Mradi wa SGR umeendeshwa vibaya na utalitia Taifa hasara kizazi hadi kizazi

Mradi wa SGR umeendeshwa vibaya na utalitia Taifa hasara kizazi hadi kizazi

Tusipoteze muda na kamati za kutafuta kwa nini mambo ya kijamaa yalishindwa na yanaendelea kushindwa duniani kote. SGR ikikamilika huo mwaka itakaokamilia sekta binafsi ipewe fursa ya kuendesha biashara ya treni.
Mambo ya "kijamaa" yapo na yatakuwepo milele ndani ya 'jamii' zote duniani. Hiyo kushinda au kushindwa ni uamzi auonao mtazamaji kufuatana na akili yake inavyoongozwa.
 
Mama huko ziarani Moshi na Arusha ni sifa zinaimbwa kama wakati wa marehemu kaka yake sijui naye kashaanza kuficha uvundo? Mungu tusaidie!
Mwaka 1970-1974 mchina alijenga reli ya Tazara ya kisasa kwa wakati huo na watanzania waliaminishwa makubwa Sana juu ya faida ya mradi husika. Miaka 25 tu baada ya mradi kukamilika reli ikachoka, ikakosa wateja, usimamizi mbovu. Zile hadithi na simulizi tamu za manufaa ya mradi huo walioaminishwa watanzania hakuna Tena na njia kuu ya uchukuzi Tanzania to Zambia kubaki NI barabara ya Rami.

Pia Serikali ililithi reli ya Kati kutoka kwa mkoloni. Na reli ilibaki njia kuu ya uchukuzi Hadi miaka ya 90s katikati. Lakini shirika liliendeshwa kihuni Sana. Shirika liliuza tiketi chache Sana. Zaidi ya 80% ya abilia walilipa Ela keshi zilizoishia mikononi mwa walinzi na wafanyakazi wa shirika lenyewe.

Mpaka leo reli haikujiendesha. Inakula Kodi zetu kila siku kukarabatiwa lkn maingizo hakuna NI hasara tu.
Nisiwachoshe kabisa. Sizungumzii kbs mradi wa Mabasi ya mwendokasi unavyoumiza taifa ikiwa NI chini ya miaka kumi tu uanshwe. Serikali inamwaga fedha kuuokoa Ila watachoka tu. Mabasi kibao yameharibika yakatelekezwa na kuoza.
Ndege zipo kwaajili ya kujisifu lkn hakuna faida ya . Kila mwaka Serikali inakula lose ya mabilioni

Ambao wanachukulia Mambo kirahisi hawataelewa. Wataamini propaganda na hadidhi za bulicheka na ndoto za abunuasi za kuvuka bahati kwa kugeuza meza na kupanda juu yake.

Ukweli NI kuwa mradi utakausha kau fedha mtaani, Utajiendesha kwa hasara, hautaleta faida.

Serikali ingejitoa kabisa kwenye ujenzi na uendeshaji ikakaa kusubili kodi.
Ila Kama Serikali itafanya biashara hii ni hatari kwake na Sekta binafsi za usafirishaji. Haina ubunifu. Wanachojua Serikali NI kuwafungia Sekta binafsi ili wao wauze. Kama ilivyofanya Air Tz dhidi ya fast jet. lkn Serikali haifaidiki chochote na abiria wanaumia.

Tunaitaji reli nzuri lkn bila hakukuwa na ulazma wa Serikali yenyewe kuhusika.


Hayo matilioni yatapotea. Tulikuwa tunapiga hatua Ila Sasa tunatumia ma tilion kuliundia taifa zigo la kuhudumiwa na matilioni kila mwaka.
 
Elimu yangu hakuna mtu kwenye ukoo wenu anayo ama atakuja kua nayo.

Kama akili huna ya kujua wajibu wa serikali kwenye kupumguza ama kuondoa umasikini, unakopi tweets za waume zako huko Twitter ambao hawana akili kama weww unawezaje kuhoji elimu yangu mimi mtaalam?

Achana na mataahira wenzakowa tweeter, soma hapa kutoka kwa wataalamu wa uchumi kutoka IMF wanasemaje kuhusu serikali kupunguza umasikini



ivi zile aspects za economics ulisoma? mfano socialism, communism, capitalism?
 
Wewe na huyo taahira mwenzako hamuelewi role ya serikali katika kusaidia kuondoa umasikini.

Kama serikali haijatengeneza mazingira mazuri ya kukufanya wewe shughuli unayofanya ifanikiwe na utokane ama uondokane na umasikini hata ufanyeje haiwezekani.

