumtema nje huyo mama kutoka Nigeria. Mimi namsupport Mnigeria kwa sababu yeye ndiye Mwafrika aliyebaki katika uwanja. Kuna uwezekano mkubwa kuwa huyo mama kutoka S. Korea ndiye atakayechaguliwa. Kwa hivyo usianze kusherehekea hadi mshindi atangazweSawa, tutaona kati ya wewe uliyezungumza na wahabeshi, na mimi ambaye nipo nipo tu, nani atainamisha kichwa kwa mara ya pili?,. Kwenye "issue" ya Amina ulikua na maneno mazuri sana, lakini sasa hivi hitaki kabisa kulizingumzia baada ya "terrible humiliation"[emoji23][emoji23][emoji23], katika hili ninakuhakikishia by 98% unapoteza tena.
By the way hebu sikiliza hii video hadi mwisho
Egypt is seeking support. That does not mean that Kenya has agreed to support EgyptWhile Kenya is already busy at backstabbing Ethiopia a habit u r best at!
Mimi na wewe tulikua tunalinganisha kati ya Ngozi na Amina, ubishi wetu umeshakwisha kwa wewe kupoteza kwa aibu kubwa baada ya kumpamba na kumsifia Amina, huko kwengine mimi na wewe tupo pamoja[emoji23][emoji23][emoji23]Wacha kucheka cheka. Hatujui nani atachaguliwa kati ya huyo Mnigeria au yule mama kutoka South Korea. Wazungu na Asians na racists sana. Usishangae wakiamua kumchagua mama kutoka S. Korea na kumtema nje huyo mama kutoka Nigeria. Mimi namsupport Mnigeria kwa sababu yeye ndiye Mwafrika aliyebaki katika uwanja. Kuna uwezekano mkubwa kuwa huyo mama kutoka S. Korea ndiye atakayechaguliwa. Kwa hivyo usianze kusherehekea hadi mshindi atangazwe
Egypt seeking support then Uhuru went to Cairo to talk about GERD! R u ok upstairs?Egypt is seeking support. That does not mean that Kenya has agreed to support Egypt
Kenya has signed a contract to buy 500MW of electricity from Ethiopia. We have spent our own money building a 500HDV powerline from Ethiopia to Kenya. Are you crazy Geza? Yaani Tutumie pesa yetu kujenga poweline halafu tusupport Egypt? Saa zingine huwa unanishangaza.Egypt seeking support then Uhuru went to Cairo to talk about GERD! R u ok upstairs?
Nimeanza kuogopa hii pesa inaweza kupotea bure, sioni dalili ya umeme kuzalishwa katika hilo bwawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kenya has signed a contract to buy 500MW of electricity from Ethiopia. We have spent our own money building a 500HDV powerline from Ethiopia to Kenya. Are you crazy Geza? Yaani Tutumie pesa yetu kujenga poweline halafu tusupport Egypt? Saa zingine huwa unanishangaza.
Sodo–Moyale–Suswa High Voltage Power Line - Wikipedia
Ur own money wacha upumbavu! WB and AfDB r financing East African Power Pool!Kenya has signed a contract to buy 500MW of electricity from Ethiopia. We have spent our own money building a 500HDV powerline from Ethiopia to Kenya. Are you crazy Geza? Yaani Tutumie pesa yetu kujenga poweline halafu tusupport Egypt? Saa zingine huwa unanishangaza.
Sodo–Moyale–Suswa High Voltage Power Line - Wikipedia
Nani atalipa hio loan? Mke wako?Ur own money wacha upumbavu! WB and AfDB r financing East African Power Pool!
Na ile loan ya juzi from France ni transmission line ya wapi? Na itakuwa ya msongo wa KV ngapi?Nani atalipa hio loan? Mke wako?
Nani atalipa hio loan? Mke wako?
Nimeshakueleza kuwa sitadebate na wewe kuhusu Gerd. Wacha tungojeNimeanza kuogopa hii pesa inaweza kupotea bure, sioni dalili ya umeme kuzalishwa katika hilo bwawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umbwa wewemamako!
Umbwa wewe
Loans hizo bado zitalipwa na serikali ya Kenya. Wewe IQ yako ni kidogo sana kama unadhani loan ni msaada. Ama unadhani WB wanapeana misaada? What is wrong with you? Hio loan italipwa na serikali ya Kenya kutumia taxes za Wakenya. Reasoning yako iko chini sana.stay in line if u can't argue go n sleep mambo ya mke wangu yananipa ruhusa ya kukujibu nitakavyo! All Transmission Line projects in Kenya r financed through loans from abroad!
Loans hizo bado zitalipwa na serikali ya Kenya. Wewe IQ yako ni kidogo sana kama unadhani loan ni msaada. Ama unadhani WB wanapeana misaada? What is wrong with you? Hio loan italipwa na serikali ya Kenya kutumia taxes za Wakenya. Reasoning yako iko chini sana.
Unamaanisha nini kwa kusema "still not our money"? Kwani hio loan tutailipa kwa kutumia pesa yako? Mzee wewe umepungukiwa mahali. Wacha debate iishe. Sitajadili na mtu mwenye IQ ya kuku.Still not ur own money! u took loan!