Tatizo aliloezea kwa mafumboni conflict of interest. Hii ndiyo inaua sekta nyingi za umma. Mkurugenzi mtendaji Sema wa tazara, Ana malori - 100 (mfano tu huo) amepata mzigo kwenda Zambia, je ataupeleka kwa malori au kwa reli? Mwingine Ana daladala 50 kila route, haya ya mwendokasi atayapa muda mwingi WA kuyashughulikia? Mwanzoniwamiaka Ile, viongozi WA umma hawakuwa na ruksa ya kushughulika na kitu nje ya kazi Ile aliyopewa. Mageuzi yaliyofanywa pale Mbeya yalileta haya tunayolalamikia Leo. HATA BABA WA TAIFA ALILISEMA NA KUOMBA AONYESHWE UBAYA WA YALE WIYOKUBALIANA KABLA YA MBEYA CONFERENCE.LOooh, mkuu 'William Mshumbusi', umeweka bonge la mada hapa, lakini najua, kama kawaida yetu siku hizi hapa JF, tutaigusagusa tu na kwenda zetu kwenye utani wetu wa CCM na CHADEMA!
Umeanza na mfano mzuri sana wa TAZARA, jinsi reli ile ilivyojengwa haraka na kwa ufanisi na wachina. Madhumuni wa ujenzi wa reli ile ulijulikana bayana, kuondokana na utegemezi wa nchi za mstari wa mbele katika ukombozi kuwategemea makaburu katika maswala yao ya uchukuzi na usafirishaji wa mizigo yao.
Kabla ya mchina kujenga ile reli, wafadhiri wa nchi za Magharibi waliombwa kusaidia kuijenga, wakang'aka, huku wakisema reli eneo hilo haina faida. Hao hao, walipoona mchina anaijenga reli, haraka wakawa mbioni kwenye ujenzi wa barabara. Unaweza kutafsiri mwenyewe maana ya hayo yote.
Reli, kama ulivyoeleza ilifanya kazi vizuri mwanzoni mwa utumikaji wake, na umeeleza kwa nini kadri miaka ilivyoendelea, ndio ufanisi wake ulivyozidi kufifia hadi sasa.
Binafsi ningependa sana ukazie hapa, penye udhoofu wa ufanisi. Ueleze sababu hasa ni zipi, pamoja na kwamba umegusia kama kawaida yetu sote siku hizi, lawama za kwamba serikali haiwezi kufanya biashara. Mimi sikubaliani na jibu hilo jepesijepesi hivyo. Serikali inaweza sana kufanya mambo yake kwa ufanisi iktaka kufanya hivyo. Nyakati hizi haifanyi hivyo kwa sababu mbalimbali, ikiwemo hiyo ya sekta binafsi unayoipigia chapuo hapa, ikiwa ndio kikwazo kikubwa sana katika kudhoofisha shughuli za serikali.
Wenye malori bila shaka hawawezi kulaza damu wakiona shughuli za reli zinafana huku zikiwapunguzia wao wanachokitafuta. Tunaweza sana kulijadili hili, hata kama hatuwezi kukubaliana.
Matatizo yanayojitokeza ndani ya mashirika ya umma, yanaanzia huko huko kwenye sekta binafsi, na ukosefu wa usimamizi bora ndani ya mashirika yenyewe. Hii haimaanishi kwamba udhaifu huo hauwezi kudhibitiwa kama serikali ikiamua na kuwa na nia ya kufanikisha shughuli zake. Kusema serikali haiwezi kufanya biashara, ni sawa pia na kusema serikali haiwezi kufanya shughuli yoyote kwa ufanisi. Kwa hiyo tuondoe serikali tubinafsishe shughuli zote zinazofanywa na serikali?
Tusifanye uwekezaji ndio uwe muarobaini wa matatizo yetu, kila mara tunaposhindwa kwa uzembe tu, eti tukimbilie kwenye uwekezaji.
Yaani mpaka iwe bure kabisa ndo ujue ni huduma kwa jamii?Kwa hiyo mwendo kasi ni huduma au biashara? Ukiniambia shule za msingi ni huduma nitakuelewa, sio hayo mabasi yanayojaza abiria wanaolipa nauli mpaka mlango inakuwa shida kuufunga.
LOooh, mkuu 'William Mshumbusi', umeweka bonge la mada hapa, lakini najua, kama kawaida yetu siku hizi hapa JF, tutaigusagusa tu na kwenda zetu kwenye utani wetu wa CCM na CHADEMA!
