Mradi wa Bwawa la Nyerere tulijilisha upepo au ndiyo mwendelezo wa siasa chafu za kibepari?

Mwaka jana watu wengi walikufa kwa baridi jimboni Texas baada ya kutokea baridi kali, ambayo huwa inatokea kila baada ya miaka 40 - 50.

Kisa, kampuni binafsi za uzalishaji umeme zilizima mitambo kwasababu ya kuogopa hasara watakayoipata kutokana na mahitaji makubwa ya umeme kuongezeka.
 
Hatari sana, PRIVATE INTERESTS zisipoangaliwa kwa ukaribu zinaweza kuvuruga kabisa nchi....
 
Miradi kama hii haipimwi kwa financial viability. Kuna vigezo zaidi ya hivyo. Angalia kwenye nyanja za kiuchumi na kijamii. Kuna internal rate of return kubwa sana for time infinity.

CC: MALCOM LUMUMBA
Internal rate of return kutoka guugu inasemwa hivi

"Internal rate of return is a method of calculating an investment’s rate of return. The term internal refers to the fact that the calculation excludes external factors, such as the risk-free rate, inflation, the cost of capital, or financial risk. The method may be applied either ex-post or ex-ante"

Kutoka guugu hiyo utaletewa Levellised cost of energy, hii nayo ni


The levelized cost of energy (LCOE), or levelized cost of electricity, is a measure of the average net present cost of electricity generation for a generating plant over its lifetime. It is used for investment planning and to compare different methods of electricity generation on a consistent basis

====

Mkuu twende sawa, kwa ufupi, "IRR is weak and LCOE is strong", linapokuja suala la kuamua ni mradi gani wa uzalishaji wa nishati tuwekeze. Sababu kubwa, LCOE inahusisha realistic parameters nyingi zinazohusu mradi husika.

Kanuni tu za kukokotoa indexes hizi zitakupa picha ya ninachokieleza. Kama ni mradi wa nishati, kukuruka na vipimo vingine lakini usiache kutumia LCOE katika kuamua ni mradi gani unataka kuwekeza.
 
Kwa zote mbili umeme wa hydro will always rank high and be a best option against any other possible and available alternative inayojulikana kwa sasa...Unless huna comparative advantage za landscape na flows....Hakuna jinsi iwe ki ecology au ki economics umeme wa gas ukaukaribia hata kwa mbali ule wa hydro...

Tatizo la sisi ni policies zetu ambazo zina much influence kutoka kwa waliotutawala UK na mshirika wake USA ambao so far duniani zaidi ya kuwa wafanya mauaji ya kivita hawafui dafu kwa taifa lolote....Welfare zao ni mbovu na economic policies zao ndizo hasa zilizotufikisha hapa tulipo leo kwenye degradation ya hali ya juu ya mazingira.

Ni ajabu sana kwaini hatuzi abandon hizo failed economic policies zao...Sustainable development haiangalii hizo factors unazozitaja bali welfare ni kitu cha kwanza; huko kwenye nchi hizo mbili welfare ni mbovu na poverty gap ni kubwa miongoni mwa walionacho na wasionacho kuliko other EU countries ambazo nyingi zina policies zenye kuzingatia welfare zaidi i.e social benefits against private benefits. Kinara wa hizo ni Scandnavia na dunia yote inaelekea huko ni sisi tu ambao tunajidanganya yet siasa yetu ya ujamaa na kujitegemea inafanana sana na hizo EU countries nyingine including zisizo kuwepo EU but ni za Europe.

Hao ndiyo ambao wali comoditize education mpaka tukaanza kupata ma degree fake fake; hawa ndiyo vinara wa ufisadi duniani kupitia multi national companies, hao ndiyo ambao wanaojitahidi sana kushikilia mifumo ya dunia lakini pumzi zina akaribia kuwaishia...Let be watchful, economics ya projects za leo na financial analyses hazipo katika hizo investiment criteria za kizamani, tumeshaondoka huko, what is financially expensive can be very cheap and sustainable if given a low discount rate based on those extenalities unazozielezea mojawapo ikiwa social costs ambazo private firms haiziingizi kwenye cost functions zao; get your facts right nigga!
 
Asante kwa maelezo yako yote. Msingi wa hoja yako nadhani upo hapa. Hivyo, naomba ufafanue hili kwa kutumia mifano inaoendana na uhalisia ili kuipa nguvu zaidi hoja yako ya "financilly expensive is very chip based on BoT discounted rate". Pia nitafurahi ukiweka hapa investment criteria za kisasa ukiachana na kizamani nilizo bwaga kwenye uzi huu.

Natanguliza shukrani.
 
Mkuu MALCOM LUMUMBA nimelisoma bandiko lako kwa umakini.

