Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
tuanze na eneo ulipo moshi sehemu Niko moshi vijijini,tarafa ya kibosho kati,mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuanze na eneo ulipo moshi sehemu Niko moshi vijijini,tarafa ya kibosho kati,mkuu.
kwani hujui kukata majani? moshi majMajani najua kukata lakini upatikanaji wake ni shida,s
inategemea upo moshi sehemu gani...? maana saa hivi ni kipindi cha mavuno majani yapo mengi sana ya mahindi...
Habar JF Mimi ni fugaji mkoani Kilimanjaro,nina ng,ombe (4) wote ni jike,tatizo ni chakula chao kinapatikana kwa shida,
tuanze na eneo ulipo moshi sehemu Niko moshi vijijini,tarafa ya kibosho kati,mkuu.
Kati ya wachaga ambao hawajui ufugaji wa ngombe Wakibosho wanaongoza! Ngombe wanne unalalamika. Kibosho kati kuna majani mazuri sana. Hata yale mnaita ASTERIA yapo kibao. Throughout ni kijani halafu unalalamika. Mkuu ufugaji wa ngombe waachie ndugu zetu pale Machame! Wewe endelea na kiwanda chako cha bia tu Mangi!
Sidhani kama unahaki ya Mkuu ningependa kujua zaidi maana sitaki kushindwa
SIO WOTE MKUU
Mangi funguka basi sio wote nini sasa
Mkuu Prodigl nimependa ushauri wako sana,labda majani ya tembo ni siku 21 kweli au,
Mkuu Prodigl nimependa ushauri wako sana,labda majani ya tembo ni siku 21 kweli au,
[QUOTESI KWELI KUWA WACHAGGA WA KIBOSHO HAWAJUI KUFUGA.
[QUOTESI KWELI KUWA WACHAGGA WA KIBOSHO HAWAJUI KUFUGA.
Ha haaa haaa si ndo ka wewe 4 wamekushinda Mangi
Halafu Mangi inawezekana tunajadi.NINA MAANA YA COW,S
Halafu Mangi inawezekana tunajadi.NINA MAANA YA COW,S
Kwenye keys zako naona kuna , hakuna '
Kwen LAKINI SI UMEELEWA NAMANISHA NINI???
Habar JF Mimi ni fugaji mkoani Kilimanjaro,nina ng,ombe (4) wote ni jike,tatizo ni chakula chao kinapatikana kwa shida,
Habar JF Mimi ni fugaji mkoani Kilimanjaro,nina ng,ombe (4) wote ni jike,tatizo ni chakula chao kinapatikana kwa shida,