RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
R.I.P MagufuliHizi nitaarifa mbaya sana Kwa watanzania wenzetu, kaya Zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya Moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakaz wake stahiki zao, batch yakwanza imelipwa ijumatatu iliyopita, batch yapili majina yatatoka Jumatatu yakeshokutwa watu wameshaanza kurudi makwao.
Mwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??Hizi nitaarifa mbaya sana Kwa watanzania wenzetu, kaya Zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya Moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakaz wake stahiki zao, batch yakwanza imelipwa ijumatatu iliyopita, batch yapili majina yatatoka Jumatatu yakeshokutwa watu wameshaanza kurudi makwao.
Mwanza Isaka ndio kapewa mchina.Lakin hichi kipande si kapewa mchina AU , nimesahau?
Milady na etl hawezi Kuta Wana Post Hii habariUliza wafanyakazi waliopo NZEGA-BUKENE kama hawafungashi virago.
Inawezekana haidaiwi .Mbona serikali ilisema haidaiwi, imekuaje tena?? 😐😐😐
Mkuu Pole SanaMbona serikali ilisema haidaiwi, imekuaje tena?? 😐😐😐
Sasa kwanini wafungeInawezekana haidaiwi .
Na hii ndio maana ya jamii forum hamna habari inayochujwa kila kitu kinawekwa wazi humuMilady na etl hawezi Kuta Wana Post Hii habari
Ndio aje ajibu alisema wamesema hawadaiwi.Sasa kwanini wafunge
Watu wanasema awamu hii imekopa sana pia waseme ndiyo awamu iliyojenga sana!Hizi nitaarifa mbaya sana Kwa watanzania wenzetu, kaya Zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya Moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakaz wake stahiki zao, batch yakwanza imelipwa ijumatatu iliyopita, batch yapili majina yatatoka Jumatatu yakeshokutwa watu wameshaanza kurudi makwao.
Aah Kile kipande ambacho mchina alilipwa trillion 1.2 ndani ya nusu saaMwanza Isaka ndio kapewa mchina.
Nazungumza jambo nililo na uhakika nalo.Kipande cha Tabora, amepewa CCECC pamoja na Mwanza. Mtoa mada anamix mifile
Watakutana na pigo za NapeMilady na etl hawezi Kuta Wana Post Hii habari