Kwa nini watu walikua wanamlaumu JPM kwamba amefanya mazingira ya biashara kua magumu? Kwani biashara ilikua haifanyiki?

Ninachokiona ni wewe kua na uelewa mdogo wa haya mambo. Rudi shule uongeze maarifa kisha uje tujadiliane.

anyway nmejaribu kukpuuza wacha nkupe maarifa kidogo usije ukalalamika kwamba hukueleweshwa!

- Serikali ni kwa ajili ya law enforcement, politics and organisation of people! nkimaanisha nn? aspect mfano za uchumi serikali plays a very very small portion probably 0.0000001% izo zote znazobaki znakuhusu wewe, mfano mtu anaefanya miamala kwa kutumia blockchain hapangiwi chochote na serikali yoyote kokote ulimwenguni ndo maaana inaitwa DECENTRALIZED meaning no one is in control hata serikali yenyewe haina mamlaka nayo, nadhan mpaka apo izi details znakutosha maaana naweza kukaa apa naelezea mtu ambae ni bangi!
 
anyway nmejaribu kukpuuza wacha nkupe maarifa kidogo usije ukalalamika kwamba hukueleweshwa!

- Serikali ni kwa ajili ya law enforcement, politics and organisation of people! nkimaanisha nn? aspect mfano za uchumi serikali plays a very very small portion probably 0.0000001% izo zote znazobaki znakuhusu wewe, mfano mtu anaefanya miamala kwa kutumia blockchain hapangiwi chochote na serikali yoyote kokote ulimwenguni ndo maaana inaitwa DECENTRALIZED meaning no one is in control hata serikali yenyewe haina mamlaka nayo, nadhan mpaka apo izi details znakutosha maaana naweza kukaa apa naelezea mtu ambae ni bangi!
I knew utakuja na hadithi za kitaahira kama hizi, hizo block chain ni uchumi wa wapi? Hujasikia china imepiga marufuku huo utapeli? Sio china tu nchi nyingi tu.

Huo uchumi wa block chain unafanya wapi kazi, ama ni nchi gani 100% uchumi wake unaendeshwa kwa cryptocurrencies? Na aliekudanganya kua cryptocurrencies ni mfumo sa uchumi na sio mfumo wa malipo ni nani? Ama huelewei unachokiandika humu? Kwa kukusaidia paper yangu ya masters degree ilikua inahusu cryptocurrencies, kwa hiyo nazijua in and out.

Nimekwambia hizi ngonjera za kitaahira kawaambie wajinga wenzako, sio mimi.
 
ivi zile aspects za economics ulisoma? mfano socialism, communism, capitalism?
Acha maswali ya kitoto, wewe umesema serikali haina mchango wowote wala wajibu wowote kwenye kuondoa umasikini. Nimekupa papers za shirika la fedha Duniani na taasisi ya utafiti ya Brookings, inawezekana huzijui hizi taasisi, sio?, ama na wao hawakusoma hizo aspects za uchumi? Maana usingeendelea kuandika uharo wako hapa.
 
Acha maswali ya kitoto, wewe umesema serikali haina mchango wowote wala wajibu wowote kwenye kuondoa umasikini. Nimekupa papers za shirika la fedha Duniani na taasisi ya utafiti ya Brookings, inawezekana huzijui hizi taasisi, sio?, ama na wao hawakusoma hizo aspects za uchumi? Maana usingeendelea kuandika uharo wako hapa.

si ndo maaana nimekuweka pemben maaana si ushaonyesha kabisa huna akili zaidi ya link za IMF, ingekua ata una kitu kichwan ningekupa a new light sasa shida hata kichwan huna kitu, yaaani hata kujua tafauti ya socialism na capitalism hujui unategemea nn kingine?
 
I knew utakuja na hadithi za kitaahira kama hizi, hizo block chain ni uchumi wa wapi? Hujasikia china imepiga marufuku huo utapeli? Sio china tu nchi nyingi tu.

Huo uchumi wa block chain unafanya wapi kazi, ama ni nchi gani 100% uchumi wake unaendeshwa kwa cryptocurrencies? Na aliekudanganya kua cryptocurrencies ni mfumo sa uchumi na sio mfumo wa malipo ni nani? Ama huelewei unachokiandika humu? Kwa kukusaidia paper yangu ya masters degree ilikua inahusu cryptocurrencies, kwa hiyo nazijua in and out.

