Clemence Baraka
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,694
- 650
Fagia ilikua geresha tu.Hapo kufagia hakupo tena watakuwa washauri na watalipwa maskini Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fagia ilikua geresha tu.Hapo kufagia hakupo tena watakuwa washauri na watalipwa maskini Tanzania
Ndio maana bado sijaelewa maana ya tungo "Hapa kazi tu".
Nimeamua kuipa kipimo cha miaka mitano".
NarcosKwa hali hii sitashangaa Mahakama ya mafisadi itakuja na gereza lake litakuwa na Wi-Fi swimming pool na sehemu za kufanyia michezo mbali mbali na mzoezi bar kiwanja cha ndege massage room na vitu vyote na litajengwa karibu na ufukwe wa bahari
sasa hii adhabu imeongezwa na mahakama au uongozi wa hospitali una mamlaka hayo ? hii nchi inatia aibu sasa .Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba ambao wanatumikia kifungo cha nje pamoja na kufanya usafi katika hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam, wamepewa kazi nyingine ya kusaidia kuongeza ufanisi ofisini. Mawaziri hao wa zamani sasa wamepangiwa kazi ya kutoa ushauri elekezi wa kitaalam katika maeneo mbalimbali ya kiutendaji katika hospitali hiyo ikiwa ni pamoja na masuala ya bajeti. View attachment 324057
Mramba,Yona wakabidhiwa kazi za Ofisi - Dar24
Mambo yasiyowezekana duniani kote Tanzania yanawezekana.Hahahahaha!
Hii nchi bana! Naona Mkapa sasa anaendesha nchi kupitia kijana wake Magufuli!
Sasa hawa wezi wamegeuka ma consultants...?
Hiyo nayo adhabu???Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba ambao wanatumikia kifungo cha nje pamoja na kufanya usafi katika hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam, wamepewa kazi nyingine ya kusaidia kuongeza ufanisi ofisini. Mawaziri hao wa zamani sasa wamepangiwa kazi ya kutoa ushauri elekezi wa kitaalam katika maeneo mbalimbali ya kiutendaji katika hospitali hiyo ikiwa ni pamoja na masuala ya bajeti. View attachment 324057
Mramba,Yona wakabidhiwa kazi za Ofisi - Dar24
nimecheka sana ! unaambiwa kabla hawajapelekwa keko , gereza lilipigwa deki !Hata mi sijajua hivi segerea wasingeweza kuwa ma consultant hili picha la kihindi steringi anafia kwenye maua
Hivi wakati mramba akiwa waziri wa ujenzi mhe rais nadhani alikua naibu wake. Au?utasikia wiki ijayo wamepewa kazi nyingine ya kuwa mabalozi nchi za nje.
Ni kweli,wana uzoefu wa kuitia serikali mabilioni ya pesa,uzoefu wa kuwadhihaki masikini,watanzania watakula majani lkn ndege tutanunuaSafi sana. Ni ujinga kumtumia watu wazoefu kama hawa kufagia wakati wanaweza kuchangia vingine...