Mimi huwa sielewi nchi kama Tanzania kusema kuna uharibifu wa mazingira kwenye miradi mikubwa, unakuta tunakomaa na mikataba ya kimataifa kuhusu mazingira kiasi kwamba hapa Tanzania tunaharibu mazingira hadi dunia inatuangalia, kwa ufupi tunapoteza muda na kujichelewa wenyewe, Huwezi ukajenga stieglers gorge moja ukaniambia environmental impacts,nchi kama china watasemaje? ambao hata kuiona tu nyota kwao ni ndoto, ufaransa anga lao ni chafu kwa sababu ya viwanda vingi vinatoa moshi muda wote, leo Tanzania anga letu ni bule sky na haliwezi kuwa affected by one gorge, ndio maana utashangaa baadhi ya mataifa yakifika Africa hupiga picha hadi Rain bow/Nyota wakati wa usiku mmewahi kujiuliza kwa nini? jibu ni kuwa wao walichagua maendeleo ya viwanda/umeme wa uhakika kwa ajri ya wananchi wetu huku mataifa yale yale yanakuja na sera za environmental effects kwa wajinga waafrica,na sisi tulivyo kweli tunapoteza muda kujadili mambo kama hayo ,hatimaye tubaki katika wimbi la umasikini miaka yote.
Kama tumezamilia kukamilisha miradi huu, tuachane na story majukwaani, tutafute pesa na mkandalasi apatikane apewe chake/down payment kazi ifanyike, mradi kama huu nchi ya kuweza kutoa msaada wa pesa ni china, Japan,korea huko, western countries ni ngumu, tuachane na kelele za mazingira, kwa nini kupoteza muda mwingi kuwafurahisha mataifa ya nje kwa ajiri ya mazingira wakati huo viwanda havina umeme, sisi wenyewe hatuna umeme?