Kusaidia kuingia mikataba kwan uzoefu wao utasaidia sana!!Tulijua tu........bado kuna kazi nyingine watapewa........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusaidia kuingia mikataba kwan uzoefu wao utasaidia sana!!Tulijua tu........bado kuna kazi nyingine watapewa........
Mijizi inapewa ofisi?
Mwenye jukumu la kuanzisha hiyo Mahakama ni fisadi Mwakyembe, ambaye hata yeye inamuhusu ha haaaaKwa hali hii sitashangaa Mahakama ya mafisadi itakuja na gereza lake litakuwa na Wi-Fi swimming pool na sehemu za kufanyia michezo mbali mbali na mzoezi bar kiwanja cha ndege massage room na vitu vyote na litajengwa karibu na ufukwe wa bahari
Hapo ndipo napoita majipu visasi naona vikiisha maigizo yatakuwa vichekesho siku hizi wazir kumfukuza mlinzi kazi ni kitu cha kawaida kukagua daftari la kusaini getini nayo wakaona kazi yao sasa sijui ndio kuendana na kasi kuko hiviMwenye jukumu la kuanzisha hiyo Mahakama ni fisadi Mwakyembe, ambaye hata yeye inamuhusu ha haaaa
Mjue hao wote ni wataalamu wa mambo ya Fedha?
Kwa taarifa yako trna ya kusikitisha hapo hakina hukumu hapo..... Ni maigizo tuUtaalamu wao wa mambo ya fedha ulilifanyia nini taifa hili?! Kama umeuliza kwa maana ya kutaka kukosoa maoni ya wanajukwaa inabidi ufikirie tena, utaalamu wa mtu hauna maana kama utakuwa ni zao la maangamizi na ufisadi kwa wanyonge! Watu hawa wanafanya stage performance tu, next tutasikia wamefukuzwa wasiishi tanzania. Kwa maoni yangu watu hawa, na wengine wa aina hii wanastahili adhabu ya juu kabisa katika orodha ya adhabu zinazoweza kutolewa.
Watakuwa wanapewa chai ya bure...Afu wanalipwa?
Mkuu kwani hujuwi kuwa nchi sasa inaongozwa na Mkapa kwa mlango wa uwani hawa muda so mrefu utawakuta makatibu wakuu kama sio mawaziriHahahahaha!
Hii nchi bana! Naona Mkapa sasa anaendesha nchi kupitia kijana wake Magufuli!
Sasa hawa wezi wamegeuka ma consultants...?
Hawa na lolote mijizi na mahakama imethibitisha kuwa wezi lakini ndio ccm kulinda mijizi sasa baba pombe wanazidi kumuangushaMjue hao wote ni wataalamu wa mambo ya Fedha?
Usiogope kaka sema kwa sauti kubwa mijizi izomewe mijizi hii Yona ndio mshirika mkubwa wa mkapa kujimilikisha mgodi wa kiwira halafu MTU itakuwa na nguvu ya kupambana na mafisadiMimi naogopa kuropoka maana mabosi wangu wapo humu