Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitaka tuone kuwa wanakwenda Segerea na ndoo zao? Je, hii ni dalili ya "kudanganya" Umma?Haina tofauti na kamishana wa TRA kubebe ndoo akiwa wanatoka mahamani na wenzie
mjomba mengine tumwachie Mungu tu , kwa kweli inachekesha sana .Wana jamvi wa JF, hasa mlioko Dar es Salaam, napenda kujua kama Mawaziri wa Zamani ndugu Yona na Ndugu Mramba WANAENDELEA na "adhabu" ya kufanya usafipale Hospitali ya Palestina, Sinza. Iliripotiwa kwa nguvu nyingi SANA adhabu ilipoanza. Kwa sasa KIMYA! Ama siyo habari tena?
Kweli? Tumwachie Mungu? Tukifanya hivyo YATAENDELEA! Tukihoji yatakwisha!....Ni maoni yangu....mjomba mengine tumwachie Mungu tu , kwa kweli inachekesha sana .
Hata mie ndicho nnachoona! Kwa nini kuwe na MATABAKA? Mwizi ni mwizi tu.. Mwizi wa viazi soko la Sombetini anakuwa na adhabu tofauti na MWIZI wa mabilioni ya Shilingi Benki Kuu!I wish wafungwa wote wangekuwa wanapata the same treatment. Halafu ndo sasa hivi tunalagaiwa na mahakama ya mafisadi! Watapewa fast track kama hawa. Vifungo virefu vya gerezani si kwa mafisadi bali malofa.
...Mahakama hiyo huenda ikajengwa Kilindoni, Mafia ama Mbegani, Bwagamoyo.Kwa hali hii sitashangaa Mahakama ya mafisadi itakuja na gereza lake litakuwa na Wi-Fi swimming pool na sehemu za kufanyia michezo mbali mbali na mzoezi bar kiwanja cha ndege massage room na vitu vyote na litajengwa karibu na ufukwe wa bahari
Unajua sababu yakupewa zile ndoo?Haina tofauti na kamishana wa TRA kubebe ndoo akiwa wanatoka mahamani na wenzie
umesahau na memory cardKwa hali hii sitashangaa Mahakama ya mafisadi itakuja na gereza lake litakuwa na Wi-Fi swimming pool na sehemu za kufanyia michezo mbali mbali na mzoezi bar kiwanja cha ndege massage room na vitu vyote na litajengwa karibu na ufukwe wa bahari