Mramba na Yona waongezewa adhabu. Sasa wapewa kazi za ofisini!

Ni maigizo yanaendelea. Mafisadi wengine "kuhukumiwa" ni mwaka 2020.
 
Yule last king of scotland hakuwa Idd Amin wa Uganda
 
Mwisho tutasikia wameanza kupewa fedha za kujikimu,dah hii nchi ya kikuda sana.
 
Ushauri gani sasa au namna ya kupiga pesa kimya kimya?
 
Safi sana. Ni ujinga kumtumia watu wazoefu kama hawa kufagia wakati wanaweza kuchangia vingine...
basi tuwatoe magerezani wazoefu wote wabaki.. wabaki wasio na uzoefu ndio wawe wanafungwa humo magerezani
 
Hahahah eti mahakama ya mafisadi, hukumu ni umehukumiwa na Mahakama kwa kifungu namba ziro ziro mkwaju,kumi kumi mkwaju Ukafanye kazi ya Consultancy Kooooooot!

Tunataniana aiseee!
 
Dah... its only happening in Bongo.... Jamani hawa si ni wezi wakubwa na hatari now wanapewa kushika mafile ya wagonjwa? au ni mtego maana mwizi ni mwizi tu na haachi... tutasikia wamekwapua kitu hapo...
 
Hapo kufagia hakupo tena watakuwa washauri na watalipwa maskini Tanzania
 
Kama wana kosa la matumizi mabaya ya ofisi watatoaje ushauri kwenye ofisi za watu. Kama mnawaamini si muwaachie huru. Nchi hii cjui imerogwa na nani.

 
Kwa hali hii sitashangaa Mahakama ya mafisadi itakuja na gereza lake litakuwa na Wi-Fi swimming pool na sehemu za kufanyia michezo mbali mbali na mzoezi bar kiwanja cha ndege massage room na vitu vyote na litajengwa karibu na ufukwe wa bahari
kama lile gereza la Escobar kule Colombia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…