Rutorial k
JF-Expert Member
- Jun 8, 2014
- 960
- 855
ila nikweli...jpm na jk naona kama haziivi hivi! siku ile ya kuongea na wazee wa dar nilisikilza kwa makini speech ya jpm...kuna sehemu aliwataja mwinyi...kikwete...lakini kwa mkapa akasema ...MZEE MKAPA sasa nikawa najiuliza nani mzee kati ya mwinyi na mkapa....hapa kuna jamboMkapa alitoa mapendekezo ya kuachiwa watu hawa alipomtembelea Magufuli ikulu mwezi January, alijua anasimamia nini, anajua anasimamia nini na anajua atasimamia nini! Zao la Magufuli ni mpambano kati ya Kikwete na Mkapa!!