Mradi wa bomba la gesi asili toka Tanzania kwenda Kenya

Mradi wa bomba la gesi asili toka Tanzania kwenda Kenya

on record Huu ndo uropokaji uliofanya! [emoji3516]
Sasa hapo wapi nimekosea?, au unataka kucheza na Lugha ili kuhalalisha " your ignorance?". Kama mtu akiuliza hii gas ya kupikia katika mutungi (LNG). Inatoka wapi, ukimpa hilo jibu langu uliloweka hapo kuna kosa gani?, hapo maana yake ni kwamba Afrika nzima hakuna kiwanda cha Liquefied gas ambayo ndio inajanzwa katika mitungi kwa ajili ya matumizi ya majumbani, au wewe ulishaona gas gani inayotumika katika mitungi ya majumbani ambayo sio Liquid form?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
LNG gas haisambazwi kwenye mitungi kwa matumizi inabadilishwa pale LNG tanker linapofika bandarini na ku-discharge mzigo kuwekwa kwenye storage facilities under different flowrates, pressure and temperature conditions! Unachoongelea wewe ni CNG na si LNG to the end users! For the last time i won't reply to u knucklehead! 😡😡
Hujui lolote wewe, hicho kiwanda tunachojenga cha LNG unadhani hizo meli zitajazokuja kununua hiyo gas na kwenda kuiuza katika nchi mbali mbali duniani, huko itakapouzwa hii LNG hawatojaza katika mitungi, hivi nchi kama South Africa wakiamua kuja kununua hiyo LNG yetu, ikifika huko South Africa, hao wananchi wataitumiaje kama sio kujazwa katika mitungi midogo midogo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo wapi nimekosea?, au unataka kucheza na Lugha ili kuhalalisha " your ignorance?". Kama mtu akiuliza hii gas ya kupikia katika mutungi (LNG). Inatoka wapi, ukimpa hilo jibu langu uliloweka hapo kuna kosa gani?, hapo maana yake ni kwamba Afrika nzima hakuna kiwanda cha Liquefied gas ambayo ndio inajanzwa katika mitungi kwa ajili ya matumizi ya majumbani, au wewe ulishaona gas gani inayotumika katika mitungi ya majumbani ambayo sio Liquid form?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
gesi ya kupikia majumbani ni LPG (propane na butane) au CNG (methane) hamna LNG inayotumika kupikia au kuendesha magari!
 
gesi ya kupikia majumbani ni LPG (propane na butane) au CNG (methane) hamna LNG inayotumika kupikia au kuendesha magari!
Ulaya kote wanatumia LNG inayotoka Russia na nchi za Umoja wa Soviet ya Zamani. Geza wacha kujiabisha kaka, uelewa wako katika hii mada ni mdogo sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
gesi ya kupikia majumbani ni LPG (propane na butane) au CNG (methane) hamna LNG inayotumika kupikia au kuendesha magari!
Gas zote iwe ni Natural au By product ya Crude oil Kama hiyo LPG, matumizi yake ni sawa kabisa, huwezi sema hii ni kwa ajili ya kupikia na hii haifai kupikia, unazidi kudhihirisha jinsi ulivyo mwepesi katika hii mada.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Ulaya kote wanatumia LNG inayotoka Russia na nchi za Umoja wa Soviet ya Zamani. Geza wacha kujiabisha kaka, uelewa wako katika hii mada ni mdogo sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

At room temperature (21 deg C) u have natural gas methane or CNG u cant keep it in a liquid form! U need to lower the temperature to -161 degree Celsius to stay in liquid form! No household can manage that temperature only LNG plants and LNG tankers!

Liquefied natural gas (LNG)

We cool natural gas to -162° Celsius (-260° Fahrenheit), turning it into a liquid and reducing its volume by 600 times, which makes it easy and economical to ship to energy-hungry places around the world. We also turn LNG back into gas for distribution to homes and businesses.

As a pioneer of LNG, Shell provided the technology for the world’s first commercial LNG plant in 1964, and shipped the very first commercial cargo, starting a global trade. We have been designing and building LNG plants.

Natural gas
 
gesi ya kupikia majumbani ni LPG (propane na butane) au CNG (methane) hamna LNG inayotumika kupikia au kuendesha magari!
Sisi huku Afrika tunatumia LPG kwasababu tunaipata kutoka nchi zinazozalisha mafuta, kumbuka kwamba LPG ni zao la Crude Oil, hata Uganda wakianza kusafisha mafuta yao wataanza kutumia gas yao kupikia na matumizi ya NYUMBANI, ila haitokua LNG, bali itakua ni CPG kwasababu hawana kiwanda cha LPG.

