Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)

Mradi wa Bwawa la Nyerere(MW 2115) upo nyuma kwa asilimia 44, nguvu zimeelekezwa kwenye gesi (MW 1600)

Naomba nichangie mada japo kidogo kwa akili yangu ndogo.
1. Mr Makamba anatarajia kuingia mkataba mwingine wa USD 1.6 billion (tzs 3.68 trillion) kutengeneza substation na kufanya repair. Je hiyo pesa siangeielekeza kwenye bwawa kusudi mradi kwa jnhpp ukamilike kwa wakati.
Makamba anajua mji wa dar unaviwanda vingapi na umeme kiasi gani unatumika ambao ni almost 35+% ya total consumption (nasema ivi sababu mbali na miradi inayoendelea, migodi mingi hata barrick wanatumia umeme wa wa mafuta mazito kama cjakosea.)

2. Makamba izo 59 new substations unajenga wapi na kwa uhitaji upi wa umeme kwenye izo wilaya. Unajua capacity ya substation moja. unasema waya(wire) wa 33Kv unaingia mitaani unajielewa kweli. staki kuongelea kitaaluma sababu ntaonekana mjuaji na bado kiumri umenizidi zaidi ya miaka 20+ ila nakuomba Mr Makamba USIPOTOSHE UMMA. You aint informed in this sector.
Kuna wazee dar tanesco makao makuu nlikutana nao kipindi SADC wanakuja dar 2020 kama na wale uliwatoa ama kwa namna moja umewapuuza hahah hii wizara sijui, TIME WILL TELL
Wewe uliandika sio mzima ,hayo maelezo kwani ametoa kwenye kichwa chake.. Hatua nzuri sana kabla huo umeme wa kutosha haujaanza kuingizwa kwenye Grid ya Taifa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Naomba nichangie mada japo kidogo kwa akili yangu ndogo.
1. Mr Makamba anatarajia kuingia mkataba mwingine wa USD 1.6 billion (tzs 3.68 trillion) kutengeneza substation na kufanya repair. Je hiyo pesa siangeielekeza kwenye bwawa kusudi mradi kwa jnhpp ukamilike kwa wakati.
Makamba anajua mji wa dar unaviwanda vingapi na umeme kiasi gani unatumika ambao ni almost 35+% ya total consumption (nasema ivi sababu mbali na miradi inayoendelea, migodi mingi hata barrick wanatumia umeme wa wa mafuta mazito kama cjakosea.)

2. Makamba izo 59 new substations unajenga wapi na kwa uhitaji upi wa umeme kwenye izo wilaya. Unajua capacity ya substation moja. unasema waya(wire) wa 33Kv unaingia mitaani unajielewa kweli. staki kuongelea kitaaluma sababu ntaonekana mjuaji na bado kiumri umenizidi zaidi ya miaka 20+ ila nakuomba Mr Makamba USIPOTOSHE UMMA. You aint informed in this sector.
Kuna wazee dar tanesco makao makuu nlikutana nao kipindi SADC wanakuja dar 2020 kama na wale uliwatoa ama kwa namna moja umewapuuza hahah hii wizara sijui, TIME WILL TELL
Watanzania wengi hawujui chochote kuhusu umeme na mikataba zaidi ya kwamba ni wahanga wa uwongo wa Magufuli. Na kwa ujinga wao ndiyo walikuwa mtaji wa Magufuli kwa miaka 5.

JNHPP was wastage of money. Hilo dude litabakia white elephant. Litajengwa ila halitakuja kuzalisha hizo megawati 2,100 za umeme.

Kwa maamuzi ya Dikteta mmoja mkemia asiyeamini sayansi, tumeharibu baioanuai ya selous na kukata miti yenye saizi ya ukubwa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hili litatugharimu milele.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa kusitisha kuendelea kujenga na kuendelea na umeme wa gesi. Kwa sasa Kinyerezi 1 & 2 zinachangia 60% ya umeme tunaotumia Tanzania. Na zinatumia hardly 10% ya gesi ya Mtwara

Miradi yote ya maji yaani Kidatu, Mtera, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale, Pangani nk inachangia 40%. Numbers don't lie. Umeme wa kutegemea mvua siyo reliable na vile vile una athari kwa mazingira.

