Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station kuondoka na Waziri January Makamba

point
 
Hii ni mission impossible its all bout UNESCO sio January wala jiwe hapo....
 
Mradi utajengwa inyeshe mvua liwake jua
Kumega asilimia tano ya hifadhi kwa ajili ya watanzania milioni 55 hakuna ubaya
 
Jamani , tuliambiwa tutatumia umeme wa gesi ya m
Mtwara, tena tukaaminishwa utakuwa was bei rahisi Sana.
Imekuja kuwaje Tena. ??
Kwani gesi imeisha tunarudi kwenye maji Tena ????
 
Huyo jamaa akishaamua hakuna wa kupinga ajenge tu hiyo sitigilaz goji maana si anafungu lake hapo la 50%?
Ni mjanja sana ukimsikiliza unaweza kudhani anajali wananchi lakini uko pale pale, viongozi wa kiafrika ni mafisadi, hiyo miradi na mikopo wanayochukua ni kwa ajili ya manufaa yao, as long as mikopo italipwa na wananchi kwa kodi na rasilimali zao wao hawana habari.
Hiyo miradi yote wamejipigia 20% 10% na wanaendelea. Ndio maana anaoanna yeye angalau apatiemo hako ka stigler's huku wanyonge wakichekelea kuwa anawasaidia.
 
Kabisa Mkuu miradi yote hiyo wanaishupalia kwa ajili ya manufaa yao ya kupiga ma 50%,huyu jamaa hapigi 10% ni 50% sasa we angalia dirimulaina bei halisi ni below 98m terrible teen lakini sie tumepigwa usd 200m,check MV dar-es-salaam tumenunua bil 8 halafu bovu wakati bakhresa kanunua ya kisasa latest nzuri kuliko MV dsm kwa bilioni 4.
 
Viongozi wa kiafrika ni shida na hizo Stigieler's ni hivyo hivyo, cha juu ndicho anaangalia mambo ya mazingiea mtajuana wenyewe
 
Mradi haujaanza . Maji yamepungua kwa sababu gani? Je lile wazo tu la kujenga limesababisha na kuwa kama wazo limepunguza maji ina maana yataisha kanisa ukijengwa? Mmomonyoko wa ardhi kwa vipi? Na idadi ya watu3000 sawa je ni lini tutaanza miradi mikubwa isiyoathiri mazingira?
 
Hii ndio bora mtoto wa kenge apone ila mtoto wa binadamu afe kwa kisingizio cha mazingira. Kuna nchi itaendelea bila kuharibu mazingira?
 
Hata suala la Tanzania ya viwanda ni vita ya kibepari.. Mabepari hawawezi kukubali ufanye Jambo litakalovuruga maslahi Yao.

Inawezekana kuna Athari za kimazingira, ni vyema tukajiandaa kufanya restorations na sio kuogopa kufanya mradi kabisa.

Namuunga mkono Mr. President kwenye hili.
 
Viongozi wa kiafrika ni shida na hizo Stigieler's ni hivyo hivyo, cha juu ndicho anaangalia mambo ya mazingiea mtajuana wenyewe
Hawa jamaa wanauzi sana wanatapakanya fedha wakati wananchi miundombinu mibovu,sehemu nyingi DSM hazina umeme vipi kuhusu NAMINYWILI huko? Vipi KUHUSU NYAMISATI NA NAMTUMBO? VIPI KUHUSU NANJILINJI NA NAMAPANYA? VIPI KUHUS NANGURUWE HALI ZAO Zipoje ikiwa DSM barabara MBOVU? Mistigilaz na midirimulaina ni WIZI na UFISADI tu wa 50% kupigwa tu.
 
Una uhakika hiyo pesa ni ya ndani ? subiri uishe itakuwa yaleyale ya gesi ya mtwara
 
Wachapakazi wote amewaita mafisadi
 
Watamfustruste wee.Akija kutahamaki 2025 hii hapa.Wazungu bwana.Watamzibia mapenyo ya mikopo ya kimataifa.Labda awape wachina.
 
https://www.jamiiforums.com/threads...ha-mradi-wa-umeme-wa-stieglers-gorge.1443916/
Kwetu wanataka kuhifadhi wanyama kwao wamejenga majiji, hata hatujui wanyama wa asili wa kwao, kwao binadamu first, kwetu mnyama first, Magufuli songa mbele hayo mambo ya wanyama baadae.
 
Akijiuzulu wasiojulikana wanae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…