Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station kuondoka na Waziri January Makamba

Gesi tayari ina mikataba tata isiyo na manufaa ya kutosha kwetu. Kumbuka tushaambiwa gesi mabepari washaichukua. Magufuli anafanya kitu sahihi mkuu
 
Kwa hili nipo na Magufuli asilimia mia moja, mambo mazuri lazima tumpongeze Rais wetu, tumkosoe kwa yake mabaya tu
Katika hili anastahili kukosolewa, katika dunia ya leo utafiti ni kitu mhimu. Huwezi kipinga ripoti ya utafiti bure bure tu.
 
hao watu wa bonde nao waliniangusha Sanaa.
nikashangaa mhifadhi MKUU analalama
katika swala la ki mazingira wapo sahihi 100%
 
Mm nachouliza je wamejiridhisha maji hayata pungua na kusababisha lisifanye kazi,? Maana mabwawa ya kuzalisha umeme makubwa yapo katika mto huohuo,
 
moja ya matatzio ya watanganyika ni UJINGA.
WA KUTOYATAMBUA/KUYAKABILI MAZINGIRA YAO.
mradi Unaweza fanyika lakini je?kuna mpango mkakati wa kuitunza na kuifadhi ecology na mfumo wa pale??? nisingeprnda yale ya kihansi yajitokeze
 
Wakuu mi naomba kuuliza hili jina Stiegler's Gorge limetoka wapi katika huu mradi hili si ni la kiingereza hili liliingiaje mpaka huko mto Rufiji?
Samahi wakuu naomba mnieleweshe.......by the way mi naomba huo mradi utekelezwe tu popote pale palipofanyika maendeleo lazima uharibifu wa maendeleo utokeee hatuwezi kuuepuka hata hao wazungu wameharibu sana mazingira wakati wanajenga miji yao nani aliwazuia wakati huo kwa nini sisi huku Africa inakuwa nongwa?
Huyu Jiwe vitu karibu vyote huwa simuungi mkono lakini katika hili niko pamoja nae iwe kuna kuharibu mazingira ama la hata ukisoma sababu zenyewe ni za kipuuzi tu......mi nasema umeme ujengwe na hakuna wa kutuzuia
 
Mzee na ccm yake nchi imemshinda, ile gesi tuliyoambiwa ikichimbwa na kusafirishwa kwa bomba la Mtwara-Dar litamaliza matatizo yote ya nishati ya umeme na kuzaliwa umeme wa ziada zaidi ya MW 10,000, uko wapi sàsa?leo wanahangaika na Stiglerr's kwa MW 2100 tu.

Kweli mfa maji haachi kutapatapa.
 
Mradi wa gesi umeishiwa wapi?? Kwa nini wang'ang'ane na vitu vua uharibifu wakati vitu vyenye madhara madogo tena gharama nafuu na very effective vipo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…