Kama Magufuli asingetokea mwaka 2015 tungepiga hatua kubwa sana kiuchumi kwa kuwa;
1. Kinyerezi 3 & 4 zingekamilika na kuwa chanzo kikuu cha nishati.

2. Tusingevuruga baioanuai ya Selous kwa kukata miti ili tujenge bwawa la umeme kwa ajili ya kupata Megawati 2,100 tu ambazo zinapatikana kwa kutumia 25% tu ya gesi ya Mtwara.
 
Kiukweli inasikitisha sana mradi wa bwawa la Nyerere huenda usikamilike kabisa.

Mkurugenzi mkuu TANESCO, Mhe. Maharage Chande nilimsikia akisema kwa sasa wanaanza na kufunga mitambo kwa ajili ya umeme wa Gas ambao jumla utazalisha MW 1600.

Kwahiyo bwawa la Nyerere ambalo litazalisha MW 2115, hakuna uhakika wa lini utakamilika.

Hivi viwanda vya uchumi wa kati vitatumia huo wa Gas? Hii ndiyo Tanzania.
Gesi ya Mtwara, Lindi na Songo songo ipo ya kutosha. Great ruaha haina maji na Ihefu imejaa mifugo. Bora twende na umeme wa gesi.
 
Wewe uliandika sio mzima ,hayo maelezo kwani ametoa kwenye kichwa chake.. Hatua nzuri sana kabla huo umeme wa kutosha haujaanza kuingizwa kwenye Grid ya Taifa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
navajo naomba kukuuliza maswali machache kabla sijaja na data za consumption za mikoa na wilaya. unafaham kazi maalum za substations?
unafaham nyaya za 33kv na 11 kv zinatumika vipi na consumer TX inauwezo wakuudumia biashara na viwanda vidogo na makazi kiasi gani?
unafaham kuwa JHNPP itatumika kwa kiasi kikubwa kama powerpool ya sadc na eac kwa kiwango kikubwa na ita-act kama chip-in tuu kwenye grid ya taifa?
kwanini asitumie 11-33kv alafu ikifika watumie tuu step-down TX kusupply umeme instead ya kubuild un under-utilized substations ambazo in the long run zitaitajika maintenance ( despite the small power loss due to skindepth za wire na C-effect during transmission)?
 
Sikiliza hapa.
 

Attachments

  • 4846837-5f4ef98e9480301e188211befea5e4bf.mp4
    10.7 MB
  • 4846837-5f4ef98e9480301e188211befea5e4bf.mp4
    10.7 MB
Watanzania wengi hawujui chochote kuhusu umeme na mikataba zaidi ya kwamba ni wahanga wa uwongo wa Magufuli. Na kwa ujinga wao ndiyo walikuwa mtaji wa Magufuli kwa miaka 5.

JNHPP was wastage of money. Hilo dude litabakia white elephant. Litajengwa ila halitakuja kuzalisha hizo megawati 2,100 za umeme.

Kwa maamuzi ya Dikteta mmoja mkemia asiyeamini sayansi, tumeharibu baioanuai ya selous na kukata miti yenye saizi ya ukubwa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hili litatugharimu milele.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa kusitisha kuendelea kujenga na kuendelea na umeme wa gesi. Kwa sasa Kinyerezi 1 & 2 zinachangia 60% ya umeme tunaotumia Tanzania. Na zinatumia hardly 10% ya gesi ya Mtwara

Miradi yote ya maji yaani Kidatu, Mtera, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale, Pangani nk inachangia 40%. Numbers don't lie. Umeme wa kutegemea mvua siyo reliable na vile vile una athari kwa mazingira.

Kama Magufuli asingetokea mwaka 2015 tungepiga hatua kubwa sana kiuchumi kwa kuwa;
1. Kinyerezi 3 & 4 zingekamilika na kuwa chanzo kikuu cha nishati.

2. Tusingevuruga baioanuai ya Selous kwa kukata miti ili tujenge bwawa la umeme kwa ajili ya kupata Megawati 2,100 tu ambazo zinapatikana kwa kutumia 25% tu ya gesi ya Mtwara.
Wewe unaongea kwa hasira tu huna fact yeyote! Kichwa kimejaa kamasi!
 