1. Nimsahihishe Stuxnet bandiko#53. Stigler's Gorge haikuanza na Mwalimu, ilikuwepo' 1936'' n

2.Siasa za Marekani ni '' complex and complicated''. Prof P. Navarro wa UCLA ame publish sana climate change. Alipochaguliwa mshauri wa Trump, Navarro akawa mpinzani wa climate change.

TVA ina vitu vingi ndani, hoja ya wanaharakati ni uharibifu wa mazingira, si unafuu wa umeme

Siasa za Marekani zinategemea masilahi. Obama alizuia Iran NUKE deal kwa mkataba.
Trump akafuta mkataba. Obama alikuwa against war. Trump alikuwa pro BB Nyahu.
Katika hali zote objective ni moja kumlinda Israel na ''maadui' au majirani kama Iran na Egypt

3. Egypt na US zina masiahi yanayolenga amani ya Israel. US wanaunga mkono Egypt ''kubomoa GERD ya Ethiopia''. Mradi wa GERD utaathiri blue Nile na mwathirika ni Egypt katika kila nyanja. Vita ya GERD inalenga hapo tu

Vita kama ya GERD mbona ilitupata Tanzania?
Kuvuta maji kutoka ziwa Victoria ilikuwa vurugu kutoka Egypt.

Kama kuna jambo la kumshukuru E.Lowassa ni jinsi alivyosimamia na kuiwekea ngumu Egypt iliyotumika mkataba wa 1929 na kutaka tuchimbe visima ili wao wapate maji ya kumwagilia.

Katika sakata la maji ya Victoria , US ilijifanya msuluhishi lakini ilikuwa upande wa Egypt
Ndicho chanzo cha kuanzishwa kwa NBI (Nile Basin Initiative)

4. China kutoa Billions hailalishi mradi. Pesa ni mkopo, mbinu ya China kupata malighafi na masoko ya Afrika. Hoja kwamba China ingalikataa kama JNHPP ni mradi mbaya haina mashiko.

5. Njia za kisayansi: Hatuna sera za kitaifa za nishati. Mpango wa gesi nishati na matumizi ya ndani umeishaje, ghafla JNHPP. Tungetumia njia za kisayansi tungefanya yote kwa mpangilio.

6. Wanharakati: Wanalaumiwa ingawa tunajua ukweli. Mtera na Kidatu yanajaa mchanga kwasababu ya shughuli za binadamu ikiwemo kuharibu vyanzo vya maji. Upatikanaji wa mvua unaathiriwa na deforestation. Tunatumia njia gani kuondoa hali hiyo isije kujirudia JNHPP?

7. Hoja ya wanaharakati ni athari katika eco-system. Nimesoma hoja za tafiti sijaona hoja mbadala zinazopinga. Ninachokiona ni hoja kutoka mtaa wa Lumumba katika lahaja za mashari na tungo.

Naamini ''Hydro power'' ni sehemu ya suluhisho la matatizo yetu na tulijadili miaka mingi hapa JF.
Ninapinga approach ya kukomoana. Tulibadilikaje usiku mmoja kutoka gesi na kwenda JNHPP?
Je, kulikuwa na mjadala wa kutosha na maandalizi ?
kilichotokea ni kama kile cha Bandari ya Bagamoyo '' knee jerk reaction'

Tuna matatizo yetu, bahati mbaya tupo katika denial. Miaka 60 tunasingizia influence za nje
 
Kwa faida ya nchi
The valuation purpose should be; to ensure projects costs and benefits are fully reflected in the process of project appraisal, addressing the balance between quantifiable and non quantifiable benefits, narrowing the scope of "pure"judgement; lakini we cannot pretend that all or even most effects can be captured in economic or financial values, providing a better indicator of economic performance, at the same time clarifying the gainers and the loosers from projects and last but not least providing more secure basis for resources policies such as polluter pays principles, or carbon market framework including taxes.

The major reasons of not relying on classical economic investiment criteria is because market fails due to presence of externalities, expounding this; people are not aware of the costs when they use environmental goods including both non renewabls like oil, coal and gas or renewables for istance water, air solar and hence no account is taken of their costs and benefits if only private i.e investiments benefits are considered without considering the social costs including pollution.

Decisions are viable not only based on financial analyeses such as IRR but IFF the development cost considers TEV i.e Total Economic Value defined as Direct Value + Indirect Value + option value + Existence Value + Bequest Value simply put this way proceed if (BC- CP- BP) > 0 and do not if < 0 meaning when the Scial values are greater than private values. TEV is therefore the total.value of the asset left as a natural environment

Hydro electricity only uses water to move the turbines which generate electricity thereafter the water is released back to its natural form to continue with its roles as it was before to provide its associated ecosystem values unlike other sources whereby ecosystems are impaired; the only cost of it is during construction (high investiment costs at the beggining) which can as well be easily mitigated because most of the things have alternatives. It is therefore a most sustainable option when compared to the available alternatives...The high investment cost is mitigated through low discounted future since its a life time investiment.
 