Umeanza na mfano mzuri sana wa TAZARA, jinsi reli ile ilivyojengwa haraka na kwa ufanisi na wachina. Madhumuni wa ujenzi wa reli ile ulijulikana bayana, kuondokana na utegemezi wa nchi za mstari wa mbele katika ukombozi kuwategemea makaburu katika maswala yao ya uchukuzi na usafirishaji wa mizigo yao.
Kabla ya mchina kujenga ile reli, wafadhiri wa nchi za Magharibi waliombwa kusaidia kuijenga, wakang'aka, huku wakisema reli eneo hilo haina faida. Hao hao, walipoona mchina anaijenga reli, haraka wakawa mbioni kwenye ujenzi wa barabara. Unaweza kutafsiri mwenyewe maana ya hayo yote.
Reli, kama ulivyoeleza ilifanya kazi vizuri mwanzoni mwa utumikaji wake, na umeeleza kwa nini kadri miaka ilivyoendelea, ndio ufanisi wake ulivyozidi kufifia hadi sasa.
Binafsi ningependa sana ukazie hapa, penye udhoofu wa ufanisi. Ueleze sababu hasa ni zipi, pamoja na kwamba umegusia kama kawaida yetu sote siku hizi, lawama za kwamba serikali haiwezi kufanya biashara. Mimi sikubaliani na jibu hilo jepesijepesi hivyo. Serikali inaweza sana kufanya mambo yake kwa ufanisi iktaka kufanya hivyo. Nyakati hizi haifanyi hivyo kwa sababu mbalimbali, ikiwemo hiyo ya sekta binafsi unayoipigia chapuo hapa, ikiwa ndio kikwazo kikubwa sana katika kudhoofisha shughuli za serikali.
Wenye malori bila shaka hawawezi kulaza damu wakiona shughuli za reli zinafana huku zikiwapunguzia wao wanachokitafuta. Tunaweza sana kulijadili hili, hata kama hatuwezi kukubaliana.
Matatizo yanayojitokeza ndani ya mashirika ya umma, yanaanzia huko huko kwenye sekta binafsi, na ukosefu wa usimamizi bora ndani ya mashirika yenyewe. Hii haimaanishi kwamba udhaifu huo hauwezi kudhibitiwa kama serikali ikiamua na kuwa na nia ya kufanikisha shughuli zake. Kusema serikali haiwezi kufanya biashara, ni sawa pia na kusema serikali haiwezi kufanya shughuli yoyote kwa ufanisi. Kwa hiyo tuondoe serikali tubinafsishe shughuli zote zinazofanywa na serikali?
Tusifanye uwekezaji ndio uwe muarobaini wa matatizo yetu, kila mara tunaposhindwa kwa uzembe tu, eti tukimbilie kwenye uwekezaji.
Hakuna muujiza wa kuwezesha SGR kuendeshwa kwa faida ikimalizika. Labda ikodishwe kwa mwendeshaji.Kwaiyo tuache kujenga au,
Kichwa cha habari ni SGR,
Mradi ambao ndio kwanza upo UC,
I thought nitaona umeweka ushahidi na facts ni namna gani mradi Wa SGR utafeli,
But humo naona brt, mgr, atcl
LOooh, mkuu 'William Mshumbusi', umeweka bonge la mada hapa, lakini najua, kama kawaida yetu siku hizi hapa JF, tutaigusagusa tu na kwenda zetu kwenye utani wetu wa CCM na CHADEMA!
Umeanza na mfano mzuri sana wa TAZARA, jinsi reli ile ilivyojengwa haraka na kwa ufanisi na wachina. Madhumuni wa ujenzi wa reli ile ulijulikana bayana, kuondokana na utegemezi wa nchi za mstari wa mbele katika ukombozi kuwategemea makaburu katika maswala yao ya uchukuzi na usafirishaji wa mizigo yao.
Kabla ya mchina kujenga ile reli, wafadhiri wa nchi za Magharibi waliombwa kusaidia kuijenga, wakang'aka, huku wakisema reli eneo hilo haina faida. Hao hao, walipoona mchina anaijenga reli, haraka wakawa mbioni kwenye ujenzi wa barabara. Unaweza kutafsiri mwenyewe maana ya hayo yote.