Watanzania wengi hawujui chochote kuhusu umeme na mikataba zaidi ya kwamba ni wahanga wa uwongo wa Magufuli. Na kwa ujinga wao ndiyo walikuwa mtaji wa Magufuli kwa miaka 5.

JNHPP was wastage of money. Hilo dude litabakia white elephant. Litajengwa ila halitakuja kuzalisha hizo megawati 2,100 za umeme.

Kwa maamuzi ya Dikteta mmoja mkemia asiyeamini sayansi, tumeharibu baioanuai ya selous na kukata miti yenye saizi ya ukubwa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hili litatugharimu milele.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa kusitisha kuendelea kujenga na kuendelea na umeme wa gesi. Kwa sasa Kinyerezi 1 & 2 zinachangia 60% ya umeme tunaotumia Tanzania. Na zinatumia hardly 10% ya gesi ya Mtwara

Miradi yote ya maji yaani Kidatu, Mtera, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale, Pangani nk inachangia 40%. Numbers don't lie. Umeme wa kutegemea mvua siyo reliable na vile vile una athari kwa mazingira.
Watakulaani na kukutukana lakini umesema ukweli.

Ila sikubaliani na kusitishwa kwa ujenzi wa bwawa la Nyerere, ijapokuwa hapo awali uamuzi ulifanywa kwa haraka lakini nguvu na fedha nyingi zimetumika kwa hivyo ni vyema kumalizia hiyo investment. Tanzania inakuwa na umeme ukiwa wa kutosha naamini maendeleo yatakwenda kwa haraka sana.
 
navajo naomba kukuuliza maswali machache kabla sijaja na data za consumption za mikoa na wilaya. unafaham kazi maalum za substations?
unafaham nyaya za 33kv na 11 kv zinatumika vipi na consumer TX inauwezo wakuudumia biashara na viwanda vidogo na makazi kiasi gani?
unafaham kuwa JHNPP itatumika kwa kiasi kikubwa kama powerpool ya sadc na eac kwa kiwango kikubwa na ita-act kama chip-in tuu kwenye grid ya taifa?
kwanini asitumie 11-33kv alafu ikifika watumie tuu step-down TX kusupply umeme instead ya kubuild un under-utilized substations ambazo in the long run zitaitajika maintenance ( despite the small power loss due to skindepth za wire na C-effect during transmission)?
Hakuna kitu ambacho hakina matengenezo , tusiwe wajinga kusifia sana umeme wa maji ndio kila kitu.. hatukatai Stigler ni muhimu na mkombozi, lakini tuna vyanzo vingi ambavyo vinaweza kutupa umeme wa uhakika vlevle.. Umeme wa maji mpaka leo hatukuambiwa changamoto zake na ndio umeme wetu toka uhuru na still tunategemea mpaka hali ya hewa ndio umeme unakuwa wa uhakika.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Propaganda zilipigwa mkajua mwendazake anashifa sana na ikulu kuna kiasi alikosea ila nia yake ya dhati kwenye nishati na miundo mbinu ili tujitegemee ilikuwa ni dhati kutoka moyoni kwa kifo chake ilitakiwa tuhoji kwa nini mtu aanze ziara halafu afe ghafla.

Kwani walikua hawajampima kabla hajatoka chato. Pili kwa nini mkapa, afe maalim, afe kijazi, afe jpm hlf afe msanifu madaraja hii chain ni moja na kuna watu walionganishwa ili kututengenezea picha kua walikwisha kwa corona na magonjwa ya moyo ila ukweli huwa hata kwa macho haifichiki.

Daima huyu jamaa huwa naamimi alikua sio pupet alisanua mambo Mengi. Saivi bunge naibu spika kasogezwa hule alieutetea mradi wa Bagamoyo ambao thamani yake ni sawa na bajeti yetu ya mwaka kikubwa wazingatie masharti yawe mazuri ila kwa hiyo hela nchi nzima imenunuliwa.

