Mradi wa SGR lot no 4, YAPI MERKEZ yaanza kufunga virago, inasemekana ni baada ya serikali kukosa fedha za kuwalipa

Mradi wa SGR lot no 4, YAPI MERKEZ yaanza kufunga virago, inasemekana ni baada ya serikali kukosa fedha za kuwalipa

Kiki gani lile ni Jembe kwa hakika WaTz hatutomsahau kwa mema aliyo yafanya, Magufuri alifanya makubwa sana ambayo hayakufanywa na Viongozi wengine waliopita.

Alidhibiti mafisadi ama kwa hakika Leo angekuwopo Magu huo Mradi mpaka saivi ungekuwa umeshakamilika. Ila kwa vile Kuna mafisadi, Rushwa nyingi Hela zinatolewa watu wanakula naa hakuna anaye wafuatilia ndo maana miradi ya Magu alioianzisha haiendi, kwa sabab hamna anayeisimamia.

Mungu amkumbuke huko aliko Mzee Magu watanzania tunamkumbuka sana kwa mema yake
NAKAZIA.
 
Haujielewi wewe..

Yani TBS ana fanya calibration halafu wakala wa vipimo ana fanya verification?

Wewe kweli wa kupimwa mkojo. Wewe ndio mtu anakuamini uiwakilishe kampuni yake? Hahaaha
Tbs kwanza anafanya Calibration Hilo kubali, na ushadi umeonyeshwa. Kuhusu Mimi kuwakilisha kampuni sio kampuni tu Bali INTERNATIONAL COMPANY ambayo Ipo nchi za ya 52 Dunian
Haujielewi wewe..

Yani TBS ana fanya calibration halafu wakala wa vipimo ana fanya verification?

Wewe kweli wa kupimwa mkojo. Wewe ndio mtu anakuamini uiwakilishe kampuni yake? Hahaaha
Kwanza kubali Tbs wanafanya calibration, hilo kubali ulikua hujui . Pili sio kwamba nimeaminiwa nakampuni bali international company ambayo Ipo zaidi ya nchi 52, iliyopo ASIA, EUROPE mpaka Afrika. Hayo mengine niyako baada yakuona huna unalojua.
 
Basi umekua kimwili ila kiakili ni zero
Na saivi watu wa aina yako ndo wengi sana humu Jamiiforum, mtu akionekana yupo kinyume na ww mnaanza kumu undermine bila sabab za Msingi.
Huna hoja Kaa Kimya siyo kuanza kusema sijui kukua, kawambie watoto wako huko wakue, pumbavu kabsa stupid 🤬🚮 FY
 
Mwendazake kwanini alikurupuka kusaini mikataba huku akijua hamna hela??
Au ndio alikuwa anatafuta kiki
Mkuu serikali iliyoko madarakani imekua na matumizi yasiyo ya lazima ya pesa ambazo zingeenda kumalizia hiyo miradi.
 
Ingefaa mleta mada arudi ajibu hili swali lako zuri kabisa.
Kashajibiwa mkuu, hicho kipande kapewa mturuki, kipande alichopewa mchina ni ISAKA kwenda Mwanza , Tabora-Kigoma, lkn kipande Cha Tabora - Isaka kapewa Mturuki.
 
Hizi ni taarifa mbaya sana kwa Watanzania wenzetu, kaya zaid ya elfu 3 zinakosa ajira ya moja kwa moja baada ya mradi wa Tabora-Isaka, kusimama, na YAPI MERKEZ kuanza kulipa wafanyakazi wake stahiki zao.

Batch ya kwanza imelipwa Jumatatu iliyopita, batch ya pili majina yatatoka Jumatatu ya kesho kutwa, watu wameshaanza kurudi makwao.
Wanakwenda likizo ya Krisimasi na wiki mbili tatu zijazo watakuwa maporini wanachapa kazi.
 
Oyaa we chawa unajua wakandarasi wa ndani wanadai kiasi gani? Toka September unajua kama hazina hakuna hata pesa ya kulipa mil 200 ya wakandarasi wadogo wa ndani
Hazina Hela ipo, ila sio ya kulipa vikampuni vya wanasiasa.

Kwa hiyo hujui kwamba Bwawa la mwalimu Nyerere tenda ya chakula kwa "Kijiji" kinachokaa hapo kujenga bwawa anayo mama Anna Mkapa na genge la wake wa wanasiasa?

Hata SGR, tenda (sub contract) ni vi kampuni vya wafanyabiashara uchwara ambao ni wanasiasa.

Baada ya kifo Cha yule ng'ombe, SSH alienda kwa Al Fattah, unajua sababu?
 
Miradi ya kuwanufaisha wananchi sio kipaumbele cha awamu ya sita.

Awamu ya sita ni ya dili dili tu upigaji wa hapa na pale basi wao ndio wanayaweza hayo.
 
Chezea urafiki na waarabu wewe. Huko Tabora si ndo Kila bajaji Ina picha ya bango na maneno ya kumsifia kuwadi wa raslimali zetu

Hayo yote yanasimamiwa na Bashe.

Nilimdharau sana Bashe wakati wa ziara ya Rais. Bahati nzuri wakati huo nilikuwa Tabora. Alitumia pesa nyingi kuwahamisha watu wale wale waende eneo tofauti ilo tu kuonesha kuna watu wengi sana kwenye mkutano.

Mkutano wa Nzega, malori na mabasi, yalisomba watu usiku kucha toka Igunga, Bukene, Uyui, Tabora mjini kuwapeleka Nzega. Watu hao hao tena wakasombwa kupelekwa Tabora mjini kuungana na waliosombwa toka Sikonge, Kaliua na Urambo.
 
Hayo yote yanasimamiwa na Bashe.

Nilimdharau sana Bashe wakati wa ziara ya Rais. Bahati nzuri wakati huo nilikuwa Tabora. Alitumia pesa nyingi kuwahamisha watu wale wale waende eneo tofauti ilo tu kuonesha kuna watu wengi sana kwenye mkutano.

Mkutano wa Nzega, malori na mabasi, yalisomba watu usiku kucha toka Igunga, Bukene, Uyui, Tabora mjini kuwapeleka Nzega. Watu hao hao tena wakasombwa kupelekwa Tabora mjini kuungana na waliosombwa toka Sikonge, Kaliua na Urambo.
Hao wanaosobwa ni kondoo AU kitu Gani?
 
Back
Top Bottom