KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Mambo ya "kijamaa" yapo na yatakuwepo milele ndani ya 'jamii' zote duniani. Hiyo kushinda au kushindwa ni uamzi auonao mtazamaji kufuatana na akili yake inavyoongozwa.Tusipoteze muda na kamati za kutafuta kwa nini mambo ya kijamaa yalishindwa na yanaendelea kushindwa duniani kote. SGR ikikamilika huo mwaka itakaokamilia sekta binafsi ipewe fursa ya kuendesha biashara ya treni.
Mwaka 1970-1974 mchina alijenga reli ya Tazara ya kisasa kwa wakati huo na watanzania waliaminishwa makubwa Sana juu ya faida ya mradi husika. Miaka 25 tu baada ya mradi kukamilika reli ikachoka, ikakosa wateja, usimamizi mbovu. Zile hadithi na simulizi tamu za manufaa ya mradi huo walioaminishwa watanzania hakuna Tena na njia kuu ya uchukuzi Tanzania to Zambia kubaki NI barabara ya Rami.
Pia Serikali ililithi reli ya Kati kutoka kwa mkoloni. Na reli ilibaki njia kuu ya uchukuzi Hadi miaka ya 90s katikati. Lakini shirika liliendeshwa kihuni Sana. Shirika liliuza tiketi chache Sana. Zaidi ya 80% ya abilia walilipa Ela keshi zilizoishia mikononi mwa walinzi na wafanyakazi wa shirika lenyewe.
Mpaka leo reli haikujiendesha. Inakula Kodi zetu kila siku kukarabatiwa lkn maingizo hakuna NI hasara tu.
Nisiwachoshe kabisa. Sizungumzii kbs mradi wa Mabasi ya mwendokasi unavyoumiza taifa ikiwa NI chini ya miaka kumi tu uanshwe. Serikali inamwaga fedha kuuokoa Ila watachoka tu. Mabasi kibao yameharibika yakatelekezwa na kuoza.
Ndege zipo kwaajili ya kujisifu lkn hakuna faida ya . Kila mwaka Serikali inakula lose ya mabilioni
Ambao wanachukulia Mambo kirahisi hawataelewa. Wataamini propaganda na hadidhi za bulicheka na ndoto za abunuasi za kuvuka bahati kwa kugeuza meza na kupanda juu yake.
Ukweli NI kuwa mradi utakausha kau fedha mtaani, Utajiendesha kwa hasara, hautaleta faida.
Serikali ingejitoa kabisa kwenye ujenzi na uendeshaji ikakaa kusubili kodi.
Ila Kama Serikali itafanya biashara hii ni hatari kwake na Sekta binafsi za usafirishaji. Haina ubunifu. Wanachojua Serikali NI kuwafungia Sekta binafsi ili wao wauze. Kama ilivyofanya Air Tz dhidi ya fast jet. lkn Serikali haifaidiki chochote na abiria wanaumia.
Tunaitaji reli nzuri lkn bila hakukuwa na ulazma wa Serikali yenyewe kuhusika.
Hayo matilioni yatapotea. Tulikuwa tunapiga hatua Ila Sasa tunatumia ma tilion kuliundia taifa zigo la kuhudumiwa na matilioni kila mwaka.
Elimu yangu hakuna mtu kwenye ukoo wenu anayo ama atakuja kua nayo.
Kama akili huna ya kujua wajibu wa serikali kwenye kupumguza ama kuondoa umasikini, unakopi tweets za waume zako huko Twitter ambao hawana akili kama weww unawezaje kuhoji elimu yangu mimi mtaalam?
Achana na mataahira wenzakowa tweeter, soma hapa kutoka kwa wataalamu wa uchumi kutoka IMF wanasemaje kuhusu serikali kupunguza umasikini
The role of good governance in fostering pro-poor and inclusive growth
Djeneba Doumbia provides four recommendations to combat corruption and promote pro-poor and inclusive growth in sub-Saharan Africa.www.brookings.edu
Wewe na huyo taahira mwenzako hamuelewi role ya serikali katika kusaidia kuondoa umasikini.
Kama serikali haijatengeneza mazingira mazuri ya kukufanya wewe shughuli unayofanya ifanikiwe na utokane ama uondokane na umasikini hata ufanyeje haiwezekani.
Kwa nini watu walikua wanamlaumu JPM kwamba amefanya mazingira ya biashara kua magumu? Kwani biashara ilikua haifanyiki?
Ninachokiona ni wewe kua na uelewa mdogo wa haya mambo. Rudi shule uongeze maarifa kisha uje tujadiliane.
I knew utakuja na hadithi za kitaahira kama hizi, hizo block chain ni uchumi wa wapi? Hujasikia china imepiga marufuku huo utapeli? Sio china tu nchi nyingi tu.anyway nmejaribu kukpuuza wacha nkupe maarifa kidogo usije ukalalamika kwamba hukueleweshwa!
