Mradi wa LNG: Tukicheza Vizuri wakati huu ni hakika Umasikini tutausahau Tanzania na Samia anaweza kuwa Rais Bora zaidi kuwahi kutokea Tanzania

Game of Chance.

Safi sana.

Hii ni straight forward cash.

Negotiations skills ni muhali lakini hapo hapo ndo exit ilipo!

Hongera sana MH Rais.
 
Game of Chance.

Safi sana.

Hii ni straight forward cash.

Negotiations skills ni muhali lakini hapo hapo ndo exit ilipo!

Hongera sana MH Rais.
Duniani anayetumia nafasi anayopata vizuri ndo anaye survive. Amri kuu ni survival for the fittest
 
Rubbish 🚮🚮

 
Indeed I might be a fool..., but am wise enough to know that I know Nothing, which gives me opportunity to learn and understand..., unlike if I was a Much-Know Person, I might have known less than what I know Now....

And I always talk and discuss issues at hand..., not personalities and who has said what.... (even a fool might have a point sometimes and vice versa)
 
Wapo wengi ila huwezi mlinganisha Muhongo na Kalemani au Makamba...hata ukiwachanganya pamojahawafiki hata heluthi ya uelewa wa Muhongo kwenye ishu za madini na nishati mkuu...Muhongo ni level nyingine boss.
Ni sawa na kumlinganisha Danieli Chongolo na Pius Msekwa/Rashid Kawawa/Horace Kolimba/L.M. Gama/P.J. Mangula/W. Mkama/A. Kinana. Ni mbingu na ardhi.
 

Tanzania hatuna gesi! Gesi yetu tulishaiuza! Hata wakija kuchimba hiyo gesi sisi tutaambulia labda Kodi! Lakini gesi Kama gesi tulishaiuza kitambo! Iliamdaliwa sheria ya gesi kwa hati ya dharula muda mfupi kabla ya kumalixika kwa Serikali ya awamu ya nne!! Kwa sheria hiyo tuliuza gesi yetu!! Na sisi ni wadowezi tu wa gesi hii inagopatikana Nchi. Ni bahati mbaya Sana!
 
Hizi ni propaganda za watu wa ulaya.
Mh. Samia sio limbukeni hivyo, wa kukubali kuyumbishwa na matakwa ya kibepari.

Propaganda za watu wa ulaya na baadhi ya mabepari wanaoizunguka CCM .

Akijichanganya, ndie atakuwa Raisi aliyopotoshika na kuyumbishwa na mabepari kuliko maraisi wengine wengi Barani Afrika.
Hizi ni jitihada hasi kwa Rasilimali za Tanzania na Afrika kwa Ujumla.
Ee muumba, tupatie nguvu za kuwajua wasiotutakia mema mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…