Mradi wa SGR umeendeshwa vibaya na utalitia Taifa hasara kizazi hadi kizazi

Mradi wa SGR umeendeshwa vibaya na utalitia Taifa hasara kizazi hadi kizazi

Mwaka 1970-1974 mchina alijenga reli ya Tazara ya kisasa kwa wakati huo na watanzania waliaminishwa makubwa Sana juu ya faida ya mradi husika. Miaka 25 tu baada ya mradi kukamilika reli ikachoka, ikakosa wateja, usimamizi mbovu. Zile hadithi na simulizi tamu za manufaa ya mradi huo walioaminishwa watanzania hakuna Tena na njia kuu ya uchukuzi Tanzania to Zambia kubaki NI barabara ya Rami.

Pia Serikali ililithi reli ya Kati kutoka kwa mkoloni. Na reli ilibaki njia kuu ya uchukuzi Hadi miaka ya 90s katikati. Lakini shirika liliendeshwa kihuni Sana. Shirika liliuza tiketi chache Sana. Zaidi ya 80% ya abilia walilipa Ela keshi zilizoishia mikononi mwa walinzi na wafanyakazi wa shirika lenyewe.

Mpaka leo reli haikujiendesha. Inakula Kodi zetu kila siku kukarabatiwa lkn maingizo hakuna NI hasara tu.
Nisiwachoshe kabisa. Sizungumzii kbs mradi wa Mabasi ya mwendokasi unavyoumiza taifa ikiwa NI chini ya miaka kumi tu uanshwe. Serikali inamwaga fedha kuuokoa Ila watachoka tu. Mabasi kibao yameharibika yakatelekezwa na kuoza.
Ndege zipo kwaajili ya kujisifu lkn hakuna faida ya . Kila mwaka Serikali inakula lose ya mabilioni

Ambao wanachukulia Mambo kirahisi hawataelewa. Wataamini propaganda na hadidhi za bulicheka na ndoto za abunuasi za kuvuka bahati kwa kugeuza meza na kupanda juu yake.

Ukweli NI kuwa mradi utakausha kau fedha mtaani, Utajiendesha kwa hasara, hautaleta faida.

Serikali ingejitoa kabisa kwenye ujenzi na uendeshaji ikakaa kusubili kodi.
Ila Kama Serikali itafanya biashara hii ni hatari kwake na Sekta binafsi za usafirishaji. Haina ubunifu. Wanachojua Serikali NI kuwafungia Sekta binafsi ili wao wauze. Kama ilivyofanya Air Tz dhidi ya fast jet. lkn Serikali haifaidiki chochote na abiria wanaumia.

Tunaitaji reli nzuri lkn bila hakukuwa na ulazma wa Serikali yenyewe kuhusika.


Hayo matilioni yatapotea. Tulikuwa tunapiga hatua Ila Sasa tunatumia ma tilion kuliundia taifa zigo la kuhudumiwa na matilioni kila mwaka.
Hakika wewe ni mpumbavu juha Waheed
 
A39D1A6F-6109-49FF-981E-F6FD7671D46E.jpeg



TRC inatengeneza net profit na wana capital reserves ya karibu billioni 200, tena limepewa uhai majuzi.

Halafu mtu anakwambia libinafsishwe linaitia nchi hasara, Kadogosa ndio M.D mwenye sifa sahihi serikalini; ata ukimsikiliza unaona ana uelewa mpana wa management ya biashara.
 
Umeandika jambo kubwa lakini bila vielelezo na uthibitisho mfano umeandika serikali inatoa fedha kwenye mradi wa mwendokasi ilitakiwa useme inatoa kiasi gani na mradi unapata hasara kiasi gani na kwanini unashindwa kujiendesha.Umeandika kuhusu SGR lakini sijaona facts kuthibitisha mradi utashindwa.
Mkuu
 
Mwaka 1970-1974 mchina alijenga reli ya Tazara ya kisasa kwa wakati huo na watanzania waliaminishwa makubwa Sana juu ya faida ya mradi husika. Miaka 25 tu baada ya mradi kukamilika reli ikachoka, ikakosa wateja, usimamizi mbovu. Zile hadithi na simulizi tamu za manufaa ya mradi huo walioaminishwa watanzania hakuna Tena na njia kuu ya uchukuzi Tanzania to Zambia kubaki NI barabara ya Rami.

