Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station kuondoka na Waziri January Makamba

Mtapata tabu sana
Mshamba kweli wewe wengi wenye fikra ya mapinduzi nchi ukiona maisha yao utalia wanavyo-enjoy mkuu ila wanajitambua na kuona jinsi watanzania mnavyopigwa changa la macho na chichiem, wamewageuza matoi[emoji23][emoji23]
 
Naunga mkono kujengwa mradi huu kwa sababu zifuatazo:
1:bila umeme wa bei rahisi uchumi wetu hauwezi kukua kwani baada ya miaka 15 hutaona gari ya petroli tena nyingi zitakuwa za umeme,kwa kuwa mkwere kauza gesi hivi sasa tanesco wanauziwa bei ya soko na hivyo bado umeme utakuwa ghali.
2:ukisema mazingira yataharibika ukweli ni kuwa uzalishaji wote mkubwa wa umeme una madhara na mazingira uwe wa nyuklia au makaa ya mawe ukiangali huu wa bwawa ndiyo wenye madhara madogo kuliko hayo mengine,tukiangalia ukweli madhara ya kwanza tunatakiwa kupima ni kwa binadamu kwanza.
3.hao wanaotuma ngo kupiga kelele wangejali mazingira kwanza wao kwa kuzima mitambo inayo athiri watu wao kabla ya kutuingilia,unafiki wa marekani ni mkubwa kwanini wasisimamishe kuchimba mafuta wao,wakati mfumo wa uchimbaji wao unachafua mazingira na inasababisha tetemeko katika baadhi ya miji, hayo maji yanarudishwa ardhini imethibitishwa inaingiliana na mfumo wa maji safi na bado wanachimba na kurudisha maji ardhini baada ya kuchuja mafuta.
4:sielewi lini mtu mweupe akataka mwafrika awe na maendeleo ya kujitegemea,watu wanaosifiwa ni wale viongozi waliouza nchi kama hao wawili waliopita,wameuza kilakitu leo kodi yetu asilimia 60 zinalipa madeni na rasilimali imeisha,hao ndiyo viongozi bora kwa watu weupe.
 
Ww umebakia na wivu kwa makonda, dah! Jamaa ww noma sana
Lazima watu wawe na wivu naye maana sio kwa double standard anayopewa, kakwepa kodi kasamehewa, kavamia kituo cha clouds kachekewa tu sasa wewe muige uone cha moto....
 
Wapumbavu tu ninyi,huyo waziri alikuwa wapi?Katibu mkuu wa wizara alikuwa wapi?Mtajibeba wenyewe
Awamu hii Wataalamu muliozoea kuandika ripoti Potoshi kwa mawaziri Na makatibu wakuu ,wakuu wa taasisi,wakurugenzi nk mjiandae mtakiona cha mtema Kuni.Ukishauri chochote ujue mwisho wa siku ndio utadakwa kikiwa koko.Hao waliotoa huo Ushauri Raisi Magufuli usicheke nao ni ngedere hao ukicheka utakuta shamba lote wamemaliza wahindi.
 
CHADEMA tena wanahusika???????daaah mnachosha aiseee!
umesahau utafiti wa twaweza ulisema wanaoisapoti ccm ni wasiosoma? ndio maana wasomi/wataalamu wote wanahusishwa na chadema
 
Ukiona hivyo, ujue KICHAA hamshirikishi VP kwenye maamz mengi ya uendeshaji wa masuala ya Taifa

Environment docket inasimamiwa na VP

Sasa kuwananga Wataalam ni KUMNANGA VP
Acheni ujinga, unataka amshirikishe katika nini? Yaani aache Cabinet ambayo VP naye ni mjumbe akae pembeni kuchukua ushauri wa Mzanzibar?
Huyo VP kama ndiye anahusika na Makamba basi nao ni vilaza tu wanaojidai wanalinda mazingira wakati ni nil. Sidhani kama VP anahusika maana itakuwa kituko, Rais anamtuma kila siku nje ya Nchi anapiga bingo, hawezi kujiuliza mwenyewe na kumuacha JPM atuongoze anavyoona inafaa? Hawezi kumshukuru Rais kumtuma nje wakati mtaalamu wa mambo hayo FM yupo na huko ndiko kwao zaidi?
 
Ndio hao hao wanaccm,msitake kupumbaza watu
 
umesahau utafiti wa twaweza ulisema wanaoisapoti ccm ni wasiosoma? ndio maana wasomi/wataalamu wote wanahusishwa na chadema
Hata JPM kasoma,inamaana naye anahusishwa na Chadema
 
Kina nani? Watanzania?
Kwani nani wengine? Na wakiambiwa hivyo huwa wanapiga vigelegele balaa! Pombe anawaambia "kweli mtapata tabu sana" na wao wanashangilia "Ndiyoooooooooo! Sema baba sema baba tuko nyuma yako" pombe anatikisa kichwa,anajua kumbe haya majitu bado mapimbi!
 
Jamani nani mwenye historia ya huu miradi na kwa nini Nyerere aliuacha???

Alinyimwa pesa ya kujenga kutoka Benki ya Dunia na hakuwa na uwezo wa ndani kipindi hicho. Ndiyo akajenga Mtera na Kidatu.
 
Mbuga ya selous na nchi ya rwanda zinalingana. Randa watuheshimu kupita kiasi.
Yaani nchi yao huku kwetu tunafugia wanyama.
 
umesahau utafiti wa twaweza ulisema wanaoisapoti ccm ni wasiosoma? ndio maana wasomi/wataalamu wote wanahusishwa na chadema
Mimi nimesoma napinga choo kujengwa kilomita kumi kisa kinaharibu mazingira .Viko vyoo visivyoharibu mazingira kibao. Wataalamu waliotoa huo Ushauri wa kupinga vyoo visijengwe eneo la mradi ni Chadema wapinga mradi wanaotumia usomi kupinga mradi kwa ripoti koko iliyoandaliwa na Chadema na kutiwa sahihi ,kuhakikisha mamlaka husika na kusomwa na hao Wataalamu koko kwa niaba ya Chadema
 
Waacheni wavutane tu sisi watumiaji wa umeme tupo tayari kupokea maelekezo yoyote kuhusu umeme huo
 
Nyerere alikosa pesa za kujenga bwawa.Wakati huo IMF ilikuwa mwiba.Hata wale Scandinavia waliotaka kutusaidia walipewa friendly warning na Marekani.
Jamani nani mwenye historia ya huu miradi na kwa nini Nyerere aliuacha???
 
Ndio maana tunasema serikali/ccm haina wataalamu hadi inakodi wataalamu toka chadema wawafanyie kazi
 
Tafiti za wazungu naziamini sana, ugunduzi mkubwa na wakushangaza dunia hii umetokana na tafiti za wazungu. Umeshawahi fikiria sayansi ya tiba na ugunduzi wake au kompyuta na ufanyaji kazi wake wa maajabu. Utafiti wa mzungu unaweza kukupa matokeo ya miaka 200 ijayo. Utafiti wetu unalenga miaka ijayo ya uchaguzi.
 
Hongera kwa Mhe Rais kwa msimamo wake. Kuna chanzo kingine chenye uwezo wa kuzalishaza kama 500 MW nakifanyia utafiti nikiwa tayari nitaituma ripoti kwa KM- nishati na madini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…