mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Umeme utasambazwa kwa njia ya "wireless transmission" nchi nzima, hii itakuwa ni technology ya kwanza kutumika duniani.--- no worry in that case. 🤒Hili bwawa ili lijae maji itachukua miaka kama mitatu au minne. Kuanza kuzuia maji November ni kuelekea kwenye azma hiyo ya kujenga bwawa kubwa baada ya miaka mitatu...
Nipo huku nimeajiriwa na Waarabu, ElsewedyHizi taarifa umezipata wapi?
Kiuhalisia wanasiasa ni wapiga domo tu, wakija kitaa wanasema mwakani tunawasha umeme, mafundi wanasema umeme 2027Hii kitu hata mimi niliambiwa na jamaa yangu ambae yupo field hapo akaniambia hizo ni siasa tu tunazoambiwa, hakuna cha 2022 wala nini kwa hatua waliyopo kwa sasa.
Kwahiyo unatoa siri za kambi nje??!!,😲Nipo huku nimeajiriwa na Waarabu, Elsewedy
Trioni 2.5 imelipwa kati ya Trioni 6Hii kitu hata mimi niliambiwa na jamaa yangu ambae yupo field hapo akaniambia hizo ni siasa tu tunazoambiwa, hakuna cha 2022 wala nini kwa hatua waliyopo kwa sasa.
Trioni 2.5 imelipwa kati ya Trioni 6
Kazi ipo zaidi ya 52%
Bado mwaka mmoja tu,
Kuna walakini mkubwa.
Nani ndio mgunduzi wa hiyo technology? wewe?Umeme utasambazwa kwa njia ya "wireless transmission" nchi nzima, hii itakuwa ni technology ya kwanza kutumika duniani.--- no worry in that case. 🤒
Watu tunaanza kuagiza kwenye mabasi,unampa dereva ya soda mchezo umeisha.Walakini wa nini??
(6-2.5)trillion =3.5trillion
3.5trillion will be collected from mobile transactions and the job is in tunnel--- . Nyerere dam and SGR.