Yaani hujuu kama china alipiga matufuku cryptocurrencies?😂😂. Kweli wewe hamnazo.
Following the announcement by the People’s Bank of China on Friday, Bitcoin's value shed around 4.5 per cent.
www.euronews.com
China na one of di kontri wey get di largest crypto-currency markets for di world.
www.bbc.com
Uwe unasoma habari kutoka vyanzo vya kuaminika, ujichote chote tu habari kutoka kwa mataahira wenzako.
Nimekwambia nitajir basi hata nchi moja ambayo 100% transactions zake ni cryptocurrencies umeshindwa, basi hata 10% basi nijue mimi kutoka kwako mtaalam, nisaidie mkuu kujua😂😂.
Wazungu husema little learning is very hazardous. Kweli naamini stupidity is still common in Tanzania.
Kwenye hayo mambo dogo tafta wa kumdanganya, sio mimi.