Mradi wa umeme wa Stiegler's Gorge Hydroelectric Power Station kuondoka na Waziri January Makamba

Binafsi kwa maoni yangu huu mradi kikwazo kikubwa haiwezi kuwa mazingira bali ni Pesa, hivi tujiulize kama kuna nchi zina extract mafuta baharini na kuna Oil spill ambazo zina athari viumbe hai wa majini, watumia wa maji kama binadamu lakini watu wa mazingira tena mataifa makubwa yako kimya leo huu mradi wenu uwe na tatizo kweli? Gulf oil spill ilichukua zaidi ya miaka mitano, BP USA oil spill kipindi cha Obama na kadhalika, haya matukio yote lakini makampuni hayaachi kufanya research/explorations ya mafuta, sasa hivi inasemekana kuna wese Zanzibar je hamtachimba kwa sababu ya mazingira? common guys, tuone hata aibu kuzungumzia uhalibifu wa mazingira stiegler's ,focus yetu ingekuwa je tutapata pesa wapi? pia tutafaidika vipi?
 
Waache uhuni wa kutuvutia chini kwa sababu zao, mbona marekani hajari uharibifu wa mazingira kama kuzarisha hewa mpaka akajiondoa kwenye mkataba wa kyoto ili aendelee na programa zake na hakuna wa kuzungumzia tena uharibifu wake ni hatari zaidi hadi kusababisha mabadiriko ya hali ya hewa.
 
Gas iliuzwa sasa ukichimba wenye gas yao watakushtaki, ni bora tuwaaachie miaka 50 kama wajukuu wataikuta hata kidogo nao wajirambe. chuma kimeamua tufanye ambayo haijauzwa. Umesahau ya bandari ya bagamoyo? nayo ingejengwa ilishauzwa miaka 50.
 
Huyo jamaa akishaamua hakuna wa kupinga ajenge tu hiyo sitigilaz goji maana si anafungu lake hapo la 50%?
 
Utaalamu na uzalendo ni mambo mawili tofauti,utaalamu hautakiwi kuathirika na kitu chochote. Kama una kansa na utaalamu wa Dr ukasema unahitaji kukatwa mguu, sio kwamba hakupendi, anakupa ushauri wa kitaalamu. Unaweza ukapokea au kukataa huo ushaur lakini usitukane utaalamu wake.

Siasa ndio zinaua utaalamu hapa nchini. Tanesco walisema Richmond haina uwezo, ofisi ya waziri mkuu ikaleta 'siasa'
 
....but kuna mtu akija kutoka madarakani hakuna namna itabidi tu akanyee debe hata kwa miezi 6 kama alivyofanyiwa Manji.

hakuna namna!
Si kunyea debe pekee, na kupigwa para kunamstahili, hadi mimba. Chezea UN wewe primitive wa ki hutu.
 
Uyu January alikuwa anatafutwa ila naona yeye hajui;kuna visa kafanya hapo nyuma kwamfano mvutano wa wapi ijengwe ofisi ya halmashauri Bumbuli,sakata la vibari vya mazingira kiwanda cha betri Kibaha na sasa Rufiji.Namamshauri ajiuzuru mwenyewe bila shuruti.
 
KWANINI WAZUNGU WAKATI WANTAKA URANIUMU MATAIFA YALIKUBALI ENEO KUMEGWA LAKINI KWENYE SISI KUZALISHA UMEME IMEKUWA SHIDA
Well said walahi
Na hichi kifebruary huwa kina uroho wa pesa kweli kweli walahi!
 
Umenena walahi
 
Nadhani sasa nivyema tukafanya vitu ambavyo wazungu hawataki labda itasaidia maana vitu vyote tulivyovifanya vinavyowapendeza havijatusaidia
 
Tangu lini hao wazungu wakapenda tuendelee?
 
Wewe utakuwa mzungu mweusi. Yaani wazungu waandae ripoti ya kukuinua wewe mweusi? Alafu ulivyo wa ajabu huelewi kama walikutawala na bado wanavutiwa kuendelea kukutawala kupitia viripoti vyao hivi vya kizandika, poor ideology!
 
Jamani nani mwenye historia ya huu miradi na kwa nini Nyerere aliuacha???

Ukitaka kutawala nchi yoyote kiuchumi hakikisha haina nishati ya kutosha. Wazungu walimfanyia mizengwe Nyerere kwa propapganda kuwa umeme ambao ungezalishwa kwa wakati huo ulikuwa mwingi sana kuliko mahitaji!. Sasa hivi wanakuja na ngonjera za 'utunzaji mazingira'. Lakini wakati wakati Wamarekani wanataka kuchimba maeoneo ya Selou waliwalazimisha UNESCO kusema hakuna madhara ya mazingira.
 
KWANINI WAZUNGU WAKATI WANTAKA URANIUMU MATAIFA YALIKUBALI ENEO KUMEGWA LAKINI KWENYE SISI KUZALISHA UMEME IMEKUWA SHIDA
Ila Bongo bhana mtasema mzungu kawahujumu wakati ndio hao hao mnawafuata kuwaomba pesa za kujenga hilo bwawa!! Bila kusahau hata hiyo teknolojia na mitambo mtanunua kwao

Alafi hakuna correlation kati ya madini na umeme.... Uranium is uranium maana inapatikana hapo tu ila umeme una alternative mfano gesi,upepo ambao unaweza zalishwa pengine kokote pale bila kuvamia mbuga ya wanyama

Hata hyo uranium ingekuwa kwenye hifadhi lazima watu wangepiga kelele..... Mie naunga mkono maendeleo ila tusipende kulaumu wazungu kila kitu maana hyo mikataba ya makubaliano ya kulinda ekolojia tulisaini wenyewe bila kulazimishwa na mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…