Huo mradi utakamilika ila ni kwa mazengwe sana na tuzidi kupiga kelele.
Una hoja lakini mwandiko wako ni dhaifu, ni vigumu kung'amua ulichoandika kwa haraka.
 
Tuna waziri kilaza tokea aitoe kauli yake hii "zamani umeme ulikuwa haukatiki sababu kulikuwa hamna schedule maintenance " ni kaona hatuna waziri.Sijui katuona vilaza kama yeye. Hiko kijenereta ukiache kioperate kwa miezi kazaa bila maintenance lazima kibume.

Ila uzuri yy mwenyewe alikubali zamani umeme ulikuwa haukatika, alivyo ingia yy hizi ngonjera zimeanza mara schedule maintenance, mara wafanyakazi walikuwa wanashindwa kufanyakazi sababu walikuwa wanafokewa, mara crane la tani 27 hatuna, mara kakodi chopa kukagua vyanzo vya maji nk yaani upuuzi upuuzi mwingi vitendo hamna,mgao hauelewiki ni wa masaa mangapi na wa siku zipi.

Mimi naona bwawa hili waziri anataka kulipiga chini so alipige chini na ikiwezekana kabla hajalipiga chini awakabidhi watu wanao deal na maswala ya utalii liwe kama sehemu ya utalii na kivutio (makumbusho) ili turuhusiwe na familia zetu tukapige picha, inaweza kusaidia kurudisha gharama za ujenzi zilizo tumika kidogo kidogo na hao wakandarasi awaondoe awalipe hela yao,maisha ya endelee na waendelee kufanya watakacho.

Nchi tena ni yao wao na familia zao na sitegemi kilaza MWEZI WA KWANZA KUTUMBULIWA cha msingi tutafute Majenereta au solar maisha ya endelee.
Ila Mshua Magu alikuwa anaona mbali sana, sababu najiuliza tu huo mradi wa umeme wa bwawa la Nyerere usipokamilika tutaendeshaje mradi wa treni za umeme?
 
Waafrika tuna tabu sana. Kuchelewa kwa mradi kuna sababu zake. Diversion iliharibika sababu ya mafuriko. Kwahiyo sio issue ya kuanza kulialia kama vile watoto wasio na wazazi.
Hela imekopwa tutalipa wote, halafu unauita mradi wa Kalemani na JPM? Huu mradi wana siasa wanataka uendeleee kweli?
Mbona kila kitu kimya? Maji yameshaanza kujazwa kwenye bwawa? Kuna nini kinaendelea?
Hawawezi kujaza, Mbunge Musukuma anasema ujenzi uliofanywa pale ni substandard, labda watalivunja lote waanze upya
 
Hawawezi kujaza, Mbunge Musukuma anasema ujenzi uliofanywa pale ni substandard, labda watalivunja lote waanze upya
Kwanini substandard? Msukuma toka lini anaongea mambo ya maana? Yes kasema, ila we also need a technical opinion. Siasa na wanasiasa ni wavurugaji
 
Watakulaani na kukutukana lakini umesema ukweli.

Ila sikubaliani na kusitishwa kwa ujenzi wa bwawa la Nyerere, ijapokuwa hapo awali uamuzi ulifanywa kwa haraka lakini nguvu na fedha nyingi zimetumika kwa hivyo ni vyema kumalizia hiyo investment. Tanzania inakuwa na umeme ukiwa wa kutosha naamini maendeleo yatakwenda kwa haraka sana.
Nashukuru kwa mawazo yako chanya
 
Watanzania wengi hawujui chochote kuhusu umeme na mikataba zaidi ya kwamba ni wahanga wa uwongo wa Magufuli. Na kwa ujinga wao ndiyo walikuwa mtaji wa Magufuli kwa miaka 5.

JNHPP was wastage of money. Hilo dude litabakia white elephant. Litajengwa ila halitakuja kuzalisha hizo megawati 2,100 za umeme.

Kwa maamuzi ya Dikteta mmoja mkemia asiyeamini sayansi, tumeharibu baioanuai ya selous na kukata miti yenye saizi ya ukubwa wa Mkoa wa Dar es Salaam. Hili litatugharimu milele.

