Mradi wa Stieglers: Mwarabu anaharibu mradi hana utaalam wala ujuzi wa kujenga bwawa, italeta hasara kubwa kwa taifa na ubora hafifu

Mradi wa Stieglers: Mwarabu anaharibu mradi hana utaalam wala ujuzi wa kujenga bwawa, italeta hasara kubwa kwa taifa na ubora hafifu

kwa unafki grade one kama huu kuna kaukweli flani unakaongea na huyo mkandarazi kweli ni feki kwa ushahidi wa kumpa kazi Mchina nae kutupiga percent ya malipo bila jasho na pia yaonesha mwangalizi mkuu wa hapo yaani Waziri wa Nishati ni feki kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu alihangaika mpaka akakonda kila mradi kama hakuna upigani basi hakuna usimamizi!!Nyerere alitamani kuwa waziri wa kila kitu alipoona kachoka akamtupia kijiti Mzee Ruksa na kukimbilia Butiama kutuliza kichwa chake!!

Mradi huu ni mkubwa wenye maslahi makubwa kwa raia wote yafaa kuvunja mkataba na Watu wa Egypt na kuwapa mkataba hao wachina wanaojenga ili tupunguze costs na bureaucracy na kumuondoa mtu wa kati ili mradi uishe kwa wakati, yafaa Mkulu apewe activity plan yote ikiwa na dates za kila stage of implementation na awe kila three months anaenda mwenyewe kukagua kama reality ina reflect what is on the paper!! akikuta karatasi na reality ni tofauti hiyo ni kigezo cha kuvunja mkataba, heri nusu shari kuliko shari kamili!! huu ni mradi mkubwa wa kimkakati uliomshinda Nyerere na wengine waliomfuatia , ni mradi utakaoacha alama ya Mkulu na Chato kwa karne nyingi! Mkulu asione aibu kuwaita mawaziri na kuwakaripia na kubadilisha wasimamizi wa mradi , Nyerere aliwachekea kina Kambona akavuna mabua!!
Mkuu hatujui kama tuhuma hizo ni za kweli au hapana.
Ila kama mchina ndio fundi mkuu wa kila kitu kwanini hakuitwa China kuwa main contractor?
Yetu macho.
 
Mkuu hatujui kama tuhuma hizo ni za kweli au hapana.
Ila kama mchina ndio fundi mkuu wa kila kitu kwanini hakuitwa China kuwa main contractor?
Yetu macho.
siku zote tuhuma huwa hazikosi ukweli hata iwe 2% ila hiyo hiyo inaweza kusababisha kitu kukwama! serikali imtume Bashe na Zitto wakafuatilie! wasipuuzie hizo ni tuhuma nzito!
 
Wakongwe wa hii kazi Ni wajerumani na mchina anachipukia sijui aliye mpa muarabu hii kazi aliwaza nini, nilitaka nisahau Mrusi angefanya better pia mkorea sio muarabu
 
Wakongwe wa hii kazi Ni wajerumani na mchina anachipukia sijui aliye mpa muarabu hii kazi aliwaza nini, nilitaka nisahau Mrusi angefanya better pia mkorea sio muarabu
Mkulu ana roho ya kipekee nchi hii wengine wote for me wachumia tumbo! huwezi jua watendaji wangapi wanamkwamisha kiakili!! mradi kwa wachina utawini iwapo watapewa wao mkataba na kumnyang’anya mwarabu!
 
Swali kwako, wewe fani yako ni ipi labda, hadi uweze kuona kwamba hawajui kazi? Kumbuka Mwendokasi wakati inajengwa mlisema hivyo hivyo leo hii ni success story, watu wanatoka ng'ambo kuja kujifunza kuhusu mwendo kasi yetu, hivyo wewe una utaalamu gani uliosomea usije kuwa unataka kuleta ubishani wa Simba vs Yanga, Diamond vs Kiba, wakati hakuna kitu unajua kuhusu Dam construction, ...
Hata kama ulisoma socialogy, huhitaji fani yeyote ya engineering kuona poor design iliyofanywa kwa mradi wa BRT. We mzee wa kusifia tuambie pale Jangwani huwa inakuwaje ikinyesha ikinyesha. Piga makofi tafadhali kusifia mafanio ya mradi huo!!!!
 
Wakongwe wa hii kazi Ni wajerumani na mchina anachipukia sijui aliye mpa muarabu hii kazi aliwaza nini, nilitaka nisahau Mrusi angefanya better pia mkorea sio muarabu
Lakin Arab contractors ya Misri ni kampuni kongwe iliojenga Aswan Dam miaka 1960 hadi 1970.
 
Hata kama ulisoma socialogy, huhitaji fani yeyote ya engineering kuona poor design iliyofanywa kwa mradi wa BRT. We mzee wa kusifia tuambie pale Jangwani huwa inakuwaje ikinyesha ikinyesha. Piga makofi tafadhali kusifia mafanio ya mradi huo!!!!


Unajuaje kama Serikali ndivyo ilivyotaka pale patumike hivyo? Mjenzi anajenga kulingana na mlipaji anavyotaka, isitoshe ni mara ngapi kwa mwaka pale panafurika na kushindwa kutumika?
 
We una utaalamu kiasi gani au ndio utaalam kwenye mambo ya majungu na fitna za kiafrika?

Najua unatamani mradi ufeli ili upate cha kuongea, kwa uwezo wa Mungu mradi utaisha na nchi itanufaika sana

Jamani. Kwenye maelezo yake sijaona sehemu ambayo anatamani huu mradi ukwame, bali anataka mradi ukamilike kwa ubora mkubwa.
Yeye ametoa maoni yakekuwa inaonekana hawa waarabu hawana ujuzi bali wanawatumia wachina.
 
Kama Nimekuelewa vzr umesema mwarabu amempa kazi Mchina,na kwa maelezo yako Mchina anapiga kazi vzr,sasa shida yako nini?
Ukinipa kazi ya kukushonea suruali na Mimi nikatafuta fundi mwenzangu aifanye na wewe ukaridhika nayo shida iko wapi?Majungu majungu
 
Jamani. Kwenye maelezo yake sijaona sehemu ambayo anatamani huu mradi ukwame, bali anataka mradi ukamilike kwa ubora mkubwa.
Yeye ametoa maoni yakekuwa inaonekana hawa waarabu hawana ujuzi bali wanawatumia wachina.
Shida ni nini kama Mchina anapiga kazi vzr
 
We una utaalamu kiasi gani au ndio utaalam kwenye mambo ya majungu na fitna za kiafrika?

Najua unatamani mradi ufeli ili upate cha kuongea, kwa uwezo wa Mungu mradi utaisha na nchi itanufaika sana
Hakuna lolote ulijualo, mleta mada kasema ukweli mtupu, hiyo Arab Contractor ya misri, ni pasua kichwa, tulidanganywa hawana experience ya mradi kama huu. Hii kampuni ina kashfa nyingi sana.

Mleta mada katoa ushauri wa maana.

Lanku zingatia, ni ukitaka kujua hata wachina wanatugonga, hiyo kampuni ya kichina walikuwemo kwenye kundi la kuomba tenda, lakini wakawa ghali, na sasa ni sub contractor kwenye mradi walioukosa, ina maanisha wanafanya kazi kwa bei ya chini kuliko walivyo bid.
 
Back
Top Bottom