- Serikali ni kwa ajili ya law enforcement, politics and organisation of people! nkimaanisha nn? aspect mfano za uchumi serikali plays a very very small portion probably 0.0000001% izo zote znazobaki znakuhusu wewe, mfano mtu anaefanya miamala kwa kutumia blockchain hapangiwi chochote na serikali yoyote kokote ulimwenguni ndo maaana inaitwa DECENTRALIZED meaning no one is in control hata serikali yenyewe haina mamlaka nayo, nadhan mpaka apo izi details znakutosha maaana naweza kukaa apa naelezea mtu ambae ni bangi!
Acha maswali ya kitoto, wewe umesema serikali haina mchango wowote wala wajibu wowote kwenye kuondoa umasikini. Nimekupa papers za shirika la fedha Duniani na taasisi ya utafiti ya Brookings, inawezekana huzijui hizi taasisi, sio?, ama na wao hawakusoma hizo aspects za uchumi? Maana usingeendelea kuandika uharo wako hapa.ivi zile aspects za economics ulisoma? mfano socialism, communism, capitalism?
Acha maswali ya kitoto, wewe umesema serikali haina mchango wowote wala wajibu wowote kwenye kuondoa umasikini. Nimekupa papers za shirika la fedha Duniani na taasisi ya utafiti ya Brookings, inawezekana huzijui hizi taasisi, sio?, ama na wao hawakusoma hizo aspects za uchumi? Maana usingeendelea kuandika uharo wako hapa.
I knew utakuja na hadithi za kitaahira kama hizi, hizo block chain ni uchumi wa wapi? Hujasikia china imepiga marufuku huo utapeli? Sio china tu nchi nyingi tu.
Huo uchumi wa block chain unafanya wapi kazi, ama ni nchi gani 100% uchumi wake unaendeshwa kwa cryptocurrencies? Na aliekudanganya kua cryptocurrencies ni mfumo sa uchumi na sio mfumo wa malipo ni nani? Ama huelewei unachokiandika humu? Kwa kukusaidia paper yangu ya masters degree ilikua inahusu cryptocurrencies, kwa hiyo nazijua in and out.
Nimekwambia hizi ngonjera za kitaahira kawaambie wajinga wenzako, sio mimi.
Yaani hujuu kama china alipiga matufuku cryptocurrencies?😂😂. Kweli wewe hamnazo.skia hii takataka ingine, nani kakwambia unaweza kupiga ban crypoto? yaaani hata silaha na madawa ingekua ngumu sana kununua zingepigwa ban
- masters gan umesoma dogo ambayo inasema crypto ni mfumo wa malipo? have you ever heard of crypto billionaires? have you ever heard about these people 5 People Who Became Millionaires from Bitcoin | Trading Education , have you ever traded any bitcoin? have you ever bought any drug? sasa uliandika nn kwenye paper zako za masters? na hio paper yako ilipita kwa professor gan kiasi kwamba akaikubali?
(Huo uchumi wa block chain unafanya wapi kazi, ama ni nchi gani 100% uchumi wake unaendeshwa kwa cryptocurrencies?) huyu ndo aliefanya masters, PATHETIC! na unafanya kazi wap ndugu maaana we ni takataka
Izo Basi zikiwa za kampuni binafsi kipi kitaharibika. Serikali kumiliki mabasi NI ujinga uliopitiliza. Landcruser mkonge mpya halmashauri inazitumia miaka minne tu zinalala. Leo imiliki bus kweli.BRT haipo kuleta faida direct, faida yake ipo indirect kwa maana Wananchi/watu wanafika maeneo ya kazi/biashara kwa wakati, Pili utendaji kazi unaongezeka ivyo serikali inapata faida kupitia uzalishaji wa wafanyakazi Na pia wafanyabiashara kuzalisha Na kulipa kodi. Kabla ya BRT kutoka Mbezi to Posta vice versa mtanzania alikuwa anapoteza masaa 5-6barabarani anafika sehemu ya uzalishaji kachoka hatari! BRT imespend around 400Billion lakin faida zake ni kubwa kiuchumi!
Hakika wewe ni mpumbavu juha Waheed
Kaka uchambuzi wako hauna uhalisia. Kwa mwaka 2014 Hadi 2018 shirika limefanya matumizi makubwa Sana kukarabati.View attachment 1977386
TRC inatengeneza net profit na wana capital reserves ya karibu billioni 200, tena limepewa uhai majuzi.
Halafu mtu anakwambia libinafsishwe linaitia nchi hasara, Kadogosa ndio M.D mwenye sifa sahihi serikalini; ata ukimsikiliza unaona ana uelewa mpana wa management ya biashara.
Uje ujibu hoja kwa hoja sio vilojaUnaropoka sana aisee
Perhaps hata familia na ndugu wa Karibu unashindwa kwenda nao sawa lakini unajipa uwezo president a kuanalyse multi million dollar project
What the heck
Kaka sijasema isijenge miundombinu. Hapana Ila ifanye tu sehemu chache ambazo Sekta binafsi haiwezekani kufanya. Sehemu Kama Afya, ELIMU na ujenzi wa miundombinu Kama barabara. Ila kuwa na Basi, ndege au treni za biashara dunia ilishaaama uko. Ata British airways inaendeshwa na kumilikiwa na secta binafsi Tena waspain wale.Bado huelewi ninachosisitiza hapa.
