Mradi wa Stieglers: Mwarabu anaharibu mradi hana utaalam wala ujuzi wa kujenga bwawa, italeta hasara kubwa kwa taifa na ubora hafifu

Mradi wa Stieglers: Mwarabu anaharibu mradi hana utaalam wala ujuzi wa kujenga bwawa, italeta hasara kubwa kwa taifa na ubora hafifu

Swali kwako, wewe fani yako ni ipi labda, hadi uweze kuona kwamba hawajui kazi? Kumbuka Mwendokasi wakati inajengwa mlisema hivyo hivyo leo hii ni success story, watu wanatoka ng'ambo kuja kujifunza kuhusu mwendo kasi yetu, hivyo wewe una utaalamu gani uliosomea usije kuwa unataka kuleta ubishani wa Simba vs Yanga, Diamond vs Kiba, wakati hakuna kitu unajua kuhusu Dam construction, ...
Hata mimi nikipata taarifa toka juu kuwa wewe ni Mtanzania wa kwanza kwenda mwezini huku nikijua wewe ni kilaza wa Darasa la 7 sitakulaumu wewe wala kilaza mwingine aliyesambaza taarifa bali kwa kujiamini kabisa nitasema huo ni utani wa kilaza mwingine anayedanganya wananchi kwa ujinga wake anayetaka atambulike. Kuna mtu alisema Watanzania siyo wajinga ni kweli lakini wajinga kama wewe pia wapo tena wengi zaidi.
 
Nikipata taarifa wewe kama ni Mtanzania wa kwanza kwenda mwezini huku nikijua wewe ni kilaza wa Darasa la 7 sitakulaumu wewe wala kilaza mwingine aliyesambaza taarifa bali kwa kujiamini kabisa nitasema huo ni utani wa kilaza mwingine anayedanganya wananchi kwa ujinga wake anayetaka atambulike. Kuna mtu alisema Watanzania siyo wajinga ni kweli lakini wajinga pia wapo tena wengi zaidi pamoja na wewe.
 
Swali kwako, wewe fani yako ni ipi labda, hadi uweze kuona kwamba hawajui kazi? Kumbuka Mwendokasi wakati inajengwa mlisema hivyo hivyo leo hii ni success story, watu wanatoka ng'ambo kuja kujifunza kuhusu mwendo kasi yetu, hivyo wewe una utaalamu gani uliosomea usije kuwa unataka kuleta ubishani wa Simba vs Yanga, Diamond vs Kiba, wakati hakuna kitu unajua kuhusu Dam construction, ...
Watu mna vichwa vigumu, sasa success ya MWENDOKASI ni nini? Let us be serious!!
Watu wa Kimara Mbezi wanalalamika kila chao, wewe unasema eti nchi za nje wanakuja kujifunza huku. Labda wanakuja kuona MLIVYOFELI
 
Naongea kama mwananchi na kushauri kuwa kumwendekeza huyu mwarabu wa Egypt's ni hasara kwa taifa na uharibifu wa mradi na uasili wake wa stiegler's gorge unapotea kwa sababu zifuatazo.

1. Hawa waarabu wa Misri kutoka Elsewedy electric na Arab contractors kutoka Misri hawana utaalamu wowote wa ujenzi wa bwawa kubwa kama la mwalimu nyerere wanatembelea nyota ya mchina waliyempa almost 90% ya mradi. Huyu mwarabu hata idea ya mining kwa manpower aliyokuja nao ni zero kabisa. Wazawa ndio wanaowafundisha kazi hawa wanaojiita maengener toka misri.

Ulipuaji wa miamba inafanyika kama vile hakuna site plani ya kujua kazi inatokea hapa inaenda kule wao kila siku wanakuja na plan mpya yaani haijulikani kesho itafanyika kazi gani.

2. Walio wengi wanahusika security kuhakikisha nani kaingia site, katoka na nini na kuandaa vibali pia administration na accomodation ambapo nadhani hii kazi wazawa kupitia suma jkt wanaweza kuifanya.

3. Wafanyakazi wengi wazawa mikataba yao na maslai yao sio mazuri na mahusioano kati ya mwarabu na mtanzania yako kibaguzi utadhani enzi za utumwa, wana mentality za kitumwa sana na kutomjali mwafrika.