Pia Serikali ililithi reli ya Kati kutoka kwa mkoloni. Na reli ilibaki njia kuu ya uchukuzi Hadi miaka ya 90s katikati. Lakini shirika liliendeshwa kihuni Sana. Shirika liliuza tiketi chache Sana. Zaidi ya 80% ya abilia walilipa Ela keshi zilizoishia mikononi mwa walinzi na wafanyakazi wa shirika lenyewe.

Mpaka leo reli haikujiendesha. Inakula Kodi zetu kila siku kukarabatiwa lkn maingizo hakuna NI hasara tu.
Nisiwachoshe kabisa. Sizungumzii kbs mradi wa Mabasi ya mwendokasi unavyoumiza taifa ikiwa NI chini ya miaka kumi tu uanshwe. Serikali inamwaga fedha kuuokoa Ila watachoka tu. Mabasi kibao yameharibika yakatelekezwa na kuoza.
Ndege zipo kwaajili ya kujisifu lkn hakuna faida ya . Kila mwaka Serikali inakula lose ya mabilioni

Ambao wanachukulia Mambo kirahisi hawataelewa. Wataamini propaganda na hadidhi za bulicheka na ndoto za abunuasi za kuvuka bahati kwa kugeuza meza na kupanda juu yake.

Ukweli NI kuwa mradi utakausha kau fedha mtaani, Utajiendesha kwa hasara, hautaleta faida.

Serikali ingejitoa kabisa kwenye ujenzi na uendeshaji ikakaa kusubili kodi.
Ila Kama Serikali itafanya biashara hii ni hatari kwake na Sekta binafsi za usafirishaji. Haina ubunifu. Wanachojua Serikali NI kuwafungia Sekta binafsi ili wao wauze. Kama ilivyofanya Air Tz dhidi ya fast jet. lkn Serikali haifaidiki chochote na abiria wanaumia.

Tunaitaji reli nzuri lkn bila hakukuwa na ulazma wa Serikali yenyewe kuhusika.


Hayo matilioni yatapotea. Tulikuwa tunapiga hatua Ila Sasa tunatumia ma tilion kuliundia taifa zigo la kuhudumiwa na matilioni kila mwaka.
Unaropoka sana aisee

Perhaps hata familia na ndugu wa Karibu unashindwa kwenda nao sawa lakini unajipa uwezo president a kuanalyse multi million dollar project

What the heck
 
Umeandika jambo kubwa lakini bila vielelezo na uthibitisho mfano umeandika serikali inatoa fedha kwenye mradi wa mwendokasi ilitakiwa useme inatoa kiasi gani na mradi unapata hasara kiasi gani na kwanini unashindwa kujiendesha.Umeandika kuhusu SGR lakini sijaona facts kuthibitisha mradi utashindwa.
Well Said,ndio eti think tank kijijini kwao,kama taifa tuna hasara dhidi ya vijana model hii
 
Kwa muundo, mifumo na desturi za serikali inaweza kuwekeza na kuendesha miradi hiyo kibiashara kweli? Nina mashaka. Katika mazingira ya soko huru na ushindani sidhani ,huko nyuma tulishindwa leo tutaweza kweli. Tungeenda na utaratibu wa PPP ingewezekana.
Ule ulioua mashirika kadhaa ya umma baada ya kupelekwa private?
 
Tazara imelegalega sababu ya ufisadi na usimamizi mbofu.
Trc vilevile imekuwa hivyo .
Atc vilevile.
DART/ BRT vile vile.

Suluhisho : sgr miundombinu imilikiwe na serikali 100%, treni na huduma imilikiwe na serikali 20% na 80% sekta binafsi ya kampuni za kimataifa zilizofanikiwa Kwenye huduma ya reli sio kampuni za mifukoni

Atcl : 51% imilikiwe na serikali na 49% kampuni kubwa za kimataifa za ndege zilizofanikiwa sio kampuni za kuletwa na watu kwa manufaa ya ten percent

Tazara , Trc na BRT ziendeshwe kama mfumo wa sgr
 
Shetani aliasi miaka na miaka iliyopita lakini mpaka leo bado tunamsema, itakuwa huyo dhalimu uchwara?
Unaishi kwa shida sana mkuu!
.
Marehemu bado anakuchapa hata baada ya kufa
 
Mwaka 1970-1974 mchina alijenga reli ya Tazara ya kisasa kwa wakati huo na watanzania waliaminishwa makubwa Sana juu ya faida ya mradi husika. Miaka 25 tu baada ya mradi kukamilika reli ikachoka, ikakosa wateja, usimamizi mbovu. Zile hadithi na simulizi tamu za manufaa ya mradi huo walioaminishwa watanzania hakuna Tena na njia kuu ya uchukuzi Tanzania to Zambia kubaki NI barabara ya Rami.

