Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)

Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)

Acha uchizi mzee baba, unao ushahid wa hizo pesa kuliwa? Ama chuki znakusumbua.

Alafu hiyo misitu inawanufaisha vip waTz kiasi kwamba izuie mradi mkubwa kujengwa?

Una elimu gani aisee, hujui ktk maendeleo kuna kusacrifice kitu kidogo ili kizae kikubwa.

Endelea na mindset za kupinga kila jambo bila facts.
Zilikuwa propaganda tu hizo za wapinga mradi kwa malengo yao.
 
Kiukweli inasikitisha sana mradi wa bwawa la Nyerere huenda usikamilike kabisa.

Mkurugenzi mkuu TANESCO, Mh. Maharage Chande nilimsikia akisema kwa sasa wanaanza na kufunga mitambo kwa ajili ya umeme wa Gas ambao jumla utazalisha MW 1600.

Kwahiyo bwawa la Nyerere ambalo litazalisha MW 2115, hakuna uhakika wa lini utakamilika.

Hivi viwanda vya uchumi wa kati vitatumia huo wa Gas, hii ndiyo Tanzania.
Wote hao ni furushi la sangara waliooza
 
May be,lakini Dar Moro SGR haikumalizika wala kuanza kutumika.katika miaka 5 ya mjomba Magu.
Miradi ya kukurupuka bila kuwa na vyanzo vya uhakika vya fedha.
Ni kweli lakini angalau ingekuwepo nuru juu ya miradi hii, kwa sasa matumaini ni madogo mno.
 
Wakati mwingine mawaziri wawe wanaheshimu akili za raia. Yaani Makamba anatuambia uwongo wa wazi kama vile sote ni wajinga hatujui mifumo ya ugavi wa umeme?



Tanzania tunaliwa sana sasa hivi. Yaani miaka mitano ya utawala wa magufuli kweli umeua transformer zote kwenye substations zote zinahitajiwa mpya, porcelain insulators zote za kwenye transmission line zote zimepasuka pasuka zinahitajiwa kuwekwa mpya. Na hata zile aluminium conductors hazifai kwa vile hazikufunikwa, itabidi tuwekewe mpya ziliziofunikwa. maajabu kweli haya.
 
Wakati mwingine mawaziri wawe wanaheshimu akili za raia. Yaani Makamba anatuambia uwongo wa wazi kama vile sote ni wajinga hatujui mifumo ya ugavi wa umeme?



Tanzania tunaliwa sana sasa hivi. Yaani miaka mitano ya utawala wa magufuli kweli umeua transformer zote kwenye substations zote zinahitajiwa mpya, porcelain insulators zote za kwenye transmission line zote zimepasuka pasuka zinahitajiwa kuwekwa mpya. Na hata zile aluminium conductors hazifai kwa vile hazikufunikwa, itabidi tuwekewe mpya ziliziofunikwa. maajabu kweli haya.
Hata Maharage Chande majibu yake ni hayo hayo kama ya boss wake.
 
Mradi ulianza kitapeli, Kalemani na JPM walikata miti milioni moja, wakauza na Hela wamekula, nikisema miti, namaanisha Ile ambayo haijawahi kukatwa tangu dunia iumbwe
Ko akili yako ndo imeishia apo
 
Wakati mwingine mawaziri wawe wanaheshimu akili za raia. Yaani Makamba anatuambia uwongo wa wazi kama vile sote ni wajinga hatujui mifumo ya ugavi wa umeme?



Tanzania tunaliwa sana sasa hivi. Yaani miaka mitano ya utawala wa magufuli kweli umeua transformer zote kwenye substations zote zinahitajiwa mpya, porcelain insulators zote za kwenye transmission line zote zimepasuka pasuka zinahitajiwa kuwekwa mpya. Na hata zile aluminium conductors hazifai kwa vile hazikufunikwa, itabidi tuwekewe mpya ziliziofunikwa. maajabu kweli haya.
Apo sasa ndo upigaji
 
propaganda zilipigwa mkajua mwendazake anashifa sana na ikulu kuna kiasi alikosea ila nia yake ya dhati kwenye nishati na miundo mbinu ili tujitegemee ilikuwa ni dhati kutoka moyoni kwa kifo chake ilitakiwa tuhoji kwa nini mtu aanze ziara halafu afe ghafla .

kwani walikua hawajampima kabla hajatoka chato.
Pili kwa nini mkapa, afe maalim, afe kijazi, afe jpm hlf afe msanifu madaraja hii chain ni moja na kuna watu walionganishwa ili kututengenezea picha kua walikwisha kwa corona na magonjwa ya moyo ila ukweli huwa hata kwa macho haifichiki.

Daima huyu jamaa huwa naamimi alikua sio pupet alisanua mambo Mengi.
Saivi bunge naibu spika kasogezwa hule alieutetea mradi wa bagamoyo ambao thamani yake ni sawa na bajeti yetu ya mwaka kikubwa wazingatie masharti yawe mazuri ila kwa hiyo hela nchi nzima imenunuliwa.

Huo mradi utakamilika ila ni kwa mazengwe sana na tuzidi kupiga kelele.
Ingawa nataka miradi ya JPM ikamilike, ila hayo mambo ya kufa sababu zake anajua Mungu.
 
May be,lakini Dar Moro SGR haikumalizika wala kuanza kutumika.katika miaka 5 ya mjomba Magu.
Miradi ya kukurupuka bila kuwa na vyanzo vya uhakika vya fedha.
Mradi umelipiwa haudawi punguza chuki
 
Na hiyo gas inayohitaji $30 milioni sijui hizo pesa zake wamezipata wapi, tunatakiwa tujue.

How I wish tungekuwa na kiongozi anayetumia akili yake hata kwa dakika moja tu kwa siku.
Polepole aliambiwa na JPM kwamba gas siyo yetu mikataba ya JK na mabeberu, ndo maana JPM akaja na alternative ya bwawa la Nyerere, leo JPM ameondoka, JK anarudi kupitia dirishani na watu Wake akina Makamba, wanarudi kwenye gas yao ipo siku kitaimba tu, JK na pesa zote hizo bado anataka kuwafakarisha watanzania kwa kuwauzia umeme wa bei ghari, alimutosa swahiba wake lowasa, wakati deal lilikuwa lake la Richmond.
 
Back
Top Bottom