4. Kazi inayoonekana inafanyika anafanya mchina toka kampuni ya Sinohydro akiwa na kampuni zake kama CBRC ndio wanafanya kazi na unaona kazi ya mchina inatoka hapa kwenda kule na sio mwarabu ambaye kama kama dalali.

5. Uongozi wa tanesco kama mwenye mradi pamoja na teku inaonekana hakuna umakini na ufatiliaji either wanajua na wasafikisha ila hakuna maamuzi au kuna kuwindana na uwoga kutoka juu.

Ushauri wangu

1. Kama hakuto athiri napendekeza huu mradi angepewa mchina utaisha kwa wakati ila huyu mwarabu hasara iliyo mbele ni kubwa sana katika pesa na wakati.
Tujiandae na visingizio lukuki maana hilo tunaliweza sana
 
We una utaalamu kiasi gani au ndio utaalam kwenye mambo ya majungu na fitna za kiafrika?

Najua unatamani mradi ufeli ili upate cha kuongea, kwa uwezo wa Mungu mradi utaisha na nchi itanufaika sana
Wacha unafiki na akili za kichawi kwa kujifanya kuwa huo mradi ni mali ya ccm,huo mradi ni Mali ya watanzania maana unajengwa kwa fedha za walipa kodi wa Tanzania hata kama ni za kukopa maana tutakao lipa ni wataanza woote
 
Naongea kama mwananchi na kushauri kuwa kumwendekeza huyu mwarabu wa Egypt's ni hasara kwa taifa na uharibifu wa mradi na uasili wake wa stiegler's gorge unapotea kwa sababu zifuatazo.

1. Hawa waarabu wa Misri kutoka Elsewedy electric na Arab contractors kutoka Misri hawana utaalamu wowote wa ujenzi wa bwawa kubwa kama la mwalimu nyerere wanatembelea nyota ya mchina waliyempa almost 90% ya mradi. Huyu mwarabu hata idea ya mining kwa manpower aliyokuja nao ni zero kabisa. Wazawa ndio wanaowafundisha kazi hawa wanaojiita maengener toka misri.

Ulipuaji wa miamba inafanyika kama vile hakuna site plani ya kujua kazi inatokea hapa inaenda kule wao kila siku wanakuja na plan mpya yaani haijulikani kesho itafanyika kazi gani.

2. Walio wengi wanahusika security kuhakikisha nani kaingia site, katoka na nini na kuandaa vibali pia administration na accomodation ambapo nadhani hii kazi wazawa kupitia suma jkt wanaweza kuifanya.

3. Wafanyakazi wengi wazawa mikataba yao na maslai yao sio mazuri na mahusioano kati ya mwarabu na mtanzania yako kibaguzi utadhani enzi za utumwa, wana mentality za kitumwa sana na kutomjali mwafrika.

4. Kazi inayoonekana inafanyika anafanya mchina toka kampuni ya Sinohydro akiwa na kampuni zake kama CBRC ndio wanafanya kazi na unaona kazi ya mchina inatoka hapa kwenda kule na sio mwarabu ambaye kama kama dalali.

5. Uongozi wa tanesco kama mwenye mradi pamoja na teku inaonekana hakuna umakini na ufatiliaji either wanajua na wasafikisha ila hakuna maamuzi au kuna kuwindana na uwoga kutoka juu.

Ushauri wangu

1. Kama hakuto athiri napendekeza huu mradi angepewa mchina utaisha kwa wakati ila huyu mwarabu hasara iliyo mbele ni kubwa sana katika pesa na wakati.
Chadema kazi mnayo,wewe unaumia na nn? Baada ya kushindwa kwenye uchaguzi mmeishiwa hoja mmebaki kubwabwaja na kukosoa miradi ya maendeleo ambayo ni utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM .Tulieni CCM ikamilishe miradi yake iliyowahaidi wananchi baada ya hapo ndiyo mje muhoji mafanikio yake vinginevyo pelekeni porojo zenu kwenye vikao vyenu CCM mbele kwa mbele
 
We una utaalamu kiasi gani au ndio utaalam kwenye mambo ya majungu na fitna za kiafrika?