Nimekwambia hizi ngonjera za kitaahira kawaambie wajinga wenzako, sio mimi.

skia hii takataka ingine, nani kakwambia unaweza kupiga ban crypoto? yaaani hata silaha na madawa ingekua ngumu sana kununua zingepigwa ban

- masters gan umesoma dogo ambayo inasema crypto ni mfumo wa malipo? have you ever heard of crypto billionaires? have you ever heard about these people 5 People Who Became Millionaires from Bitcoin | Trading Education , have you ever traded any bitcoin? have you ever bought any drug? sasa uliandika nn kwenye paper zako za masters? na hio paper yako ilipita kwa professor gan kiasi kwamba akaikubali?

(Huo uchumi wa block chain unafanya wapi kazi, ama ni nchi gani 100% uchumi wake unaendeshwa kwa cryptocurrencies?) huyu ndo aliefanya masters, PATHETIC! na unafanya kazi wap ndugu maaana we ni takataka
 
skia hii takataka ingine, nani kakwambia unaweza kupiga ban crypoto? yaaani hata silaha na madawa ingekua ngumu sana kununua zingepigwa ban

- masters gan umesoma dogo ambayo inasema crypto ni mfumo wa malipo? have you ever heard of crypto billionaires? have you ever heard about these people 5 People Who Became Millionaires from Bitcoin | Trading Education , have you ever traded any bitcoin? have you ever bought any drug? sasa uliandika nn kwenye paper zako za masters? na hio paper yako ilipita kwa professor gan kiasi kwamba akaikubali?

(Huo uchumi wa block chain unafanya wapi kazi, ama ni nchi gani 100% uchumi wake unaendeshwa kwa cryptocurrencies?) huyu ndo aliefanya masters, PATHETIC! na unafanya kazi wap ndugu maaana we ni takataka
Yaani hujuu kama china alipiga matufuku cryptocurrencies?😂😂. Kweli wewe hamnazo.

Uwe unasoma habari kutoka vyanzo vya kuaminika, ujichote chote tu habari kutoka kwa mataahira wenzako.

Nimekwambia nitajir basi hata nchi moja ambayo 100% transactions zake ni cryptocurrencies umeshindwa, basi hata 10% basi nijue mimi kutoka kwako mtaalam, nisaidie mkuu kujua😂😂.

Wazungu husema little learning is very hazardous. Kweli naamini stupidity is still common in Tanzania.

Kwenye hayo mambo dogo tafta wa kumdanganya, sio mimi.
 
BRT haipo kuleta faida direct, faida yake ipo indirect kwa maana Wananchi/watu wanafika maeneo ya kazi/biashara kwa wakati, Pili utendaji kazi unaongezeka ivyo serikali inapata faida kupitia uzalishaji wa wafanyakazi Na pia wafanyabiashara kuzalisha Na kulipa kodi. Kabla ya BRT kutoka Mbezi to Posta vice versa mtanzania alikuwa anapoteza masaa 5-6barabarani anafika sehemu ya uzalishaji kachoka hatari! BRT imespend around 400Billion lakin faida zake ni kubwa kiuchumi!
Izo Basi zikiwa za kampuni binafsi kipi kitaharibika. Serikali kumiliki mabasi NI ujinga uliopitiliza. Landcruser mkonge mpya halmashauri inazitumia miaka minne tu zinalala. Leo imiliki bus kweli.
Hakika wewe ni mpumbavu juha Waheed
View attachment 1977386


TRC inatengeneza net profit na wana capital reserves ya karibu billioni 200, tena limepewa uhai majuzi.

Halafu mtu anakwambia libinafsishwe linaitia nchi hasara, Kadogosa ndio M.D mwenye sifa sahihi serikalini; ata ukimsikiliza unaona ana uelewa mpana wa management ya biashara.
Kaka uchambuzi wako hauna uhalisia. Kwa mwaka 2014 Hadi 2018 shirika limefanya matumizi makubwa Sana kukarabati.
Ilinunua behewa karibu 200. Vichwa 15 vipya, ukarabati wa njia ya dar Arusha.
Matumizi yote hayo ya ukarabati kuazia 2015 NI zaidi ya hayo. Kama ukichukua bajeti hizo shirika kwa kipindi hicho kwa reli ya Kati iliingia hasara zaidi ya b 300. Hizo b 12 NI walizokusanya na kutumia nauli. Isitoshe shirika liopo kwenye michakato wakubadilisha na kulibinafsisha katika malengo yake. Bila ruzuku haliend kbs Sasa.
 