Nchi zenye kuzalisha mafuta mengi kama Saudia Arabia, Iran na nchi Za Opec, huwa wana viwanda vya LPG pia, ndio sababu tunanua kutoka kwao both refined oil, oil products na LPG.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
At room temperature (21 deg C) u have natural gas methane or CNG u cant keep it in a liquid form! U need to lower the temperature to -161 degree Celsius to stay in liquid form! No household can manage that temperature only LNG plants and LNG tankers!
Ngoja nikufundishe Chemistry kidogo. Gas yoyote ile duniani ili ibaki kuwa gas, vitu viwili ni "variable"
1)Temperature
2)Pressure

Gas yoyote ile, iwe ni Natural au product ya Crude Oil, ukishusha Sana temperature wakati Pressure inabaki kuwa "Constant", itafika and point itakuwa ni liquid form, au ukiongeza pressure na joto likabaki Constant, itafika wakati gas itageuka kuwa Liquid from

Hii mitungi ya Gas na tankers, zinatumia principal ya Pressure kuhakikisha gas inabaki katika liquid form, ila katika kiwanda cha kuchakata gas, vinatumia principle ya Temperature.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
At room temperature (21 deg C) u have natural gas methane or CNG u cant keep it in a liquid form! U need to lower the temperature to -161 degree Celsius to stay in liquid form! No household can manage that temperature only LNG plants and LNG tankers!
Geza hili sio eneo lako, tulia upate somo [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
At room temperature (21 deg C) u have natural gas methane or CNG u cant keep it in a liquid form! U need to lower the temperature to -161 degree Celsius to stay in liquid form! No household can manage that temperature only LNG plants and LNG tankers!

Liquefied natural gas (LNG)

We cool natural gas to -162° Celsius (-260° Fahrenheit), turning it into a liquid and reducing its volume by 600 times, which makes it easy and economical to ship to energy-hungry places around the world. We also turn LNG back into gas for distribution to homes and businesses.

As a pioneer of LNG, Shell provided the technology for the world’s first commercial LNG plant in 1964, and shipped the very first commercial cargo, starting a global trade. We have been designing and building LNG plants.

Natural gas
Gas yoyote ile inapimwa ubora wake kutokana na idadi za "Carbon atoms" katika molecules zake" The lower number of Carbon atom the better"
1)Methane (CH4)
2)Ethane (C2H6)
3)Propane(C3H8)
4)Butane (C4H10)

Hapo utaona kwamba Methane ina carbon atom moja tu, hiyo maana yake matumizi ya Methane yanazalisha hewa ya Carbon dioxide kidogo kuliko hizo zingine, ndio sababu Ulaya na Marekani wanatumia zaidi LNG kuliko LPG kwasababu LPG zina kiwango kikubwa Sana cha Propane, ndio sababu Kenya walizuia gas kutoka Tanzania kwa kusingizia ilikua na kiwango kikubwa cha Propane kuliko kinachokubalika.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo wapi nimekosea?, au unataka kucheza na Lugha ili kuhalalisha " your ignorance?". Kama mtu akiuliza hii gas ya kupikia katika mutungi (LNG). Inatoka wapi, ukimpa hilo jibu langu uliloweka hapo kuna kosa gani?, hapo maana yake ni kwamba Afrika nzima hakuna kiwanda cha Liquefied gas ambayo ndio inajanzwa katika mitungi kwa ajili ya matumizi ya majumbani, au wewe ulishaona gas gani inayotumika katika mitungi ya majumbani ambayo sio Liquid form?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Katika post yako #156, hukuspecify ni gesi gani unachozungumzia. Wewe ulisema tu gesi yoyote iliyo mitungini hapa Afrika imetoka ughaibuni. Sasa hivi ndio umejirudia kwa kuspecify kwamba ulimaanisha LNG. Mbona hukusema LNG mwanzoni? Ama hukujua kuwa CNG pia inaweza kutiwa mitungini? Hata mimi sikujua kuwa CNG inaweza kutiwa mitungini, Geza ndiye amenipevusha.
 