Najua unatamani mradi ufeli ili upate cha kuongea, kwa uwezo wa Mungu mradi utaisha na nchi itanufaika sana
Chadema huyo wivu umemjaa baada ya kuona serikali ya CCM inatekeleza Ilani yake ya uchaguzi kwa vitendo.Shame on on you Chadema
 
450908765.jpg
 
Nasikia wanyama wamekuwa wanakimbia eneo siku hizi kwa kelele za mabomu
 
Naongea kama mwananchi na kushauri kuwa kumwendekeza huyu mwarabu wa Egypt's ni hasara kwa taifa na uharibifu wa mradi na uasili wake wa stiegler's gorge unapotea kwa sababu zifuatazo.

1. Hawa waarabu wa Misri kutoka Elsewedy electric na Arab contractors kutoka Misri hawana utaalamu wowote wa ujenzi wa bwawa kubwa kama la mwalimu nyerere wanatembelea nyota ya mchina waliyempa almost 90% ya mradi. Huyu mwarabu hata idea ya mining kwa manpower aliyokuja nao ni zero kabisa. Wazawa ndio wanaowafundisha kazi hawa wanaojiita maengener toka misri.

Ulipuaji wa miamba inafanyika kama vile hakuna site plani ya kujua kazi inatokea hapa inaenda kule wao kila siku wanakuja na plan mpya yaani haijulikani kesho itafanyika kazi gani.

2. Walio wengi wanahusika security kuhakikisha nani kaingia site, katoka na nini na kuandaa vibali pia administration na accomodation ambapo nadhani hii kazi wazawa kupitia suma jkt wanaweza kuifanya.

3. Wafanyakazi wengi wazawa mikataba yao na maslai yao sio mazuri na mahusioano kati ya mwarabu na mtanzania yako kibaguzi utadhani enzi za utumwa, wana mentality za kitumwa sana na kutomjali mwafrika.

4. Kazi inayoonekana inafanyika anafanya mchina toka kampuni ya Sinohydro akiwa na kampuni zake kama CBRC ndio wanafanya kazi na unaona kazi ya mchina inatoka hapa kwenda kule na sio mwarabu ambaye kama kama dalali.

5. Uongozi wa tanesco kama mwenye mradi pamoja na teku inaonekana hakuna umakini na ufatiliaji either wanajua na wasafikisha ila hakuna maamuzi au kuna kuwindana na uwoga kutoka juu.

Ushauri wangu
1. Kama hakuto athiri napendekeza huu mradi angepewa mchina utaisha kwa wakati ila huyu mwarabu hasara iliyo mbele ni kubwa sana katika pesa na wakati.
Mkuu,

Inavyoonesha wewe ni mwathirika wa uongozi uliopo hapo Bwawa la Mwalimu Nyerere

Nikuulize haya
1. Nyumba za maboksi mlizojengewa na mchina kisha kubaguliwa kwa ngozi nyeusi ambapo chumba kimoja zaidi ya watu kumi mchanganyiko na mwajiri wako yaani HR meneja !!!
2. Nyumba mbadala zilishajengwa baada ya za kwanza kuungua moto?
3. Je, mlisharuhusiwa kupika chakula wenyewe au bado marufuku hiyo ipo pale pale?
4. Wafanyakazi wasio na nyumba kambini bado wanasafirishwa kama mizigo kwenda Mloka na Kisaki huku mmeshonwa kama ng'ombe wanaotoka mikoani?
5. Nyumba za fulu suti mabati watu zaidi ya mia zilishabadilishwa na kujengwa zenye hesima ya binadamu?
6. Vipi hali ya afya na usalama wakati wa ulipuzi miamba inayowabana hadi kifo au kupoteza viungo bila ya bima?

Mwisho: Waarabu sio watenda kazi ya maana, Wachina wanafanya kazi sana usiku kucha lakini pia ni wabaguzi na hawazingatii maslahi bora ya mfanyakazi. Huwezi kuamini meneja uajiri hana uwezo wa kusimamia maadili na nidhamu kwa wafanyakazi ambao ndio wajibu wake badala yake bosi wa Kichina au Kiarabu ndiye mwamuzi, kama hakutaki ndio hivyo tena; sheria hazifuatwi ipasavyo.
 
Back
Top Bottom