Unaropoka sana aisee

Perhaps hata familia na ndugu wa Karibu unashindwa kwenda nao sawa lakini unajipa uwezo president a kuanalyse multi million dollar project

What the heck
Uje ujibu hoja kwa hoja sio viloja
 
Bado huelewi ninachosisitiza hapa.
Sisemi serikali ifanye kila kitu, na wala siandiki popote kwamba sekta binafsi haitakiwi. Usilazimishe hoja zisizokuwepo.
Siyo nadharia kama unavyosema wewe kwa serikali kufanya kazi zake kwa ufanisi, ikiwa ni pamoja na kuendesha mashirika ya umma. Duniani kote kuna mifano halisi ya serikali nyingi kufanya hivyo.

Kwa hiyo hapa una maana serikali iache ujenzi wa miundo mbinu hiyo kwa kuogopa "figisu"?
Inachotakiwa kufanya serikali ni kuhakikisha inasimamia utendaji kazi kwa wajibu wa taratibu za kazi hiyo kwa hao watakao kuwa kwenye utumishi wa kuendesha kazi hiyo.
Kaka sijasema isijenge miundombinu. Hapana Ila ifanye tu sehemu chache ambazo Sekta binafsi haiwezekani kufanya. Sehemu Kama Afya, ELIMU na ujenzi wa miundombinu Kama barabara. Ila kuwa na Basi, ndege au treni za biashara dunia ilishaaama uko. Ata British airways inaendeshwa na kumilikiwa na secta binafsi Tena waspain wale.
 
Kaka sijasema isijenge miundombinu. Hapana Ila ifanye tu sehemu chache ambazo Sekta binafsi haiwezekani kufanya. Sehemu Kama Afya, ELIMU na ujenzi wa miundombinu Kama barabara. Ila kuwa na Basi, ndege au treni za biashara dunia ilishaaama uko. Ata British airways inaendeshwa na kumilikiwa na secta binafsi Tena waspain wale.
Bado unakataa kunielewa mkuu wangu 'Mshumbusi',

Kama unavyoeleza wewe, ni hivyo hivyo ninavyoeleza mimi ila kwa upande tofauti. Upande wa serikali.

Hakuna mfanya biashara yeyote anayezuiwa, kama anataka kujenga hata barabara au reli na kuiendesha yeye au aonavyo yeye anazuiwa. Kwani ni lazima hao wafanya biashara wasubiri serikali iwajengee reli halafu wao waiendeshe?

Wajenge barabara wakipenda ili wafanye biashara, kama mchina anavyofanya na "Nairobi Expressway" hapa jirani yetu. Atakayetaka kuitumia barabara hiyo kwa malipo hazuiwi; lakini hapo hapo isiwe nongwa kwa serikali kuacha wajibu wake wa kujenga barabara au reli kwa matumizi ya raia wake eti kwa vile mwekezaji kajenga barabara yake.
 
Yaani hujuu kama china alipiga matufuku cryptocurrencies?😂😂. Kweli wewe hamnazo.

Uwe unasoma habari kutoka vyanzo vya kuaminika, ujichote chote tu habari kutoka kwa mataahira wenzako.

Nimekwambia nitajir basi hata nchi moja ambayo 100% transactions zake ni cryptocurrencies umeshindwa, basi hata 10% basi nijue mimi kutoka kwako mtaalam, nisaidie mkuu kujua😂😂.

Wazungu husema little learning is very hazardous. Kweli naamini stupidity is still common in Tanzania.

Kwenye hayo mambo dogo tafta wa kumdanganya, sio mimi.

ungetulia zako tu maaana ilikua rahisi sana kujua we takataka, kwanza umesema umefanya masters ukaandika pepa lakini hujui crypto inatokea wap, sjui nchi gan inatumia crypto, yaani ungeenda zako tu kusoma upya hakuna unachojua zaidi ya kushare links tu, hata hizo china kupiga ban ni siasa tu, CRYPTO huezi kuipiga ban na huezi kujua mlipaji na anaemiliki account ni nan

- onTop of that CRYPTO haina ofisi kwamba ukisahau password au unamalalmiko unaeza kwenda, unaweza kufanya mwamala wa crypto na anaevalidate mwamala wako yupo nyumba ya jiran na usijue, hii process inaitwa MINNING

  • na pia CRYPTO hazina data center, infact hata mmiliki wa BITCOIN mpaka leo its a mystery hakuna anaemjua
  • vingine ni kupoteza mda tu kukueleZea Maana hakuna cha maaana unachojua, japokua hata izo whatsapp na facebook zimepigwa ban mda mrefu sana china ila znatumika vizuri sana INGAWA crypto ni tafauti kabisa na mitandao ya internet! mengine mengi rudi kwenye papers zako za masters ulizosema sjui uliandika nn uko, probably ni kituko
 