Sisemi serikali ifanye kila kitu, na wala siandiki popote kwamba sekta binafsi haitakiwi. Usilazimishe hoja zisizokuwepo.
Siyo nadharia kama unavyosema wewe kwa serikali kufanya kazi zake kwa ufanisi, ikiwa ni pamoja na kuendesha mashirika ya umma. Duniani kote kuna mifano halisi ya serikali nyingi kufanya hivyo.
Kwa hiyo hapa una maana serikali iache ujenzi wa miundo mbinu hiyo kwa kuogopa "figisu"?
Inachotakiwa kufanya serikali ni kuhakikisha inasimamia utendaji kazi kwa wajibu wa taratibu za kazi hiyo kwa hao watakao kuwa kwenye utumishi wa kuendesha kazi hiyo.
Bado unakataa kunielewa mkuu wangu 'Mshumbusi',Kaka sijasema isijenge miundombinu. Hapana Ila ifanye tu sehemu chache ambazo Sekta binafsi haiwezekani kufanya. Sehemu Kama Afya, ELIMU na ujenzi wa miundombinu Kama barabara. Ila kuwa na Basi, ndege au treni za biashara dunia ilishaaama uko. Ata British airways inaendeshwa na kumilikiwa na secta binafsi Tena waspain wale.
Yaani hujuu kama china alipiga matufuku cryptocurrencies?😂😂. Kweli wewe hamnazo.
China gets even tougher on cryptos by making transactions illegal
Following the announcement by the People’s Bank of China on Friday, Bitcoin's value shed around 4.5 per cent.www.euronews.com China ban crypto-currency: Why China declare all crypto-currency transactions illegal and ban Bitcoin - BBC News Pidgin
China na one of di kontri wey get di largest crypto-currency markets for di world.www.bbc.com
Uwe unasoma habari kutoka vyanzo vya kuaminika, ujichote chote tu habari kutoka kwa mataahira wenzako.
Nimekwambia nitajir basi hata nchi moja ambayo 100% transactions zake ni cryptocurrencies umeshindwa, basi hata 10% basi nijue mimi kutoka kwako mtaalam, nisaidie mkuu kujua😂😂.
Wazungu husema little learning is very hazardous. Kweli naamini stupidity is still common in Tanzania.
Kwenye hayo mambo dogo tafta wa kumdanganya, sio mimi.
Ujamaa uliwashinda warusi na wachina na ulidumaza uchumi wao miaka nenda Rudi. Sector binafsi na akina Alibaba ndio walioleta mapinduzi ya viwanda na biashara kote dunianiMambo ya "kijamaa" yapo na yatakuwepo milele ndani ya 'jamii' zote duniani. Hiyo kushinda au kushindwa ni uamzi auonao mtazamaji kufuatana na akili yake inavyoongozwa.
Huo ni muono wako uliofunikwa na mawazo ya aina hiyo.Ujamaa uliwashinda warusi na wachina na ulidumaza uchumi wao miaka nenda Rudi. Sector binafsi na akina Alibaba ndio walioleta mapinduzi ya viwanda na biashara kote duniani
Ni wazi miradi yote ya umma tatizo usimamizi, upelekea hasara, hii toka tupate uhuru kwa sasa inajulikana, ni vipi tunarudi kwenye biashara hizi, viongozi ni wabinafsi, wana hamu ya biashara hivyo wanashinikiza serikali ifanye biashara!Miradi ni ya mhimu ,tatizo lipo kwenye usimamizi this why miradi inaonekana ni ya hovyo
Wewe na huyo aliyesema financial statement hela inatoka huku kwenda kule akili zenu zinafanana.Izo Basi zikiwa za kampuni binafsi kipi kitaharibika. Serikali kumiliki mabasi NI ujinga uliopitiliza. Landcruser mkonge mpya halmashauri inazitumia miaka minne tu zinalala. Leo imiliki bus kweli.
Kaka uchambuzi wako hauna uhalisia. Kwa mwaka 2014 Hadi 2018 shirika limefanya matumizi makubwa Sana kukarabati.
Ilinunua behewa karibu 200. Vichwa 15 vipya, ukarabati wa njia ya dar Arusha.
Matumizi yote hayo ya ukarabati kuazia 2015 NI zaidi ya hayo. Kama ukichukua bajeti hizo shirika kwa kipindi hicho kwa reli ya Kati iliingia hasara zaidi ya b 300. Hizo b 12 NI walizokusanya na kutumia nauli. Isitoshe shirika liopo kwenye michakato wakubadilisha na kulibinafsisha katika malengo yake. Bila ruzuku haliend kbs Sasa.