Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
2026 watu watakuwa zaidi ya 10,000MW we vipi? nyinyi wenye resources mbona mpo maskini wa kutupwa ldc?Nitupilie mbali vipi wakati unasema ifikapo mwaka 2026 mtakuwa na 3000MW? Wakati ikifika miaka hiyo sisi tutakuwa tunaongelea GW. Nataka kukueleza kwa ufupi Tanzania inakila aina ya Resources kilichokuwa kimekosekana TZ ni utashi tu.
Huko kenya hakuna resources zozote mnapumlia mashine. Ndiyo maana kila kukicha viongozi wenu wanajipendekeza kwenye nchi za watu.
Mara Zambia, mara SA, mara Mozambique mara wapi. Hizo ni dalili za kupotea kwenye ramani ya dunia.
Alafu mwaume mzima baba ya mtu anashinda akisema kwikwikwi kama mtoto😀😀😀Kwani hizo project zenu ni microscopic ati haziwezi kuonekana na naked eye? 😀😀 mumefikisha wapi uzinduzi wa Bagamoyo, Pipeline, kinyesi na SGR 😀
Haionekani juu ni miradi hewa nyie wavivu😀😀😀😀😀😀Alafu ukomae uache huu utoto wakushinda ukiandika kwikwikwi kila mara🙄.Hahaha unadhani sisi tunafanya mambo kama nyie. Tumewaona nyie ni wachawi tunafanya mambo kimya kimya.
Kwikwikwikwi endelea kuamini hivyo. Na hatutaki mjue mipango yetu kwa ndani, mtaona vitu tu vinashushwa mkishituka mmebaki hohehahe. Kwikwikwikwi.
Hawa wavivu tushawazoea na zile za tuta, tuki miradi hewa ina nduriwakila siku. ..Kila siku Stiegler Stiegler, kumbe hata hamjaanza, Miswahili bana...
That's why it is chosen.It is a very corrupt company. Read their history.
That's why it is chosen.
Ushakamilika na Mitambo imewakaUmeme wa gesi umeishia wapi. Tuliaminishwa ukifika dar, tatizo la umeme litakuwa historia....
Duh....watanzania mdomo mwingi matendo hayako. Tuko September but they haven't dug a hole in the ground.Julai ikifika mnitag
Kama hujui tayari, Eneo limekwisha andalia na almost nguzo kumi tayariDuh....watanzania mdomo mwingi matendo hayako. Tuko September but they haven't dug a hole in the ground.
Watanzania hata wakipinga wanajulikana kwamba wao ni wazembe kabisa. They can't accomplish even the smallest tasks
Ujamaa iliwamaliza
Kukimbiza mwizi kimyakimya unajua huku hakuna watu wa midomo mipana kupayuka ovyo kama hukoDuh....watanzania mdomo mwingi matendo hayako. Tuko September but they haven't dug a hole in the ground.
Watanzania hata wakipinga wanajulikana kwamba wao ni wazembe kabisa. They can't accomplish even the smallest tasks
Ujamaa iliwamaliza