Watu unapewa na t-shirt ya kijani uvae ukae kando ya barabara au uende kwenye mkutano wa SamiaHao wanaosobwa ni kondoo AU kitu Gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu unapewa na t-shirt ya kijani uvae ukae kando ya barabara au uende kwenye mkutano wa SamiaHao wanaosobwa ni kondoo AU kitu Gani?
Walianza kwa kujenga madaraja.Bado sana. Hata miaka miwili ijayi, hamalizi. Wanachofanya ni kujenga vipande ambavyo vinakatiza barabara. Maeneo yote ya huko kati bado sana.
Umasikini + ujinga ni mtaji mkubwa Sana Kwa CCMWatu unapewa na t-shirt ya kijani uvae ukae kando ya barabara au uende kwenye mkutano wa Samia
Hizi ni taarifa mbaya sana kwa Watanzania wenzetu, kaya zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-Isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakazi wake stahiki zao.
Batch ya kwanza imelipwa Jumatatu iliyopita, batch ya pili majina yatatoka Jumatatu ya kesho kutwa, watu wameshaanza kurudi makwao.
Nchi ni familia mkuu. Kwani mama au baba yako wakitoka ndiyo inakuwa mwisho wa maendeleo!!Kwanin mkandarasi kabadilishwa?.
Mkuu tymkumbuke nani, nchi sio familia kwamba akiwa hayupo mama au Baba haitoenda mbele.