marserino
Member
- Apr 30, 2024
- 33
- 60
Kabla mradi wa mwendo Kasi kumilikiwa na serikali rasmi mwaka 2015.ilikuwa chini ya Simon group mmiliki na msimamizi kipindi hicho alikuwa Kisena. Abood na shabiby anaozungumzia ni miladi inayosimamiwa na watu wa serikali waliojificha kwenye vivuli vya wabunge