Mradi wa Igoma 2 Buhongwa na Wakenya

Mradi wa Igoma 2 Buhongwa na Wakenya

Nikuambie tu mie Ni tajiri. Sihitaji mpaka Forbes waniweke kwa list
ninaipenda nchi yangu nishaishi nchi za watu nikaona watu wanavyopenda na kutetea nchi zao na maslahi ya watu wake. Jaribu kuvuka uingie nchi za watu uone watu wanavyonyanyasika hata kusoma kwao tu unaulizwa kuwa kwani kwenu hakuna masomo ama shule.
Wewe utakuwa hujawahi pata amshamasha ukiwa nchi za watu, ndio wale mzungu akija mnashobokaje. Sasa nenda kwao uone.
Wakiwa hapa wanajifanya wanawapenda kumbe mnaibiwa madini baadaye mnapewa vyandarua na mkopo kwa pesa za madini zenu.wanakuja kwa mgongo wa upendo na kuwapenyezea dini ili iwalainishe wakati hii Ni dunia ya one dog eats another dog
Kabisa, wabongo wengi walio nje ya nchi hawasemagi ukweli wasionekane wanyonge. Tena Sasa ivi ndobalaa Kabisa, ukipata kazi ni hizihizi za hovyo kufagia etc wenye bahati wachache sekta ya afya. Kipaumbele kiwe Watanzania kwanza kabla ya mgeni, mbona kwao wanatubania.
 
Watanzania hatuaminiki wengi ni wezi na wapenda rushwa.Kigoma kuna hawa sgr na mwajiri ni mtanzania.kila kijana wa Kigoma aliyeomba kazi ya udereva alikuwa anatoa milioni moja ndo apewe kazi.sasa ni bora waletwe wageni tu.kama sisi kwa sisi hatuthaminiani rushwa kwa kila kitu bora waje wageni tu
 
Acha roho mbaya wewe Tanzania sio kisiwa,kiasi kwamba wageni hawatakiwi.

Kumbuka hata huko Kenya kuna watanzania wengi tu wana tafta riziki zao huko,pia dunia nzima kuna watanzania wengi.

Wewe kama akili yako haina ufahamu au upeo mpana wa kujitafta tulia hivyo hivyo, unataka serikali iwafukuze ili iweje sasa.

Una maanisha hata watanzania waliopo inje wafukuzwe,au hujui kuna watanzania wamezagaa dunia nzima wana jitaftia riziki kwenye inchi za wenzetu acha hizo.

Wewe kaombe kazi ukikizi vigezo watakuchukua tu,halafu huo ni ubaguzi kitu ambacho hakitakiwi kabisa.

Kuna watu wana zamia kwenye inchi za watu kujitafta wewe unaona ni zambi nakushauli tu achana na hizo mambo.
Tanzania mbele usituchanganye wakati ujui sheria inasemaje
 
Acha roho mbaya wewe Tanzania sio kisiwa,kiasi kwamba wageni hawatakiwi.

Kumbuka hata huko Kenya kuna watanzania wengi tu wana tafta riziki zao huko,pia dunia nzima kuna watanzania wengi.

Wewe kama akili yako haina ufahamu au upeo mpana wa kujitafta tulia hivyo hivyo, unataka serikali iwafukuze ili iweje sasa.

Una maanisha hata watanzania waliopo inje wafukuzwe,au hujui kuna watanzania wamezagaa dunia nzima wana jitaftia riziki kwenye inchi za wenzetu acha hizo.

Wewe kaombe kazi ukikizi vigezo watakuchukua tu,halafu huo ni ubaguzi kitu ambacho hakitakiwi kabisa.

Kuna watu wana zamia kwenye inchi za watu kujitafta wewe unaona ni zambi nakushauli tu achana na hizo mambo.
Safi sana kuna watu wana roho za kichawi na ubinafsi kama huu, mchina amechoka na nyie wafanyakazi wakitanzania nyie ni wezi, hamna uzalendo, wavivu n.k
Amesema ni kampuni ya wachina kutokea kenya na imeajiri wakenya tu hapo hapo anasema kama watu watataka ushahidi wawaulize watanzania walioajiriwa hapo😁😁😁 huu ni upuuzi na upuuzwe tu, kama hata kama ni mimi siwezi mpa mtu asiye na vigezo kisa ni mzawa nikaacha watu wenye uwezo.
 