Ni wakati wa kufanya maamuzi magumu kwa kusitisha kuendelea kujenga na kuendelea na umeme wa gesi. Kwa sasa Kinyerezi 1 & 2 zinachangia 60% ya umeme tunaotumia Tanzania. Na zinatumia hardly 10% ya gesi ya Mtwara

Miradi yote ya maji yaani Kidatu, Mtera, Kihansi, Nyumba ya Mungu, Hale, Pangani nk inachangia 40%. Numbers don't lie. Umeme wa kutegemea mvua siyo reliable na vile vile una athari kwa mazingira.

Kama Magufuli asingetokea mwaka 2015 tungepiga hatua kubwa sana kiuchumi kwa kuwa;
1. Kinyerezi 3 & 4 zingekamilika na kuwa chanzo kikuu cha nishati.

2. Tusingevuruga baioanuai ya Selous kwa kukata miti ili tujenge bwawa la umeme kwa ajili ya kupata Megawati 2,100 tu ambazo zinapatikana kwa kutumia 25% tu ya gesi ya Mtwara.

Wewe unayejitapa kujua kila kitu kuhusu umeme, kwani kuna shida gani kumalizia Mwalimu Nyerere Hyro hata kama ni Megawatt 100 ? Kwa nini isiwe Hyro + gesi yenu na vyanzo vingine ?

Hata kama kama Stiegler haitofikisha hizo Megawatt tatizo liko wapi ? Si bado utaingizwa kwenye gridi ya Taifa ?

Mr.Know it all , shida iko wapi ?
 
Wewe unayejitapa kujua kila kitu kuhusu umeme, kwani kuna shida gani kumalizia Mwalimu Nyerere Hyro hata kama ni Megawatt 100 ? Kwa nini isiwe Hyro + gesi yenu na vyanzo vingine ?

Hata kama kama Stiegler haitofikisha hizo Megawatt tatizo liko wapi ? Si bado utaingizwa kwenye gridi ya Taifa ?

Mr.Know it all , shida iko wapi ?
Mwenyewe naona hakuna tatizo kabisa.
 
Kiukweli inasikitisha sana mradi wa bwawa la Nyerere huenda usikamilike kabisa.

Mkurugenzi mkuu TANESCO, Mhe. Maharage Chande nilimsikia akisema kwa sasa wanaanza na kufunga mitambo kwa ajili ya umeme wa Gas ambao jumla utazalisha MW 1600.

Kwahiyo bwawa la Nyerere ambalo litazalisha MW 2115, hakuna uhakika wa lini utakamilika.

Hivi viwanda vya uchumi wa kati vitatumia huo wa Gas? Hii ndiyo Tanzania.
Hivo viwanda vipo wapi? Unahitaji umeme wa Tanesco kuendesha cherehani 4?
 
Propaganda zilipigwa mkajua mwendazake anasifa sana na ikulu kuna kiasi alikosea ila nia yake ya dhati kwenye nishati na miundo mbinu ili tujitegemee ilikuwa ni ya dhati kutoka moyoni mwake kwa kifo chake ilitakiwa tuhoji kwa nini mtu aanze ziara halafu afe ghafla.

Kwani walikua hawajampima kabla hajatoka chato. Pili kwa nini mkapa ,afe maalim, afe kijazi naye afe,jpm pia hlf afe msanifu madaraja hii chain ni moja na kuna watu walionganishwa ili kututengenezea picha kua walikwisha kwa corona na magonjwa ya moyo ila ukweli huwa hata kwa macho haufichiki.

Daima huyu jamaa huwa naamimi alikua sio pupet alisanua mambo Mengi. Saivi kwenye bunge naibu spika kasogezwa yule alieutetea mradi wa Bagamoyo ambao thamani yake ni sawa na bajeti yetu ya mwaka kikubwa wazingatie masharti yawe mazuri ila kwa hiyo hela nchi nzima imenunuliwa.

Huo mradi utakamilika ila ni kwa mazengwe sana na tuzidi kupiga kelele.
Kuhusu Jiwe kuuwawa inabidi walinzi na wapambe wake wote watupwe ndani watueleze kinagaubaga!
 
Back
Top Bottom