Pia Serikali ililithi reli ya Kati kutoka kwa mkoloni. Na reli ilibaki njia kuu ya uchukuzi Hadi miaka ya 90s katikati. Lakini shirika liliendeshwa kihuni Sana. Shirika liliuza tiketi chache Sana. Zaidi ya 80% ya abilia walilipa Ela keshi zilizoishia mikononi mwa walinzi na wafanyakazi wa shirika lenyewe.

Mpaka leo reli haikujiendesha. Inakula Kodi zetu kila siku kukarabatiwa lkn maingizo hakuna NI hasara tu.
Nisiwachoshe kabisa. Sizungumzii kbs mradi wa Mabasi ya mwendokasi unavyoumiza taifa ikiwa NI chini ya miaka kumi tu uanshwe. Serikali inamwaga fedha kuuokoa Ila watachoka tu. Mabasi kibao yameharibika yakatelekezwa na kuoza.
Ndege zipo kwaajili ya kujisifu lkn hakuna faida ya . Kila mwaka Serikali inakula lose ya mabilioni

Ambao wanachukulia Mambo kirahisi hawataelewa. Wataamini propaganda na hadidhi za bulicheka na ndoto za abunuasi za kuvuka bahati kwa kugeuza meza na kupanda juu yake.

Ukweli NI kuwa mradi utakausha kau fedha mtaani, Utajiendesha kwa hasara, hautaleta faida.

Serikali ingejitoa kabisa kwenye ujenzi na uendeshaji ikakaa kusubili kodi.
Ila Kama Serikali itafanya biashara hii ni hatari kwake na Sekta binafsi za usafirishaji. Haina ubunifu. Wanachojua Serikali NI kuwafungia Sekta binafsi ili wao wauze. Kama ilivyofanya Air Tz dhidi ya fast jet. lkn Serikali haifaidiki chochote na abiria wanaumia.

Tunaitaji reli nzuri lkn bila hakukuwa na ulazma wa Serikali yenyewe kuhusika.


Hayo matilioni yatapotea. Tulikuwa tunapiga hatua Ila Sasa tunatumia ma tilion kuliundia taifa zigo la kuhudumiwa na matilioni kila mwaka.
Ni wachache watakuelewa
 
Hujui kusoma financial statements, kojoa ukalele. Kilochopo kwenye hiyo statement ni kama kuchukua pesa mfuko wa shati ukaongezea zilizopo kwenye mfuko wa suruali halafu ukajisifia umeongeza utajiri.
Huko ndio kule kunasemwa unajitekenya na kucheka mwenyewe.
View attachment 1977386


TRC inatengeneza net profit na wana capital reserves ya karibu billioni 200, tena limepewa uhai majuzi.

Halafu mtu anakwambia libinafsishwe linaitia nchi hasara, Kadogosa ndio M.D mwenye sifa sahihi serikalini; ata ukimsikiliza unaona ana uelewa mpana wa management ya biashara.
 
Mwaka 1970-1974 mchina alijenga reli ya Tazara ya kisasa kwa wakati huo na watanzania waliaminishwa makubwa Sana juu ya faida ya mradi husika. Miaka 25 tu baada ya mradi kukamilika reli ikachoka, ikakosa wateja, usimamizi mbovu. Zile hadithi na simulizi tamu za manufaa ya mradi huo walioaminishwa watanzania hakuna Tena na njia kuu ya uchukuzi Tanzania to Zambia kubaki NI barabara ya Rami.

Pia Serikali ililithi reli ya Kati kutoka kwa mkoloni. Na reli ilibaki njia kuu ya uchukuzi Hadi miaka ya 90s katikati. Lakini shirika liliendeshwa kihuni Sana. Shirika liliuza tiketi chache Sana. Zaidi ya 80% ya abilia walilipa Ela keshi zilizoishia mikononi mwa walinzi na wafanyakazi wa shirika lenyewe.