Wabongo wa wavivu, wezi wa vifaa vya ujenzi ni nani anayewataka pili wabongo nyinyi hamna uzalendo ningependa huo mradi hata hao watanzania waliopata kazi hapo wafukunzwe tu.
 
Am self employed,nishakaa nchi za watu, Naona watu wanavyotetea nchi zao. Hapa Kongo ukiingia tu kununua kitenge ng'ambo yao tu mwananchi wa kawaida anakuambia lipia Kodi sio nchi yako.

Unakumbuka jpm alivyokuwa alisema kuwa Kama hakuna mtanzania wa kuifanya hii kazi Basi mleteni mtalaamu kutoka nje.

Kuna manager wa stanbic Kama sio Barclays.

Huwezi elewa ambapo kazi moja inaweza ikatangazwa wakapmba watanzania milioni.

Pia nchi Ni ya kwetu Kodi tunalipa sie tunajenga nchi yetu na miundombinu Ni kwa ajili yetu.
Watu wanapambania watu wao sio kiivyo unavyotaka kuwaaminisha.
Ukitaka mradi uchelewe jaza wabongo, sisi tunachotaka ni mradi kuisha kwa wakati pia wakati wanasign mkataba walipeana masharti ya kuajiri watanzania wangapi? Acheni zengwe nyie bongo.
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mradi huu inajengwa na mkandarasi mchina aliyetokea Kenya.

Sasa huyu mchina amekuja na wakenya hapa mpaka wadada washika vibendera uelewe. Alikuwepo jamaa mmoja alikuwa akitoa taarif uhamiaji wakija wanapewa sabuni ya roho baadaye wanamchomesha kuwa ndiye aliyewapa taarifa mpaka wakamfukuza kazi Mana alikuwa anawachomesha.

Kuna madereva ambao Ni wakenya mpaka saveya ni Mkenya. Mpaka Engineer ni Mkenya. Mie nakuuliza kuwa Hakuna watanzania ambao wanaweza wakazifanya hizi kazi. Na mradi ulipoanza mamia ya watanzania walisotea kazi ,wakaambulia na wapo ambao hawakuambulia kitu.

Kitu mie naumia Ni kuwa huyo mchina wakija uhamiaji kuwacheki hao jamaa wanapigwa something wanasepa.

Ninaomba hili suala liweze kuwafikia DC, diwani, RC, mbunge mabula pia na waziri wa kazi kuwa hili suala walijue na wapo kwa ajili ya watanzania naombeni muwatumikieni Watanzania kwa moyo mmoja.

Tembeleeni huo mradi na muongee na wafanyakazi ambao Ni wa kitanzania watawaambia Mana kuna hii Hali ndio huwa inapelekea machafuko wakati mwingine. Mradi unafanyika nchini kwetu na utalipwa kwa Kodi za watanzania Mana Ni mkopo kutoka WB.

Naumia tunavyodharaulika Watanzania. Nina Imani ni nchi yenye utaratibu sio lazima vurugu ifanyike Mana saivi tuna vijana kibao wamesoma wapo mtaani Kuna kazi ikitangazwa elimu kunzia diploma hata nafasi 10 tunaweza kupata maombi milioni moja ni kidogo.

Mradi huu uwanuifaishe watanzania wote. Mie Ni mtanzania na mwananchi mwenye moyo na mapenzi ya dhati kabisa na Tanzania na Watanzania.

Nina Imani na viongozi wetu hili suala watalishughulikia sio lazima Raisi Samia ahusike Mana anao wasaidizi wake wanaomsaidia kazi.

Ahsanteni.
Watanzania ni wavivu. Ndo maana Mkandarasi anaingia gharama za kuwahifadhi wageni na kuwalisha.
 
Una uzoefu na watu gani.
Watanzania sio wavivu sema huwa Ni kawaida ya binadamu kumchoka wa kwao anadhani kuwa Kuna mahala binadamu malaika yupo.
Mie nimeishi hata kwa wazungu na wao wanachelewa kazini.