Reli, kama ulivyoeleza ilifanya kazi vizuri mwanzoni mwa utumikaji wake, na umeeleza kwa nini kadri miaka ilivyoendelea, ndio ufanisi wake ulivyozidi kufifia hadi sasa.
Binafsi ningependa sana ukazie hapa, penye udhoofu wa ufanisi. Ueleze sababu hasa ni zipi, pamoja na kwamba umegusia kama kawaida yetu sote siku hizi, lawama za kwamba serikali haiwezi kufanya biashara. Mimi sikubaliani na jibu hilo jepesijepesi hivyo. Serikali inaweza sana kufanya mambo yake kwa ufanisi iktaka kufanya hivyo. Nyakati hizi haifanyi hivyo kwa sababu mbalimbali, ikiwemo hiyo ya sekta binafsi unayoipigia chapuo hapa, ikiwa ndio kikwazo kikubwa sana katika kudhoofisha shughuli za serikali.
Wenye malori bila shaka hawawezi kulaza damu wakiona shughuli za reli zinafana huku zikiwapunguzia wao wanachokitafuta. Tunaweza sana kulijadili hili, hata kama hatuwezi kukubaliana.
Matatizo yanayojitokeza ndani ya mashirika ya umma, yanaanzia huko huko kwenye sekta binafsi, na ukosefu wa usimamizi bora ndani ya mashirika yenyewe. Hii haimaanishi kwamba udhaifu huo hauwezi kudhibitiwa kama serikali ikiamua na kuwa na nia ya kufanikisha shughuli zake. Kusema serikali haiwezi kufanya biashara, ni sawa pia na kusema serikali haiwezi kufanya shughuli yoyote kwa ufanisi. Kwa hiyo tuondoe serikali tubinafsishe shughuli zote zinazofanywa na serikali?
Tusifanye uwekezaji ndio uwe muarobaini wa matatizo yetu, kila mara tunaposhindwa kwa uzembe tu, eti tukimbilie kwenye uwekezaji.
Tatizo aliloezea kwa mafumboni conflict of interest. Hii ndiyo inaua sekta nyingi za umma. Mkurugenzi mtendaji Sema wa tazara, Ana malori - 100 (mfano tu huo) amepata mzigo kwenda Zambia, je ataupeleka kwa malori au kwa reli? Mwingine Ana daladala 50 kila route, haya ya mwendokasi atayapa muda mwingi WA kuyashughulikia? Mwanzoniwamiaka Ile, viongozi WA umma hawakuwa na ruksa ya kushughulika na kitu nje ya kazi Ile aliyopewa. Mageuzi yaliyofanywa pale Mbeya yalileta haya tunayolalamikia Leo. HATA BABA WA TAIFA ALILISEMA NA KUOMBA AONYESHWE UBAYA WA YALE WIYOKUBALIANA KABLA YA MBEYA CONFERENCE.
Nafikiri kwa uwekezaji, unaofanywa kwenye Reli,ni lazima lengo.liwe n biashara.
Nina mashaka makubwa na hii miradi ya Mwendazake!
Kuna kila dalili tutakujakulia huko mbeleni.
Nafikiri kinachoendelea Kenya kwenye SGR ya Nairobi Mombasa ni mfano.mzuri ,sana!
Haiwezekani nchi ikajiingiza kwenye miradi mikubwa hivi ,bika mjadala wa kutosha!
Pamoja na hilo lakini kubwa kabisa ni kuruhusiwa viongozi Tena kule juu kabisa kujiingiza kwenye biashara, wakati huo huo TAIFA halikuwa na mwongozo wa kushughulika mambo kama haya yakitokea. Kungekuwa na sheria kuwa kama ni biashara basi a ha u director General wa TPA au TRC, fanya biashara yako.Hata kusipokuwepo na conflict of Interest, watu walioajiriwa serikalini sio rahisi kufanya biashara kwa ufanisi kwa sababu nyingi sana.
Meneja wa masoko wa TAZARA, Meli za Serikali au ATCL watalipwa mishahara yao tu pasipo kujali kuna faida au hasara ya miaka 10 katika shirika, hali ikizidi kuwa mbaya watahamishiwa sehemu nyingine na wataendelea kulipwa kama kawaida huku mshahara wao ukipanda kila mwaka.
Meneja masoko wa Precision Air, Azam Marine au Basi la Saul utakuwa na bahati sana kama kampuni itapata hasara kwa miezi 6 mfululizo na ukaendelea "kusavaivu" ofisini.