Mpaka leo reli haikujiendesha. Inakula Kodi zetu kila siku kukarabatiwa lkn maingizo hakuna NI hasara tu.
Nisiwachoshe kabisa. Sizungumzii kbs mradi wa Mabasi ya mwendokasi unavyoumiza taifa ikiwa NI chini ya miaka kumi tu uanshwe. Serikali inamwaga fedha kuuokoa Ila watachoka tu. Mabasi kibao yameharibika yakatelekezwa na kuoza.
Ndege zipo kwaajili ya kujisifu lkn hakuna faida ya . Kila mwaka Serikali inakula lose ya mabilioni

Ambao wanachukulia Mambo kirahisi hawataelewa. Wataamini propaganda na hadidhi za bulicheka na ndoto za abunuasi za kuvuka bahati kwa kugeuza meza na kupanda juu yake.

Ukweli NI kuwa mradi utakausha kau fedha mtaani, Utajiendesha kwa hasara, hautaleta faida.

Serikali ingejitoa kabisa kwenye ujenzi na uendeshaji ikakaa kusubili kodi.
Ila Kama Serikali itafanya biashara hii ni hatari kwake na Sekta binafsi za usafirishaji. Haina ubunifu. Wanachojua Serikali NI kuwafungia Sekta binafsi ili wao wauze. Kama ilivyofanya Air Tz dhidi ya fast jet. lkn Serikali haifaidiki chochote na abiria wanaumia.

Tunaitaji reli nzuri lkn bila hakukuwa na ulazma wa Serikali yenyewe kuhusika.


Hayo matilioni yatapotea. Tulikuwa tunapiga hatua Ila Sasa tunatumia ma tilion kuliundia taifa zigo la kuhudumiwa na matilioni kila mwaka.
Unachanganya Mambo wewe. Ungeweza ungeuliza mawali uelimishwe.
 
JF tafadhali mwalikeni waziri wa miundombinu atueleze ni kwanini Tazara, Mwendokasi na TRC wanafanya biashara kwa hasara.

Anzisheni kipindi hapa ili apewe maswali na ayajibu.

Binafsi nimesikitika sana marehemu JPM kuondoka sababu nilidhani ni yeye angeiweza Tazara na kujificha kwa sababu ya kuwa ni maamuzi lazima yakubaliwe pande mbili za nchi yaani Zambia na Tz.

Kuna kipindi alipelekwa Ndumbaro pale sijui alibadilisha nini haswa.
 
Kipimo kizuri cha Magu ilikuwa ni mabasi ya mwendo kasi maana wakati anaingia madarakani, alikuta ni mradi na akauzindua. Je huo mradi uliendeshwa kwa ufanisi? Kile kivuko cha mv Bagamoyo alikinunua yeye, kilikuwa na ufanisi? Hapo piga jibu mstari wa reli ya SGR, achia mbali propaganda nyingi zilizokuwa kwenye huo mradi wa SGR, kama kipande cha Dar-moro kuwa tayari hadi November 2019.
F tafadhali mwalikeni waziri wa miundombinu atueleze ni kwanini Tazara, Mwendokasi na TRC wanafanya biashara kwa hasara.

Anzisheni kipindi hapa ili apewe maswali na ayajibu.

Binafsi nimesikitika sana marehemu JPM kuondoka sababu nilidhani ni yeye angeiweza Tazara na kujificha kwa sababu ya kuwa ni maamuzi lazima yakubaliwe pande mbili za nchi yaani Zambia na Tz.

Kuna kipindi alipelekwa Ndumbaro pale sijui alibadilisha nini haswa.
 
Umeandika jambo kubwa lakini bila vielelezo na uthibitisho mfano umeandika serikali inatoa fedha kwenye mradi wa mwendokasi ilitakiwa useme inatoa kiasi gani na mradi unapata hasara kiasi gani na kwanini unashindwa kujiendesha.Umeandika kuhusu SGR lakini sijaona facts kuthibitisha mradi utashindwa.
Ametoa alert sasa wewe msomi mtafuta mafakti jiongeze utafute izo data kamili tatizo wasomi wa Nyambari Nyangwinye mmezoea kutafuniwa ninyi mmeze tuu...mtamezaga sumu
 
Serikali ya Tanzania haina uwezo wa kuendesha mradi wowote kwa faida.