Hii Dhana huwa ipo kwa vijana wengi baadA tu ya kusoma anaanza kujiona kuwa yeye Ni wa tofauti anawadharau wazazi ndugu zake mpaka watu wa kabila lake anadai lake washamba
Nenda kaangalie pale watanzania wanaojenga soko kuu wako bize kuselfika, na kubinua matako na kutunisha vifua wakiwa wamesahau wajibu wao.
Nenda pale jpm bridge watanzania walikuwa wanaiba cement, mafuta na vifaa vingine vya ujenzi kama mradi sio wao leo hii unataka waajiri watanzania wote, mchina sio lofa alishawajua tabia zenu.
 
Ivi
Nenda kaangalie pale watanzania wanaojenga soko kuu wako bize kuselfika, na kubinua matako na kutunisha vifua wakiwa wamesahau wajibu wao.
Nenda pale jpm bridge watanzania walikuwa wanaiba cement, mafuta na vifaa vingine vya ujenzi kama mradi sio wao leo hii unataka waajiri watanzania wote, mchina sio lofa alishawajua tabia zenu.
Niambie Ni wapi wako watakatifu wasioiba. Sio kuwa natetea wizi Bali generation ikichafuka huwa Ni planet nzima. Hata China ma operators wanaiba Kuna mchina mmoja ameshaniambia. Waarabu wenyewe wanatuibia kuwa Hakuna kulipa Kodi mktaba Hakuna kikomo,wazungu ndio wanatumia upungufu wa hela kwa mwaafrika na matatizo yake anapewa madini bwerere. Ila wewe unajua Kuna mahala watu Ni watakatifu. Tembea uone sio ubakir kuwapenda na kuwashobokea wa nje unadhani ama unaona watu wa nyumbani kwenu Ni wadhambi watupu.
Una mental attitude disease
 
Nimesoma hili bandiko nimeumia sana ....ina hii nchi hamna mwenyewe kabisa ?!!!

Inakuwaje hili linawezekana kwa watanzania zaidi ya mil 60 kufanyiwa haya miaka nenda rudi

Kuna haja watanzania kujiuliza na kuchukua hatua wenyewe pasipo kungoja viongozi ambao hawana muda na watanzania
 
Ivi

Niambie Ni wapi wako watakatifu wasioiba. Sio kuwa natetea wizi Bali generation ikichafuka huwa Ni planet nzima. Hata China ma operators wanaiba Kuna mchina mmoja ameshaniambia. Waarabu wenyewe wanatuibia kuwa Hakuna kulipa Kodi mktaba Hakuna kikomo,wazungu ndio wanatumia upungufu wa hela kwa mwaafrika na matatizo yake anapewa madini bwerere. Ila wewe unajua Kuna mahala watu Ni watakatifu. Tembea uone sio ubakir kuwapenda na kuwashobokea wa nje unadhani ama unaona watu wa nyumbani kwenu Ni wadhambi watupu.
Una mental attitude disease
Hao wachina hawawezi kuhujumu miradi ya nchi lakini mbongo anaweza kata shina alilokalia.
 
Nimesoma hili bandiko nimeumia sana ....ina hii nchi hamna mwenyewe kabisa ?!!!

Inakuwaje hili linawezekana kwa watanzania zaidi ya mil 60 kufanyiwa haya miaka nenda rudi

Kuna haja watanzania kujiuliza na kuchukua hatua wenyewe pasipo kungoja viongozi ambao hawana muda na watanzania
Mbona mimi nimepata kibarua hapo cha kuchimba kwani mimi ni mkenya ukiwa na sifa nzuri utaajiriwa tu, watanzania wengi wavivu, wezi, maneno mengi kazi sifuri.
 
Mbona mimi nimepata kibarua hapo cha kuchimba kwani mimi ni mkenya ukiwa na sifa nzuri utaajiriwa tu, watanzania wengi wavivu, wezi, maneno mengi kazi sifuri.
Hujanielewa,huwa Kuna kitu kinaitwa mental attitude disease
 
Halafu vitenda vingi hapo Mwanza wanapewa sana wakandarasi kutokea Kenya,sijajua kwa nini.

2007 walikuwepo wahindi kutoka Kenya ndiyo wamejenga mtandao wa maji ya bomba karibu jiji zima ikijumuisha gati na matenki,waliitwa "Maltauro".
 
Back
Top Bottom