Katika post yako #156, hukuspecify ni gesi gani unachozungumzia. Wewe ulisema tu gesi yoyote iliyo mitungini hapa Afrika imetoka ughaibuni. Sasa hivi ndio umejirudia kwa kuspecify kwamba ulimaanisha LNG. Mbona hukusema LNG mwanzoni? Ama hukujua kuwa CNG pia inaweza kutiwa mitungini? Hata mimi sikujua kuwa CNG inaweza kutiwa mitungini, Geza ndiye amenipevusha.
Inaweza kuweka katika mitungi lakini haitumiki katika commercial scale kwasababu inaingia kidogo Sana, wanaweka kwa matumizi maalumu kama vile kufanya majaribio au matumizi maalumu, ila gas yote inayotumika kibiashara lazima iwe in "Liquid form".

Kwahiyo ukiona mtungi wa gas upo sokoni unatumika kwa matumizi ya nyumbani na Hotelini, hiyo gas lazima iwe katika Liquid Form, inaweza ikawa ni LNG au LPG, kutegemeana na wapi ulikoipata. Liquid form lazima itoke nje ya Africa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Ulaya kote wanatumia LNG inayotoka Russia na nchi za Umoja wa Soviet ya Zamani. Geza wacha kujiabisha kaka, uelewa wako katika hii mada ni mdogo sana
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png


Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Geza anajaribu kukueleza kuwa LNG ni njia tu ya kusafirisha gesi ila meli linapowasili katika destination basi LNG inayeyushwa na kurudi kuwa CNG kisha hii GNG ndio inatumika nyumbani. Yaani kwa mfano mkijenga kiwanda cha LNG halafu mtumie tanker kusafirisha LNG hadi South Afrika, tanker hio itakapowasili SA, basi hio LNG itatolewa kwenye tanker na kuyeyushwa ili irudi kuwa gesi kisha itasafirishwa hadi Joburg, Pretoria n.k ikiwa kama CNG, kutumia pipelines.

Nakusihi utazame hii video ya Geza tena. Mwishoni mwa hii video, wanaeleza wazi kuwa LNG inapowasili kwenye port, LNG hio inayeyushwa na kusafirishwa hadi majumbani ikiwa compressed gas kwa kutumia pipeline.


 
Sisi huku Afrika tunatumia LPG kwasababu tunaipata kutoka nchi zinazozalisha mafuta, kumbuka kwamba LPG ni zao la Crude Oil, hata Uganda wakianza kusafisha mafuta yao wataanza kutumia gas yao kupikia na matumizi ya NYUMBANI, ila haitokua LNG, bali itakua ni CPG kwasababu hawana kiwanda cha LPG.

Nchi zenye kuzalisha mafuta mengi kama Saudia Arabia, Iran na nchi Za Opec, huwa wana viwanda vya LPG pia, ndio sababu tunanua kutoka kwao both refined oil, oil products na LPG.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Leo kabla ulale tafadhali pitia hizi comments za Geza za kurasa huu polepole, utajifunza mengi.
 
Geza anajaribu kukueleza kuwa LNG ni njia tu ya kusafirisha gesi ila meli linapowasili katika destination basi LNG inayeyushwa na kurudi kuwa CNG kisha hii GNG ndio inatumika nyumbani. Yaani kwa mfano mkijenga kiwanda cha LNG halafu mtumie tanker kusafirisha LNG hadi South Afrika, tanker hio itakapowasili SA, basi hio LNG itatolewa kwenye tanker na kuyeyushwa ili irudi kuwa gesi kisha itasafirishwa hadi Joburg, Pretoria n.k ikiwa kama CNG, kutumia pipelines.

Nakusihi utazame hii video ya Geza tena. Mwishoni mwa hii video, wanaeleza wazi kuwa LNG inapowasili kwenye port, LNG hio inayeyushwa na kusafirishwa hadi majumbani ikiwa compressed gas kwa kutumia pipeline.


Sasa Tanker likifikisha hiyo gas South Africa, mwananchi ambaye hajaunganishwa na bomba la gas nyumbani kwake anayetumia mitungi ataitumiaje kama hiyo Liquid form itabadilishwa kuwa katika gas form?, lazima gas imfikie mlaji wa mwisho ikiwa katika Liquid form kama hajaunganishwa na bomba la gas.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja nikufundishe Chemistry kidogo. Gas yoyote ile duniani ili ibaki kuwa gas, vitu viwili ni "variable"
1)Temperature
2)Pressure

Gas yoyote ile, iwe ni Natural au product ya Crude Oil, ukishusha Sana temperature wakati Pressure inabaki kuwa "Constant", itafika and point itakuwa ni liquid form, au ukiongeza pressure na joto likabaki Constant, itafika wakati gas itageuka kuwa Liquid from

Hii mitungi ya Gas na tankers, zinatumia principal ya Pressure kuhakikisha gas inabaki katika liquid form, ila katika kiwanda cha kuchakata gas, vinatumia principle ya Temperature.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hapa umesema ukweli. Principal ya temperature na pressure ina apply kwenye kumaintain gas katika liquid form. Nakumbuka nikisoma hii kwenye chemistry ya high school.
 