Siyo kweli kuwa eti sekta binafsi ndiyo inayosababisha serikali ishindwe kuendesha miradi ya biashara kwa faida. Kusema kwamba sekta binafsi inaihujumu miradi ya serikali ili sekta binafsi ipate biashara ni uwongo mkubwa:

1) TANESCO haijawahi kutengeneza faida hata mwaka mmoja, inashindana na nani?

2) ATCL haijawahi kupata faida hata mwaka mmoja. Waliiondoa Fastjet kwa mizengwe. Je, sasa wanapata faida?

3) Serikali ilikiwa inamiliki viwanda vya bia kabla ya kubinafsishwa, haikuwahi kutengeneza faida hata mwaka mmoja. Ilikuwa inashindana na nani wakati huo?

4) Serikali ilikuwa inamiliki kiwanda cha sigara, haikuwahi kutengeneza faida, ilikuwa inashindana na nani?

5) Serikali ilikuwa inamiliki viwanda vya zana za kilimo, kampuni ya simu na posta, na mengine mengi, lakini ilishindwa.

Serikali, kama ilivyo kwenye taasisi nyingine, imejaza watu wa ajabu, watu wenye uwezo mdogo, wanaoteuliwa kuendesha miradi hiyo wanateuliwa kwa mtazamo wa kisiasa, watu ambao uwezo na maarifa yao ni duni sana. Watu kama Sabaya, Mwigulu, Kalemani, Biteko, unategemea wanaweza kuendesha mradi wowote ukapata faida? Watu wa namna hiyo, ndiyo wamejaa kwenye taasisi za Serikali ambazo zilistahili kuongozwa na watu kwa kuangalia weledi na siyo siasa za ulimbukeni.

Nani atumie usafiri wa TAZARA, wakati ukitaka kusafirisha mizigo yako, mlolongo wa kupitia ni kama umeenda kuomba msaada. Watendaji wengi wa sekta ya umma wanachojua ni kuabudiwa, siyo time sensitive. Vivyo hivyo itakuwa kwa SGR.
Mkuu 'Hamatan', hukunielewa nilichoandika, au kwa vile ni lazima kufupisha maelezo, sikutoa ufafanuzi wa kutosha kukuelewesha wewe nilichonuia kukiwasilisha.

"Serikali ya Tanzania haina uwezo wa kuendesha chochote kwa faida" Sawa kabisa, na hili ndilo nililoliwasilisha, labda kama sikulinyoosha kama ulivyolinyoosha wewe.
Lakini tukishasema hivyo, haina maana kwamba "Serikali ya Tanzania ikidhamiria, haiwezi kuwa na uwezo wa kuendesha mashirika yake kwa faida". Sasa tunachotakiwa kufanya ni kueleza ni njia zipi zinazotakiwa kufanywa na serikali ili iweze kufanya hivyo.

Mimi hata siku moja sikubaliani na hiyo dhana potofu kabisa ya kusema serikali haiwezi, huo ni uongo.
 
Duniani kote ni nadra sana kupata serikali inayoweza kufanya biashara yoyote kwa faida. Biashara ni uwanja wa sekta binafsi, serikali iache kufanya biashara badala yake itengeneze mazingira mazuri ya biashara kufanyika na yenyewe ikusanye kodi.

Serikali ya Marekani hadi sekta nyeti kama ya Ulinzi imetoa fursa kubwa ya sekta binafsi kufanya kazi. Sekta binafsi inatengeneza silaha zote zinazotumika na jeshi la Marekani, zinazouzwa na kutolewa misaada nje ya nchi. Karibia vinu vyote vya nyuklia Marekani vinamilikiwa na makampuni binafsi, sisi bado tumebaki na mawazo ya kijima ya karne za giza ya serikali kumilik hadi ng'ombe kwenye ranchi!
Mkuu Yoda, sijasema kwamba serikali ijiingize katika kufanya kila aina ya biashara inayoweza kufanywa na yeyote, na siyo maana yangu kusema kwamba sekta binafsi izuiwe kufanya biashara.

Kuna baadhi ya mambo ambayo serikali inahitajika kuyafanya kwa ufanisi kwa manufaa ya jamii nzima. Haya ndiyo tunayoyazungumzia hapa

Ni vyema umeanza andiko lako kwa hayo maneno "Ni nadra" ikiwa na maana kwamba inawezekana hata ikiwa ni mara chache.

