Mradi wa Stiglers Gorge HEP hauwezi kukamilika 2022, Novemba 2021 bwawa halianzi kujazwa maji

Mradi wa Stiglers Gorge HEP hauwezi kukamilika 2022, Novemba 2021 bwawa halianzi kujazwa maji

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Huu mradi wa maji ya kuleta umeme wa nyerere tumekuwa tukidanganywa kila siku kuwa utakamilika June 2022, kitu ambacho c Cha kweli hata kidogo, pia tukidanganywa Mwezi wa 11 maji yataanza kujazwa kwenye bwawa huu ni uongo mkubwa, kwanini nasema hivo

1. Njia za kupeleka maji kwenye mashine hazijakamilika pamoja na Ujenzi wabpower house
2. Ufyekaji wa misitu ni Kama umesimama
3. Ukuta wa bwawa hazijakamilika hata kidogo
4. Njia za umeme hazijajengwa

Kiutaalamu mradi huu utaisha mwishoni mwa mwaka 2027. Sasa Sina uhakika Kama Rais naye anajua uongo huu, au lah
 
Hili bwawa ili lijae maji itachukua miaka kama mitatu au minne. Kuanza kuzuia maji November ni kuelekea kwenye azma hiyo ya kujenga bwawa kubwa baada ya miaka mitatu.

Nashangaa kusikia kukata miti kumesimama. Mbona ilikuwa kama kuna wanajeshi kwenye hiyo kazi? Unaposema bwawa litaisha 2027, una maana gani kama mpaka sasa liko 54%? Yes litachelewa ila kama speed itakuwa hii waliyonayo, 2027 ni mbali sana.

Mwisho, kujenga bwawa likaisha ni kitu kimoja...kujenga miundombinu ya usambazaji umeme ni kitu kingine. Ni kweli kuna hitaji kubwa la kuwekeza katika usambazaji umeme wa bwawa hilo
 
Hili bwawa ili lijae maji itachukua miaka kama mitatu au minne. Kuanza kuzuia maji November ni kuelekea kwenye azma hiyo ya kujenga bwawa kubwa baada ya miaka mitatu...
Umeme utasambazwa kwa njia ya "wireless transmission" nchi nzima, hii itakuwa ni technology ya kwanza kutumika duniani.--- no worry in that case. 🤒
 
Hizi taarifa umezipata wapi?
 
Hii kitu hata mimi niliambiwa na jamaa yangu ambae yupo field hapo akaniambia hizo ni siasa tu tunazoambiwa, hakuna cha 2022 wala nini kwa hatua waliyopo kwa sasa.
 
Hii kitu hata mimi niliambiwa na jamaa yangu ambae yupo field hapo akaniambia hizo ni siasa tu tunazoambiwa, hakuna cha 2022 wala nini kwa hatua waliyopo kwa sasa.
Kiuhalisia wanasiasa ni wapiga domo tu, wakija kitaa wanasema mwakani tunawasha umeme, mafundi wanasema umeme 2027
 
Mleta mada umetumia nguvu kubwa sana kukashifu badala ya kuonesha ni kwanini unaona litavuka huo muda unaosema na ni kwanini unadhani hayo unayosema yamebakia yatatumia muda wote huo uliosema mpaka mwaka 2027.
 
Hii kitu hata mimi niliambiwa na jamaa yangu ambae yupo field hapo akaniambia hizo ni siasa tu tunazoambiwa, hakuna cha 2022 wala nini kwa hatua waliyopo kwa sasa.
Trioni 2.5 imelipwa kati ya Trioni 6
Kazi ipo zaidi ya 52%
Bado mwaka mmoja tu,
Kuna walakini mkubwa.
 
Trioni 2.5 imelipwa kati ya Trioni 6
Kazi ipo zaidi ya 52%
Bado mwaka mmoja tu,
Kuna walakini mkubwa.


Walakini wa nini??

(6-2.5)trillion =3.5trillion

3.5trillion will be collected from mobile transactions and the job is in tunnel--- . Nyerere dam and SGR.
 
Umeme utasambazwa kwa njia ya "wireless transmission" nchi nzima, hii itakuwa ni technology ya kwanza kutumika duniani.--- no worry in that case. 🤒
Nani ndio mgunduzi wa hiyo technology? wewe?
 
Walakini wa nini??

(6-2.5)trillion =3.5trillion

3.5trillion will be collected from mobile transactions and the job is in tunnel--- . Nyerere dam and SGR.
Watu tunaanza kuagiza kwenye mabasi,unampa dereva ya soda mchezo umeisha.
 
Back
Top Bottom