Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station kuondoka na Waziri January Makamba

Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station kuondoka na Waziri January Makamba

Kuna kitu jiwe hakisemi au anapotosha:
1. Kuna ukataji wa miti karibia ukubwa wa jiji la dar. Dar ina sq Km 1393, sasa hapo ni miti inakatwa ukubwa huo bila uoga. Kama mnakata miti hiyo je sisi wanainchi ndo tutaiacha.

2. Jana kwenye habari ITV maji ya mto wami yamepungua sana mpaka mto sehemu kubwa imebakia ni mchanga vipi mamba, viboko na wanyawa wategemeao maji kuishi. Hamjalifikiria hili

3. Maji yanapopungua kuna magonjwa yanayosababishwa na uhaba wa maji eg anthrax

4. Kama kuna mamlaka ya maji basi inabidi watumie dawa nyingi kutibu maji nayo ni hasara kwasabu itatubidi tulipe zaidi kufidia

5. Kuna swala la mmomonyoko

6. Kuna swala la uharibifu mazingira eg. kuna watu zaidi ya 3000 kuishi kule porini hilo nalo ni janga.

7. Kuna mengi nashauri tuachana na mpango huo
Kila jambo lina pros na cons zake ,kama pros ni kubwa kuliko cons hatuna budi kutekeleza mradi huo,tusiwe wa kulishwa tu taarifa,lazima tuweze kutafakari pia
 
Itatubidi kama Taifa kuweka mikakati madhubuti ya kutekeleza mradi huu.
 
Kila jambo lina pros na cons zake ,kama pros ni kubwa kuliko cons hatuna budi kutekeleza mradi huo,tusiwe wa kulishwa tu taarifa,lazima tuweze kutafakari pia
hapo ndipo siasa inapoingilia taaluma
baada ya muda mje tena kulia Lia humu jukwaani.
binafsi nashauri ipatikane njia mbadala nikiwa kam mdau mkubwa wa rufiji basin
 
Nazani kama sijakosea H.E magu amesema hizo tafiti za namna hiyo zilifanywa enzi za nyerere na sio sasa ndo maana mradi haukutekelezwa
 
Kuna kitu jiwe hakisemi au anapotosha:
1. Kuna ukataji wa miti karibia ukubwa wa jiji la dar. Dar ina sq Km 1393, sasa hapo ni miti inakatwa ukubwa huo bila uoga. Kama mnakata miti hiyo je sisi wanainchi ndo tutaiacha.

2. Jana kwenye habari ITV maji ya mto wami yamepungua sana mpaka mto sehemu kubwa imebakia ni mchanga vipi mamba, viboko na wanyawa wategemeao maji kuishi. Hamjalifikiria hili

3. Maji yanapopungua kuna magonjwa yanayosababishwa na uhaba wa maji eg anthrax

4. Kama kuna mamlaka ya maji basi inabidi watumie dawa nyingi kutibu maji nayo ni hasara kwasabu itatubidi tulipe zaidi kufidia

5. Kuna swala la mmomonyoko

6. Kuna swala la uharibifu mazingira eg. kuna watu zaidi ya 3000 kuishi kule porini hilo nalo ni janga.

7. Kuna mengi nashauri tuachana na mpango huo
Sababu hazina mashiko. Unajua idadi ya miti iliyokatwa kwa ajili ya ujenzi wa barabara nchi nzima??? So tuache kujenga barabara???
Watu 3000 kukaa porini sio shida. Huko Serengeti na Ngorongoro kuna maelfu ya watu kila siku.
 
Hawa wapuuzi wamesahau Kama Trump amejitoa kwenye mkataba wa mambo ya hali ya hewa

Magufuli Hakikisha tunafanikiwa
before hamjafanikiwa angalieni kwanza impact za hilo swala
kumbuka SIYO wewe unayehitaji kuishi hata samaki na viumbe wa ardhin nao wanastahiki ya kuishi.
pia naomba niongeze SIKU zote msipende kuchanganya siasa na taaluma.
sipingi ujenz wa mradi hapana lakini.je ujenz huo utaweza kwenda sawia na ecology+,mfumo wa bonde la pale?????
SITAKI yajitokeze ya kihansi
 
Kuna kitu jiwe hakisemi au anapotosha:
1. Kuna ukataji wa miti karibia ukubwa wa jiji la dar. Dar ina sq Km 1393, sasa hapo ni miti inakatwa ukubwa huo bila uoga. Kama mnakata miti hiyo je sisi wanainchi ndo tutaiacha.

2. Jana kwenye habari ITV maji ya mto wami yamepungua sana mpaka mto sehemu kubwa imebakia ni mchanga vipi mamba, viboko na wanyawa wategemeao maji kuishi. Hamjalifikiria hili

3. Maji yanapopungua kuna magonjwa yanayosababishwa na uhaba wa maji eg anthrax

4. Kama kuna mamlaka ya maji basi inabidi watumie dawa nyingi kutibu maji nayo ni hasara kwasabu itatubidi tulipe zaidi kufidia

5. Kuna swala la mmomonyoko

6. Kuna swala la uharibifu mazingira eg. kuna watu zaidi ya 3000 kuishi kule porini hilo nalo ni janga.

7. Kuna mengi nashauri tuachana na mpango huo
Wewe na wao kitu kimoja. Hiyo miti mil 2 hata
 
before hamjafanikiwa angalieni kwanza impact za hilo swala
kumbuka SIYO wewe unayehitaji kuishi hata samaki na viumbe wa ardhin nao wanastahiki ya kuishi.
pia naomba niongeze SIKU zote msipende kuchanganya siasa na taaluma.
sipingi ujenz wa mradi hapana lakini.je ujenz huo utaweza kwenda sawia na ecology+,mfumo wa bonde la pale?????
SITAKI yajitokeze ya kihansi

Kenya wanapanga Kujenga Bwawa kwenye Mto Mara
 
Hayo ndiyo madhara ya kutumia madesa,

Nadhani watakua wamekopi na kupesti ripoti za WWF , kuhusiana na huo mradi.
SIYO madesa kiongozi
unayo elimu yoyote kuhusiana na hydrology? achilia mbali mambo ya uhifadhi???????
 
Back
Top Bottom