Mambo ya "kijamaa" yapo na yatakuwepo milele ndani ya 'jamii' zote duniani. Hiyo kushinda au kushindwa ni uamzi auonao mtazamaji kufuatana na akili yake inavyoongozwa.
Ujamaa uliwashinda warusi na wachina na ulidumaza uchumi wao miaka nenda Rudi. Sector binafsi na akina Alibaba ndio walioleta mapinduzi ya viwanda na biashara kote duniani
 
Ujamaa uliwashinda warusi na wachina na ulidumaza uchumi wao miaka nenda Rudi. Sector binafsi na akina Alibaba ndio walioleta mapinduzi ya viwanda na biashara kote duniani
Huo ni muono wako uliofunikwa na mawazo ya aina hiyo.
Kwa mawazo yako unadhani uchumi wa China haukuwepo hadi pale walipoamua kufanya marekebisho ya namna ya kuuendesha! Ni mawazo ya ajabu sana hayo.
China hadi leo ni wakomunisti siyo mabepari. Na hata huko kwa mabepari, ujamaa upo, hata kama hutaki kujuwa hilo.
 
Ingelikuwa enzi za jiwe usinge toa maoni nondo heavy kama haya kweli sasa uhuru wa maoni hupo mama oyee
 
Miradi ni ya mhimu ,tatizo lipo kwenye usimamizi this why miradi inaonekana ni ya hovyo
Ni wazi miradi yote ya umma tatizo usimamizi, upelekea hasara, hii toka tupate uhuru kwa sasa inajulikana, ni vipi tunarudi kwenye biashara hizi, viongozi ni wabinafsi, wana hamu ya biashara hivyo wanashinikiza serikali ifanye biashara!
 
Ni mpaka tutakapobadili katiba na kuambiana ukweli kwamba ujamaa umeshindikana. Hizi biashara tuwape wazawa ambao wako serious serikali kusanya kodi na kulinda muslahi ya waajiriwa kama nchi za Magharibi. Vinginevyo hakuna jipya atakuja rais huyu "ubinafsishaji" akija mwingine "rudisha serikalini".Miaka inaenda😭
 
Izo Basi zikiwa za kampuni binafsi kipi kitaharibika. Serikali kumiliki mabasi NI ujinga uliopitiliza. Landcruser mkonge mpya halmashauri inazitumia miaka minne tu zinalala. Leo imiliki bus kweli.
Kaka uchambuzi wako hauna uhalisia. Kwa mwaka 2014 Hadi 2018 shirika limefanya matumizi makubwa Sana kukarabati.
Ilinunua behewa karibu 200. Vichwa 15 vipya, ukarabati wa njia ya dar Arusha.
Matumizi yote hayo ya ukarabati kuazia 2015 NI zaidi ya hayo. Kama ukichukua bajeti hizo shirika kwa kipindi hicho kwa reli ya Kati iliingia hasara zaidi ya b 300. Hizo b 12 NI walizokusanya na kutumia nauli. Isitoshe shirika liopo kwenye michakato wakubadilisha na kulibinafsisha katika malengo yake. Bila ruzuku haliend kbs Sasa.
Wewe na huyo aliyesema financial statement hela inatoka huku kwenda kule akili zenu zinafanana.

Ukinunua vichwa vya train unatengeneza hasara? Hizo si ni ‘tangible asset’ za kampuni.

Isitoshe tangible assets na retained earnings kwenye financial statement ni kitu kimoja? Retained earnings ni ‘liquidity’ (cash) ambayo ipo bank. Wakikwambia wana surplus ya billion 200 hiyo hela ipo bank.

Kama ata elementary info za statement yenyewe ni shida kuelewa; kuanza kufanya analysis ya hiyo biashara with that info si mtihani.

Net profit is what the definition says; kwa lugha yako ni faida baada ya madeni na kulipa kodi.

Kama TRC inatengeneza faida kwa hali ya leo. SGR ikiisha faida zake si zitakuwa za level za nyingine.

Kadogosa ata ukimsikiliza anayo future strategic plan ya shirika na future ya TRC chini yake ni brighten. Unlike MD’s wengine waliobaki wa mashirika ya umma yaani ukiwasikiliza tu unaona shirika linapoelekea ni kusini.
 
Back
Top Bottom