Usimamizi umefanyaje? Utasimamia nini ikiwa sgr unajenga sehemu isiyokuwa na mzigo kama njia ya Mwanza au central corridor nzima?Miradi ni ya mhimu ,tatizo lipo kwenye usimamizi this why miradi inaonekana ni ya hovyo
Kama ni hivyo basi kubaliana kuwa kuna tatizo. Usimamizi usio na dawa mradi unaanzisha wa nini!?Miradi ni ya mhimu ,tatizo lipo kwenye usimamizi this why miradi inaonekana ni ya hovyo
Kumbuka viongozi wote waliotembelea bwawa la Nyerere pamoja na waandishi wa habari waliwasifu wajenzi! Sasa kauli ya makamu wa Rais aliyoitoa juzi kuhusu ujenzi tuisemeje!Umeandika jambo kubwa lakini bila vielelezo na uthibitisho mfano umeandika serikali inatoa fedha kwenye mradi wa mwendokasi ilitakiwa useme inatoa kiasi gani na mradi unapata hasara kiasi gani na kwanini unashindwa kujiendesha.Umeandika kuhusu SGR lakini sijaona facts kuthibitisha mradi utashindwa.
MamiLadi makubwa kama Chato Airport.
Kilaza wahed wewe.
Wewe hufai kuwepo katika jukwaa hili. Unachojua ni chuki kwa chadema na matusi ya aibu. Nadhani hii ni reflection ya malezi mabovu uliyopitia . Mada ni nzuri na fikirishi, wewe unaingiza uvyama na matusi tu basi. Huwezi kuhimili nguvu ya hoja pita kimya.
Mwaka 1970-1974 mchina alijenga reli ya Tazara ya kisasa kwa wakati huo na watanzania waliaminishwa makubwa Sana juu ya faida ya mradi husika. Miaka 25 tu baada ya mradi kukamilika reli ikachoka, ikakosa wateja, usimamizi mbovu. Zile hadithi na simulizi tamu za manufaa ya mradi huo walioaminishwa watanzania hakuna Tena na njia kuu ya uchukuzi Tanzania to Zambia kubaki NI barabara ya Rami.
Pia Serikali ililithi reli ya Kati kutoka kwa mkoloni. Na reli ilibaki njia kuu ya uchukuzi Hadi miaka ya 90s katikati. Lakini shirika liliendeshwa kihuni Sana. Shirika liliuza tiketi chache Sana. Zaidi ya 80% ya abilia walilipa Ela keshi zilizoishia mikononi mwa walinzi na wafanyakazi wa shirika lenyewe.
Mpaka leo reli haikujiendesha. Inakula Kodi zetu kila siku kukarabatiwa lkn maingizo hakuna NI hasara tu.
Nisiwachoshe kabisa. Sizungumzii kbs mradi wa Mabasi ya mwendokasi unavyoumiza taifa ikiwa NI chini ya miaka kumi tu uanshwe. Serikali inamwaga fedha kuuokoa Ila watachoka tu. Mabasi kibao yameharibika yakatelekezwa na kuoza.
Ndege zipo kwaajili ya kujisifu lkn hakuna faida ya kipato.
Ambao wanachukulia Mambo kirahisi hawataelewa. Wataamini propaganda na hadidhi za bulicheka na ndoto za abunuasi za kuvuka bahati kwa kugeuza meza na kupanda juu yake.
Ukweli NI kuwa mradi utakausha kau fedha mtaani,
Serikali ingejitoa kabisa kwenye ujenzi na uendeshaji ikakaa kusubili kodi.
Ila Kama Serikali itafanya biashara nk hatari kwake. Haina ubunifu. Usimamizi mbovu.
Kwa jinsi tulivyo
Tunaitaji reli nzuri lkn bila kupitiachito reli.
Tukubali tu tungevutia mwekezaji binafsi. Serikali ikiuchukua usimamizi na hivi haijui ubunifu, Itapiga marufuku maroli ya mizigo ili wao wapate mzigo.
Hayo matilioni yatapotea Kama mradi usio na uhakika.
Kwa muundo, mifumo na desturi za serikali inaweza kuwekeza na kuendesha miradi hiyo kibiashara kweli? Nina mashaka. Katika mazingira ya soko huru na ushindani sidhani ,huko nyuma tulishindwa leo tutaweza kweli. Tungeenda na utaratibu wa PPP ingewezekana.