Umetoa mfano wa serikali ya Marekani na mashirika binafsi, lakini hujatolea mfano na serikali ya China, au Soviet, enzi zile, au Korea Kaskazini leo hii wanapotengeneza 'hypersonic' missiles.

Hata hizo kodi unazosema serikali ikusanye, itazikusanya vipi iwapo inashindwa kuendesha hata shirika moja la kutoa huduma kwa wananchi kwa ufanisi! Unachojisahaulisha hapa ni kwamba serikali haifanyi kazi inavyotakiwa na wananchi ifanye, halafu unachukulia hali hiyo kuwa ndiyo hali ya kawaida inayotakiwa kuwa nayo serikali! Hili sikubaliani nalo.
 
Nimewahi kuhoji zaidi ya mara moja humu jukwaani kwa washabiki wa hiyo reli ya SGR, je ni faida gani inapatikana kutoka kwenye reli ya kati na TAZARA, mpaka tuamini SGR itakuwa na ufanisi kuliko hizi zilizopo? Sioni majibu ya maana zaidi ya propaganda mfu. Nilisema iwapo watu wanaamini hiyo SGR itakuwa na ufanisi,ni kipi kinafanya huu mradi wa mwendo kasi uendeshwe kwa ufanisi duni, wakati abiria ni wa kumwaga?
Huwezi kujua sababu uwezo wa kuchambua mambo ni finyu.Acha mradi umalizie wajukuu zako wataona faida.Miaka 100 ijayo wataona faida yake siyo wewe
 
Kwa muundo, mifumo na desturi za serikali inaweza kuwekeza na kuendesha miradi hiyo kibiashara kweli? Nina mashaka. Katika mazingira ya soko huru na ushindani sidhani ,huko nyuma tulishindwa leo tutaweza kweli. Tungeenda na utaratibu wa PPP ingewezekana.
Huwezi kwenda na PPP reli ni usalama wa nchi acha ujuha
 
Kwa nadhalia Serikali Inaweza ikafanya kilakitu. Ila unapotengeneza hoja lazma tuje na vividi. Tuje na mifano halisi. Lini na wapi ilifanya biashara kwa ufanisi na kufanikiwa? Ila kwa biashara za kitabuni wako vizuri sana. Kama motivation speaker na hadithi ya faida ya kilimo Cha matikiti. Juzi walijaribu kwenye korosho ikawaacha watu kwenye maumivu makali sana ambayo hawatayasahau.
Kama Serikali ikiamua kufanya biashara hiyo ya usafirishaji inabidi ijiandae tu kukabiliana na figisu na kila changamoto kutoka kwa wenye mabasi na reli. Isitegemee mseleleko. Ipambane iwe Bora kuliko wao na iweze kujisimamia isihujumiwe. Na ndio maana halisi ya ushindani lkn isiwafunge mikono washindani wengine. Na Kama haiwezi isifanye biashara.
Bado huelewi ninachosisitiza hapa.
Sisemi serikali ifanye kila kitu, na wala siandiki popote kwamba sekta binafsi haitakiwi. Usilazimishe hoja zisizokuwepo.
Siyo nadharia kama unavyosema wewe kwa serikali kufanya kazi zake kwa ufanisi, ikiwa ni pamoja na kuendesha mashirika ya umma. Duniani kote kuna mifano halisi ya serikali nyingi kufanya hivyo.
Kama Serikali ikiamua kufanya biashara hiyo ya usafirishaji inabidi ijiandae tu kukabiliana na figisu na kila changamoto kutoka kwa wenye mabasi na reli. Isitegemee mseleleko. Ipambane iwe Bora kuliko wao na iweze kujisimamia isihujumiwe. Na ndio maana halisi ya ushindani lkn isiwafunge mikono washindani wengine. Na Kama haiwezi isifanye biashara.
Kwa hiyo hapa una maana serikali iache ujenzi wa miundo mbinu hiyo kwa kuogopa "figisu"?
Inachotakiwa kufanya serikali ni kuhakikisha inasimamia utendaji kazi kwa wajibu wa taratibu za kazi hiyo kwa hao watakao kuwa kwenye utumishi wa kuendesha kazi hiyo.
 
Back
Top Bottom