Asante Nguruvi3 kwa sahihisho ambalo tayari nimelifanyia editing na hongera kwa kwenda deep.
 
Tumewachoka wote na wamelewa na madaraka ya kulevya hawana msimamo
 
Mi nakwambia chunguza tu, adui wa Afrika ni mwafrika mwenyewe, viongozi wa kiafrika wanatumika kuhujumu mataifa yao wenyewe, unlike hao wazungu ambao wana uzalendo na mataifa yao na siku zote wanafanya mambo for the next generation. Sisi huku ni very unfortunate.

Mimi hii habari ya kulaumu mabepari nshaacha, domestic enemies are the worst, mtu bila haya anahujumu taifa lake na vizazi vijavyo, hajali hatakuwepo probably in the next 20,. 30 years, kikubwa fimilia yake ifaidi, ujinga kiasi Gani huu kwa sisi watu weusi, in a long run tutakuja kuuwana sababu matatizo yatakuwa mengi maisha yatakuwa magumu ndio kitakachofuata in the next few years. Binadamu akiwa na njaa ni hatari zaidi ya Simba, ni swala la muda tu. Sababu watu watataka kuwatoa hao wanasiasa na wao wataona Kama wanahaki ya kutawala, ndio balaa litakapokuja.
 
Huu mjadala ushapitwa na wakati, mradi ushajengwa zaidi ya nusu sasa na unaendelea kujengwa mpaka ukamilike. Iwe white elephant au usiwe, haibadilishi kitu.

Sasa hivi labda tujadili namna gani wanaweza kuumaliza kwa haraka zaidi, kwa nafuu zaidi na namna gani tutamaximize manufaa huku tukitunza mazingira na maisha ya wanaotegemea mto Rufiji.

Let's think forward kuliko kurudi nyuma kila siku.
 

Asante sana kwa ufafanuzi, dunia kwa sasa inatoka kwenye unyang'anyi na kuelekea kwenye ''an all inclusive welfare of citizens''. Miaka nenda miaka rudi makampuni yalikuwa yakitengeneza faida kubwa kwa hasara ya wengi. Mfano kwenye makampuni ya uzalishaji, sikuhizi yanalazimishwa kuwa na sera za ESG. Kwa sasa hata unavyofanyiwa corporate rating wakiona you are non concerned with environment, social and governance you will score poorly.

Tukija mradi wa JNHPP una faida nyingi sana kuliko hasara (hatukatai kwamba hauna hasara. Hilo lipo kwa kila mradi). Faida ni kama ifuatavyo; 1. Climate smart project 2. Will produce power at affordable cost. 3. The water body created will be ideal for fishing, navigation, other innovated uses. 4. Tourism attraction. 5. Improved security over the area.
 

Ubarikiwe kiongozi,
watu wengi wanashindwa kuelewa ya kwamba miradi yote ya kimkakati (strategic investments/projects) kama madaraja, barabara, viwanja vya ndege n.k. faida zake haziangaliwi kwa upande mmoja tu wa finacial viability (nasisitiza). Kuna mambo luluki ya kuangalia. Baadhi nimetaja.
 
Sasa mtu kupingana na andiko lako lazima aje na hoja zenye tafiti kama wewe na si porojo.

Always nchi hukwamishwa na maadui wa nje kupitia wananchi wenzetu hasa kupitia kichaka cha harakati. Hawa wanakuwa funded fedha nyingi kwa njia ambazo huwezi kuwapata namna wanavyo inject hizo fedha maana hutumia mbinu kubwa wakisaidiwa na taasisi zao za kifedha.

Tatizo namna Taifa lilivyoandaliwa kupigana vita ya namna hii. Hata hapa wengi wataliangalia kusiasa kuliko jicho la ziada.
 

Thanks for a very balanced opinion.
 
Wote wanao upinga mradi wa bwawa la mwalimu Nyerere ni wezi tu, wanataka tuwe na umeme wa kuunga unga ili zile kashfa za Escrow, Dowans, IPTL ziendelee kuwepo cause kuna baadhi wanafaidika nazo, hawataki umeme ambao ni sustenable; kila wakati watu wanwaza pesa za uchaguzi. Magufuli aliisha twambia hata kilicho kua kinafanyika Mtera, kumbe issue wala sio maji kua machache, maneno hayo hayo yanafanana na maneno ya aliyewahi kua waziri wa nishati na madini kwa muda mfupi kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015 mwana George John Simbachawene, alizungumza the same thing tena bungeni, na ndio kinacho endelea hata sasa hivi. Imagine miaka 6 mfululizo utawala wa Magufuli hakukua na mgao wa umeme kabisa, Kalemani ameendelea vizuri tu hadi alivyo badirishwa, kabadirishwa tu, hata mwezi haukuisha, umeme ukaanza kua wa shida.
 

Pia its sustainability.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…