Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Tusishangae ukasikia wanapelekwa wizara ya fedha kutoa ushauri wa kuiendesha wizaraTulijua tu........bado kuna kazi nyingine watapewa........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusishangae ukasikia wanapelekwa wizara ya fedha kutoa ushauri wa kuiendesha wizaraTulijua tu........bado kuna kazi nyingine watapewa........
Ni aibu ya ccm na wanachama wao pamoja na mawakala waoHii ni aibu yangu mimi mwananchi wa kawaida....!!!!
Aibu....!!!!
Aaaaiiibuuuuu...!!!! Aibu
Utapasua kuni na kulima hadi mwisho wa adhabu yakoSisi tusiokuwa na Godfather ndiyo tutateseka.
Hivi kuna ukweli wowote wa mkapa kuwa na uhusiano wa kifamilia na mramba?Mkapa alitoa mapendekezo ya kuachiwa watu hawa alipomtembelea Magufuli ikulu mwezi January, alijua anasimamia nini, anajua anasimamia nini na anajua atasimamia nini! Zao la Magufuli ni mpambano kati ya Kikwete na Mkapa!!
Hiyo ndio hali halisi ya maisha ya mtanzania kwa sasaI wish wafungwa wote wangekuwa wanapata the same treatment. Halafu ndo sasa hivi tunalagaiwa na mahakama ya mafisadi! Watapewa fast track kama hawa. Vifungo virefu vya gerezani si kwa mafisadi bali malofa.
Husishangae ukakuta wanapewa na meal allowanceVery constructive ... Huo ushauri wanautoa bure,hawalipwi. Mjini akili,shamba nguvu.
Kwani pasipo wao Hospital haiwezi kujipangia bajeti yake? Kiini macho tu hichoVery constructive ... Huo ushauri wanautoa bure,hawalipwi. Mjini akili,shamba nguvu.
Utaambiwa huko ndio kwenda na wakatiKwa hali hii sitashangaa Mahakama ya mafisadi itakuja na gereza lake litakuwa na Wi-Fi swimming pool na sehemu za kufanyia michezo mbali mbali na mzoezi bar kiwanja cha ndege massage room na vitu vyote na litajengwa karibu na ufukwe wa bahari
Mkuu wacha kuumiza kichwa bure,hayo ndio mashahiri tumesha yazoea tulianza na maisha bora kwa kila mtanzania,kabla ya hapo ilikuwepo ukweli na uwaziNdio maana bado sijaelewa maana ya tungo "Hapa kazi tu".
Nimeamua kuipa kipimo cha miaka mitano".
Na ili kuwakomesha watapewa ile ya kusaini mikataba yoote ya madiniBaadaye watapewa kazi ya kusaini mikataba ya serikali na hiyo adhabu itakuwa haina kikomo. !
Mkuu I wish hizo ngumi zako za hewani zingekuwa zina wapata walengwa wasingerudiaUpumbavu uliopitiliza. Unaleta picha gani katika utoaji wa haki na hukumu kwa wafungwa? Sijui hii laana tumepewa na nani.
Olmert wa Israel kapigwa 19months in prison, the former prime minister..can you imagine!!
Kwa uwezo wako hapo ndio ulipo komea kuelewaSasa mbona kwenye kichwa cha habari unasema wamebadilishiwa? Tofauti na ulichoandika ndani.
Usiwe mkurupukaji, kichwa cha habari kimerekebishwa, hakikuwa hivyo!Kwa uwezo wako hapo ndio ulipo komea kuelewa
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, kama serikali yakoUsiwe mkurupukaji, kichwa cha habari kimerekebishwa, hakikuwa hivyo!
Tulijua tu........bado kuna kazi nyingine watapewa........
Upumbavu uliopitiliza. Unaleta picha gani katika utoaji wa haki na hukumu kwa wafungwa? Sijui hii laana tumepewa na nani.
Olmert wa Israel kapigwa 19months in prison, the former prime minister..can you imagine!!