Mradi wa Stiegler’s Gorge kuanza Julai

Mradi wa Stiegler’s Gorge kuanza Julai

Nitupilie mbali vipi wakati unasema ifikapo mwaka 2026 mtakuwa na 3000MW? Wakati ikifika miaka hiyo sisi tutakuwa tunaongelea GW. Nataka kukueleza kwa ufupi Tanzania inakila aina ya Resources kilichokuwa kimekosekana TZ ni utashi tu.
Huko kenya hakuna resources zozote mnapumlia mashine. Ndiyo maana kila kukicha viongozi wenu wanajipendekeza kwenye nchi za watu.
Mara Zambia, mara SA, mara Mozambique mara wapi. Hizo ni dalili za kupotea kwenye ramani ya dunia.
2026 watu watakuwa zaidi ya 10,000MW we vipi? nyinyi wenye resources mbona mpo maskini wa kutupwa ldc?
 
2026 watu watakuwa zaidi ya 10,000MW we vipi? nyinyi wenye resources mbona mpo maskini wa kutupwa ldc?
Kwikwikwikwikwi, Unasema maskini !!?
Je unaweza kunieleza maana ya hili jambo kuhusu Kenya?
Nini maana ya under poverty line?

upload_2018-5-13_14-40-33.png
 
Hahaha unadhani sisi tunafanya mambo kama nyie. Tumewaona nyie ni wachawi tunafanya mambo kimya kimya.
Kwikwikwikwi endelea kuamini hivyo. Na hatutaki mjue mipango yetu kwa ndani, mtaona vitu tu vinashushwa mkishituka mmebaki hohehahe. Kwikwikwikwi.
Haionekani juu ni miradi hewa nyie wavivu😀😀😀😀😀😀Alafu ukomae uache huu utoto wakushinda ukiandika kwikwikwi kila mara🙄.
 
Haionekani juu ni miradi hewa nyie wavivu😀😀😀😀😀😀Alafu ukomae uache huu utoto wakushinda ukiandika kwikwikwi kila mara🙄.
Kwikwiwkiwkiwi Vipi kuhusu ONLY BRT? Kwikwikwikwikwi Real BRT
dar_brt_16_of_32.jpg
 
Julai ikifika mnitag
Duh....watanzania mdomo mwingi matendo hayako. Tuko September but they haven't dug a hole in the ground.

Watanzania hata wakipinga wanajulikana kwamba wao ni wazembe kabisa. They can't accomplish even the smallest tasks

Ujamaa iliwamaliza
 
Duh....watanzania mdomo mwingi matendo hayako. Tuko September but they haven't dug a hole in the ground.

Watanzania hata wakipinga wanajulikana kwamba wao ni wazembe kabisa. They can't accomplish even the smallest tasks

Ujamaa iliwamaliza
Kama hujui tayari, Eneo limekwisha andalia na almost nguzo kumi tayari
 
Duh....watanzania mdomo mwingi matendo hayako. Tuko September but they haven't dug a hole in the ground.

Watanzania hata wakipinga wanajulikana kwamba wao ni wazembe kabisa. They can't accomplish even the smallest tasks

Ujamaa iliwamaliza
Kukimbiza mwizi kimyakimya unajua huku hakuna watu wa midomo mipana kupayuka ovyo kama huko
 
Back
Top Bottom