Inaweza kuweka katika mitungi lakini haitumiki katika commercial scale kwasababu inaingia kidogo Sana, wanaweka kwa matumizi maalumu kama vile kufanya majaribio au matumizi maalumu, ila gas yote inayotumika kibiashara lazima iwe in "Liquid form".

Kwahiyo ukiona mtungi wa gas upo sokoni unatumika kwa matumizi ya nyumbani na Hotelini, hiyo gas lazima iwe katika Liquid Form, inaweza ikawa ni LNG au LPG, kutegemeana na wapi ulikoipata. Liquid form lazima itoke nje ya Africa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hapa kwa hii point nakubaliana na wewe. For commercial purposes inamake more sense kucompress gas hadi iwe liquid ili kutengeneza faida kwa wingi. Ndio maana Lpg inatumika sana majumbani.
 
Hapa umesema ukweli. Principal ya temperature na pressure ina apply kwenye kumaintain gas katika liquid form. Nakumbuka nikisoma hii kwenye chemistry ya high school.

Huyu jamaa anajua ameropoka na amekosea ila vitasa nilivyompa vinamuondoa ufahamu! Anazunguka mnazi, kiufupi natural gas inaweza kuhifadhiwa kwenye mitungi kama ilivyo CNG kwenye magari.

Suala la kama kwanini inakuwa preferred kuwa supplied kwenye pipeline, has to do with its combustion density yaani u need a more bigger container/cylinder kuliko LPG, ndo maana TPDC wako busy kujenga network ya supply pipelines in Dar na pia wako busy ku-push ujenzi wa bomba kwenda Uganda na Kenya! Its more beneficial kusambaza mabomba!

Natural Gas Supplying Network Dar es salaam! the map is old though the network has expanded already!

foiextract20200916-3216-1ux7n3p-22_1.jpg



distribution-map_2v.jpg
 
Hapa umesema ukweli. Principal ya temperature na pressure ina apply kwenye kumaintain gas katika liquid form. Nakumbuka nikisoma hii kwenye chemistry ya high school.
Europe na America kule wanatumia Centralized gas distribution system, kwasababu zaidi ya 90% ya population imeunganishwa na mabomba ya gas, meli au magari yakifika yanaingiza hiyo gas katika sehemu moja ikiwa katika Liquid form, kutoka hapo ndio inakuwa released kidogo kidogo ikiwa katika gas state (CNG) na kuingia katika bomba zinazoelekea majumbani na viwandani, hapo ndio anapojichanganya.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa anajua ameropoka na amekosea ila vitasa nilivyompa vinamuondoa ufahamu! Anazunguka mnazi, kiufupi natural gas inaweza kuhifadhiwa kwenye mitungi kama ilivyo CNG kwenye magari.

Suala la kama kwanini inakuwa preferred kuwa supplied kwenye pipeline, has to do with its combustion density yaani u need a more bigger container/cylinder kuliko LPG, ndo maana TPDC wako busy kujenga network ya supply pipelines in Dar na pia wako busy ku-push ujenzi wa bomba kwenda Uganda na Kenya! Its more beneficial kusambaza mabomba!

Natural Gas Supplying Network Dar es salaam! the map is old though the network has expanded already!

foiextract20200916-3216-1ux7n3p-22_1.jpg



distribution-map_2v.jpg
Tatizo lako Geza hujatembea duniani umejifungia Tanzania pekee ndio Shida yako, ukienda Georgia nchi ambazo zinatumia gas za kwenye mitungi na hawajaunganishwa na mabomba, mitungi yao yote imeandikwa LNG, sio LPG.

Uliza kama kuna jamaa yako yupo Europe na anatumia gas ya kwenye mitungi kama hatokuambia kama ni LNG sio LPG. Wewe zaidi ya TPDC huna unachojua, Jaribu kutembea duniani utaona mambo tofauti wacha kujifungia Tanzania umezidi ushamba. Wewe unadhania kwasababu Africa tunatumia LPG basi dunia yote ni LPG. Punguza ushamba Geza.



Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom